Muwe mnaelewa mifano lakini pia huyu ni mwalimu anatumia lugha nyepesi inayoendana na lugha ya m-Tanzania wa kawaida ili kusaidia watu kumuelewa kwa urahisi,pia kumbuka BIBLIA imesema ipo miujiza mingi ambayo BWANA YESU aliifanya lakini haikuandikwa, hivyo hayo aliyoyaongea yanayoonekana ni ziada ni mifano inayosindikiza na wala sio kwamba anaongeza chumvi.....tuwe tunaelewa lugha ya ndani badala ya kuibua mijadala isiyo na sababu.
@@erickmutungi8792 wewe ndiye unapoteza uhalisia. Umesikia amenena kunenepeana na hatoi mfano ila anaongelea uhalisia. Sikiliza upya hiyo clip mwanzoni. Je,huo ni mfano?
@@josephmusagasa5566 lakini pia tujifunze kuangalia shabaha ya mhubiri ni nini, vinginevyo tukikalia kukosoa vitu ambavyo havina msingi wowote tutakuwa tunapoteza muda mpendwa.
@@erickmutungi8792 mbona unatetea sana. Mimi nimenukuru maneno yake na jinsi yalivyopokelewa. Sijakosoa bali nimeelezea nilichokisikia,mbona hiki kipengele unakitetea? Ki msingi mtumishi wa Mungu hapaswi kusema maneno ya jinsi hiyo.
Yaani ukihubiri unanenepeana? Dah,mchungaji mambo gani hayo. Kumbe thawabu yako umeipata? Yaani kunenepeana? Fundisha neno acha majigambo ya kunenepeana
@@LucyRobert-g3c imeandikwa wapi kuwa kumtumikia Yesu unapaswa kunenepa? Acheni kumbambika Yesu maneno,acheni kuichafua Biblia. Kwani wewe hujamsikia huyo mchungaji wako kuhusu kunenepa? Mmetekwa na mafundisho ya wanadamu yadanganyao,poleni
Huuuwi mchungaji Dani ubalikiwe sanaaaaa
Yaan huyu mchungaji namkubali sana,ubarikiwe baba,Mungu akujalie umri mlefu.
safi sana pastor Danny. Hakuna maamuzi ya muhimu na ya kwanza duniani kama kumpokea Yesu.
Pastor Dany hongera sana upo vizuri MUNGU MKUBWA ANATENDA kila kitu
Naomba no yamchungaji Daniel
Hii safi sana.Hubarikiwe sana mchungaji.
Mungu aendelee kukutumia Kwa viwango vya juu zaidi
Asante YESU UNATENDA KILA LILILO GUMU
Daaaaaaah Safi Sana Pastor🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Barikiwa sana Pastor.Tunakusubiri Gallapo YESU ni kila kitu.
Amina kwa neno
Namwelewa sana huyu mchungaji
Barikiwa pastor
Mebarikiwa Sana nipo babati nafuatilia Sana huu mkutano memuona YESU KWAKWELI
Pastor alikuwa kapinda
Barikiwaa SANA mtumishii
Yehova Mwema Ubarikiwe Sana ushuhuda mzuri
Yesu ni Bwana
Kweli, msiba wako, haukuhusu! 😂😂😂😂
MUNGU ni mwema
Pastor ana majibu dar😂😂😂
Kamanda Yesu
Good
Hivi kuna mahali Yesu alileta unga na nyama? Hivi pameandikwa wapi,naomba mnikumbushe kwa maandiko au ni hisia za mchungaji tu? Naomba msaada wenu jmn
Muwe mnaelewa mifano lakini pia huyu ni mwalimu anatumia lugha nyepesi inayoendana na lugha ya m-Tanzania wa kawaida ili kusaidia watu kumuelewa kwa urahisi,pia kumbuka BIBLIA imesema ipo miujiza mingi ambayo BWANA YESU aliifanya lakini haikuandikwa, hivyo hayo aliyoyaongea yanayoonekana ni ziada ni mifano inayosindikiza na wala sio kwamba anaongeza chumvi.....tuwe tunaelewa lugha ya ndani badala ya kuibua mijadala isiyo na sababu.
@@erickmutungi8792 wewe ndiye unapoteza uhalisia. Umesikia amenena kunenepeana na hatoi mfano ila anaongelea uhalisia. Sikiliza upya hiyo clip mwanzoni. Je,huo ni mfano?
@@josephmusagasa5566 lakini pia tujifunze kuangalia shabaha ya mhubiri ni nini, vinginevyo tukikalia kukosoa vitu ambavyo havina msingi wowote tutakuwa tunapoteza muda mpendwa.
@@erickmutungi8792 mbona unatetea sana. Mimi nimenukuru maneno yake na jinsi yalivyopokelewa. Sijakosoa bali nimeelezea nilichokisikia,mbona hiki kipengele unakitetea? Ki msingi mtumishi wa Mungu hapaswi kusema maneno ya jinsi hiyo.
@@josephmusagasa5566 hakuna tatizo lolote hapo,sema tu wewe umeamua kuelewa kwa mtazamo hasi,cha kukushauri acha kumuangalia,angalia wahubiri unaowaelewa,yamkini huyu kwako amejikwaa, hivyo acha waliokusudiwa kumuelewa wamuelewe kuliko kukaa kujadili vitu visivyo na faida yoyote.
Yaani ukihubiri unanenepeana? Dah,mchungaji mambo gani hayo. Kumbe thawabu yako umeipata? Yaani kunenepeana? Fundisha neno acha majigambo ya kunenepeana
Ney s kutoka nairob mung nimwem
Kwani kunenepa dhambi ....akunakinachoshindikana kwa Yesu .....wee Kama unamtumikia Mungu na aujanenepa bc jiulize unamtumikia Mungu gani 😅pole wee
@@LucyRobert-g3c imeandikwa wapi kuwa kumtumikia Yesu unapaswa kunenepa? Acheni kumbambika Yesu maneno,acheni kuichafua Biblia. Kwani wewe hujamsikia huyo mchungaji wako kuhusu kunenepa? Mmetekwa na mafundisho ya wanadamu yadanganyao,poleni