MLELA AOGA MATUSI KWA HAMISA NA ESHA BAADA YA KUACHA EBITOKE ABEBWE KAMA MZIGO KWENYW UGOMVI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 235

  • @dianamadege1703
    @dianamadege1703 5 років тому +6

    Mtangazaji upo juuu

  • @salimzaidi9203
    @salimzaidi9203 5 років тому

    Yaan mlela kanichefua sana pole sana bitoke mungu akupe wepes urudi katika hali yako mama

  • @josiahkamugisha9193
    @josiahkamugisha9193 5 років тому +36

    Kwakweli namimi nachukizwa na tabia ya wanaume wenzangu kuchezea hisia za wadada,sio vizuri

  • @zenaotman5734
    @zenaotman5734 5 років тому

    namshukuru mungu kwa kunipa mume mwema nakaniepusha na wanaume vivuruge kama mlela

  • @omarjuma2988
    @omarjuma2988 5 років тому

    Mlale ni malaya tu hana lolot mkundule wew chevu kubwazima ovyoo eb mwanya pole usijali utapat mwingin achan nauyo shog 💋💞💞

  • @halimams2127
    @halimams2127 5 років тому +52

    esha asante dada wataifa now doz apate kuona mwanaharam mtoka pabaya

  • @janepherjamson4166
    @janepherjamson4166 5 років тому

    Nakukubali sana Esha Buhet mwambie hajielewi Mlela

  • @queenmushi9791
    @queenmushi9791 5 років тому

    Duh pole sana mdogo wangu ebtoke hii mijianaume siyo kabisa jifunze sana mwanau.sio ndugu in rafiki tu

  • @zinuraminaji1242
    @zinuraminaji1242 5 років тому

    Congratulations aunty esha big up kwako mlela sikupendi ata robo utaumiza wanaweka atauyo unamchezeatu

  • @missrosemwanika5827
    @missrosemwanika5827 5 років тому

    Asantea dada bue umeongea kiutu anafanya mambo ya kitoto hayafanani na umri wake

  • @monicaedward8600
    @monicaedward8600 5 років тому

    Mlela mjinga sana so tabia nzur kaka angu

  • @augustuss4503
    @augustuss4503 5 років тому +6

    😂😂😂🤣🤣🤣 Bongo kuna mambo, I miss home, I miss Tanzania. Akajambe mbele 😂😂😂

  • @elizabethndenga3671
    @elizabethndenga3671 5 років тому

    Hapo sasa mambo n🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥unajipya we mwanaume 😊😊😊😊😊

  • @aidaomary4965
    @aidaomary4965 5 років тому

    Duuuuh master mubadilike bwana

  • @romajnrtz8451
    @romajnrtz8451 5 років тому

    Mlela umezeeka sana 😂😂😂😂

  • @mustafaqatarmowa4305
    @mustafaqatarmowa4305 5 років тому

    Hapo sawa Esha Buheri,umefanya poa sana kumueka sawa huyu mjinga wa mapenzi

  • @terryadams7416
    @terryadams7416 5 років тому

    Mlela atolewe swahili flix kabiiiissssaaaaaa!

  • @mwanahawajumajuma5857
    @mwanahawajumajuma5857 5 років тому

    Mambwe mbwe tuhayo mlela nime kuchukia Sana unadhalilisha wana wake mungu akulani mlela ovyo

  • @annamathew2988
    @annamathew2988 5 років тому

    Nilikuwa nakuona unabusara sana mlela sahizi nakuona bwegetu pole ebi

  • @tumabhay4463
    @tumabhay4463 5 років тому

    Ahsante Esha Buheti.kungekua kuna maneno zaidi ya mituc bac ningemwambia huyu malaya kichefchef mlela mamaaeeee!

  • @memawiliam8221
    @memawiliam8221 5 років тому +3

    Ahahaha safi dada hafai sana kamuumiza ebitoke wetu

  • @محمدالشمري-ص9و4ه
    @محمدالشمري-ص9و4ه 5 років тому +22

    Esha hongera sana yaani bora uendelea kumchamba hicho kimalaya kama kiumbwa

  • @rozinaswenya9682
    @rozinaswenya9682 5 років тому

    Safi sana dada

  • @hildamallya2828
    @hildamallya2828 5 років тому

    mlela ni nyumbu tuu hana lolote mpuuzi mkubwa ana jipya kwanza 😂😂😂

  • @eunicekweka6717
    @eunicekweka6717 5 років тому

    mlela ajileta ujinga ata,,,,, yaan wanaume nawachukia sana tena zaid mwenye tabia kama mlela

  • @consolathajacob5299
    @consolathajacob5299 5 років тому

    Ningeama mji sio kwa kichambo hicho😀😀😀😀😀😀

  • @swaumuhamisi9847
    @swaumuhamisi9847 5 років тому

    😂🤣🤣🤣Hongera dada Esha nyaa huyo vundo pesa zenyewe hana Ebitoke usijal dada yana mwisho pambana tu dada ake ila umemuwe vundo huyo🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅

  • @hidayaking3383
    @hidayaking3383 5 років тому +29

    Tena akome kuchezea watoto wa watu mlela ajielewi amukeni amkeni popopohoo

  • @m.mmarckus6298
    @m.mmarckus6298 5 років тому +1

    Mlela aibu kwako loooooooo,Mungu atalipa kupitia mtt wake

  • @fatmaali4921
    @fatmaali4921 5 років тому +6

    uyo mlela matus hayamtosh alikuwa atolewe swahili flix

  • @zaikhamis8652
    @zaikhamis8652 5 років тому

    Asante Dada eshaa

  • @sophiajackson5001
    @sophiajackson5001 5 років тому

    nilikuwa sikufahamu Esha Buheti ila nimekufahamu kupitia ishu ya ebi Master na mariooooo...... nimekupenda bureeee esha

  • @maliethnyoni2847
    @maliethnyoni2847 5 років тому +23

    Bitoke nimekukubali mlela msenge tuu sasa ukitaka kuamini mlela ajierew mpk huyo mdada kamkana bitoke ww ni mwamba usijali utapata mme

  • @jumamtandare738
    @jumamtandare738 5 років тому +1

    Mbona daimond hamumsemi hayo ndio maisha ya mastaa dada Aisha.

  • @sialadymosha3355
    @sialadymosha3355 5 років тому

    Asante kwa kumpa dozi kuntuuu!!

  • @fatimamohammed2332
    @fatimamohammed2332 5 років тому

    asante my dada umenikosha sana mtt wa buherii

  • @Esty1248
    @Esty1248 5 років тому +21

    Mlela ni fisi kweli, hadi anamkana Beyonce wake 😕😕kenyewe kanajishauwa na kalibebwa na Ebitoke kama karatasi 😂😂😂😂😂😂

  • @avitamostin9601
    @avitamostin9601 5 років тому

    kwakweli we mlela we msenge shezi kweli ningekua mchawi walai ningekuloga nitowe KBS ume wako

  • @ngometvarusha4030
    @ngometvarusha4030 5 років тому

    Mnapenda sana wambea

  • @irenesamwel4364
    @irenesamwel4364 5 років тому

    Asante 100%

  • @rashidndayishimiye6455
    @rashidndayishimiye6455 5 років тому +1

    Ongela Sana Ebitok na polesana kwayalio kukuta Dada ang

  • @remigiusmwageni6274
    @remigiusmwageni6274 5 років тому

    Mlela ni fala2 hawez akamdhalilisha Dada yetu ivo

  • @allenothuman230
    @allenothuman230 5 років тому

    Good

  • @charitymghoi1199
    @charitymghoi1199 5 років тому +29

    Esha hongera sana umempa ukweli

  • @halimahassan565
    @halimahassan565 5 років тому

    Sikuwahi kuipenda hiyo couple kwa sababu nilikuwa mlela alikuwa anamchezea ebitoke

  • @shuusule3972
    @shuusule3972 5 років тому

    Asante esha love 😘😘😘😘😘😘

  • @munnababygal8460
    @munnababygal8460 5 років тому

    Safi sana

  • @aminasongolo5983
    @aminasongolo5983 5 років тому +1

    Mlela ni mpumbavu na hicho kidada ajue kwamba kilichomkuta ungo na kibeku kitamkuta asijione kafika

  • @mozumohd685
    @mozumohd685 5 років тому

    Mlela unazingua maana haiwezekani umzinguwe dada wa watu maana kam mtu huna haja nae mkatae mapema mshenzi sana ata ilo sura lako halifanani tena

  • @sanuraissa1762
    @sanuraissa1762 5 років тому +4

    Wanaume vyakuchezea vipo vingi sio moyo wa mwanamke wewe mlela mbwa kweri umejua kunikera sana

  • @douceuretivya6039
    @douceuretivya6039 5 років тому +15

    Dada asanteni kumuchamba aka baba mwanaume bila haya mlela mchenzi kabisa kwanini kumutesa ka ebitoke kamuchezaa kisha kamuacha kachukua Pia pesa lake ilibidi Ebitoke hamupige ata jiwe mlela wala chupa usoni imukate

  • @josephinanikwelimdacki3330
    @josephinanikwelimdacki3330 5 років тому

    alafu style zake za kitapeli ndo izoizo mlela

  • @wandelugenzi5926
    @wandelugenzi5926 5 років тому

    Wann mme kulelewa ganda la ndiz

  • @maryammct3967
    @maryammct3967 5 років тому +1

    Simpendi mlela simamwanaume Tamimi simpendi

  • @SaraSara-nf1uc
    @SaraSara-nf1uc 5 років тому

    Huyo ata haina aja atwe mlela mvalisheni sket atwe lela

  • @zainashaha2935
    @zainashaha2935 5 років тому

    Sawa sawa kabisa

  • @emmypc8362
    @emmypc8362 5 років тому +1

    Kiukwel Mlela jmn uyu mungu amwazibu

  • @stainasmkoko604
    @stainasmkoko604 5 років тому

    Saizi yupo uchi mlela hata nguo usivae

  • @lucasngalawa8826
    @lucasngalawa8826 5 років тому

    Mlela nimemkubali coz siwezi kumsaliti mwanaume mwenzangu,,,,,,wanawake wa mjini hawa manyumbu sana

  • @lencar5377
    @lencar5377 5 років тому

    Kweli uyu mlela nimchafu Sana na afazirki tapeli unmemtapeli ebitoke

  • @sarahluhi5262
    @sarahluhi5262 5 років тому

    Yan nalichukia limlela haki ngekuwa mwanga ngelitoa roho lake mbafuuuuu

  • @laurynlyatuu6928
    @laurynlyatuu6928 5 років тому

    Asanteeee

  • @bukuruluminatha5185
    @bukuruluminatha5185 5 років тому

    Huu mlela anajitafutia moto wa milele bila mungu kukusudia. kwani anafikiri mabinti wote ni wake?

  • @dullayorashiddullayorashid6725
    @dullayorashiddullayorashid6725 5 років тому

    Mlela msenge cn kwanza umri umeenda unafanya mambo yaki jinga mpuuz www

  • @nazleenabdirahman461
    @nazleenabdirahman461 5 років тому

    Na huyo stelaa alivokua anapigwaa hta mlela alikua tu anamwangalia hebuu fahamuu huyo mwanaume hakupendi

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 5 років тому +1

    Wow....

  • @noelsimon3320
    @noelsimon3320 5 років тому +7

    Inabidi kazi zake tusizisuport kurudisha heshima ya Dada zetu

  • @nurumunguakutangurirabdull4472
    @nurumunguakutangurirabdull4472 5 років тому

    mm nasema eb kamkosea angebeba nyembe angemhalibu sula malaya huyo alaf kama kuna mwanaume angemtaman 😂😂 minyembe ya uso tu

  • @sanuramohammed4353
    @sanuramohammed4353 5 років тому

    Mlela faraviana sana

  • @rukiazuberi8952
    @rukiazuberi8952 5 років тому

    Duuuh aingie na upupu

  • @fifirashidrashid4777
    @fifirashidrashid4777 5 років тому

    Na uyo mwanamke hana akili anapigwa mbele ya mlela hata kumsemeya kama iko na akili achane nayr

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 5 років тому +1

    pubafu sana mulela kikoropo camwanahume kipubafu sana

  • @bintmuhammed..7941
    @bintmuhammed..7941 5 років тому

    mlela wapenda kuzin watoto wawatu ila tambua malipo ya zinaa ni zinaa... Sasa naww jiandae kma siwanao bas Dada zako watakua wanafanywa kma unavowafanya watoto wa wenzio 🙄...Maskin Ebitoke wawatu alipenda kusikopendeka...
    Nauyo hawara anaejiona anajua kuvamia magar kwa mbele asubir nae atakuja kuonyeshewa mwanamke mwingne mchana kweupeeeee...
    Mlela muogope Allah acha zinaa 😏😏😎

  • @ellenkamanzi2384
    @ellenkamanzi2384 5 років тому

    Yan kama zari angekuwa naroho yabitoke tanasha angekuwa nangeo

  • @novatusluguga6553
    @novatusluguga6553 5 років тому

    Hahaha mlela kapatikana

  • @tatudijah6773
    @tatudijah6773 5 років тому

    mlela umejiharibia ,umejipunguzia mashabiki

  • @rehemawasafi8050
    @rehemawasafi8050 5 років тому

    Asant dd

  • @edithasimon8841
    @edithasimon8841 5 років тому

    ebitoke yupo right mapenz yanaumiza pale mpenz wako anapokusaliti

  • @macqmartin9217
    @macqmartin9217 5 років тому

    Yaan mlela nshakuchukia mazimaaa ovyoooo

  • @martinamtari288
    @martinamtari288 5 років тому

    Umempa ukweli msenge huyu aon kama mashavu yameshuka atulie pole ebitoke hata ni Maputo tu

  • @getrudambuya2326
    @getrudambuya2326 5 років тому +2

    Kabinti kazuri jamaani Pole Ebitoke,!! Nimekupenda buheti

  • @machubaby2747
    @machubaby2747 5 років тому

    Mlela serengeti boy 😂😂

  • @maxmaxmo5545
    @maxmaxmo5545 5 років тому

    Naona wadada povu linawatoka inauma kumbe..du..

  • @hadijasalimu1808
    @hadijasalimu1808 5 років тому

    Eti upupu sangelikufa chezea upupu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @tatunyasulu6634
    @tatunyasulu6634 5 років тому

    Mlela mwanaume wa Dar, kwanza hata nywele zako ulilipiwa saluni na Ebitoke

  • @vickymbwambo4855
    @vickymbwambo4855 5 років тому

    .mlela shog

  • @marypeter4789
    @marypeter4789 5 років тому +1

    Kabisaa angeingia na upupu 😂😂😂

  • @zenakaide6604
    @zenakaide6604 5 років тому

    Cyo kw kichambo hiko dadeki kama ajaelewa Basi haelewi Hadi dunia inasimama

  • @meshackgardiel6894
    @meshackgardiel6894 5 років тому

    Sema esha buheti cyo esha buherii

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 5 років тому +1

    Safi esha 😆😆

  • @victorialuhambati8336
    @victorialuhambati8336 5 років тому

    Unakwama wapi?

  • @mamymdogomamy3670
    @mamymdogomamy3670 5 років тому

    Kibabu hicho mlela

  • @mohamedimruma9746
    @mohamedimruma9746 5 років тому

    Tatizo na nyie dada zetu mnaingia kwa miguu yote kuweni watu wakuchunguza kwa broo mlela yy itakuwa ali kaa naye kidogo akaona hatomfaa katika msixha unafikiri alivyo muacha kuna xababu na xivinginevyo hata wanawake hamtambui nafaxi yenu#kuweni wapole😎

  • @mozumohd685
    @mozumohd685 5 років тому

    Na mambo unayo fanya hayafai kabisa shabiki mm napotea kaka

  • @videlialabeka4899
    @videlialabeka4899 5 років тому +3

    Esha nmependa na umemalizaaaaaaaa

  • @wandelugenzi5926
    @wandelugenzi5926 5 років тому

    Kwani mlale hana mishe hapa mjini

  • @zainakwemai3482
    @zainakwemai3482 5 років тому +8

    Ebitoke vumilia dd ang yataisha nahuyo mlela atainshia uhuni tuu mwoshoni ataupa ukimwi

    • @veronicadaniel1122
      @veronicadaniel1122 5 років тому

      Zaina Kwemai Tuna uhakika gani hana huyu jamaa c kwa uchafu huo

    • @zainakwemai3482
      @zainakwemai3482 5 років тому

      Inawezekana kwanza akawanao ety alingia bodi yake nzr hajui akifa yaoza yote yabaki tuuu mifupa hana akili huyu kaka

  • @goalshighlight00
    @goalshighlight00 5 років тому

    Esha dada uyo mlela nimpiuzi sana ilakitamtokea puan mpumbavu sana mlela

  • @catenzeki678
    @catenzeki678 5 років тому

    naomba mumtafute Nay wa mitego tumskie nae atasemaje ama atamshauri nn mlela mana ndio ivo kashaharibikiwa hana pakuangalia sa i

  • @zakaraialusasi2684
    @zakaraialusasi2684 5 років тому +1

    Mlela hata hafanani anayoyafanya kwakweli