ZORAVO “NIMEITUMIA DIGRII YANGU MIEZI MINNE TU”/AJIBU KUHUSU WAIMBAJI KUTOKUWAJALI WANAMUZIKI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • Muimbaji wa Muziki wa Injili Tanzania Zoravo amefunguka na kujibu maswali mbalimbali kuhusu Huduma ya Uimbaji.
    #LiveOnLive

КОМЕНТАРІ • 7

  • @mwlamaninnko.25
    @mwlamaninnko.25 10 місяців тому +1

    Zoravo uko vizuri sana katika majibu yako , so wise and humble...More blessings!

  • @aaronswai3092
    @aaronswai3092 4 місяці тому

    Mungu akubariki Zoravo kwa hekima na unyenyekevu ulionao. Imeandikwa, Hekima hukaa na wanyenyekevu (Mit 11:2); na Mungu atazidi kukupa neema kwa huduma yako (1 Pet 5:5). Ubarikiwe sana na kuzidi

  • @loycenicolao7488
    @loycenicolao7488 4 місяці тому

    Natamani wanangu nao siku Moja wawe vijana wanaomtumikia Mungu kama hawa. Songeni mbele na Wala msiangalie tabia za kidunia. Bwana atawapandisha zaidi mlipo

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 10 місяців тому

    Nimekupenda bureee
    Japo sio fans wako sn
    Ila Mungu akutunze sana
    Damu ya Yesu ikunike sn mtumishi

  • @jeniphermwani1867
    @jeniphermwani1867 9 місяців тому

    Hongera zoravo nimefurahi kusikia kuwa umeacha digrii kwajili ya wito nakutia moyo wewe sio wa kwanza na hicho kitakulipa angali ,mwimbaji wa nyimbo za kidunia Kofi olomide alikuwa na digrii mbili lakini hakuajiliwa alidili na kipaji chake na sasa ni mtu mkuu.

  • @obedisiarangiriki8142
    @obedisiarangiriki8142 11 місяців тому

    Amen

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 10 місяців тому +1

    Mungu ana watu
    Amejiinulia kizazi kingine kabisaa,waabudio halisi...
    Wale waliojua Wana kipawa na wakatumia vby,wakamuacha aliyewapa kipawa imebaki story
    Sahivi tuna kizazi kingine kabisaa