Utambulisho wa Wachezaji wa Yanga SC | Wiki ya Mwananchi - 22/07/2023
Вставка
- Опубліковано 27 сер 2024
- Tazama zoezi lote la utambulisho wa Wachezaji wa Yanga SC, wapya na wale waliozoeleka kwenye kikosi hicho.
Ni katika kilele cha Wiki ya Mwananchi kilichofanyika Julai 22, 2023 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.
I'm from 🇰🇪 I love you my favourite team yanga Africans 🎉💛💚 daima mbele nyuma mwiko 💫#Tujuane wana nchii yetu#YanagaRaha😂
Mim jnn
Hongera Farid kwa sifa nzuri, mcha Mungu na mwaminifu
Nyie tulieni sisi tuje tutambulishe vifaaa simba raha ❤❤❤❤❤❤
Mungu awabaliki vipenzi vyetu vya yanga
🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿young Africans ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Nungunungu wetu sisi tuachieni Wananchi tunampenda sana... Jonas Mkude tunakupenda Wananchi... Mungu akujalie kheri katika maisha yako kaka. Wewe ni mtu muhimu kwetu na tunakuamini.❤
Tulio kuja kuludia kuangalia baada ya kuona steg ya Wana. ...... Tujuane hapa😂😂😝😝😝
Tupo
Maombi yangu ni kwenu chama langu young afrika najivunia kuwa mwanayanga na wala sijutii daima mbele nyuma ni mwiko💚💚💚💚💛💛💛💛
Ospital
Yani ukiishabikia yanga hupati ugonjwa kisukari ugonjwa wa moyo hutopata❤❤❤ yanga
Usajiri MAKINI sana sana huu ni mwaka wa mavuno tena
We are young Africa 🇹🇿💪
Yanga kama Yanga hatupoagi... kwa chemistry.... kama GSM Boss wetu kafurahi Wananchi tumecheka na Boss wetu lwa mara ya kwanza... kwani ni Dhambi kucheka na Boss wako... tutawakera zaidi ...Dialo God Bless you our Keeper ... and all keeper of Young Africans... we love you too. And God bless you abundantly to be YANGA. Welcome to Tanzania.
Nawaza tuuu kitachowatenganisha mshery job na kibwana aloooooo
I❤yang
😂😂tulioangalia baada ya kubeba kombe tujuane machampion 2023/2024
Yani😅
Mungu ibaliki chama lang gangs
Ama kweli yanga kubwa check steji hii haijawah kutokea kwenye mpira
Jaman mi naiomba Azam tv mtuwekee full vidio kuanz utambulisho wa wachezaje na mchezo wote
Daàaaaah noma san yang
Machampion
Raha kama hizi utazipata yanga pekee🥰🥰🥰💚💛💚💛
Yanga upendo
Yanga Haiwezi kufananishwa na vitu vya ajabuu
YANGA HONGERENI SANA KWA USAJILI HILO HALIPINGIKI MUMEFANIKIWA SANA MSIMU HU
Nammiss sana manara.kwa utambulisho huu angekera sanaaa
Mkude amefurah sannah
Mwenzenu diara jaman dahh
Nawapenda Young African fans kokote mlipo.... sisi ni upendo tu aliotujalia mwenyezi Mungu .. Mkurugenzi wetu GSM huna baya...huongeagi Boss.... Hersi The President mtu wa Mungu akili kubwa....tunakuamini sana
Bado utopolo mnamatumaini ya mayeleeee😂😂😂😂😂😂
Nani kaona Clement alitaka kuanguka wakati inazunguka 😂😂😂😂😂
Inazunguka nini
Ee jaman mengne yakupite jaman😂😂
@@neemadavid7587 😂😂Hebu nipe na namba zako kabisa ili tucheke hewani
Jerina maneno mengi kawaida yaooo haoooo
Litakufa jituuu round hiiii😂
Yanga tamu
Mumguibalik young afrikans🙏🙏
Time amka kivingine zaidi ❤❤❤❤❤
Azizi au aziza
Mwakani tulete team toka spain
Hadji Manara tumekumisi kbs
Adiiiiii lahaaaaa 😂😂😂
CLEMENT RASHFORD ⚽️⚽️⚽️
Huuuuuuuuu wa kikaaa
Jaman yanga yangu tunaijoy wenyew nyie wengine hata mkiongea Amna shida ety ooh uwanja haujajaa. Nikuulize umewaona wachezaji wetu
💛💚💛💚💛💚💛💚💚💚🔥🔥🔥🔥🔥
Washereheshaji ovyo Bora mungemtumia ally kamwe
Hanapumzi ya kuhimili zoezihilo
Simba mwaka jana walizingua kumtumia Ahmed
Noma sana
Ila skuduu bnaaa ana mbwembwe😅😅😅😅😅🙌
Skudu kishet hatarii
Chawa Dp world 😅
Kuna watu wanawivu jamani daa husda tuuu..utafikiri ndio wanaotoa pesa za kusajili
GSM anacheka hatarii
Nimejiona jaman
Wapi?
Hongra😂😂😂
jangwanii raha skudu anvyo skudua 😂😂
Huyu gifty ni mtu kazi kwelikweli
Manara sio mtu wa mchezo, yule jamaa anaweza kutawala jukwaa peke yake 😂
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mwaka wetu Sasa watatukoma
Mimi Kama Azam naon mdaa haufiki twendezetu Tanga😅😅😅
Ko ww jina lako ni Azam asee😂😂😂
@@salvatorymbigili7895 👶👶 yeah man ... Mimi jina langu ndo ilo bro.. Nina feitoto utaniambia nn
Ulifika Tanga salama mwana Azam
@@verohmchihiyo5029 Acha tu barabara ilikua mbovu sana nimerudia njiani
Safi sana lakini kwa upande wangu kocha wa viungo ana ka zi kubwa kwani % kubwa y wachezzji wapo juu y uzito wanaotakiwa kuwa nao😅
Mzani wako mbovu🤑🤑🤑
Asilimia kubwa wana vitambi hilo sio powa kwa manufaa ya timu
🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤💪💪💪💪💪
Ila Zembwela😂😂😂😂😂😂
Mmepigwa
Kapigwa shangazi yako,,kuku weee
Sikuhizi sisi yanga tuna kiki kuliko wasabi wa bongo fleva na wasani wakibongo yani mayele hajauzwa tabu iko pale pale tunasuka mipango na tunatengeneza kiki
▄℠︻̷̿┻̿═━一
︻╦╤─ ҉ - -
︻╦デ╤━╼
︻╦╤─ ҉ - -
Nakubarisn
Hahahahah 😂🤣
Wazee WA Dp word Hao. Kazi mnayo
Ndomana umefungwa azam
Mkude yeye mda wote anacheka tuu
Uchaguzi mzuli wa yanga
Nani kamwona diarra akishangilia na na kufarahia vitu vya skudu
Diara kafurah Kama mwehu
@@naimasbuguza2395 mwehu kwa maana gan lbd
Ayakuusu,at,tusijaze,uwanja,ayakuusu,Simba,mbwa,wewe
Kichapo kipo pale pale hakuna kuludi nyuma
Yanga timu yetu pendwa mngetumia watangazaji wenu wa siku zote ingeleta maana zaidi.
😂😂😂😂😂watu wanataka kuanguka
Jamani yanga hii umtoe nani umuweke nani yaleo kari
Utamu tupu
Kuna. Mashoga. From. Mazuwena. Walijusifu. Sana. Kuwa. Diara. Hatokuwapo. Tena. Yanga
Eti kipa kwel kwel anakumbuka mbunduki ya KIBU DENIS😂😂😂😂😂😂
Ww Fala na kibu wako.Mchezaji wa mechi moja
@@yakobokuzenza6837😂😂😂
Kama Manula anavokumbuka mziki wa Mayele na Azizik
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Nikukumbushe manula yule mkuki wa mayele Kwan we hukumbuki kuongea tu
Mayele,vipi
Ndio baaaasi😂😂😂😂😂
Jiwe walilolikataa wahashi Sasa limekuwa jiwe la uzimaa pale jangwaniii😋🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣mkude
Majenzi mabayaa😂😂😂
Kumenoga ila watu hawajajaza uwanja 😡viongozi naona wanataka kutupanda vichwani.
User waambie hao maan maneno meengi
Wote tumeona waluvyocheza. Azam lazima awpe Mimba pale Tanga.
Utapata ww na familia Yako mtu mzima kishet we😂
Labda kama tumelala
Mpaka sasa watu wanashindwa kukubali Yanga SC iko katika ubora wake. Waingereza wanaita #PRIME
Mimba laba nikutie me we wenzako wapo uturuki wengine mlima Kilimanjaro wanazurura wakirudi lawama kibao
Simba sahivi genge la wahuni
G Moloko alitaka Kula mshale wa utelez
😂😂😂skuduu 🔥🔥🔥
Nani anamkumbuka ZEMBWELA alipopigana ngumi ULINGONI na MARKS, REFARII alikua MBUTO.🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
meme maombi yangu kwa team yangu pendwa wananchi young naomba mfanye mtuletee strike Alie good Alie mzuri na anaweza kufiti ligi kuu NBC na club bingwa
💚💛💚💛🥅⚽️
Mhhhhhu lazma walie ngoja tuone
Simba wanatakiwa wamueke Masanja kama mc
Tunasubiri siku ya Timu kubwa barani afrika sio hii.
Timu kubwa madunduka fc
Mc wakukodi sis semaji anajitosherez😂😂😂
Awo sio wakukondi ni wananchi kindaki ndaki
@@mariamsuku7021 Mwambie kolo huyo na mbana pua wao ambao hana lolote
Diara ameudaka mpira wa skudu
Wamepooza utasema wapo msibani daaaaaah
Kacheze unako chezagaaaa🖕🏼🖕😆🙀🙀🙀🙀
Msiba wa kwako 😂😂 au
Msiba wa kwako 😂😂 au
Uwanja mtupu aisee
Kajaze na mkeo
😂😂
wanayanga wezangu hatuna mba mba mba tupo gangari kinom usituchukulie poa🍇
Daima mbele nyuma mwiko
Mimi Kama Azam naon mdaa haufiki twendezetu Tanga😅😅😅
Usjali kuwa na subra 😂😂
@@veronicamyabi2779 am tired of waiting ma best nawataka ata kesho hatakama nimetoka kucheza na Monastir