Refa alikuwa family,na sio refa alikuwa mbali na matukio bali alifanya makusudi tu kuwabeba kwaiyo mumshukuru refa kapunguza magoli ila hiyo ni mbaya kwa upande wenu maana mtakuwa mnajifarij kuwa mnateam kumbe bado sana
Huyu kijana tamani sana kumuona kwenye uchambuzi,kinachonishangaza na kunifikirisha sana nikuona studio zimejaaza wachambuzi uchwala,hawana wanachojua zaidi ya uchawa,wanawaacha vijana km hawa wenye akili.hii nchi tutafika tukiwa tumechoka sana
Ukifungwa umefungwa tu utaongea pumba ,kama refa kasema off side linakuwaje goli sasa ,goli halali ni moja kwani kila offside refa kaibeba timu acha ushabiki.
acheni mambo yenu tatizo hamjui mpira tunadanganywa na ahmed ally .yani timu imefungwa yeye analala usingizi.sisi ndo tunaumia.ngoja dabi ingine inakuja.jamani tupaze sauti .
Azam tv mpeni kazi huyu kijana mchambuzi wa ukweli sio mchongo ❤❤❤❤❤
Dah broo unajua sana mungu akupe kazi ya uchambuzi kituo chochote kile
Huyu Kijana Nakubali.. Mashaallah
Refa alikuwa family,na sio refa alikuwa mbali na matukio bali alifanya makusudi tu kuwabeba kwaiyo mumshukuru refa kapunguza magoli ila hiyo ni mbaya kwa upande wenu maana mtakuwa mnajifarij kuwa mnateam kumbe bado sana
Broo Sam nakukubali sana mpira huu wakisasa unaujua siyo kichwa tenge kisugu
Upo sawa ndugu unajua mpila
Huyu jamaa yupo vizuri anajua mpira haongelei ushabiki
Sam upo vzr sana, big up
Huyu kijana tamani sana kumuona kwenye uchambuzi,kinachonishangaza na kunifikirisha sana nikuona studio zimejaaza wachambuzi uchwala,hawana wanachojua zaidi ya uchawa,wanawaacha vijana km hawa wenye akili.hii nchi tutafika tukiwa tumechoka sana
Huyu jamaa anasema kweli kabisa,
❤
Ukifungwa umefungwa tu utaongea pumba ,kama refa kasema off side linakuwaje goli sasa ,goli halali ni moja kwani kila offside refa kaibeba timu acha ushabiki.
Brother unajua soka
Samu nimekupenda bure unahekima sana
Uko vizuri sana Majizo chukua huyu😂
Washabiki wengi hawajui mpira ndo maana wako kiushabiki na sio ukweli nakuelewa sana SAM Simba unajua mpira mwanangu
Uko vizuri ila kuna neno sijalielewa nielewesheni ni No county au No cout.!
Nakukubali sana
SAMU YUKO VIZURI SANA hachambui kwa mapenzi kama wengine Akina JB64
Huyu anajua na anaongea facts
Nikweritu jamaa aongea archon kiona mnamtukana nn wakings nyie hamjui mpra matusitu
Sam unajua,hakika ukiongeza zaidi utafikia kama Dr rick
Jamaa anajua kuusemea mpira
Nimependa
Umesema "mm sio mfia timu"
Jamaa anajua
Hiv wee unatarisha maisha yako kisa unapewa hela na yanga hata mungu alisema mjali mzaz wako kuliko vitu vingine haya ongea baba
Unamraumu kwa lipi mtu anaongea clear kabisa
Ulitaka aseme uongo na porojo
Ngugu yangu hahahahahaha endelea utayakuta mbele usije ukajuta
like kwa mwandishi😂😂
Uyu mwamba mchambuzi
Hurt umevaa Jezi tu, wewe ni utopolo 😂🎉
We shabik mandaz huna lolote ulijuwalo
Sasa mobeto kaingiaje hapo mzee wangu. Hebu kuwa na maswali ya msingi baba. Usiulize maswali kama mtoto wa vidudu.
Msimtuka jamn anaongea ukwelitu
Tatizo liko wapi kusema smells vizuri?
Hy naye alipaswa kupakwa mafuta tu km Mchome
SIMBA msikilizeni huyu kijana anaongea ukweli kabisa
Simba huyu kijana anasema ukweli
Anaendaga avic town kuangalia mazoezi ya yanga
waandishi acheni kumuhoji kisugu muhojini sam ndio anajua mpira.
Eti Simba ina vibaraka kama hivi,vinavaa jezi za simba na kujifanya wachambuzi,uchwara
acheni mambo yenu tatizo hamjui mpira tunadanganywa na ahmed ally .yani timu imefungwa yeye analala usingizi.sisi ndo tunaumia.ngoja dabi ingine inakuja.jamani tupaze sauti .
huyu jamaa amenikosha na huyu sio shabiki nimpenzi wa mpira na anaongea kifahamu sana mimi nisimba kindaki lakin kunavitu kanifundisha
Wewe sio simba usichunguze msemaji wetu shika yako unapenda kuongelea tznga kuwasifia achana na tim yetu mamluki mkubws
Wew hauna akili
Huyo anaeongea ni mwanasoka ila wewe ni mnazi! Mnazi ni chawa wa timu, wengi ni wagonjwa kichwani.😅
Unapswa uwekewe ulinzi
Simba ina washabiki wazuri wanao ujua mpila kuliko wa shabiki wa yanga!
Kiukweli walitegemea kupigwa nyingi hivyo kapunguza
Ujue mtangazaji anakuchora,kwa ujinga wako unajimwagaa
Kama huna tabia ya kuji tathmin hutayaona na kuyajua madhaifu yako, sam---- (kum radh) (ashakum si matusi) haangalii----ni nyani anae angalia kundule, haangalii kundu la mwenzake.
Kumamako
Mpila Kama mpila vinaingilianaje na Amissa
Wewe yanga sitaki hata kukusikia mjinga wewe,hata kuchambua huwezi
Mnalipya na gsm ilimharibu simba hahahaha nakuhurumia sana na pole sana
Mkiambiwa ukweli mnabisha, kama huamini kwamba Simba uwezo wakumfunga Yanga bado angalia rekodi ya mech UA-cam utaona.
wew si mnyama msipende kuvaa nguo za simba vaa kawaida na uongee kutuponda ila nakujua sana wewe yanga
Kwahiyo mtu akiongea ukweli basi msalit
Huyu jamaa anasema kweli kabisa,