Tanasha anateseka na nini sasa wakati DIAMOND mwenyewe babake anaangaika sasa babake akiona hivi pesa nyingi zimetumika na yy anashida na mtoto wake hamjali sasa hapo nani wakuumiya
Tee angali toto bichi, si kama wazee rika za mama zetu wengine, wameishiwa soko sasa wivu tu na mtoto rika na mtoto wake, shame on her, she should grow up and stop comparing her self to Teee. Teee is not her age matte yawa thoooo. 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Zari mwana biashara mkumbwa anaongezewa pesa.maajabu.hata yeye ananunuliwa gari kuliko kitu ya kuletea watoto manufaa.sasa akili yake na tanasha hazifanani.usitukane mkunga na bado unazaa.
Mwanzo huyu Kenya ana wivu kweli ndo shida........diamond hataezana ba wafanya sio wivu sio nini.....zari is amazing....tanasha alikua what zari went through saizi anaeka domo.....tafadhali wasichana wa kikenya sio wsitu wa ndoa...umbeya na wivu tuuuuu
Nyie kazi hamna. Mwenye kupendwa anadhalilishwa hivyo kila leo mwanamke mwingine na watoto Kibao. Wenye kupendwa hamuwaoni? Hawa wote ni wasaka tonge tu wakina nipe nikupe. Upuuzi huu.
Sio kweli,mwanaume ameumbiwa tamaa,sio akioa au kuwa na mwanamke mwingine,sio kuwa atakuwa hampendi yule aliyenaye,hata mtume alikuwa na wake wake,lakini mke mkubwa ndio alikuwa ndio kila kitu
Tanasha queen never mind domo kaya wa mitandao,,,kumbuka hata uendeshe lipi,la gharama ipi mwisho lazima utaiacha na kuingia chooni kwa kutumia miguu!!,,,never compete and you will b happy always 😘😘😘😍😍😍
Zari kama corona katapakaa ktk kila habari za watu. Mondi zari, tanasha zari, hamisa zari, watoto wa tzee zari, shilole zari, pumbavu wakubwa. Mondi hamnunulii gari hana wazimu huo. Kiki zimerudi mjini
Mimi kama mimi na akili yangu ya utajiri kirohoni na umaskini kiduniani niko na miaka 35 niko na mtoto kijana miaka 16 kama leo hii nikitaka kujiheshimu na kuheshimiwa kwa mambo ya ndoa na jamii ...nitaolewa na mwanaume wa miaka 45. atleast nimpe heshima aniheshimu aheshimiwe na mtoto wangu pia na jamii ila sio niolewe na mtu wa miaka 25 at age is just a number .SHAME ON YOU ZARI ...kaa kama mwanamke urembo ni maua ujana ni moshi tia akili wacha kushindana na watoto wadogo unatia aibu
Umemuozesha kwa diamond?? Au kuropoka tu usoyajua au unadhani kuongezewa hela ya gari ndo kuwa na akili? Tanasha ni binti mdogo sana...sana...na anafuture kubwa sana tena wakupambana sio wakuhongwa
Hakuna cha kuongezewa pesa,hapana la asha.Diamond mwenyewe kalilipa cash kwa kampuni kisha kampigia zari aende hapo kuko na surprice yake na watoto wote watano.Huo ndio ukweli.
Tansha Donne she is still young She will make good life in GOD s time 💕💜😎
True
Amen
Very true
😍😍😍😍😍😍nakupend bure tanasha mung akupe maisha maref
Kabiza
Tanasha is still very young she will make it definitely
Yes tanasha l Love you dia 😘😘❤❤
Zari is 40s,Tanasha is 20s so our gal has the brightest future..zari amefika meno...muacheni tanasha plz.wakenya backward never,4wad forever
Tanasha 25 sasa toa15 bado dada yake na siyo mama yake zari anatoa ushauli tuu hana chuki na mtu
@@WaridawaridaWarida we know that shosh hates our sister,but tee can't be desperate like her
Sure💋💋❤️
🤣🤣🤣🤣ooh my God
@@WaridawaridaWarida Kabisa different in 25yrs tu
Nothing is impossible for zari if she can buy herself a ring in the name of married .Tanasha doesn't know this faking game
👏👏👏👏👏🥂🥂🥂🍾🍾🍾🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Zari tulia ungojee kulea mjukuu wako very soon anazaliwa sawa,,,,achana na Tanasha wetu she's always humble and sweet ww tulia na uzee wako huko
Tanasha donna ❣️ my best
Tanasha hababaishwi na mali za freemasons
🤣
Thanks for the word so sweet my dear.... Umegonga ndipo
Nyie mmezidi kila Siku Tanasha Tanasha utafikiri mmerogwa. Hebu toeni taarifa zingine za maana.
R Mags kweli
Tanasha is still young and Kenyans don't stoop low what is a car for someone who knows how to grind.
Tee ako very young ,,kitambo afike 40s atakua sonko sanah
Walai tena
tena saaana
So wasimlinganishe na watu
@@donsaltojusty1164 yup kila m2u nmaisha yke
True
Huyu zari anaushamba mwingi sana
Nini yake alijifanyia isipokua za ma ex
🤣🤣🤣🤣🤣
Hayo maisha ya kufuatilia watu kuwatukana ni tz pekee eeish b humble people ad respective bona nyinyi u r nt perfect
Tanasha anateseka na nini sasa wakati DIAMOND mwenyewe babake anaangaika sasa babake akiona hivi pesa nyingi zimetumika na yy anashida na mtoto wake hamjali sasa hapo nani wakuumiya
Diamond is a fool
True
Ryoof 1998 true
On point
Just showing up your self and your dad is awhaker shame on you, when will this guy growup and become areasonable man, hizi kiki mpaka lini yarabi.
love you tee❤❤
Tanasha achana na hyu shosho na Huyo slicerojo watakupoteza muelekeo
Wachaneni na tanasha bado ni young kitambo afike miaka ya zari 42 atakwa tajiri
Tee angali toto bichi, si kama wazee rika za mama zetu wengine, wameishiwa soko sasa wivu tu na mtoto rika na mtoto wake, shame on her, she should grow up and stop comparing her self to Teee. Teee is not her age matte yawa thoooo. 🚶♀️🚶♀️🚶♀️
Hahahahaha..nyinyi vijana mnanimbamba😀😀😀
Leave Tanasha alone
Muacheni Tanasha apumue jamani mmezidi kumuongelea
Zari mwana biashara mkumbwa anaongezewa pesa.maajabu.hata yeye ananunuliwa gari kuliko kitu ya kuletea watoto manufaa.sasa akili yake na tanasha hazifanani.usitukane mkunga na bado unazaa.
Kweli dada
Mwanzo huyu Kenya ana wivu kweli ndo shida........diamond hataezana ba wafanya sio wivu sio nini.....zari is amazing....tanasha alikua what zari went through saizi anaeka domo.....tafadhali wasichana wa kikenya sio wsitu wa ndoa...umbeya na wivu tuuuuu
Ukweli
hakuna cha daimond. kumuongezeya zari pesa y’a ku nunuwa gari. kiki hizo. kutafuta kungelewa na watu daimond anavyo penda pesa yake 🤣🤣🤣
Nyie kazi hamna. Mwenye kupendwa anadhalilishwa hivyo kila leo mwanamke mwingine na watoto Kibao. Wenye kupendwa hamuwaoni? Hawa wote ni wasaka tonge tu wakina nipe nikupe. Upuuzi huu.
Sio kweli,mwanaume ameumbiwa tamaa,sio akioa au kuwa na mwanamke mwingine,sio kuwa atakuwa hampendi yule aliyenaye,hata mtume alikuwa na wake wake,lakini mke mkubwa ndio alikuwa ndio kila kitu
@@nuriatkassim3311 Yupi mke hapa?
Tanasha queen never mind domo kaya wa mitandao,,,kumbuka hata uendeshe lipi,la gharama ipi mwisho lazima utaiacha na kuingia chooni kwa kutumia miguu!!,,,never compete and you will b happy always 😘😘😘😍😍😍
Tanasha ashamove on na life yake jameni🤐
Nakupenda bure
Zari mama lao ❤❤🇰🇪🇰🇪
Tanasha bae
Uyu mwajuma.lokole awe anaaca ushoga wakufatilia maisha ya mtu
😂😂😂😂😂
Mwajuma lokole tene
@@ZahraZahra-cx9xw 😂😂😂😂😂wajua umbea na udaku kenya sana huwa wa wanawake ndio maana kaitwa mwajuma.
@@ZahraZahra-cx9xw uyu siyo juma mana nimtu anatafuta umbea ila wamuzungumuzie
Zahra Zahra2019 🤣
Zari kama corona katapakaa ktk kila habari za watu. Mondi zari, tanasha zari, hamisa zari, watoto wa tzee zari, shilole zari, pumbavu wakubwa. Mondi hamnunulii gari hana wazimu huo. Kiki zimerudi mjini
🤣🤣🤣🤭🤭
😊🤣
Tanasha achana nao
Kumekuchaaaaa
Mnaongea sana mnapaswa muige SNS
Ile sku wakenya wakiamua kuwa chamba mtakoma
Mimi kama mimi na akili yangu ya utajiri kirohoni na umaskini kiduniani niko na miaka 35 niko na mtoto kijana miaka 16 kama leo hii nikitaka kujiheshimu na kuheshimiwa kwa mambo ya ndoa na jamii ...nitaolewa na mwanaume wa miaka 45. atleast nimpe heshima aniheshimu aheshimiwe na mtoto wangu pia na jamii ila sio niolewe na mtu wa miaka 25 at age is just a number .SHAME ON YOU ZARI ...kaa kama mwanamke urembo ni maua ujana ni moshi tia akili wacha kushindana na watoto wadogo unatia aibu
Hajielewi huyo hata unene kwa lugha hatakuelewa, mwacheni azeeke na mitandao.
Wewe Kama una heshima si Ni wewe unataka watu wore wawe Kama we? Achana na zari
Wa tz achen ujinga bwana hamtaangalia maisha yenu ninyinyi tu na tanasha Razi why guys why
Munakosa habariyakutowa bila tanasha ameimba nani nayeakepeda jiuza kama wegine atapata gariyenye anataka
Zari ni shujaa mrembo akili nyingi sanaaaa hafananiswi na nyinyi msimkopi zari tafadhali mama tee mrs Diamond niwakipekee 🔥🔥⭐️⭐️❤️❤️👌🏻🤞🌹👏👏👏👏👏👏
Urembo wa kununua mwambie ajiachilie tuone hiyo sura
Umemuozesha kwa diamond?? Au kuropoka tu usoyajua au unadhani kuongezewa hela ya gari ndo kuwa na akili? Tanasha ni binti mdogo sana...sana...na anafuture kubwa sana tena wakupambana sio wakuhongwa
Ety mrembo😂😂😂😂😂😂😂ata akili hana
@@joymbirithi1832🤣🤣
@@joymbirithi1832 waambie ajiachie bila makeup ndo wajue org yukoje ni mzee sura imenyauka kweli...
Sasa tanasha ananini jamani daaah
Ana akili
Tanasha anahakiri atamuri muzalau miyeniriwolewaniko mudogosinahakiri bwanakanifuza nakuzala
cjakuelews ata robo
Munamidomo kweli
Ni colola sio Corona 👌🤣😅
Hakuna cha kuongezewa pesa,hapana la asha.Diamond mwenyewe kalilipa cash kwa kampuni kisha kampigia zari aende hapo kuko na surprice yake na watoto wote watano.Huo ndio ukweli.
Tanasha atapambanaka kama anaachapombe anahakirisana niwambiye asegemeye watu
Umeandika lugha ipi mbona hueleweki
😂😂mathogothanio
Mbona Watanzania hamna akili?
Watanzania wote au?
@@nuruabraham3769 Eee
Yvonne barasa wewe ndio una akili sio watanzania komaaa
Hahahaha
Ujinga ndio waganda wana mtusi kila siku
Heeee kumbe ..
Hihihihihi
🚘🚙🚒🚕 🖕 we ❤ TD
Tz 🖕, i ws in Kenya 🥂😍
Me vyovyo guddd tyu hata akiwa nani vyote guud kikubwa mond apge kaz tyu wanaojiita kond bwy wazd kuwa nyuma
Kashatadona akili ziro mbona akuzaa na alikiba na wizkid
Huna akili unayo ongea yanatoka mkundun
kichwa ziro ni wewe na vizazi vyako tanasha ako na point mwenye akili anaelewa
Na wewe umezaa na nani??
Hamisa afaa kuongea ..wakenya kwa kitanda ofyo ndo masana mondi hataezana na maji baridi ikabidi Apache kiporo kwa zari
@@liliannyakundi4541 so inamanisha u r lesbian mmmmh .
Kwani tanasha anataka nini? Akae mbari
Kweli
Lulu atamuua majizo maana alimuua kanumba.
😂 jamani
Tanasha kinaroho mbaya kweli kimeacha kwa rohoo mbaya bora kilipoachwa heeee
tanasha c ki-vi....tafazali....ako na uhai n vyema u2mie A-WA....
toka apa mbio
@@marianahmauyabbybitch1025 ana roho mbaya kweli ukimuona hacheki kwa roho mbaya yuko sirias aaak
@@OmanOman-iu7jf nikweli ana roho mbaya iki kitanasha binadam gani Asie tabasam ata kwenye msiba ndo mana wana tandale wamembwaga
Wewe huwa haunakazi au vipi ?
Oman Oman . Nyani haoni kundule. Who are you to judge.
hakuna cha daimond. kumuongezeya zari pesa y’a ku nunuwa gari. kiki hizo. kutafuta kungelewa na watu daimond anavyo penda pesa yake 🤣🤣🤣