LULU AFUNGUKA KUMKINGIA KIFUA WEMASEPETU/ALIVYOFULIA/HANA GARI/REEENGE
Вставка
- Опубліковано 18 жов 2024
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
LULU AFUNGUKA KUMKINGIA KIFUA WEMASEPETU/ALIVYOFULIA/HANA GARI/REEENGE
#Bonatv #Exclusive #ElizabethMichael
LULU💟💟💟💟💟💟💟💟sjawahi kuonA msanii mwenye majibu perfect 👌 ka ww.beautiful with brain🤗.ur cool mama G .very charming 🤣🤣🤣
Anajibu kwa umakini sana, pia waandishi wanajua kuuliza maswali. big up
She is so smart 😍 waooo analikwepa Jina la LULU coz ndo lililompatia matatizo ya Kanumba so anajaribu kulikwepa zaidi ili lipotee hongera Dada coz mtu akisikia lulu moja kwa moja akili yake unakumbuka kwa Kanumba ....
Mh mbona kama umesema ukweli
Yaani mama G you're so sweet and smart in brain, kuwa karibu na MUNGU kuna faida sana
Keep it up my Lulu mungu atakuongoza na atakubariki zaidi inshaallah 🥰🥰
Lulu nimdogo lakin Anaakili sana
Ukisikia Beauty with Brain ndo huyu sasa
Lulu, you are naturally so beautiful, you really don’t need to ‘siliba tope usoni’ to make you pretty, leave that to wajukuu wa Remmy Ongala, i do appreciate your brain power though 🤩
U're matured enough sis,b blessed!
Beauty with brains.,❤️❤️
Ila lulu mzur jmn nampend sn🌹🔐
Yaani mama G usipate tamaa yakubadirisha chochote kwenye mwili wako my dear, you're so beautiful hivyo ulivyo
Nmependa hapo mwisho walivyofurah😂😂😂😂😂
Well done...keep going girl
Nakupenda sana Lulu
Amen 🙏🏾 ukiwa karibu na Mungu Baba mbinguni uko pahali pa sawa keep it up dada
Mashaallah lulu haujawahi kosea kujibu.
Mama G nakupenda uko vizuri.
I really i dore you Lulu uko tofauti sana darling be blessed
Hongera mama G
ukiwa karibu na mungu ,,basi kila kitu mungu anakuongoza tu,,amekuwa wife material mzuri sana,,hafanani kabisaa na wasanii wenzie jmn,, raha sanaaa,,yo husband should be proud of you my dear
Nimtu na nusu 🥰🥰
Big up mama G
Mm raaaaaange naitolewa wapi???😂😂😂
Umekua mama G unajibu kikomavu
Ati mim ni Ranger 🤣🤣🤣haki nimecheka kwa sauti😁😁
Uyu ni role Model wangu kabisa
Nakupenda sana..uko makini
Nakupenda sana jamani ❤️
Hongera sana
Big up mom G wakimataifa dah
Lulu anajitosheleza haitaji chawa😀
Waandishi jaribuni kuweka vichwa vya habari vya habari husika msitembelee upepo wa wema kwa ufunguzi wa biashara ya lulu, kwani mngeandika lulu aongeza biashara haisomeki?hebu mwacheni wema wa watu kwanza lini alitajirika?
Lulu Lizzy hapo ulipo tu umebadirika sana kwa hiyo make-up yako. Umebadirika sana
Such a small business but alot of interviews, this goes to show that education and exposure is very important Tanzanians wakeup, nowonder you have the so called celebrities who don't even have basic things like a house or a car 🤣
honey they have to promote that so called small business to grow thats called indirect marketing, honey are you even in this world? ......WISDOM IS PROFIT TO DIRECT...if you think you are so smart lol!
Say it again ♥️
We support whatever business let us be in fact you are not invited
utakuwa mkenya wewe mnajionaga mna akili kumbe hamna kitu fake fake tu na hampendi kusapotiana nyie...kaa kwa kutulia ikibidi ho to school and get info about marketing
@@virendavictoria5174 ni likenya ndio wanachojua ni roho mbaya na kutuonea wivu watanzania kutwa hawachoki kufungua page zetu na kukoment uchafu hawa lazima tuwakimbize tu
Mtu makini
👍👌🥰
ELIZABETH MICHAEL "LULU" A PERSON AND A HALF.
Si alishawahi kufungua duka huyu? Au sinakumbukumbu
Aliitwa tu lilikuwa la mtu
@@hanifaalmasi5194 oky apo sawa