Esma nilikua nakupenda bt vile unaigilia life ya mondi unanibore juu ww pia ni mwanamke
Diamond akiwasikiliza dada yake na mama yake hatokaa na mke mana wanamchagulia utasema wao ndiyo wanalipa mahari kichefuchefu hii familia
Asante sana kwa movie nzuri mnayocheza WcB...nmpenda jnsi mnavyofnya promotion....big up
mpaka kaka yako simbaa mwenyewe diamond anakuchamba una tabia mbovu esma
Yaani watanzania kwa umbea nawapa mkono mwezi mtukufu wa kutumbia makosa n kuwa karibu n ibada ila ndio kwanza munatafuta utesi
Reemii Omar ebu mtangzj muulize kwanz uy ESMA kwanin mumewak kawek passport yk rehani
jamani mawifi Kazi mi Naogopa kuolewa
Lydia Cupten so utazeekea kwenu😀😀😀😀😀 ni aibu dada mtu ni Kwakwe kuolewa ni heshma
Umeongea.....mwanamke afaa angoje atumbulishwe,,siyo kupayuka tu
love esma to da fullest ni mwanamke mwenye hekma ajua anachoongea sio sawa na watanzania wengine
zinaa sio kitu kizuri,tuoe kabla kuzini ,watoto wanamtia stress,
Esma you are m'y wiiiiiiiiiiiiiiii, bravo 😘💪❤🌹
Ukweli mchungu Esma Umetema madini😂😂😂😂👏👏
Sio kwa mapovu namna hio...duuh esma saum kali leo...
Familia kama hizi ndomana baadhi yawaschana wadogo wanaogopa kuolewa mapema. Sote tunama kaka Namababa Ila huwezi ingilia mapenzi yao kiasi icho, Kuna ule ushauri namuelekezo, but this is clear hatred kisatu mambo yakupita, nakuto rizika namaisha yako wa Tanzania wamejaa husda zakijinga sijapata kuona. Daah anyways ndoivo ya walimwengu only God knows yakesho yatakua vipi. Bora uzimatu sote tupo chini yakivuli cha muumba namugawa hiyo riski.
Naeema Grace Wallah my dear, kwanza uyo anaemkataa pia anajishughulisha ingekuwa amekaa tu hapo bac ndio angesema anataka vitu vya kakaake
Jmn mwanaume akipatikna wakunioa Sitakit mawifiiii wanafki😂😂😂😂😂😂
sister umekazania usafi wa wenzio jaribu kujiuliza na ww unausafi kiasi gani au ndo just ku show sifa za upuuzi
Maisha gani mnayo nyie?shukuru Mungu apo mlipo kuna wengine walikuwepo lwahio binamdam niwakusema vzr hata mkimkataa Hamissa yeye ndo mama Duli nyie mtabaki kukodoa macho ule ni mtu na mazazi mwenzio wanachangia mipaka
Nyinyi kumbe ndiyo sababu ya mpaka sasa Mondi hajaoa.
Ebu kwanza ongea kuhusu mume wako yuko na stress za kueka passport yake rahani kwa laki moja ya tz mbona usemi aya esma ?
Majaliwa Ramadhan Gessler 😂😂😂😂 ulijuaje my Brother, umeisikia wapi nipe ubuyu.
Yajayo yanafurahisha
Mmmh Asma punguza maneno hata wewe hujui mwisho wako kwahio unapoongelea wanawake wenzio usijisahau leo kwa Hamissa kesho kwako hata wewe hujakamilika kwa uyo mume wako
hawa watangazaji ndo uleta ugomvi y aani mnamchokonoa mtu paka..
Husna Bbygal sio mtangazaj yy mwenyewe esma kwan mtu ukiulizwa kitu fulan siunaweza ukajizuia alafu maswali mengine hapo ata ajaulizwa analopoka
Joseph's niatari kweli hawa mawifi wanafk
Esma umeongea vizuri tu wala ujakosea mondi anaonekana kabisa anamsongo wa mawazo, yy mwenyewe anatakiwa ajikubali ilihilo tatizo limuishe
Such hypocrite family,leo mnaemuona hawafai kesho anaweza kuwa msaada,no one knows about tommorow be careful people,mungu umwinua anayedharirika na kuonekana hafai,.
We're going to be in 🔥 💧
Hamisa humjui au jina lake limekukwama la koo kama bilingani. Mkitaka msitake kawakateni kilimi. Mmeumia kuzaa na na naseeb. Kuanzia zari mpaka nyinyi familia ya mondinga
Leo unamuona Hamisa mubaya na wakati wewe ndio ulimpeleka Kwa kaka yako
Huyo ni mnafki kwel alipotambulishwa zari na birthday ya mama dai alikuwa niraki wa hamisa had kushona sare.. Mbea sana we esma
Kweli ukitembea na chizi na wewe unakuwa chizi.... Pole Mond rudi kwa wenye akili zao na wewe akili irudi!!!
Mtangazaji yuko vizuri!!
Kweli Esma umesema kweli
i thanks God huyu si dada yangu maana ni bogas
Hawo ndio ndugu wa Mume loooh ESMA uachiiii au ukui au unamapungufu mwenzetu
Mtanganzaji uko vizuri kwa kufukunyua hongera sana, ila *ESMAH* rekebisha kauli yako kwa kusema wanawake wenzako, mke atakaemchagua kakaako unatakiwa umpende, wewe na mamaako mnapata zambi kumsakama mtoto wa wenzenu hata wewe na petii mlizini ukapata mimba ukaolewa ukiwa mjamzito kitu ambacho akifai kidini, na kiukweli *DIAMOND* anampenda *hamisa* asingesaidia kuchamba kama hampendi angekaa kimya tu, ila wewe na mamako acheni unafik ili *NASEEB* Aoe, kila kukicha vijembe kwa hamisa toka asemi mpaka kaamua kuwatolea mapovu muogopeni Allah na Mwezi huu mtukufu, sasa mnataka kakaako akuoe wewe? Kwanza hongera sana *Hamisamobetto* kwa kumzaa *Dylan* maana hata mkiumwa Mtoto kashazaliwa, kingine mmemiss zawadi za *ZarinahHassan* ndio maana roho zinawauma, familia za kiswahili ndivyo zilivyo anathaminiwa mwenye nacho, ukiwa huna unaonekana hufai, kwetu pia wapo wanafiki kama Mama Dangote, kumbe mnaongea na Zar kwenye cm kila cku, sasa kateni na ticket mkaondoe hamu ya kuwa nae mbali, me ndio maana nilikataa kuolewa na *BABA MTOTO WANGU COZY NILIONA USWAHILI UMEWAZIDI NA TAMAA NYINGI MAISHA YENYEWE MABOVU ALAFU ASHUO FYUUUU* ESMAH na Mamako tusinge kujueni kama cyo Diamond, acheni unafik.
Saumu Hassan kama unaona huu mwezi mtukufu mbona unatoa maneno machafu
Kila mtu ana haki ya kuongea kile anachodhani ni sahihi! Uislamu unasema tuoe wanawake tunaowapenda, na mambo matatu tunayopaswa kuyangalia kwenye kuchagua mke wa kweli ni dini, jamaa zake na mke na mali! Uislamu unatutaka kuoa wanawake kuanzia wawili (mathna). Kwa hivyo hakuna sababu ya kumshtumu Esma kwa hili maana anatoa ya moyoni mwake...cha msingi Nasib aoe tu
Hee hyo mbaya sana aliwah tembea na mme wa mdgo ake na atembee na kaka hyo haifai jaman.
love you mama tee
Na ata akipata mwanamke mwingine itakua hivyo hivyo alivyokua na zari si pia mlikua amuishi umbea
Duuh
Ni kweli huyu dada yu atoa tu ushauri,,kuona kwa hiari ya diamond
Hahahahhaha part one mond alimtolea poz dada yake haya sasa tungoje na part two hii mond atasema ila duuh nyie wandish wachochez kwel😀😀😀yan mnajua kufukunyua mambo....ila hayo mahojiano yalikuwa marefu jmn khaaaa namba moja mpk namba mbil hahahhahahha kaz kwel kwel
Mimi nikisha sikia jina Diamond Platnumz simbaaa narizika
She Ws just being a sister and its her thought. Ingekua anamsupport hamisa basi ingekua sawa Sio? Haha she is the same person who entertained hamisa to her bro diamond for her to talk so now means ameona mengi Na amelearn from it for her to comment so.
Nakupenda esma
Kama huyu mnafkii
Esma sema unamtaka kaka yako uonje utamu wake kwa maana haiwi umuingilie penzi lake paka wee nyooooo uso Km k
Nimekupenda bureeeeee
Mi Nlikuwa sjui kumbe mmeshea mme ndo maana unamchukia mobeto hata kama zaman lkn kiroho kinauma bado ndio maana unamkandia hadi kwa kaka ako leo ndo nimejua
nkwel ESMA wanaweza kuachaje maisha yake yandan bila kujtangaza ista watu watajuaje maisha yake ya ndan
Nilikuwa sijui kama mumeshea bwana na mobeto. Nishapata jibu, hamisa si rahisi kuingia Madale.duuuh
Jamani nataka vitenge kwa Esma nani anajua duka lake lilipo na namba za simu kama mtu anaweza kunisaidia
Mawifi..... Mmhhh Hamisa kazi unayo Kama ndo utaolewa kwenye familia hii utakonda mamy...
Esma acha unafiki kama kukiss huyo azari huwaga akiss na kupost ivi mawif mnaupele gani nyie
Umeshaanza kumfanana mmeo hadi rahaaaaa
Sasa ww ESMA yani kumbe pet man amewai kuwa na hamisa Alf tena na ww upo nae uyo uyo Alf mondi nae uyo uyo jmn jmn dunia hii tutachomwa vibaya kwa mungu daaa
Roho mbaya
Utakufa maskini, kumbuka kuna Leo ma Kesho weka akiba ya maneno kudogo, ww mbona unadhalilishwa na huyo mwanamme wake kutwa kukopa
acha wivu dada.babu tale kakanusha.mondi yupo sawa.jaman wivu ndounakufanya umchukie hamisa hivo jaman wakati mlikuwa marafiki
Yuda Yuda Yuda nenda kamkombolee mario wako pasport yake kalipe hio laki moja..Mnafki ww na mamako kipindi zari yuko mulimfanyia figisu mpaka akachokaa sasa mumemchoka hamisa munalete utandale wenu...Mshukuruni Mondi Bila yeye tusingewajua!!!
🤣🤣🤣 Nasibu ako poa na Misa wewe ndo uko na stress unajaribu awaachane na misa.
Mmh napita
kumbukeni kuna kifo
Ukiish nahii familia hata kama huvuti bangi wala unywi pombe unalewa kwa maneno tuu 😂😂😂mwez mtukufu lakn kusakamwa mpak bas wallah inabidi uwe kama kioo wakicheka ucheke nao wakinuna unune nao......!
ESMA VIZURI SANA. ZARI NDO WIFI YAKO.
Ukisikiya shetani basi ni uyu .
Wewe kuma ya kunuka siniwewe ndo ulikua unamulera amisa kwa mond .
Akisha amisa mond salisha muonesha kwa watu.
Unaroho mboya kweli wewe na mama yako unashinda mutamutamani mond yana tupu.
Familie iyi ni ya lana
Fast to comment uuuuuuuuuu
Mawifi wanafiki hujatulia ww wazungumza usafi wa mwenzako ww hivi uko msafi hapo ulipo wacha unafiki wewe na mamako ndo mwamuacha diamond hatoa leo maana uswahili unawasumbua hata mtu akaolewa hapo kwenu hakai wacha aliwe pesa
Angalieni ndimbwa la sauzi hapa ua-cam.com/video/yEy_Ot1Hkmc/v-deo.html
C mwache ajichagulie mwenywe
Esma nataka apple cider vinegar na ule Mpira.wa kuweka majimotp kukanda tumbo, 0713956367
Ww mwache mondi amekua ww unakwako
yuda iscariot
Esma umeua bendi haha 😆 this time we’re ICU waiting for life support machine uwiiiiiii jmn Hamisa kumbe kumbe haaaaaaaaa
Penda Sana wewe
Eti nini hamisa kabla hajawa na naseeb . Kumbe unajua mbona ulipoulizwa hukumtaja au ndo bilingani la koo halimezeki wala halitemeki. Tenaaaaaa ndo dully keshazaliwa mtanuna sana
Esma bhana mbona ulikuwa humpendi Zari sahvi amekuwa mzuri