Eti na huyu ni kioo cha jamii?... Jamii inajifunza nini kutokana na alivyovaa hapo?... Nadhani kuna haja ya kupunguza vioo vya jamii...Vinginevyo jamii itapotea kutokana na kuwepo kwa vioo vingi
Mbona Actual nyingi? Wabongo munafeli wapi? Kama munataka interview kwa kiswahili basi fanyeni kwa kiswahili na kama ni kingereza fanyeni kwa kingereza. Mbona munatuchanganyia mambo?
Sasa visa na passport inakujaje???Ushambaaaa...😆😆😆ulimbukeni mwingi mnooo my dia your not smart kwenye ubongo hata kidogooo.ACTUALLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLL
Mhhhhhhhh nieleweke hivi 'kiufupi kila mwanamke akivaa kimini anapendeza na anavutia lakn ukimpata ambaye anavaa vazi lefu nalinalostili mwili wake naakawa anapendeza basi huyu ndo wakuoa nakumuweka ndani maana ni dhahabu anaheshim Mali za mmewe ' najikubali coz mama alinifunza
Mke wa kuoa ni tabia navyojua Mimi, sio sura Wala mavazi. Anaweza akawa anavaa baibui au vitenge lkn akawa na rohoooo mbayaaaaaaaaaaa akashindwa hata kukuleta karibu na ndugu zako au akaleta kutokuelewana na marafiki zako au hata watoto wako kama unao wa nje. Yaani akakufanyia vituko ukajuta kumuweka ndani. Haya ndio maoni yangu
Hakuna kitu knahitaj matunzo ktk mwili wa binadam kama "AKILI"ukii2nza akil yko utajua saa hii napaswa kusali/kuswal,hki cfai kukifanya,nikifanya hiki ntapata matokeo aya na mwsho itakua vile hata ayo mavaz utafaham vp unapaswa kuvaa km mwanamke/mwnaume mwny akili and everything..kwa maoni yng awe mwnamke awe mwnaume hakuna ki2 kitam km "AKILI"..kuswali sana,kuvaa nguo ndefu/fupi,kuwa mpole,kuwa na pesa has nothing to do with being a wife/husband material...!!
She should tell you why she travelling every after tow weeks which business we all knows Thailand, France and other countries she me it is popular with the business of prostitutes there's no business in port and export in those countries she should explain what is doing.
Hawa watu interview zao nashindwa kabisa kumaliza kuangalia, hivi hawa kwan nan kawaambia ili uonekane star uchanganye lugha? Kumbe hawa wanaigiza mpaka maisha ya kawaida. Ndio maana hata soko lao la Movie limefeli.
Jaman...watyuu wanakikmbilia kusemea nguo aliyovaa..hv Yale magome ya miti na ngozi za wanyama zilikua zimekaa muundo wa dera ama zilikua zinafunika kifua na makalio tyuu.....😏😏 nmajiweka kijisahaulisha
Mama actually, mimi sielewi sisi wa bongo nani alituroga? Huyu actually hate simuelewi anasema kioo cha jamii cha nguo fupi?misifa kibao,mtateseka nahaya msisha muyatakayo
Kweli uzee ni kama Kansa hula MTU kidogokidogo yani amezeeka ila wala yeye hajui
Waooh! Wonderful love U wolper
kama kuna mtu amesikia vryiza badala ya viza😂😂 agonge like twende sawa.ni mwendo wa masifa.safi san
Uko na wivu naye
Ndo maan bongo movie yetu haisongi mbele kwa sabab y mijitu kama hii
🤣🤣🤣🤣mumenishinda tabia🤣🤣kwakweli
Dada zetu sijui kwanin mnapenda kutembea uchi mungu awasaidiye mnahitaji maombi zaidi
Kioo cha jamii kwa mwonekano huo lazima duuuh labda kioo cha bafuni
Hahahahaha jalala la wasanii sio kio cha jamii
Actually actually pumbavu ndo kajifunza leo hiyo msiwaze saan ila kavaaa kama wale kahaba wa bankok thailanda
😂😆
Mmmmmm kiyoo Cha jamii kwa kuvaa vichupi?Au?Dada Yetu unahitaji Kuombewa Naona Unatamani Kutembea uchi hivi huna washauri ?Nasikitika sana
kama unahisi wolper ana jini kimulimuli like hapa
Zena Subeti MBAvu Zangu mie anajini kimulimuli oooh my good
@@sadane7508 eewh mama
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂😂
Actually ! Duh that isn't our language please just speak our nice language. We have to like our Swahili.
We kibwabwa kweli, ww unaongea lugha gani
congratulations hard work payes
Eti na huyu ni kioo cha jamii?... Jamii inajifunza nini kutokana na alivyovaa hapo?... Nadhani kuna haja ya kupunguza vioo vya jamii...Vinginevyo jamii itapotea kutokana na kuwepo kwa vioo vingi
Vingine ni vuoo vya chooni kaka
Nilichogundua alkokaenda kajifunza neno "actually" maan kla aulizwacho actually haikosi.ongea2 lugha mama kiswahili utaeleweka2 mbon
Honge dada mungu yupo nawewe fanya vitu usijari maneno yawatu watakuona unasonga mbere2
Huyo ni mshamba anajisifu halafu sio mzuri. .kiivyo alafu mzee kujiingiza kwenye mahusiano na katoto kila.
tumpe pole wolper
Actually
nakukubali hatari uko vizuri unajiamin 😘
ACTUALLY
Ofcoz you're asmart Lady but akili haiko smart everything " actually, actually yawah!! Wapoo dada kama hujui kingereza plz ongea tu kiswahili badala kizungu kikungoe meno.
Kisungu inamaana gani bro bora umemuelewa bro
Kisungu yanini morally uko na hela
LA mzingi ni ubunifu!!!kaka
Vioo vingine bana jiangalien nyny wenyewe
Kote nmechek comments lkn hii Kali zaidi mpk nimeeee
Asante shule
ACTUALLY hii interview nimeipenda coz actually amependeza
actual hata mm imeniboa
Pambana umri unasonga acha mapenzi na watoto yanakupohtezea mda chukua kibabu chenzio tulia nae maisha yaende.
Actually
This girl is so mad everything has actually
Sisi kama. Baswapwa hatumtambui kama msanii japo yupo kwenye shughuli hii muda mrefu
Hahahah baswapwa au sio
Hi actually na Any way wanapenda sana kutumia wasanii pamoja na mjomba wangu
Kujifunza biashara ipi wewe.. mbona bakheresa hajaenda
Kwani hii movie gani?
Wolper ur so powerful lakini ongea chakwetu 2 achana na hizo actually actually actually actually unazitumia vibaya huku trump hataki ivo
huo ndio ushamba wa wabongo
Beautiful baby
Kiyoo cha jamii ni iyo miwani nyeusi au
🤣🤣🤣
Hahaha😄😄😄🤣🤣🤣🤷🤷🤷🤷
Aslay Queen
Mbona Actual nyingi? Wabongo munafeli wapi? Kama munataka interview kwa kiswahili basi fanyeni kwa kiswahili na kama ni kingereza fanyeni kwa kingereza. Mbona munatuchanganyia mambo?
Angeambiwa afanye interview kwa kingereza hapo ndo ungefurahia shoo. Hahahahaaaa
Robinson
na ww morama jr nenda kajfunze kswahili vzuri
Kweli kabisa
Iko sawa
Ongea kiswahili hatukuelewi na hizo actually zako
Hakuna star bongo kama Wema sepetu afeki ni Star Kwel
Mchagga og😍😍
Dah wabongo maigizo mengi
Sasa visa na passport inakujaje???Ushambaaaa...😆😆😆ulimbukeni mwingi mnooo my dia your not smart kwenye ubongo hata kidogooo.ACTUALLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLLL
Ivi ulishahitim kuongea kingereza we mpare😃😃😃
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Bangi Sana watu wa moshi anawajua Sana
Wolper yupo gambe
Mhhhhhhhh nieleweke hivi 'kiufupi kila mwanamke akivaa kimini anapendeza na anavutia lakn ukimpata ambaye anavaa vazi lefu nalinalostili mwili wake naakawa anapendeza basi huyu ndo wakuoa nakumuweka ndani maana ni dhahabu anaheshim Mali za mmewe ' najikubali coz mama alinifunza
Epifania mponda naomba tuwe marafiki my dea
@@edwardsichilengwe2330 😄😄😄 lol
Mke wa kuoa ni tabia navyojua Mimi, sio sura Wala mavazi. Anaweza akawa anavaa baibui au vitenge lkn akawa na rohoooo mbayaaaaaaaaaaa akashindwa hata kukuleta karibu na ndugu zako au akaleta kutokuelewana na marafiki zako au hata watoto wako kama unao wa nje. Yaani akakufanyia vituko ukajuta kumuweka ndani. Haya ndio maoni yangu
Hakuna kitu knahitaj matunzo ktk mwili wa binadam kama "AKILI"ukii2nza akil yko utajua saa hii napaswa kusali/kuswal,hki cfai kukifanya,nikifanya hiki ntapata matokeo aya na mwsho itakua vile hata ayo mavaz utafaham vp unapaswa kuvaa km mwanamke/mwnaume mwny akili and everything..kwa maoni yng awe mwnamke awe mwnaume hakuna ki2 kitam km "AKILI"..kuswali sana,kuvaa nguo ndefu/fupi,kuwa mpole,kuwa na pesa has nothing to do with being a wife/husband material...!!
Ww klak2 mazoea mom
Achiliiiiiiii!!!!!?
Hahaha actually, you Kno, zote za wolper
Huyu jack ongea yke tu cipendiii
actually actually actually
Acha bas wanakufokoa nn
Actually naona hii Tanzania ntaihama actually Bora nikawa raia wa malekani actually kutanifaa sana
good
Sina lakusema langu jicho tuu
Mchaga ana mbwembwe huyu mpaka ana boa
Mhhhh! kioo cha jamii kwa kuvaa vimini na kumbana pua nakujifanyisha kuongea kiswahili chakujilazimia km vile mtoto mdogo.
Actually sijapenda
Pumz unayo mama Mana sio kwa kubana saut
Yaan wajinawetu nilishamba🤣🤣🤣🤣siaongee kawaida
@@jacquelineadrian1112 anaishia kwenye and and ty
Mbona hatulii kwani anahisi mkojo
Kiooo cha jamiiii wafunza watu kuwauchi
Kwani nani alimdanganya wolper actually ndo kingereza ?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Nashangaa pia
Kwakweli kadanganywa
She should tell you why she travelling every after tow weeks which business we all knows Thailand, France and other countries she me it is popular with the business of prostitutes there's no business in port and export in those countries she should explain what is doing.
Actually I need actually mim binafsi.....
🤣🤣🤣
Actually actualy kila saaa nyie ndio mlio pataga ziro kwenye mtihani wa english kwaio saiv ndo mnafanya exercese
Hhhhahhhahhaa
We mwenyewe umeboronga"EXERCESA"HHHHH
Muogope Mungu na hivyo vichupi vyako, acha nyodo
Tanzania Yangu kweli bro unajua hawa watu mi huwa nawashangaa Sanaa halooh
Hahahahhahhahahhahahhahahhahahhahahahhaha utaniua na kucheka aiseeeeeeeeeeeeeeh wasanii wabooooooooooongo shidaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaaaaaa
Tanzania Yangu Yani ni hatar dunia hii inamambo.
Actually actually actually so so so konga lugha ya taifa yaishe
Huyu angesoma tungekoma aisee
🤣🤣🤣
Kama anachomelea mageti
Msodoki awezi pata mwili uwo mzigo sio mdogo😁😁
#kwani wolpa ana nini au ana ya dhahabu
Actuaally
You think us are mad oh apo ndo ujapangilie nyooo
Daa wanatz bana akitoka tu kwenda ,China tayari kichina nilugha yake yakuzaliwa. Duh hao ndo wabongo bana
Uyo mazaa kashakua mzee lkin bdo tu havutii tena
Thailand masomo ya biashara na hawaongei hata English? Thailand ni kwa umalaya saana
It is true thailand umalaya ndio biashara kubwa inayotilia serikali pesa
Si mwehu huyo hata hajielewi...anarembesha kuongea upupu wake mi naona ananikera tu
Kioooo kioo gani jamani ichi kioo kinadanganya
Nc
Hongera mama
Hawa watu interview zao nashindwa kabisa kumaliza kuangalia, hivi hawa kwan nan kawaambia ili uonekane star uchanganye lugha? Kumbe hawa wanaigiza mpaka maisha ya kawaida. Ndio maana hata soko lao la Movie limefeli.
Jaman...watyuu wanakikmbilia kusemea nguo aliyovaa..hv Yale magome ya miti na ngozi za wanyama zilikua zimekaa muundo wa dera ama zilikua zinafunika kifua na makalio tyuu.....😏😏 nmajiweka kijisahaulisha
Mbona mnapenda sifa sana na kujiweka juu hacheni hizo
Ushuzi mtupu hebu tutokee sie...unapenda kinge na shule hamna mfyuuuu maviiioo
Duh kweli dada
Waja kizungu wewe mlelelaji wa dar...hata pongezi tu
Mbona hatulii
Huyu mzee
Actually actually you know bhana ipambeni lugha yetu tu
Ongea tu kiswahili tu dada rusungu balaa kwako
Sauti zinabadilika kila muda utadhan makava ya simu 😂😂
Jamaniii🙌🙌😂😂😂😂😂😂
😂😂😂😂 dah
Daaah mtihani
😂😂😂😂😂
Happyness Elisha 😂😂😂😂😂
Actually ni nini
Bongo wasanii mikwara🤣
Shule muhimu sana wajameni.😂😂😂
Mashauzi mwachie ishaaa
Uzee huo
Kapole dhii❤️🍾
Mama actually, mimi sielewi sisi wa bongo nani alituroga? Huyu actually hate simuelewi anasema kioo cha jamii cha nguo fupi?misifa kibao,mtateseka nahaya msisha muyatakayo
Nimesikia Actually i needs.
So cko mwenyewe
Dah wabongo ndo warivyo ni kukanana mwazo mwizo leo yupo na huyu keshu yule
Mwendo wa kumegeana tuu wabongo bn😂😂
Be you Wolper!!
Hatar jaman hii dunia kizunguzungu
Nyodo uyuu
Yaan sijawah kukupenda,unaboa hujiheshimu kwan huna wazazi?
Wah.. ii actually nayo imezidii
Haelewi hata maana yake maskin wa mungu
Umri Unakwenda.. ama Kama Shilole anavyosema: Your Age is Going ,Mama
nakupend
Mmmhh!! Kingereza kazi kila jib lazm actually 😂😂😂
Dr One Miguel Hahaha😂😂😂 nimecheka kwa sauti mie
Dr One Miguel hhh
Actually yess
Dr One Miguel 🙌🙌🙌
Natal kaka ang et nayeye anaongea kingerez
Wolper unajitahidi kupendeza lkn nguo zako mitiani sana, umri unaenda lkn uzeeki.
Ila wew musaa 😂😂😂😂
@@khdijaahmed8458 yap
@khadidja ahmed Mussa Hassan Upo Correct sn
hiv mnao dis mavax mnataka avae magunia
@@iddytamba1907 ata km utak kuongea kwa mavaz yake yanakupa msisimko
Aboi 4rm Makambako town acha ujinga ww
Idofi Boy😂😂
what is actually jamani labda cc ndo hatuelew