💚💚💚 fire fire wananch ❤❤ Ila nashauri, Yanga tukitoka international break huwa tunacheza kwa intensity ya chini sana , hivyo basi mimi kama mshabiki kindakindaki naomba Yanga iwatumi wachezaji waliobaki katika mechi ya mtani( kolo) maana isipokuwa mabiki. Pia wengineo wanaweza kucheza dakika chache, hii itatusaidia kutohadhiliwa na uchovu kwa wachezaji waliioenda mechi za Mataifa yao. Mkiangalia kolo wachezaji wao wengi wapo kambini almost first 11 yao ila sisi almost wote hawapo. Yanga tusiogope waliobaki kambini wanaweza kuleta point 3😘. Nawapenda sana wananchi.
Kazi kazi wana jeshi wetu furaha yetu wananchi mko nayo nyinyi jeuri yetu yakutamba mjini nyinyi njo muna ishikilia kwa sasa dua zetu ziko na nyinyi siku zote
Tunahitaji point 3 muhimu wapambanaji wetu nawatakia ushindi mnono wapambanaji wetu umakini unahitajika msiyarudie makosa haijalishi refa yupo hupande Gani muhimu kufocus na mechi hiyo inatizamwa na mataifa mengi naimani furaha itakuja jangwani wapo waliojitapa kuwa waliwazuia Aziz ki na pacome hawakuonekana ngao ya jamii 😂Sasa naimani benchi la ufundi litamfundisha ubora wa wazee wa kazi
Daima mbele nyuma mwiko wananchiiiiiiiii kazi iendelee 💚💚💚💚🖤🖤🖤🖤💛💛💛💛
Mungu Ibariki Yanga Mungu Ibariki Tanzania 🙏🙏🙏
Mwenyezi mungu peke ndo mwenye utabiri wote,tumuachie yy ndo akawe nguzo ya moto mbele yenu aminaaaaaaaaa
Mungu awalinde mkawe na afya njema Hadi mkamalize msimu mkiwa mabingwa wapambanaji wetu.Daima mbele nyuma mwiko 💚🖤 🖤💚💛
💚💚💚 fire fire wananch ❤❤
Ila nashauri, Yanga tukitoka international break huwa tunacheza kwa intensity ya chini sana , hivyo basi mimi kama mshabiki kindakindaki naomba Yanga iwatumi wachezaji waliobaki katika mechi ya mtani( kolo) maana isipokuwa mabiki. Pia wengineo wanaweza kucheza dakika chache, hii itatusaidia kutohadhiliwa na uchovu kwa wachezaji waliioenda mechi za Mataifa yao. Mkiangalia kolo wachezaji wao wengi wapo kambini almost first 11 yao ila sisi almost wote hawapo. Yanga tusiogope waliobaki kambini wanaweza kuleta point 3😘. Nawapenda sana wananchi.
Jeshi letu kazi nzuri 💚💛💚💛
Me wa kwanz naomben like zang yanga wenzang
Hivi KAZI la like huku UA-cam NI nini
Kazi yake ni umbea.
😂😂@@alialhabsi9952
Kazi kazi wana jeshi wetu furaha yetu wananchi mko nayo nyinyi jeuri yetu yakutamba mjini nyinyi njo muna ishikilia kwa sasa dua zetu ziko na nyinyi siku zote
Amazing! 🎉
Mungu wajalie afia njema mtupe furaha tarehe 19 Ameen 🤲🏻
Naamin tareh 19 Kuna doz kubwa mna tutakayo itoa mashabiki wenzang WA yanga ntwenden kukaujaze uwanja tuna Iman na tim yet
Love yanga
💛💚💛💚👏👏👏
Mbona kuna watu wengin hatuwafaham jaman
Mbadala wa Aucho anahitajika
❤❤❤❤❤ good 👍
Mbona mko siliasi san ni simba tu ndo mnamfanyia ivo au kuna kingine
7 yanga 1 simba
Mbona kama kuna mchezaji mmoja mgeni jamn n nan uyo
Wemepandishwa kutoka under 20 km alivyofanywa mzize
🧡💛💛💛💛💛💛💛🧡💛🧡🧡💛💛🧡🧡💛💛🧡🧡💛
Tunahitaji point 3 muhimu wapambanaji wetu nawatakia ushindi mnono wapambanaji wetu umakini unahitajika msiyarudie makosa haijalishi refa yupo hupande Gani muhimu kufocus na mechi hiyo inatizamwa na mataifa mengi naimani furaha itakuja jangwani wapo waliojitapa kuwa waliwazuia Aziz ki na pacome hawakuonekana ngao ya jamii 😂Sasa naimani benchi la ufundi litamfundisha ubora wa wazee wa kazi
Kocho,kocha kocha nimekuita mara tatu,trh 19 hebu mwanzishe Baleke utakuja unishukuru.Dube atokee sub,uhakika wa kuwafunga Simba Baleke upo,Dube yy anakuja kumalizia tu kazi ilishamalizika.
Unachosema Kama ni sahihi vle
Viongozi wa club yetu mshaitwa malofa 19 teache mazoea wakijikanyaga tuwapige turbo.thamani yenu wachezaji inaongezeka game zetu zinaangaliwa duniani
Weka utabiri wako kuelekea tareh 19
mbona kazi ipo
Ubaya ubwege mjiandae 😁