KANJIBHAI "NAITA MOJA KUJA KIJIJI "UTACHEKA UFE.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 9 лют 2025
  • VUNJA MBAVU NA VITUKO VYA KANJIBHAI
    #mtanga #kanji #sikitu

КОМЕНТАРІ • 109

  • @mhifadhi797
    @mhifadhi797 3 роки тому +7

    Wanawake wengi wana tamaa na hio ndio dawa yao safi sana mtanga kwa kuigiza uhalisia wa jamii

  • @Tash001
    @Tash001 3 роки тому +6

    One thing I like mtanga unakua na respect na other comedians, so far umepiga collabo na various actors. Kudos 👏👏

  • @jumannezengo3437
    @jumannezengo3437 2 роки тому

    Kanjibhai wewe noma hapo nakupa max 💯 😂😂bhana shida unanifurahisha sana ongea yako

  • @hasanihaji8326
    @hasanihaji8326 Рік тому

    Mtanga umependeza

  • @bichehecalamo8511
    @bichehecalamo8511 3 роки тому +3

    Erick na tanga ze comed bora dah nimefurahi

  • @laurfredyadoniar5653
    @laurfredyadoniar5653 3 роки тому +3

    Nakukubali sana mzee muda ote unanifanya nicheke

  • @athumanmgissasimbadamu3316
    @athumanmgissasimbadamu3316 3 роки тому +2

    Hapana Shida Mama 😀😀😀😀😀😀

  • @Kamwazmonte
    @Kamwazmonte 2 роки тому

    Kazi safii @kenya

  • @johannmaloda6027
    @johannmaloda6027 2 роки тому

    Mimi kama Mimi daiwa? 😂 Mtanga anaweza sana hasa hiyo accent ya kihindi

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 3 роки тому +6

    Nice mtanga

  • @williamkileta3297
    @williamkileta3297 3 роки тому +1

    Nakubali sana mtanga

  • @TheBastarrrd
    @TheBastarrrd 2 роки тому

    "We nani hapa"😂😂😂MTANGA 🔥🔥

  • @nassorkhamis2237
    @nassorkhamis2237 3 роки тому

    Mtanga noma dah

  • @kambiyusufu7709
    @kambiyusufu7709 3 роки тому +3

    Mimi Kama Mimi daiwa🤣🤣🤣🤣

  • @mariamfritsi4943
    @mariamfritsi4943 3 роки тому +5

    Mtanga leo menuna kweli,swahili jinga sana, 🤣🤣

  • @jumamwalim8708
    @jumamwalim8708 3 роки тому +1

    Sura zao tu mbaya

  • @masyofficial5910
    @masyofficial5910 3 роки тому

    Nice mtanga😅🔥🔥

  • @aboobakke857
    @aboobakke857 3 роки тому +5

    Acheni hizo tabia mkome 🤣😂😂😂

  • @johnmasanja1762
    @johnmasanja1762 3 роки тому

    Nimeipenda hyo

  • @VC-oo3cj
    @VC-oo3cj 3 роки тому

    Nimependa

  • @pelusiemanueli6926
    @pelusiemanueli6926 3 роки тому

    Asante San

  • @mungaromweene9670
    @mungaromweene9670 3 роки тому

    Good job mtanga

  • @jumannezengo3437
    @jumannezengo3437 2 роки тому +1

    😭😭😭jamani Erick R.I.P pumzika kwa amani daima tutakukumbuka

  • @hemediissa6891
    @hemediissa6891 3 роки тому +4

    Muhindi koko usiache kuigiza

  • @predictioneasyodds2779
    @predictioneasyodds2779 3 роки тому +1

    bora ubaki n erick mzee baba

  • @KoreanDramaMoviesKiswahili
    @KoreanDramaMoviesKiswahili 3 роки тому +3

    🔥🔥🔥

  • @lemmywanjeh4366
    @lemmywanjeh4366 2 роки тому

    My comment is always one Hatari🇰🇪❤🤣🤣

  • @nassbukudra8619
    @nassbukudra8619 3 роки тому +3

    😂😂😂et utachangamka motoni

  • @Kijosh854
    @Kijosh854 3 роки тому +2

    Ivo ivo😅🇰🇪🔥

  • @philbertemmanuel7630
    @philbertemmanuel7630 3 роки тому +2

    Kwahy mtanga alikuwa amekuja na elfu3 buku2 aliyolipa ya boda jero la maji na jero la kurudi mbagala

  • @Neighborsjiran
    @Neighborsjiran 3 роки тому +2

    Mtanga tunakubali kazi yako
    Njo Somalia ufanye Show

    • @eliassiame4508
      @eliassiame4508 2 роки тому

      Huko Somalia mabomu mengi chaliii yangu

  • @erictech25
    @erictech25 3 роки тому +2

    Kanjibai again na swahili

  • @jescasimon7621
    @jescasimon7621 2 роки тому

    Heshima kwako mtanga

  • @whitekingdom2656
    @whitekingdom2656 3 роки тому

    Nakubali😂🤣🤣💯✅

  • @innocentbugobola2234
    @innocentbugobola2234 3 роки тому

    Hii idea mbn imetawala sana

  • @shemasiathumani7922
    @shemasiathumani7922 2 роки тому

    Hii imekaa vizuri litakua funzo kwa wale wenye tabia kama hii

  • @frankvianey2438
    @frankvianey2438 3 роки тому +1

    Manager mimi kama mimi nadaiwa? Hahahaaaa

  • @alikhamees3342
    @alikhamees3342 3 роки тому

    Kazi iko poa kiasi ...ongeza bidii mtanga wapemba wanakuacha

  • @rajabupongwa5150
    @rajabupongwa5150 2 роки тому

    😂😂🤣🤣🤣utachangamka motoniiii

  • @nemesapollo4846
    @nemesapollo4846 3 роки тому +1

    Sikituuu sikitu mtangaa

  • @ahmadsayyeed7910
    @ahmadsayyeed7910 3 роки тому

    😀😃😄😁😆😅🤣😂 Naijua hiyo mtanga mbona umeumia inanihusu🤩🤣😅😂😆😁😄😃😀

  • @Wakishuwat
    @Wakishuwat 2 роки тому

    Mhhh karibu ukren kivu the same Upige shoo uko poa baba kanjbay

  • @bakarikondo1041
    @bakarikondo1041 3 роки тому +2

    Mwamba sana uyu mtangalile😁😁😁

  • @sumadago538
    @sumadago538 3 роки тому +1

    😂😂😂😂😂unachangamka kwenye moto

  • @eldodieseltuneauto8163
    @eldodieseltuneauto8163 11 місяців тому

    ma malaya tuu

  • @jumakandy2075
    @jumakandy2075 2 роки тому

    Mtanga na Eric duuh hii kali kubwa kuliko

  • @johnbahame1023
    @johnbahame1023 2 роки тому

    Erick daaaah😭

  • @barakaj6713
    @barakaj6713 3 роки тому

    Mbne waangalia camera mtanga🎥 bt ime weza 🔥🔥🔥

  • @erictech25
    @erictech25 3 роки тому +4

    Swahili penda kula sana

  • @enockfrank7581
    @enockfrank7581 3 роки тому +3

    Tachangamka motoni!?🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @stevensosipita2851
    @stevensosipita2851 2 роки тому

    HUWO NI MOTO KWELI MAANA SIYO KWA MIODA HIYO DUUU....

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 3 роки тому +1

    Hahahaha nachangamka moton

  • @farajiwanted8257
    @farajiwanted8257 3 роки тому +1

    Maji lokunjwa toshaa!!

  • @salomevenance9555
    @salomevenance9555 3 роки тому

    Hahahahahhahah jmn mashemeji hao kha

  • @alizuluman4739
    @alizuluman4739 3 роки тому

    Kanji bahi amepima unga na maji leo hahaha

  • @safaricharo9667
    @safaricharo9667 3 роки тому

    menejaa...mimi daiwaaa? hahahaaha.Muhindi umeniuwa

  • @noelkipera6581
    @noelkipera6581 3 роки тому

    Kanjibai Leo utatokea choooni

  • @salimrashid809
    @salimrashid809 2 роки тому

    Mukome na nyny tembeeni hko

  • @barakabarnaba4548
    @barakabarnaba4548 3 роки тому

    😁😁🙌🏼

  • @تاتوجمعه
    @تاتوجمعه 3 роки тому +2

    😂😂👏👍

  • @princescorpiontz2467
    @princescorpiontz2467 2 роки тому

    Daaah hakika hiyo ni dawa na ni komesha kwa kila mwanamke mwenye tamaa

  • @hamischarles9846
    @hamischarles9846 2 роки тому

    😅😅😅😅😅😅

  • @issakamangila4143
    @issakamangila4143 3 роки тому +2

    Joti alikuwa anaringa leo kapata mpinzani wake

  • @mrisho_ikandilo
    @mrisho_ikandilo 3 роки тому

    Utachangamka motoni😃😃😃😃😃😃

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 3 роки тому

    Mbona kama mnaigana hamna aidea mpya

  • @akimmiradji981
    @akimmiradji981 3 роки тому

    niatar kweli

  • @amonmashaka7206
    @amonmashaka7206 3 роки тому +1

    😂😂😂👍🏻

  • @burudikanamaruma8950
    @burudikanamaruma8950 3 роки тому

    Ntachangamka motoni

  • @ahmednoor1412
    @ahmednoor1412 3 роки тому +3

    Mtanga chagua wanawake warembo sio hawa sura zimekomaa kama mbuzi wa vingunguti

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 3 роки тому +1

    Kila umuonae wa muhindi kuna wengine wahindi wa mbagala na karyako,# mtanga mtangarire 🤣

  • @dennisevarist
    @dennisevarist 3 роки тому

    Mtanga acha kuangalia camera unapoteza uhalisia

  • @bakarikondo1041
    @bakarikondo1041 3 роки тому +1

    😁😁😁😁

  • @stevejohn611
    @stevejohn611 3 роки тому

    Hahaha, we jamaa ni hatari!

  • @karisacharo2074
    @karisacharo2074 3 роки тому +1

    Ngoma draw

  • @muzafarsharif9465
    @muzafarsharif9465 3 роки тому

    tachangamka motonii????🤣🤣🤣

  • @camillahamis1069
    @camillahamis1069 3 роки тому +1

    Ila mtanga kuigza kanjibahi ndio unapendeza zaidi na kuchekesha sana

  • @gadielshedaffa3333
    @gadielshedaffa3333 3 роки тому

    Mpiga picha anahangaisha camera

  • @akimmiradji981
    @akimmiradji981 3 роки тому

    aposawa

  • @hamad-yu4qs
    @hamad-yu4qs 3 роки тому +1

    😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅

  • @zulachama1067
    @zulachama1067 3 роки тому

    Kanjibhai ( mtanga mtangarire) chunga hao madem wasikufanye ukenda hosha mashuga ya geust wana hasara hao.

  • @leonmalanga79
    @leonmalanga79 3 роки тому

    Nimeelewa saana hii mm sijanuna banah vipi?nimecheka kama mtt

  • @Rodmovies
    @Rodmovies 3 роки тому

    😂😂😂😂

  • @kingwenducomedy7052
    @kingwenducomedy7052 3 роки тому +1

    🤣🤣🤣🤣🤣

    • @stevensosipita2851
      @stevensosipita2851 2 роки тому

      Hadi kingwendu umeikubali hiyo ni motooo🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @williamsville3493
    @williamsville3493 3 роки тому

    Hili fundisho mkome wenye tabia kama hizi

  • @titosoundsospeter7473
    @titosoundsospeter7473 3 роки тому

    🤣🤣🤣🤣😂😂😂

  • @joelteti1464
    @joelteti1464 3 роки тому +1

    Script nzuri ila pisi hizo n mbovu sanaaa. Keep doing as a brand! Otherwise it's good job.

  • @jumandagara1755
    @jumandagara1755 3 роки тому

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @marcomuhoja5981
    @marcomuhoja5981 3 роки тому

    😂😂

  • @dullayorashiddullayorashid7444
    @dullayorashiddullayorashid7444 3 роки тому

    Acheni tabia hizo mnafeli

  • @anthonykenneth.1780
    @anthonykenneth.1780 3 роки тому +1

    This women are so chaotic and noisy.

  • @sbboymkaliofficial9108
    @sbboymkaliofficial9108 3 роки тому +1

    Mtanga uko good sana 🤣🤣🤣👇👇 Angalia part 2 yake noma 🤣👇 usisahau ku subscriber 👇
    ua-cam.com/video/5N00cvt7aoo/v-deo.html

  • @nyokaatzmatatila8861
    @nyokaatzmatatila8861 3 роки тому

    Hahaha

  • @huseniyahya9121
    @huseniyahya9121 3 роки тому

    Hako ka wigi huka badirishi

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 роки тому

    Ujinga wa wanawake wa kibongo,Unamwambia unamtoa out ana alika na marafiki zake utafhani anaenda kwenye Sherehe ,hafu mbafika mna agiza vitu vya gharama,wanasahau maana,hata sherehe za siku hizi nazo zinachangiwa bila kuchangia hupewi kadi ya Mwaliko,wewe unaenda kwa shemela una amua kumkamua koma.

  • @fhgggffhg7721
    @fhgggffhg7721 3 роки тому

    Iiio

  • @gbetter4713
    @gbetter4713 3 роки тому

    Click kuskiliza Darasa mziki type new vision ua-cam.com/video/jgoZ7qMrV1E/v-deo.html don’t forget to subscribe

  • @safiasaid4563
    @safiasaid4563 3 роки тому +1

    Nakukubali mtanga

  • @jamesponeca8912
    @jamesponeca8912 2 роки тому

    Ujinga wa wanawake wa kibongo,Unamwambia unamtoa out ana alika na marafiki zake utafhani anaenda kwenye Sherehe ,hafu mbafika mna agiza vitu vya gharama,wanasahau maana,hata sherehe za siku hizi nazo zinachangiwa bila kuchangia hupewi kadi ya Mwaliko,wewe unaenda kwa shemela una amua kumkamua koma.