Kaka calisah Sisi kama wanaume tunahitaji..... Kwenye Diet...mpangilio wa Chakula cha kitanzania ambacho gharama zake kila mtu anaweza kumudu utatusaidia Sana Kaka maana na wewe upo Mazingira kaama yetu
Habari brother,naomba kufahamu kuhusu kulala , umesema at least masaa 7 Je unaweza lala masaa 5 usiku na masaa 2 mchana ? Au masaa 7 ya kulala unatakiwa uyatimize kwa usiku mmoja? Naomba nisaidie kielewa tafadhari
One of the smartest dude Tanzania 👊🏽
Nakubal
Kaka calisah Sisi kama wanaume tunahitaji..... Kwenye Diet...mpangilio wa Chakula cha kitanzania ambacho gharama zake kila mtu anaweza kumudu utatusaidia Sana Kaka maana na wewe upo Mazingira kaama yetu
ADUI 🔥
Unyama
Keep going broh✊
For real for real
Y’re right ma boy!
bro usichoke kutupa madini watu wataongezeka
Adui napataje iyo skin
Fanya bas unipatie Jina la ration nzuri kk
Habari brother,naomba kufahamu kuhusu kulala , umesema at least masaa 7
Je unaweza lala masaa 5 usiku na masaa 2 mchana ?
Au masaa 7 ya kulala unatakiwa uyatimize kwa usiku mmoja?
Naomba nisaidie kielewa tafadhari
Masaa 7 ya usiku sio mchana,
@@calisah8536 asante brother