Hivi kwanini Simba timu ya tatu kwenye ligi inazungumziwa kila siku kupita timu ya pili au bingwa? Hili ni tatizo kwa vyombo vya habari ambavyo zinaifanya Simba kujisahau
Uchambuzi huuwezi, ulisema Job mfupi hawezi kuwa beki lakini uliaibika, ulisema Yanga haitafika mbali kwenye federation, yanga ilifika final, ulisema yanga inaongozwa na kundi la wahuni, yanga ndiyo iko fire.
Sura ya jemedari haiitaji kujuwa kuwa ni hasidi
Unajifunza wakati huu? Ally Kamwe alishapita huko siku nyingi sana.
Hivi kwanini Simba timu ya tatu kwenye ligi inazungumziwa kila siku kupita timu ya pili au bingwa? Hili ni tatizo kwa vyombo vya habari ambavyo zinaifanya Simba kujisahau
Kwani wana nini kingine cha kuongelea! Simba na Yanga ndo wanawaweka mjini
@@errydeo8865Hajui boli huyo anaeshangaa Simba kuongelew na anajua ni nembo hapa Tanzania ktka mashindano yakimataifa so lazima idadavuliwe
Umeulizwa kingine unaanza kuongelea mambo ya jana yaani unagubu sana
Acha hayamambo ya uchambuzi jielewe taama yako,( nifese ntakufahamisha usijali)
Uchambuzi huuwezi, ulisema Job mfupi hawezi kuwa beki lakini uliaibika, ulisema Yanga haitafika mbali kwenye federation, yanga ilifika final, ulisema yanga inaongozwa na kundi la wahuni, yanga ndiyo iko fire.
Pumbav, title nyingine, content nyingine, jinga kabisa 😠
Huna lolote wewe,roho yako chafu mpuuzi tu