sema sijui hawa @tamaduni wana mkosi gani wanajua kinoma lakini dah ni majanga hawatusui kabisa kama huku nilipo unaweza ukazunguka mtaa mzima wote hawamjui songa wala ghetto ila ukweli sijaona kama tamaduni hao sijui wanajiita weusi hamna kitu mweusi ni kunguru @big up kwako Nikki mbishi a.k.a babu bomba
Mudy zo.👊 oi unajua nn arifu,,.real hip hop iz not in the radio,, ndo nlicho kiamn, haf pili mafake ote bongo ndo walio pewa line za kutusua, so! mi nacho kiamn kuwa Tamaduni mzk iz main campus of hip hop in Africa,
Mudy zo ... mziki unaofanywa na Tamaduni ni Underground HipHop...aina ya mziki huo Mara nyingi husikilizwa na watu wachache sana ambao ni Conscious...! Ndio mana hawatusui kwa sababu sio Business oriented...!
Acheni kumfananisha Nikki Mbishi na wasanii wenye uwezo mdogo kwenye game,Nikki wa pili hawezi kufreestyle,Hana punch line,Hajui kuflow,Mashairi duni.Labda waungane weusi na N2N ndo watafikia nusu ya uwezo alionao Nikki Mbishi.
Unju unuki noma wapili pimbi tu mimi nipo arusha namuelew sana nikki mbishi ply boy yite sawa
sema sijui hawa @tamaduni wana mkosi gani wanajua kinoma lakini dah ni majanga hawatusui kabisa kama huku nilipo unaweza ukazunguka mtaa mzima wote hawamjui songa wala ghetto ila ukweli sijaona kama tamaduni hao sijui wanajiita weusi hamna kitu mweusi ni kunguru @big up kwako Nikki mbishi a.k.a babu bomba
Mudy zo.👊 oi unajua nn arifu,,.real hip hop iz not in the radio,, ndo nlicho kiamn, haf pili mafake ote bongo ndo walio pewa line za kutusua, so! mi nacho kiamn kuwa Tamaduni mzk iz main campus of hip hop in Africa,
true
Mudy zo ... mziki unaofanywa na Tamaduni ni Underground HipHop...aina ya mziki huo Mara nyingi husikilizwa na watu wachache sana ambao ni Conscious...! Ndio mana hawatusui kwa sababu sio Business oriented...!
majina ya mefana ila uwezo ni tofa na uti...mbishi the baddest collabo hpo htaa haifai
Mbishi number nyingine usifananishe mikojo nikki wapil msenge 2
hiyo ni comparison ya kijiko na uma. Ahsante
aweeeee #nikii_mbishi mkali sana tu kwa #nikki_Wa_11
Tanzania ha2juwi mziki hihop dunianzima nikimbishi_wakazi;chaba;songa"John making wazamani;;;na ngosha the swaga daaaa!!!!!wakali
Unju ni atar wapili ni kuma tu
Puma au adidas 😀😃😄🤙
Acheni kumfananisha Nikki Mbishi na wasanii wenye uwezo mdogo kwenye game,Nikki wa pili hawezi kufreestyle,Hana punch line,Hajui kuflow,Mashairi duni.Labda waungane weusi na N2N ndo watafikia nusu ya uwezo alionao Nikki Mbishi.
When your Idol become you rivals,😂😂😂😂
Nawaelewa wote kila mtu kwa nafasi yake
Corabo mipango yamungu yupi huyo mungu anashawishi kuimba bongofreva acheni bas
Oyeeh nikki mbishi unju bin unuq zohan baba wa cyoher natokea chuga ila zohan kibokooo wewe
baba malcom we danger zone
unju nakubali nakuelewag achana wacheza mdundiko
Huyo ni mbishi ana ngoma ngapi trend ndani ya nchi hii? Nikki wa pili mtu mmbad
Wote wakali, wote wana mchango mkubwa kwa jamii, namkubali zaidi mbishi ila pia wa pili mr sweet mangi namkubali
Mbishi uyo nikki lo 😂
Udsm and Must (Wasomi wote)
Mbishi kama alikuwa kishari sana
Mungu akipenda
Relax mbishi tension sana
Mnatakiwa kumlipa Nikki Mbishi kwa Kumdharirisha!!
Unafananisha JACKDANIEL na FULLSANA?
It's ridiculous kwa kwel
KINANILA NSORO
Kabisaaaaa
Nikki mbishi mkali na mkubali ka hashim dogo huyu anae jiita wapili hajui kitu
Mbishi yupo juu xana
Niki wa pili awez mziki wa niki mbish apo kwa uyo Mjomba niki wa pili anakaa
Mary Shauri taja ngoma kali 3 za nikki mbishi,. unajua maañà ya ngoma kali lakini?!? taja ngomà kali
Sauti ya jogoo,kijusi na nyakati za mashaka
Unjuneering
Mbish unapanc nn!!!?
nikki wa 2 ni kwere nikki mbishi hamna k2