Fred Msungu - Nini la kufanya !
Вставка
- Опубліковано 8 вер 2024
- Zipo nyakati kwenye maisha mwanadamu anapita mahali pagumu kiasi haoni jambo la kufanya kabisa....Nyakati hizi hua zinamtengeneza mtu kuwa jasiri zaidi au kumuondolea ujasiri kabisa kama asipojua asante nini , Lakini wakati huu unapofika bado hua limebakia jambo moja la kufanya ambalo litakupa matokeo yenye faida zaidi
Kupitia somo hili utajifunza ufanye nini unaookosa kabisa kujua ufanye nini ..HATUA HII ITAKUPA USHINDI NA KUKUPELEKA HATUA YA JUU YA MAISHA YAKO (Utukufu mwingine)
Huwa nakuelewa vizuri mpendwa
Ameeen nakumbali kujitia nguvu niendelee katika vita
Amen Bwana ndiye mchungaji wangu sitapungukiwa na kitu
@@bluehillssongs Amen amen
Mafunzo mazito na ya ajabu❤
@@nishstanleyz32 Amen.. Mungu asifiwe kabisa 👏
Amen 🙏 Mungu nirudishie kilicho potea ,barikiwa Sana mtumishi
@@agneswanjira9448 Amen , IWE KWAKO KWA JINA LA YESU
Amen Amen nimepata kitu changu katika Somo Hili
Barikiwa sana mtumishi.
You bless me postor 🙏
Ameen
Kazi nzuri, mpendwa. From Coed Dodoma.
Asante
Amen
Nimebarikiwa Sana mungu azidi kukutumia
Ameen pastor