Yaan kitale unajuaga kutushika system, haya umeshatuoverdose tena na hii, na hapa tayari ishatuingia kwenye damu sasa, hizi story unatoaga wapi , mbona movie zako tamu ivo, Yaan episode ya pili tu tayari tushaanza kutaka kipande cha tatu tujue itakuwaje bhana, asee wee kiboko
Duuh! Bakar katupia uzuri wa Mnyama Simba 🤝💪🏽💪🏽😜😜😜
Nadhani wote wanaofuatilia akili ndio wafuatiliaji wa binadamu series
Kikosi kizima cha maneno ya kuambiwa big up sana watching 4rom🇰🇪💪🤝
Nimependa sana kuwaona washiriki wengi wa MANENO YA KUAMBIWA. One love kwa timu nzima
Kazi nzuri wapendwa wetu Watanzania,, Bakari 🤣🤣🤣🙏🇰🇪🇰🇪
Makusanya unazambi ww 🤣🤣🤣🤣🤣 na mwezako stani ongereni sana wapenz kwakazi yenu zuri sana mubarikiwe wote ❤️❤️❤️❤️❤️
Binadamu#akili#maneno ya kuambiwa mambo n moto🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
kwani za kufuata lini jamanj mbna mna2tia uroho?!! but one love From Burundi am so happy 4r 2 see team nzima ya MANENO YA KUAMBIWA season
Mambo ndo haya sasa back to back huku #akili pale #binadam i like
Naomba mueke BEHIND THE SCENES nione kaka bakari akipiga kelele 😂😂
Film zenu kali sana ila muda wakusubili nimrefu sana, mjitahidi kutuwekea Ep 2 kila wiki... ishauri tuu
Zimwi Leo kawa mzee wa suti kali sana big up broo
Kazi nzuri jana binadam 31 leo Akili 2 munajua kutufuraisha munafanya poa sana kwenye tamthilia nawakubal 👌
Makusanya munguanakuona🤣🤣🤣 stani siungemwacha asimame tuu
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kobelo Kuoga Kumeshinda Kusa Elfu 50,Mmmh Mi Siwaamini Hawa ,Kwa Sababu Wao Ndio Wakieka Haya Mawe Kila Sehemu.
Watu wangu🔥🔥🔥watching from Kenya 🇰🇪
Kumbe wakenya tupo
mambo yamepamba sana pamoja
Tupo Kwa wingi 🤗🇰🇪
Mwenyekiti mwambieni apunguze mbwembwe zinakuwa nyingi saana yani mpaka anaharibu
Dah Ila kobelo me unanimalzaga xn🤣🤣🤣🤣🤣
mwenyekiti anazingua the way anavyoingiza
Ni kiboko kitale Hana kazi mbovu 🌟🌟watching from Riyadh Saudia Arabic
Kaz nzur Sana mm mfatiriaj wenu
Mtawala wap
Watching from saudi arabia kobelo umenibamba🤣🤣🤣🤣🏃♀️
Dada Doris upo ,nakupenda sana dada Doris
Wenyew wamemuona Salome samahani tujuane✋
Watanzania Watanzania aaaa👀👀👏👏👏👏🙌🙌🙌🙌👏👏👏👏😁😁😁😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
hahahahahaaaaa bakari utachoka koo hahaaa timu maneno yakuambiwa twawapenda
Mwenye kiti amekalia Car seats 💺 ya watoto 😂😂😂😂😂
KAZI NZURI SANA... 🇹🇿🔥🔥🔥🔥
Uyo kobelo Kila cku kuigiza mlevi inamana hakuna character nyengn anayoweza kucheza
Akili one love 🙌🏿🙌🏿🙌🏿👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
Na mimi naomba mnikoment kama nlivowakoment mimi
🤣🤣🤣
Hahaa, kaa Bakari umeweza kwenye mgambo,,,afu wee daa mweni etii jamaniii hela iyoooo
Kitale bhana ameamua atuzibe mdomo na hii akili haya bhn shukran
makusanya sio mtanzania😂😂😂😂 patamu hpoo🤣🤣🤣
Kitale uja wai kosea ata siku moja
😂😂😂😂nimecheka nilivyomuona kaka yk mogela jamani!! Ent anaitisha lamgambo
Wakwanzaaaa
From oman 🇴🇲🇴🇲🇴🇲💃💃💃
Wakwanza Mimi like zangu tafadhali
Wowooo bakari na kidumu cha mgambo hahaaaaa hatarii
Kazi nzuri mnajuwa kazi nzuri
Bakari😁😁😁lamgambo, big up movie tamu
Kenya ipo ange sana,we love it.
Eu vos amo imensamente, vocês fazem filmes incríveis e educacionais, Desejos vos muita criatividade. #one1🇲🇿🇲🇿
Tamos juntos irmão 🇲🇿🇹🇿💪💪
nani anefurahi kama mimi baada ya kumuona salomeee
🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda Bure kobelo
Yaan kitale unajuaga kutushika system, haya umeshatuoverdose tena na hii, na hapa tayari ishatuingia kwenye damu sasa, hizi story unatoaga wapi , mbona movie zako tamu ivo,
Yaan episode ya pili tu tayari tushaanza kutaka kipande cha tatu tujue itakuwaje bhana, asee wee kiboko
Mbona kama hamumuoni Bakari anatoa tangazo😂😂😂
Ambao tupo pamoj tujuane bc kwa like
kaz nzuri✌...Akili ni😘😘
kazi mnzuri
Haina kufel wakuu back to back👏🏿👏🏿👏🏿💪🏿
Kazi mzr sana mungu awabariki sana🙏
Wow ,msitucheleweshe ,imeweza ,
😆😆😆😆😆😆😆😆😆😆Bakari,Bakari,Bakariiiii wewe kaka wa Mogela Umetoka jela teari na Baba yko Mzee Kama
Wakwanza asante dj. Wtu
Mwene wee Eti lugha yako inanivuluga😂😂
Tuko pamoja na Tz🇳🇦
Mgekuwa mnatoa dabo dabo na binadamu wabaya kama hii akili ingekuwa raha sana
Mama Joyce👏👏👏 inside
Ni motoo sanaaaa
Wooooyooooo
Wooow,,nimechelewa leo,,,
Akili imeka kizazi Sna 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Akili Nice movei ❤️🇴🇲
Kazi nzur sana
Daaaah haya SAWA mtuletee Binadamu basi
Movie hiko sawa kabisa 👌👌👌
Wapiliiiiiii🤟
Salome leo amevaa kauwosh
Mwenderezo vp
Malizana kwanza na BINADAMU bro afu hii itafuata unatuchanganya ujue
Wazo zuri ila acha kwanza tupate na hii kitu mzee
Upate nn
Mmm watu hamna jema
Wauuu smart sana
Muko hizr jongereni san
Stan na said hii nafkir itakuwa kec ya ngoswe hahahahahahah
Watching from Saudi Arabia
Kazi nzuriii sana
jaman kuna watunzi wengi wa filamu Tanzania ila uyu kitale bora zaid
Kazi nzuri
Nimewah leo
Bakariii 😃😄
Mwene kalala maskini kamka Tajiri
Kubero na sabuni😂😂😂
Njoeenii njoeeniii
Leo ngoja nisubscribe tena 💥💥
Bakari umewezwa 🤠🤠
Kobero kilasiku kalewa jamani🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Alikojolewa na pombe😂😂😂
🤣🤣🤣
Alie ona maman joisi najoisi anipe linki apa kama aliwayi kufulah kwenye maneno yakwambiwa
Said Makusanya unamvuruga mwane kwa lugha yako😃😃😃😃
👏👏
Makusanya wewe Mungu anakuona 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Move Safi kidgo tu mumekosea mbona hamujaweka ujunbe wowote Kama vile maneno ya kuambiwa na binadamu wabaya ?
Lugha inamvuruga jamani mke wa kobero🤠🤠
Jamn hongereni sanaa
Nimekua wa kwanza kucomment leooo💖💖💖💖
Mtawala sjakuonaaa
🇹🇿🔥 🔥 🔥 🔥
Movie tamu sana
Wa pil ku comment
Nimemuona msauzi huyu nilisikia amefariki nijuzeni jamani
Allah Amrehm kibuyu