NDEGE WA MAPAMBO: Afisa wa usalama mstaafu ajichumia riziki kwa kufuga ndege wa mapambo
Вставка
- Опубліковано 1 січ 2022
- Ufugaji wa ndege una manufaa mengi. Wengi hufuga ndege kujiimarisha kibiashara lakini kwa Joseph Opondo mkurugenzi mstaafu wa kituo cha kukabiliana na uhalifu nchini, ndege wake wa mapambo wanampa utulivu wa mawazo. Shambani mwake katika kaunti ya siaya, opondo amefuga kila aina ya ndege, wengine wakigharimu hadi shillingi millioni moja kila mmoja.
That is a spectacular set up and a sound eco system.
Amazing
The guy has big machines parked there like no one business
Alah ajy ndege kuuzwa mita moja 😂😂💕💕
Na watu hawana food
Pia mimi imgn nimeshtuka
@@morineinziani9547 eee joh lakini Kenya tunachochwa sana
1m???aiii apana lbda Ugandan shillings
Enyewe reporter anatoa sauti toka miguuni🤣😂😂😂
Ngoja at eeh one what? 😂
Tausi gapi