Nampend baruti km mdog wang yani wanafanana sn weupe sura mpakakimo dah kaise duniani wawili wawili kwele utafika mbali my kaka 😍😍✌🏻✌🏻👌pia nawakubali wote tim nzima 🤗💕💕👌
Duh hii muvie imenigusa san yaan naona kabisa kama nimetungiw mm duh jojo nikipengele kwakwel tunamajojo wengi sana uku mtwara nawakubari sana kaka zangu😰😰😰😭😭
Sema huyu *BARUTI* anaimba mnooooooo aisee *TIN WHITE* Na *MKOJANI* Msiogope kuwekeza hela zenu kwa huyo dogo jamaa ni dili sana kwenu 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 MOVIE iko poa sana hongereni
Huyu Mkojani anaeza kufanya ukasahau stress zote wallai....hongera sana😂
Tin bhana eti mimi nimepanda ndege bule daah nyie noma aise big up
Baruti hujawahi kunikosea hata siku moja kwa nyimbo zako ,,,hasa ileee nimefeli wapi daaah 💖 piga kelel TINY and mkojani
Brother km unayo ile nyimbo nitumie
Nampend baruti km mdog wang yani wanafanana sn weupe sura mpakakimo dah kaise duniani wawili wawili kwele utafika mbali my kaka 😍😍✌🏻✌🏻👌pia nawakubali wote tim nzima 🤗💕💕👌
Uza ule kopesha ulale njaa daaah,,!!misemo ya nagwa noma
Oyh powa sana
Mchakamchaka chinja alisema hadija
Wasanii mpoo tusiwo wajua na hamtaki kaz nyengne
Nzuli San kamaunamkubali kojan like zako
Kiukwl huyu barut anajua kuimba San.... Mtoen awe star nyimb zke nzur san
Nqkubar mwamba yupo vizur
Njoo mwanangu nagwa DURBAN NATAL 🇿🇦 wanao tupo 🤟
Aisee mumetisha sana waun wa nagwa mumependeza movie kinoma
Uzur wa movie zao unaweza kuangalia hata ukiwa na family 😂😂😂
Kunywa soda ulipo 2ma namb nikuwekee unajua kutoa point sana nimekukubali100%
Mtu mpak mam yake anauza chini gong like
Nawependa jmn nyie ndo mmenifanya nianze kuangalia movie za kibongo Mungu awainue
Mmetufany turudie Tena kuangalia movie za kibongo wallah mko vzr tunawakubalii
Mpoooo vizuri Sana Sina budi kiwasifia wote
Aise brdha njgwa nkukbar sana kalbu mwanz
*FROM MOMBASA KENYA KAMA KAWA* 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰
Hahahaah waliuza maji ajentinaaaa unauponza ww
😂😂😂😂😂😂😂Eti harmonize kanguka na kamba 🤣🤣🤣🤣🤣
Nmekubali.. Nmeanza kukufuatilia Mkojan.. Umepevuka sana ktk uchekeshaji
Uza ule kopesha ulale njaa like it
nakukubal bro kwaku litangaz kabila let wakojani 💕💕💕💕💕
Duh hii muvie imenigusa san yaan naona kabisa kama nimetungiw mm duh jojo nikipengele kwakwel tunamajojo wengi sana uku mtwara nawakubari sana kaka zangu😰😰😰😭😭
Wataalam wa hizi kazi
#100%
"6 na 9 zote namba foyauti mageuza" 😊
😊😊😊kweli Tin nimekuona Copenhagen kipindi ulichofika Danmark adi Aalborg umefika.
Endeleeni Kukomaa Mpaka Bongo Movie Ipotee Kabisa Wazee Wa Kiki Wale Kaz Mbovu.
Nice movie! Nimeipenda.
Sana mabrouther achien vyuma mi nakubal kazi zenu mafundiiii
Nkubar san mkojan
Daaah baruti nakupenda bure
Na mfike mbali zaidi
Nmekaa sana mauholanzi
Dah movie kali sana nmeipenda kwakweli akina harmonize wameanguka nakamba
Nagwa kafunika sana humu
Waooooii Quality Nzur I Sana Mmejitaidi
Kama umesikia mwanza Kuna satu gonga like 😂😂😂😂😂😂
Umefany nirudie kusikiliza 😂😂😂😂😂😂😂😂satu hiyo kwiyo
Dah hh mkojan unaongea 🤣🤣🤣
Nawakubali sana Allah awasimamie wallah🙏🙏🙏
Poreni na kumutaja diamond saaana na hawezi kubasapoti 🙈🙈🙈🙈mutegemeye mungu tu atawabariki musitegemeye binadamu mwenziyo 🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mko vizur nakubali
Nawakubali sana
Harrier lexus ile nyuma yenye kijiburuji 🤣
Kama unampenda nagwa gongs like twende
Hii ngoma inaitwaje
Jamn mm naitwa shaban naomben angalau nifanye kaz nanyny mana mm napenda kuigiza plz naomben sapot yen u. Ila barut m nmemkubal huy nizaid ya daimond
Barut zaid ya diamond ? ww acha kuzingua ww ximba unamjua ww
Tini kwa uongo nakubali
Jaman mkaka anaimba huyu😋😋
Hey
Jaman tiny white, mkojani nagwa na naruti nawakubalii from mexico
Nakubali mkojani
Xaf xana
Nakubali baluti
Wa kwanza leo
Kazi nzuri
Mambo
Nawakubali sana mkojani....tin white na nagwa....muko juuu🥰🥰🥰
Safi sana quality nzr big up kwenu wote
Nimejua kucheka eti kwetu kuna weusi watupu😅😅😅
Yaani nawakubali sana nyie ndo mmebaki wenye bongo movie yenu hapo tz
Barut unajua kuimba
Ila JoJo mzuri sana
Sure mwana kulifind mwana kuliget .
🔥🔥🔥👌
Nahic mkojan ni Zaid ya president king majuto
Upo juu San mkojan
Move akiwa Mkojani na Tin haiboeshi kabisa
Big up mpo vizuri vipi chocho ame olewa
Tin ni muongo haraf yuko serious
Nakwambia mbingun haendi huy🤣🤣🤣
Daaa\aaah jamaa ni muongo sana alaf uongowake upo kama ukwel hyo ndio tin bhn
Mkojaniiii dah! Umeuw
Ngoma nagwa mhuni haswa😁.. ula ula usambe mbelenye miaka mingi hatujafilimba ulembe...
msela ni wewe
Nipo Kama kawa
Weken basi na hiyo ya Mkojani,Tin na Mau
Iko Sawa
🔥🔥🔥
uyo kijana❤huimba bahna
Filamu nzuri Sana nimeipenda
nangwa umekutuna na wahuni we zako sio poa wahun wanatembea na mapanga siopoa
kalii
Yaani huyu mkojan mim namkubali sna anajua nin anafanya
Kali sana
Mkojani balaa
Jamani diamond baba lao kama unakubali gonga like
Mkojani Kenya tunakumaind sanah
Anasuka nywere za zuchu🤣🤣🤣🤣
Et Mara waanguke na kamba😆😆
Baruti mwenyewe mwee😋
BARUTI NAOMBA COLLABO NA WEWE ASEE UNAJUA
Dub domo la tin white bange bange. Anamoka sana.
Nice work
#imeweza sana
Panga kwetu toy tu😁😁
Sema huyu *BARUTI* anaimba mnooooooo aisee *TIN WHITE* Na *MKOJANI* Msiogope kuwekeza hela zenu kwa huyo dogo jamaa ni dili sana kwenu 🔥🔥🔥🔥🔥🙌🙌🙌🙌 MOVIE iko poa sana hongereni
Mkojan analikanaje
A nappat ikanaje
0714023144 napatikana muda wote
@@nassororufukano1471 we Ndiyo mkojani
@@husseinhajjihussein6898 unamtaka mkojan
Itikeli ndo nn nagwa 😂😂😂
Oh!mkojani hatr niburudani zaidi ya pombe
Mkojani upoje lakini
Nzuri Sana
More bless blood @nagwa ckuping since day 🇿🇦
Mkojani nakuelewa sana amini kwamba hakuna wakukufananisha nawewe dah utaniua kwakucheka
Nakubelieve mpk naumwa 😂😂😂
Mademu wakali wapo kweny ndege
Nice
Hahaaaaa akin harmonize mara waanguk na kamba dah huy kibok mkojn 🤣🤣
Assam aleikumjamiama Russia
tini fund sana
Leo wa 9 like zenu bas
Fo
Ih