Kwanini Leo Wachambuzi msiseme tu kuwa Washambuli aji wa Dar Young African kwa leo haikuwa siku nzuri kazini halas ,timu ipo ugenini na imepata points 3 yaani Wachambuzi wa Tanganyika wanatoa kasoro kibaoo dah,yaani sio kila mechi inahitaji maelezo mengi michezo mengine huwa na jibu rahisi tu HAIKUWA SIKU NZURI KAZINI HALAS
Uchambuz wa hovyo sana huu sio kila mchezo utafanya vzuri leo ukipata matokeo hafifu team mbovu sku ikifunga Magol mengi mnafagilia. mnazngua hamueleweki uchambuz wenu wale ni binadamu sio marobot
Wachezi wetu waliathirika na mechi za kimataifa. madiliko ya hali ya hewa na pia walichukua tahadhali ya kutoijua CBE. Mechi ya marudio tutafanya vizuri
Timu inabadilika kutokana na mazingira ya mechi husika..kiufupi Mwalimi na Management ndowanajua nini wanafanya...hizo tulizonazo sisi ni Opinion, Facts zipo kwa Gamond na Management
Ishu ni utulivu na ushindi tuu maana ata al ahly ugenini uwa inashindaga Moja na kukosa kosa magoli mengi tu kikubwa ushindi yanga kashinda ugenini kaondoka na point tatu nyumbani tunakuja kumalizia kazi tuu
Heeeh nyie wachambuzi mbona mnawakosea watu Heshima jamani yaani pamoja kwamba tumeshinda goli moja tena ugenini Bado Mnasema kocha kikosi kimempalia ivi kwelii jamani ? Yanga ikishinda magoli mengi mnaisema imecheza na timu mbovu ivi mnaielewa Hali ya hewa ya Ethiopia kweli ? Mpira hapo ivyo yanga inastaili Heshima na pongezi kushinda ugenini
TATIZO nyinyi mmekalili sana Mnataka yanga ishinde magoli meengi sana SI hivyo ndugu zangu SI Kila siku ijumaa jamani nyie subirini mtaona
😂 hili bwabwa nalo😅
Kwanini Leo Wachambuzi msiseme tu kuwa Washambuli aji wa Dar Young African kwa leo haikuwa siku nzuri kazini halas ,timu ipo ugenini na imepata points 3 yaani Wachambuzi wa Tanganyika wanatoa kasoro kibaoo dah,yaani sio kila mechi inahitaji maelezo mengi michezo mengine huwa na jibu rahisi tu HAIKUWA SIKU NZURI KAZINI HALAS
Mbona hamsemi ukweli zaidi ya kulalamika kumbukeni wale pia ni binadamu wanachoka
Hey Mr you mean simba is going to win, yanga imeshinda ,
Uchambuz wa hovyo sana huu sio kila mchezo utafanya vzuri leo ukipata matokeo hafifu team mbovu sku ikifunga Magol mengi mnafagilia. mnazngua hamueleweki uchambuz wenu wale ni binadamu sio marobot
Wachezi wetu waliathirika na mechi za kimataifa. madiliko ya hali ya hewa na pia walichukua tahadhali ya kutoijua CBE. Mechi ya marudio tutafanya vizuri
Timu inabadilika kutokana na mazingira ya mechi husika..kiufupi Mwalimi na Management ndowanajua nini wanafanya...hizo tulizonazo sisi ni Opinion, Facts zipo kwa Gamond na Management
Kumbuka altitude ya ethiopia kaka....Jumlisha baridi.
Mmuache kocha wetu,mwakajana Beuluzid alituchapa tatu mkasema kwanini hakuchukuwa tahadhali.
Sasa we mchambuzi mbona unajichanganya, unasema Gamondi kaja kwa mfumo wa kujilinga, sasa hizo nafasi za kufunga 6 wametengenezaje
Sasa yanga ingefungwa ingekuaje jmnh
Upo sahihi kaka,anayekuchukia hajui MPIRA
Unachambua bwabwaje iseee
Huko ulaya pia wanakosea magoli wachambuzi njaaa
We jamaa unachambua nn apo-kwani yanga katikiswaje na hyo CBE?
Hao waliokata tamaa labda ni madunduka ss yanga kwani tumefungwa weee hebu kaa kwa kutulia.
Jumamosi huyu mchambuzi ataijua yanga na hatachambua tena
Yao hawezi cheza Kila game
Duuuuuh kweli yanga inasemwa vibaya jamani ila Mimi naamini mkiwasema yanga na Wao watashikwa na hasira
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
iv yanga leo kaxhinde ugenini bado lawama wachambuzi gan hawa jaman
Msijimalize sana. Wamechoka. Kocha kafanya vizuri kwani nafasi nyingi zilitengenezwa. Mbona CBE hawakushinda?? Leo wameusoma mchezo. Mziki unakuja. Ila Dube anaonekana ana pressure. Labda apumzike kwanza.
Uongooo
Mnafik we mtangazaj et mapenz ya anifa sijui nn
Makolo amuwrzi kuwa wengi kuriko wananchi
xaxa wewe unataka yanga axhinde gori ngap? Kama tu amexhinda bado lawama mchezaji sii lot wametoka timu za taifa jaman nao wanachoka
Gemu TU Leo iliwakataa mutakuja kuwakataa
Pumbaaaa wewe.
Bakizeni akiba ya maneno mtaumbuka wachambuzi wa mchongo
Kuzuia kwao kwa sababu walikuwa hawajuhani ndo mahana wamecheza vile.
YANI WACHAMBUZI WA BONGO BANA HAKUNA KITU...HAPO GAMONDI AMEKOSEA NINI..
Mbona husemi wachezaji wametokea timu za taifa? Kila mmoja katokea njia yake na hali ya hewa tofauti,hayo magoli mengi mtayaona mechi ijayo
Nim ni yanga lakn Kuna shida inaanza kuwapata wachezaji ukweli
jumamosi 2nawasubiri amani zanzibar
Tutawafunga tu wakija hapa mtaona mtabadili kauli zenu.mtaanza oooh yanga hii italeta kombe
Labda kombe la uji
😂😂😂😂😂Naijua hiyo hapana chezea wachambuzi wa Tanganyika
Ishu ni utulivu na ushindi tuu maana ata al ahly ugenini uwa inashindaga Moja na kukosa kosa magoli mengi tu kikubwa ushindi yanga kashinda ugenini kaondoka na point tatu nyumbani tunakuja kumalizia kazi tuu
siku azifanani
Heeeh nyie wachambuzi mbona mnawakosea watu Heshima jamani yaani pamoja kwamba tumeshinda goli moja tena ugenini Bado Mnasema kocha kikosi kimempalia ivi kwelii jamani ? Yanga ikishinda magoli mengi mnaisema imecheza na timu mbovu ivi mnaielewa Hali ya hewa ya Ethiopia kweli ? Mpira hapo ivyo yanga inastaili Heshima na pongezi kushinda ugenini
Mbona munakalili matokeo? Timu ipo ugenini na pia imeshinda bado munalaumu.Duu wabongo acha tu.
Kwa nn usingeingia ww
Unachambua bwabwaje iseee