Dully Sykes afunguka alivyomtoa ALIKIBA, Queen Darleen, alivyomsaidia P-Funk arudiane na KAJALA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 5 лют 2025
  • #ChillnaSky #Part1
    Bonyeza link hii kutazama Part 2 - • Dully Sykes alizinguli...

КОМЕНТАРІ •

  • @nelsonmwaipaja3727
    @nelsonmwaipaja3727 2 роки тому

    All the way from Tunduma border post ##nakuombea maisha marefu brother prince dully Sykes 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Рік тому

    Dully bana Mungu amtunze,Sky nyimbo ulizozitaja ni hatarii sana we love you guys 👁️👁️🇫🇮🤝

  • @lilianjeremia1024
    @lilianjeremia1024 4 роки тому +2

    Legend kama legend 🔥🔥wimbo bora kwangu kutoka dully ni baby candy 🥰🥰👌

  • @Tino_Official_tz
    @Tino_Official_tz 4 роки тому +7

    🍁Daaah nime enjoy sana aisee... unajua brother Dully ni kama mvinyo kadiri anavyozidi kukaa kwenye game ndio anazidi kuwa bora. He deserves everything and still yuko humble 💥🔥💥. By the way haujaniangusha kwa maswali yako mazuri big up #Sky 🍁

  • @rashidomar1558
    @rashidomar1558 Рік тому

    MUSICIAN.....GREAT.

  • @budebadeus3429
    @budebadeus3429 4 роки тому +2

    Bro pia ucsahau kumtafta Mr blue byser tnamkubal sana mwamba

  • @mohamudmohamed9049
    @mohamudmohamed9049 18 днів тому

    Aisee Dully. Life’s come full circle. King Kiba anapewa 5000 na Dully when King Kiba alikuwa hana pesa.

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 роки тому +3

    Huyu brother ajawai zeeka nice interview mr Sky

  • @thelonewolf4429
    @thelonewolf4429 4 роки тому +8

    Baby candy one of my favorite songs from #MrMasifa huyu jama is a living legend

  • @fubanjenjele521
    @fubanjenjele521 4 роки тому +2

    Dully, ww ni shida, balaa, mwanamuziki bora Tz

  • @rehemahussein748
    @rehemahussein748 4 роки тому +2

    Alikiba angefanya bonge la collaboration na Dully!

  • @feisalshahar9212
    @feisalshahar9212 Рік тому

    Kuna majani na prince dully syskes ni watuu waliotengeneza hii bongo fleva wasanii wengii wamesapotiwa na dully na wamepikwa na majani respect to them

  • @mwanzashinyanga8060
    @mwanzashinyanga8060 4 роки тому

    wewe dully Sykes wewe ni regend mkubwa umesaidia watu wengi sana na wakubwa ivi sasa na wana maisha yao hongera sana bro dully

  • @kagirasta1476
    @kagirasta1476 4 роки тому

    Dully ana kipaji sana anavyozielezea izo biti 2020

  • @msabaa3962
    @msabaa3962 4 роки тому +1

    Nakubali Sana brother juliy ngoma zako unauwasana

  • @ismailmasanilo7018
    @ismailmasanilo7018 4 роки тому +3

    Dully huwa interview zake sichoki huwa ananena ukwel maisha yake na inafundisha sana

  • @youngbona3804
    @youngbona3804 Рік тому

    Such a nice interview

  • @baby16mariki48
    @baby16mariki48 4 роки тому +1

    I love you Dully Yani hii ni zaidi ya utamu

  • @katahiko15
    @katahiko15 7 місяців тому

    @Simulizi na Sauti Hivi Kuteseka ya Ali Kiba na Dully ilitoka mwaka gani? Nakumbuka kama ilikuwa 2003 au 2002 hivi

  • @ucjvvjcjjvih9934
    @ucjvvjcjjvih9934 Рік тому

    ❤Dull skay Hay minakupa hay😂😂😂🤩💯👍

  • @messaabbas8346
    @messaabbas8346 4 роки тому

    The legend Dully ❤️❤️❤️❤️Thanks SNS,,,and Nice job 😍😍😍😍😍

  • @خسنموس
    @خسنموس 4 роки тому +7

    Zamani airudi wasanii walikua wanapendana sahi game imechange kiki kibao na vijembe vingi

  • @robbyawesometv7030
    @robbyawesometv7030 2 роки тому +1

    Dully the king

  • @asheripeter419
    @asheripeter419 4 роки тому +1

    Nikweli kaka sky nakukumbuka Sana RFA nilikuwa nakupenda Sana ghafla ckujua umeenda wapi kaka

  • @suedhabibu3665
    @suedhabibu3665 10 місяців тому

    Hapo kwenye kum imitate p funk eeh duly njoo ingiza chorus sikiliza nimeimbaje jaza chini piga mpaka yule akisikia arudi sema umempatia sana😂😂😂😂

  • @georgeburchard4872
    @georgeburchard4872 4 роки тому +2

    Gwiji Kama gwiji! Nimecheka Sana alipokuwa ana muigiza namna majani alivyokuwa anamwambia Nini Cha kufanya kwenye wimbo wa kajala!

  • @barackhuncho2432
    @barackhuncho2432 4 роки тому +1

    Kiba....king

  • @hamzahussein4493
    @hamzahussein4493 4 роки тому

    LETA PART 2

  • @felisterchimtunga7011
    @felisterchimtunga7011 4 роки тому +1

    Huyu jamaa hazeeki lakini kikongwe🙌🙌🙌🙌🙌🙌

  • @mpjozzegalvanize4926
    @mpjozzegalvanize4926 Рік тому

    Sema dully kwenye sauti ya majani aliua sana

  • @heriholder2937
    @heriholder2937 4 роки тому +1

    Dully napendaga ile ngoma yako handsome dah nakumbuka nilikuwa A . Town na kwa sasa nipo Mara dah!!

  • @kennedymwagambo7197
    @kennedymwagambo7197 4 роки тому

    Good show

  • @feisalngowi1831
    @feisalngowi1831 4 роки тому

    Legend mi nimeshuhudia upo juu enzi za misifaz camp

  • @helenkambi3918
    @helenkambi3918 4 роки тому +1

    Walahi mwanangu Dully weeky chache zilizopita nikua naangali hio nyimbo ya UTAMU wa TUNDA nokajiuliza hao wasichana Anna na Neema kama bado mnaonana

  • @mbembelatv
    @mbembelatv 4 роки тому +2

    Kazi yako nzri bro sky🤙

  • @focuspaschal5330
    @focuspaschal5330 4 роки тому +5

    Kwenye sauti ya majan tuuu hapo hahaaaaa

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 роки тому +1

    😃😃😃😃😃😃shoo zote tupe part2

  • @amourbahatisha4293
    @amourbahatisha4293 4 роки тому +1

    Hahah.....hapo kwa p funky tuu hio saut ulivoiiga me hoi😂😂😂

  • @pulkeriafarayo8953
    @pulkeriafarayo8953 4 роки тому +1

    🤣🤣🤣duh apo ulipomuigiza P Funk Funk nimecheka sana

  • @andrewkilave3532
    @andrewkilave3532 4 роки тому +1

    safi nilikuwa naingoja kwa hamu

  • @rachellebahati6126
    @rachellebahati6126 4 роки тому

    Nampenda

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 4 роки тому

    Maisha ya nasiri yake kweli.Mungu akubariki bro

  • @RobbyRunnerON3
    @RobbyRunnerON3 4 роки тому

    BROTHER MEN DULLY ❤👑

  • @lutifiaussi3728
    @lutifiaussi3728 4 роки тому

    Nice sns

  • @innocentsafari9159
    @innocentsafari9159 4 роки тому +3

    Dully sykes is a great man🔥🔥

    • @stephanowillium8455
      @stephanowillium8455 4 роки тому

      Kwa lipi

    • @medicaltz169
      @medicaltz169 4 роки тому +1

      @@stephanowillium8455 kila kitu wapingaga hujui kua ndio walio tengeneza njia ya music kipindi kile babaako hataki uskilize mziki anasema ni uhuni asaivi ukiskiliza anafrai

    • @stephanowillium8455
      @stephanowillium8455 4 роки тому

      @@medicaltz169 😂😅😂Sawa mjomba

  • @boniphacekajuna4782
    @boniphacekajuna4782 4 роки тому

    Umesahau songs "Handsome" na "Hi"... bonge ya Mikito kitambo hicho Sky

  • @anthonyluganje8367
    @anthonyluganje8367 4 роки тому

    Dully n Mwamba kwenye game ya Mziki wa Bongo flevar

  • @khalidahmedwandera7086
    @khalidahmedwandera7086 4 роки тому

    Namkubari sana dully, from Japan

  • @collyalinani2407
    @collyalinani2407 Рік тому

    sky unavyocheka ishu ya pfunk kuzama kwa Kajala🤣

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 роки тому

    Sns mko vizuri kila siku , maana hatujawahi Sikia story km hizi za dully

  • @addo1018
    @addo1018 4 роки тому

    Kaaaa

  • @yhasintakalenyula970
    @yhasintakalenyula970 4 роки тому

    Kajala Kajala....Na wimbo ambao ulimfanya Dully apige show zote😂😂

  • @chany9950
    @chany9950 4 роки тому

    Nimewapenda saaana jmn

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 роки тому +1

    Kipindi cha leo noma San

  • @kabamedestrong3917
    @kabamedestrong3917 4 роки тому +1

    Ndugu zangu naombeni walau kwa dakika chache mtazame video yangu ya pineapple na Ku subscribe kwa kugusa picha yangu hapo juu🙏🙏

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 роки тому +1

    Hahahaaaaaa noma sana aseee

  • @harunakayega5531
    @harunakayega5531 4 роки тому

    Kitu pekee ninachokupongeza kwa dully unajitunza sana kwenye mambo ya madawa

  • @marcsthinker3882
    @marcsthinker3882 4 роки тому

    Kwa jinsi unamzungumzia candy ni wazi ulimpenda sana 😂😂😂

  • @King_Of_Everything
    @King_Of_Everything 3 роки тому

    🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍

  • @McheshiOnlineTv
    @McheshiOnlineTv 4 роки тому +1

    I'm driving na huku nacheka San

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 4 роки тому

    👏👏👏👏

    • @ahmedsalumomar5002
      @ahmedsalumomar5002 4 роки тому

      The greatest of all time huyu jamaa alikuwa anajuwa Sana sio Siri nilkuwa namkubal Sana especially kipindi nipo shuleni lkn nashangaa industry ya music tanzania imekosa kumpa tunzo ya heshima

  • @freddieelice6377
    @freddieelice6377 4 роки тому

    ❤️❤️❤️

  • @junuferjinu1444
    @junuferjinu1444 4 роки тому +5

    Uyu kumbe kibabuuu ila akizeeki 😂😂uyu ndomflume

    • @jut1161
      @jut1161 4 роки тому

      Kweli kabisa

    • @nshonabdll9363
      @nshonabdll9363 4 роки тому

      Uyu mkubwa sn uyu ila mwili wkmzuri sn

  • @stephanowillium8455
    @stephanowillium8455 4 роки тому +1

    SNS 💙💙

  • @nshonabdll9363
    @nshonabdll9363 4 роки тому

    Lkn mpaka leoafahamiki yupo yupo tu

  • @hansboy3491
    @hansboy3491 4 роки тому

    Jamani me spendagi mtu aniambie mambo sasa unamwambia mambo mtoto wakiume akati na ww mwenyewe kidume wajuba mnazngua

  • @shabanimakata6519
    @shabanimakata6519 4 роки тому +1

    Yaan duly umeipatia xn hiyo saut ya khalfan majan

    • @ramsikhamis7083
      @ramsikhamis7083 4 роки тому

      😀😀😀Ilee mbaayaa kweli mtu wake wa karibu nimeaminii

  • @datikazumari515
    @datikazumari515 4 роки тому

    Bongo flava king

  • @angeljasson4376
    @angeljasson4376 4 роки тому

    Hii imebamba sana

  • @khanafrica22
    @khanafrica22 4 роки тому

    #Tarzan....wayback

  • @issamatukano1451
    @issamatukano1451 4 роки тому

    𝙳𝚘𝚗𝚍𝚘 𝚣𝚊 𝚊𝚜𝚞𝚋𝚞𝚑𝚒
    Unaposikia kuwa mtu fulani hana nguvu za kiume huwa unaelewa nini?
    -
    Maana yake ana vichocheo vichache vya kiume vinavyoitwa testosterone,shida ambayo humfanya awe
    1.Anapata shida kusimamisha uume wake
    2.Hata ukisimama hauwezi kuendelea kuwa na nguvu kwa muda mrefu
    3.Mbegu za kiume zinakuwa chache
    4. Hawezi kumpa mwanamke ujauzito
    Wasiliana nasi upata usaidizi au ushauli lishe kamili kuboresha Afya yako mwanaume ya uzazi
    Whatsapp /call +255686128516

  • @hamzaadrin941
    @hamzaadrin941 4 роки тому +1

    Mjinga huyu alinichukulia demu wangu ha ha ha ha ngumi jiwe anajua hili ...mtaa wa muheza kariakoo

  • @raykibet9920
    @raykibet9920 4 роки тому

    Goat 🐐

  • @levienlevismmbenga2415
    @levienlevismmbenga2415 4 роки тому

    Wekeni yakuhendeleya jammeni tunasubiri mwendelezo

  • @babuubarotti8418
    @babuubarotti8418 4 роки тому

    Napenda kipindi cha huyu jamaa

  • @janatahmad7048
    @janatahmad7048 4 роки тому +2

    nilikua natak kujua sns tafuta gigy kwa hiki kipind jamani

  • @alickodaniel4611
    @alickodaniel4611 4 роки тому

    #Sns one Day naomba mfanye interview na #rayvany tumemis hiyo kitu

  • @richardkimela7900
    @richardkimela7900 4 роки тому

    Tupe nyingine