Cpwaa.. video ni nzuri, kazi nzuri tena ya Adam, tumefurahi urejeo wake. Umeweka uasilia kwenye video ambacho ni kitu kizuri, mapungufu machache nilioyaona yanarekebishika kwa kazi za mbeleni, vitu kama Video nzima kuwa ''Studio video'', ingependeza zaidi tungeliona hasa lile chereko chereko la mtaani, ungehusisha hadhira kubwa nadhani ingevutia zaidi na watu wangeonyesha umaridadi wa kurindima mdundiko wa chereko chereko, si mbaya wacheza dansi wamejitahidi kucheza nafasi hii. Pia kwa Adam, kazi ni nzuri, marekebisho ni kidogo, wachangiaji wenzangu wameliona, kuweka ''slow motion'', zilizidi. All in all, hongereni, kazi ni nzuri... tulicheze chereko la Cpwaa. :-)
😭😭😭 Cpwaa miss you too much my jirani dah Pumzika kwa amani
Yelai yesindai
lazima itusue hii
Cpwaa.. video ni nzuri, kazi nzuri tena ya Adam, tumefurahi urejeo wake. Umeweka uasilia kwenye video ambacho ni kitu kizuri, mapungufu machache nilioyaona yanarekebishika kwa kazi za mbeleni, vitu kama Video nzima kuwa ''Studio video'', ingependeza zaidi tungeliona hasa lile chereko chereko la mtaani, ungehusisha hadhira kubwa nadhani ingevutia zaidi na watu wangeonyesha umaridadi wa kurindima mdundiko wa chereko chereko, si mbaya wacheza dansi wamejitahidi kucheza nafasi hii. Pia kwa Adam, kazi ni nzuri, marekebisho ni kidogo, wachangiaji wenzangu wameliona, kuweka ''slow motion'', zilizidi. All in all, hongereni, kazi ni nzuri... tulicheze chereko la Cpwaa. :-)
club banger ma nigga pwaa
Rip Homie
Patriotic video Big up Cpwaa.Historical flashbacks nice thematic concept. AJ is back again
Nice bro
hakuna director mzur hapa bongo zaid ya adam juma coz anajua sana
Upload HD Video, au hata bandwidth ni shida?
R.I.P 😭😭😭😭🙏🙏
RIP jamaa alikuwa anajua sema alikuwa hatoki tu
Too much of slow motions......Kwanini?
too much of slow motion..mpaka inaboa..it was supposed to be a heavy dance video..