JE ? ISLMAIL NI MTOTO WA ZINAA,KAMA WASEMAVO WAKRISTO | DK: JUMA TITO | HD VIDEO | MADRAS SHOP TV,

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024
  • ISMAIL NI MTUME NA NI MTOTO NA NABII IBRAHIM HIVI YAWEZEKANANJE AKAWA MTOTO WA ZINAAA
    YOTE UTAYAPATA UKISKILIZA VIDEO HII,
    SUBSCRIBE LIKE COMMENT SHARE
    CONT:
    +255773 950 250
    +255717 513 191
    MADRASA SHOP TV ONLINE
    BURUDIKA HUKU UKIELIMIKA

КОМЕНТАРІ • 4

  • @muhammadmoshe8296
    @muhammadmoshe8296 Рік тому +1

    ^MASHALLAH !!!^
    Kweli Kabisa !!!

  • @ateleteleecibalungumwenelo1423

    Wehusi muwe munajisikiya hayibu , kujipachaka madini ya wageni yenye hayana ukweli ki mungu . Mungu wa. Babu zetu wehusi ni mungu wakweli. Siyo wavitabo coran ns bibiliya.

  • @ateleteleecibalungumwenelo1423

    Ismaili kazaliwa kwa negro ketula( msichana aliyepewa na mababu wehudi kama vile msahidizi wa abram na sara kufwatana na uwongo wa abram alidanganya kwamba sara alikuwa dada yake ,kihisha babu yetu akamchukuwa kama mke ,ila kipindi alitambuwa kwamba na mke wake ( abram) wa ndowa. alilipavyote vinavyohusika na akamufukuza abram na sara na kuwapatiya msahidizi agar ajir kwa jina la kweli ni Ketula kutoka ngipiti ,kuhona sara hazayi ( mtoto) wakahamuwa abram alale na ketula Ajil agar ,wakazaha ismaili ,na kipindi kidogo sara akabeba mimba akamuzaha isaac isaka isak ,ikahonekana wazungu hawawezi kumuchunga chotora rangi isiyo ya kwawo ,njo wakamufukuza Ketula hadi njangwani kwenye malayika alimushukiya na kumwambiya mwenyenzi mungu anasema atalizaha tayifa lingine.
    Ismaili ni kizazi cha kwanza cha waharabu. Ila isaac na ismael ni mdogo na mkubwa yahani warabu na wazungu ni mkubwa na mdogo siyo ya kushangaha wakipigana kila wakati.
    Sasa wewe mwehusi kwa nini kujipachika kudini la waharabu wipwa zako ? Umesahahu mababu yako na mungu wako unaji tiya kuwa kama mwarabu na kuwahita na kuwahabudu mababu wawarabu wenye hawatawasikiyaga malalamiko yenu hadi hata muhingiye kaburi . Acheni ujinga muko wehusi ,mwarabu na mzungu hawawezi kufunza mwehusi Mungu juhu sisi wehusi ni kihumbe cha kwanza cha mungu na akatupatiya yote. Muzungu mwekunda na munjano wote wamehumbwa mwisho saaaaaaaaaana mwarabu yeye siyo race ( hayikumbwa) ila imezaliwa kimwili mwanamke na mwanahume kukutana kimwili yahani ni machotara.