Mfalmee tunaombaa uendelee kuchapa na mikuki mipya ili tuongezee watazamaji zaidiii na jitahidii kuwashirikisha na hawa wasanii wanaofanya vizurii saiv itakuwa Good sana Bob
Afande Sele, Mungu akulinde sana. Umekuwa mbaraka mkubwa sana katika maisha ya watu wengi sana kupitia nyimbo zako nzito zenye ujumbe mzito. Hujawahi kuandika nyimbo ya ajabu, umekuwa msaada mkubwa sana katika kufikisha ujumbe katika jamii. Kwa wale tuliokulia katika wakati wako tunatambua vizuri what you are doing, unaishi maisha yako, huigi mtu, unaishi uhalisia wa hip hop duniani. Mungu akubariki katika kazi zako, akupe riziki yako!
Mfalmee tunaombaa uendelee kuchapa na mikuki mipya ili tuongezee watazamaji zaidiii na jitahidii kuwashirikisha na hawa wasanii wanaofanya vizurii saiv itakuwa Good sana Bob
Kitambo Sana mzee w kazi
Najutiya kuto angaliya musics zako hapo awili. Ndo nimekuona sasa msaani ambaye namupenda sana. Hapo goma congo
Nimetafta ngoma hii sana,,napenda ndugu zangu🇰🇪
Old school 👋
Afande Sele, Mungu akulinde sana. Umekuwa mbaraka mkubwa sana katika maisha ya watu wengi sana kupitia nyimbo zako nzito zenye ujumbe mzito. Hujawahi kuandika nyimbo ya ajabu, umekuwa msaada mkubwa sana katika kufikisha ujumbe katika jamii. Kwa wale tuliokulia katika wakati wako tunatambua vizuri what you are doing, unaishi maisha yako, huigi mtu, unaishi uhalisia wa hip hop duniani. Mungu akubariki katika kazi zako, akupe riziki yako!
Greatest Artist kwa maoni yangu japo hakukuzwa sana kisa hapendi dramas
King 👑👑👑
Live forever 💪
Mm naipenda sana nyimbo hii nakuomba ww ambao mtunzi wa nyimbo za afande Sele mm napenda sana nyimbo za uyu mwamba
Tamu sana nakumbuka mbali hii song
Ndàni kisumu Kenya🔥
NAKUPENDA SANA AFANDE SELE. MUNGU NA AZIDI KUKUBARIKI.
Noma
Mfalme wa Rhymes , drop album King 👑
Niko mbioni kaka soon nitaachia album
@@afandesele8490kazi kazi kaka, Mpelumbe apa
2024 tujuanee
Huu si wimbo,,huu ni wosia wa babu
Hii nyimbo naipenda hongera sana Afande Sele
kikwete huwezi kushindana na mungu umeua Sana mze mungu ibariki tanzania
umelaaniwaa kizazi chako chore kikwete mungu ibariki tanzania
much love bro,kazi safi mkuu
Bonge la nyimbo na maudhui makubwa sana...
Huyu ndo msanii wangu bora wa miaka yote hajatokea mwamba kam huyu
Baba Tunda, una akili sana aise. Uhalisia wa maisha ya watanzania.😅😅
Inanikumbusha mbali saaaana
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
naitaka nchi yangu
Baba
Alla akbar
Morogoro kwetu
❤
2025
majaliwa Ana makinda tulia akson jaji warioba halima mde jenerali mkunda venans mabeyo ana tibaijuka komboeni taifa kwa changudoa
❤❤
huruma kwa taifa letu venansi mabeyo na j mkunda
mkafirane na kikwete wako tuachieni nchi yetu
❤❤❤❤
Bro mkubwa Afande sele simba dume tunaomba fanya video ya ngoma hii.
🔥🔥🔥
❤❤❤
🔥🔥🔥
❤
❤