Shida majeshi hayana dini hayamjui Muumba mbingu mmiliki wa vimbunga na mwnenye kuazibu azabu kali bado hawamjui mfalme ni nani ni muda sasa mungu azungumzwe kwenye majeshi yetu inaskitisha sana Mungu yupo jamani majeshi amkeni zama zimeisha tayari dah😢😢😢😢
Uyo mama nayye afirwe na uyo binti sawa na mwanae au mjuku wake uyo ndio tunataka akomeshwe anamuonea wivu mume zezima hovyo tunataka haki itendeke,,,na wamama wote mudiri na wanaume zenu michepuko haina makosaaa mzibinti mumeo,,,na uyo afande arie kuwa anamtetea topsta afukuzwe kaz si warisema awajatumwa na afande kumbe warikuwa wanateteana,,,mume anauma lkn ndio hufanyie mtto wa mwenzio hunyama kama huo
Hahahahaaa nilicheke tu kwazarau kumbe ndiyo maana lile kurumbembe lingine likasema nikahaba kumbe yamefanana akili mpaka miili Yao kama mifuso ona lilivyo jikoboa na mikorgo
Shida ipo kwenye ushahidi mahakamani, je utaweza kupatikana, maana hakuonekana kwenye picha, labda upatikane kwenye mtandao wa simu, otherwise sioni ushahidi wa moja kwa moja wa kumtia angle huyu bibi, anachomoka kweipeee
Hapana haiko hivyo mpaka kapatikana watakuwa hao wabakaji wamemtaja hawezi kujipeleka mwenyewe Kuna kuminywa unataja fasta hajajipeleka mwenyewe kazi inafanyika namungu yupo ma mama Samia yupo japo haongei tukasikia pamoja nawaziri wetu gwajima hili jambo hawajalikubali hachomoki huyo bibi
Yule wakili madeleka wakili wa kujitegemea aliyemfungulia kesi na kumtaja mpka anafungua kesi na kumtaja hadharani ina maana kuna ushahidi anao hawez fungua kesi tu yule ni wakili, Yan hapa labda waroge, Mungu asimame kwenye hili haki itendeke
Shida majeshi hayana dini hayamjui Muumba mbingu mmiliki wa vimbunga na mwnenye kuazibu azabu kali bado hawamjui mfalme ni nani ni muda sasa mungu azungumzwe kwenye majeshi yetu inaskitisha sana Mungu yupo jamani majeshi amkeni zama zimeisha tayari dah😢😢😢😢
Sura yake sio ya Fatma huyo.Na nyie chunguzeni vizuri vyeti vyake.Kama hajadhulumiwa mtu haki zake.Akabandikwa yeye.
Nahuyo mume aowe huyo binti❤❤❤😂
Kweli kabisa, huyo Mume amuowe huyo Binti. Mh. Rais Hongera sana ❤
Kabsaa aozeshwe yye nae ndio sababu mume nae tumjue
Hakika huyu mungu amuukumu mwenyewe Ametia aibu sana
Uyuu mama naee apelekewe moto akirekodiwa tuiyone kama atajisikiaje
Uyo mama nayye afirwe na uyo binti sawa na mwanae au mjuku wake uyo ndio tunataka akomeshwe anamuonea wivu mume zezima hovyo tunataka haki itendeke,,,na wamama wote mudiri na wanaume zenu michepuko haina makosaaa mzibinti mumeo,,,na uyo afande arie kuwa anamtetea topsta afukuzwe kaz si warisema awajatumwa na afande kumbe warikuwa wanateteana,,,mume anauma lkn ndio hufanyie mtto wa mwenzio hunyama kama huo
Jamani nimeunga mkondo wazo la mdau kumfuta machozi bint huyo kupitia changamoto hiyo tuyabadili maisha yake jman
Mama mtu mzima unagombania mbwana uyo ndio mbwa ario watuma vibaraka wake wafunge na mume tumjue na haki itendeke
Dunia simama kidogo nishuke 😂😂😂
Wasipo mpeleka gerezani wa Tanzania tutaanfamana Sasa
Kweli Hilo limama halijamfanyia huyo Bint haki kabisaa kwani kama nikweli huyo Binti angeondoka na hicho kiungo Cha mumewe? Aah jamanii aadhbiiwe tu.
Kwani hajazaa huyu mama
Wemama kweli unahofuyamungukweli?
Ivi yy uyo hafande yy hana watoto ingekua nitoto wake angependa kufanyowa uzalilishaji kama huo
Hilo bibi ni ovyo
Hivii? Una watt wewe? Mh tambua auwae kwa upanga nae atakufa kwa upanga.
Aibu naona mimi mtu mzima ovyo
Kiukweri mume wake amuowe biti uyo mama aende jela uko
ivi Huyu mama hakufikiria uwii umezeka wewe bibi wivu wanini kibibi wewe umemwanga mboga
Alioni ata aibu embu lichapeni kidogo apate adabu
Jimama lizima hovyo
Fatima umekosa hekima,wee mtu mzima unajizalilisha,haya huyo mme nenda na jela
Nawewe unawatoto ulichokifanya unaona ulikuwa sasa kweli ifikie hatua mmiogope mungu malipo nihapa duniani wivu wahivyo naumli huo siopow
Peleka gerezani huyo mama anaweza akawa mwanae kama angekuwa wakwake ingekuaje
Binti huenda kapata ukimwi😢
Aibu sana
Jamani huyu mubibi mbon kam yupo kweny menopose bado anatakaga😂
Sasa ukifungwa mumewakosinjo atachepukakwelikweli, unakosakudili namumewako, unakakwakulipa visasi tena vyakikatili
Mshangaz,😮😮😮😮
Huyu ajuza sio mshangazi
Hahahahaaa nilicheke tu kwazarau kumbe ndiyo maana lile kurumbembe lingine likasema nikahaba kumbe yamefanana akili mpaka miili Yao kama mifuso ona lilivyo jikoboa na mikorgo
Nibora huyo mwanaume amuoe huyo dada maana wamesha mzalilisha nani atamuone
Yule RPC ADUTWE.KAZI KUMBE UNENE ULE WA RUSHWA
Akichomoka tutamlenga mawe kama muembe.
Wasiojulikana wauwaji wabakaji ni wao
afadhali nimeanza kuiamini jeshi la polic, ila kwa umri wa hyo mama hatakiwi afanye ujinga kama huu
Hajashtakiwa na polisi😮😊
Safi Sana apewe hukumu yake.
Na yey aende jela afungwe milele
Jibibi zima linakua na wivu wa kijinga halina hata haya litakukuta jambo mpuuzi kabisa uyo
mulekeni ngezani aede na kina nyundo zake
asate mungu tulikuwa tunamutafuta huyu
Shida ipo kwenye ushahidi mahakamani, je utaweza kupatikana, maana hakuonekana kwenye picha, labda upatikane kwenye mtandao wa simu, otherwise sioni ushahidi wa moja kwa moja wa kumtia angle huyu bibi, anachomoka kweipeee
Umeona mbali ndicho ambacho nawaza Iko kitu
Hapana haiko hivyo mpaka kapatikana watakuwa hao wabakaji wamemtaja hawezi kujipeleka mwenyewe Kuna kuminywa unataja fasta hajajipeleka mwenyewe kazi inafanyika namungu yupo ma mama Samia yupo japo haongei tukasikia pamoja nawaziri wetu gwajima hili jambo hawajalikubali hachomoki huyo bibi
Yule wakili madeleka wakili wa kujitegemea aliyemfungulia kesi na kumtaja mpka anafungua kesi na kumtaja hadharani ina maana kuna ushahidi anao hawez fungua kesi tu yule ni wakili, Yan hapa labda waroge, Mungu asimame kwenye hili haki itendeke
Mbna umri umeenda kwanin asitulie yule binti si kama mwanae kabisa
muoane cheo chake akamalizie jela waka muoe ngenge lake
Uzee wake akaumal zie jela mtu mzima ovyo
Mama wa hovyo weee kimbe fatma looo
Bibi wa hovyo na yy alawwitiwe aone raha yake
AstaghfiruLlah
bibi aede jela maisha jela
Duuu jambazi wanatafutwa majambazi kumbe eti afande latisha sijui nani alompa kazi mbwa huyu
Ametafuta matatizo kwa gharama nafuu
Lijinga