MWEZI WA KIMATAIFA HAUPO,HAUWEZEKANI, HAUTEKELEZEKI - SHEKH MUHAMMAD IDD

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 98

  • @BABDEOMILADU
    @BABDEOMILADU  4 роки тому +1

    Subscribe our UA-cam channel Babdeo Miladu

  • @MB-yq3ty
    @MB-yq3ty 6 місяців тому +1

    Nafikiria kwamba Allah kajaalia kesho tarehe 10 dunia nzima watasali Iddi kwa pamoja AUMBUKE ABUU IDD. kwa sababi hudai haiwezekani hàutekelezeki na haupo anatupilia mbali khitilafu zilizopo.

  • @HudhayfahKassim-cs3vn
    @HudhayfahKassim-cs3vn 7 місяців тому

    Hoja safiii kabisa Allah akupe umri na afya shekhe letu

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 3 роки тому +1

    Alla akubarik Yaa Sheykh Alhamdulillah tunafumbuka kila tunapokusikiliza Alla akuhifadhi

  • @hemedharouna4013
    @hemedharouna4013 4 роки тому +3

    siku zote huwa namkubali abuu idd. allah ambaaiki na ampe umi mefu

  • @al-ahdalytv1463
    @al-ahdalytv1463 4 роки тому +5

    Shukran imefahimika mno Allah akujaze kulla la kheri

  • @الزغويالزغوي-ض3ن
    @الزغويالزغوي-ض3ن 4 роки тому +2

    SHUKRAN JAZAAKAL-LAAHU KHAYRAN JAZEELAN
    UKWELI HAPA KILICHO BAKIA NI UBISHANI TU NA USHABIKI TU !

  • @sulaimanalriyami471
    @sulaimanalriyami471 4 роки тому +2

    Ahsante sheikh wape khabari zao Allah yuko pamoja na wewe

  • @hutiswalehe2444
    @hutiswalehe2444 Рік тому

    Mwezi wa kimataifa haupo,hauwezekani,hautekelezeki😄😄😂shukrani saana shekhe letu abuu iddy muhammad iddy

  • @AbdulAbdul-pr9qe
    @AbdulAbdul-pr9qe 4 роки тому +5

    mashaAllah, nadhani wamekuelewa na kama hawajaelewa basi itakuwa ni makusudi tu

  • @StewartDomminicus
    @StewartDomminicus 7 місяців тому

    Allah akupe.umuli mlefu

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 6 місяців тому

      Vipi kesho dunia nzima ikisali siku moja Abuu iddi atapeleka wapi maneno yake haya.

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 4 роки тому +1

    Baraaka LLAHU fiiqu

  • @hutisaleh2320
    @hutisaleh2320 4 роки тому +1

    Jazaaka llaahu asiyeelewa bac asubiri kufa tu

    • @salummakaveli4366
      @salummakaveli4366 7 місяців тому

      Kweli kabsa asubiri mwanandani na dongo pamoja na mirungu ya malaika itamwelewesha kaburini

  • @abdullathabithemed9377
    @abdullathabithemed9377 4 роки тому +1

    Wamekuelewa sana
    Ila wanapitisha ukaidi wao tu...

  • @Allyahmed40
    @Allyahmed40 2 роки тому

    Twayyyyyib Sheikh...

  • @MuhammadiMbwana
    @MuhammadiMbwana 7 місяців тому

    shkh mgumu kuelewa

  • @azizabakari5137
    @azizabakari5137 2 роки тому

    Kiukwel hyu shekh yupo sahh xn

  • @mustaphamshiindorajab8066
    @mustaphamshiindorajab8066 4 роки тому +2

    Wanaofata mwezi WA kimataifa wanamtihani kwa kweli

    • @muslihmohd3685
      @muslihmohd3685 2 роки тому

      Na nyinyi msiofata pia mtihani maana hakuna anaejuwa Nani yupo sahihi...
      Imam Malik msimamo wake ni mwezi mmoja duniani, Ahmad bin Hanbal pia msimamo wake ni hivyo,Abuu hanifa pia ni hivyo hivyo...
      Katika maimam 4 wakubwa Shafii peke yake ndio kasema kila watu wa mji na mwezi wao ikiwa kutakuwa na tofauti ya machweo na mawio ya jua,yaani ikiwa macheo ya jua yakitofautiana basi mnatofautiana kimuandamo,cha kushangaza sasa Tanzania wanautangaza mwezi nchini ukionekana popote wakasahau kuwa Tanzania pia ina utofauti wa majira...
      Hapa bakwata wamekosea

  • @MuhammadiMbwana
    @MuhammadiMbwana 7 місяців тому

    shkh hiyo rai yako Acha ubishi

  • @salamakhamis8092
    @salamakhamis8092 4 роки тому

    Duh umewakaa na Koo Shekh

    • @jumanasoro8903
      @jumanasoro8903 4 роки тому

      Hana lolote huyo, ni mtu wa kuropoka tu, wala hana uadilifu katika maneno yake, angekuwa muadilifu angekuchukua pia kauli zao na dalili zao zenye kukataza maulidi, amebakia kuegemea kwenye kauli ambazo zenye kutetea hoja yake

  • @mustafamanziliyonjo1402
    @mustafamanziliyonjo1402 7 місяців тому

    Sheh hata sisi maamuma hatujakuelewa unatuambia mwezi ukiandama mangalib utawaabiaje walionyuma masaa 5 wafunge ina maana tunaanza kufunga mangalib lete hoja mungu kasema au mtume kasema jitahid kusoma

    • @MB-yq3ty
      @MB-yq3ty 6 місяців тому

      Huyu kaumbuka Jana Takribani mataifa yote yamesali pamoja

  • @HassanSalum-pg9yu
    @HassanSalum-pg9yu Рік тому

    njoo nikusomeshe huku zanzibar

  • @ayuburajabu1423
    @ayuburajabu1423 2 роки тому +1

    Kama kweli mna msimamo kwanini mnazingatia kenya uganda, na africa mashariki.. Kwanini msi focus na tanzania

  • @ahmadmhando2525
    @ahmadmhando2525 4 роки тому +2

    😄😄😄😄 Eti wakae pamojaa @Mohammed Iddi Abuu Iddi

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali6317 2 роки тому +1

    Kila elimu ikizidi ulimwenguni ndio watu wanazidi kutafautiana, zamani watu walikuwa wanafunga na kuifungua kwa kuona mwezi ktk nchi zao

  • @asilclub
    @asilclub 3 роки тому +1

    لكل قوم هلال

  • @hamadamaan9800
    @hamadamaan9800 4 роки тому

    بوركت ووفقت

  • @husseinsaid8021
    @husseinsaid8021 Рік тому

    Hiki kitabu Anachosoma kilichosainiwa na masheikh wa said kinaitwaje?

  • @yazidbafunda5092
    @yazidbafunda5092 3 роки тому

    Wanaswali Eid kila mwaka

  • @kidiginonbabu5935
    @kidiginonbabu5935 4 роки тому +1

    Webabaika tu

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 7 місяців тому

    Kuna imaam anaitwa imaam ashawkaan n mshafii yeye kapita na mwez popote unapoonekana n imaam mkubwa ktk madheheb ya kishaafii

  • @suleimanbilal3327
    @suleimanbilal3327 4 роки тому +2

    Jembe la khilafu za miezi

  • @rjqaasam4587
    @rjqaasam4587 4 роки тому

    جزاك الله خيرا

  • @ahmadsalim4417
    @ahmadsalim4417 2 роки тому

    Nadhani somo limeeleweka vyema wakukataa akatae kwa itikad yake tuyh lkn kilakitu kipo wazi

  • @kaizachief4912
    @kaizachief4912 6 місяців тому

    Hahahahaha badala ya kutoa hadithi wa2 wanapiga kelele😂😂😂

  • @osmaniidrisa6290
    @osmaniidrisa6290 Рік тому

    Mwenye akili hawezi kumuelewa sasa kwa mfano Saudi na tz Yuko Sawa kimasaa sasa iweje kwenye kufungua turned tofaut

  • @imamushafiiforgoodislamict5420
    @imamushafiiforgoodislamict5420 4 роки тому +1

    Mambo mengine atakiakili tu yanaeleweka jaman mabishano yann

  • @hassanomar4291
    @hassanomar4291 4 роки тому +1

    Mohamed Eid Abuu Eid Ahsantum

    • @braqutourssafaris4672
      @braqutourssafaris4672 4 роки тому

      Hatr sana mwalimu wangu haya bana.watoke na vitabu vyao nao watuoneshe na watuambie mashekhe waliotunga sio kutujajia mawahab wasio fahamika.

    • @selemanimohamed9034
      @selemanimohamed9034 4 роки тому +1

      Shukran laka

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 3 роки тому

    Naam

  • @twahaally7251
    @twahaally7251 7 місяців тому

    Kwan mtume alioisema fungen kwa kuonekana mwez alikuwa anawaambia watu gan.?.. na allaah kasema pamefaradhishwa funga akiwaambia nan s n waislam au??

  • @yazidbafunda5092
    @yazidbafunda5092 3 роки тому

    Hautekelezeki vipi wakati watu wanaswali?

  • @husseinkoja4986
    @husseinkoja4986 2 роки тому

    Waislam watagawanyika makundi 73 tuzingatie hilo na Allah anasema shikamaneni na msifarakane

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro8903 4 роки тому

    Unachukua kauli zao ambazo zinatetea hoja yako, mbona katika mambo mengine kama suala la الاحتفال بالمولدالنبي صلى الله عليه وسلم (kusherehekea mazazi ya ktume) hutetei kwa kuleta kauli zao na dalili walizoegemea?

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      Juma Nasoro
      Hata wewe umechukua fatwa ya
      احتفال بالمولد النبي ﷺ
      Lakin inayohusiana na mwezi muandamo umeiacha ..
      ......... ......
      Halafu Abuu ldd amewataja hao kina Uthaimeen ili tu wajue wale wafuasi kuwa masheikh zao wamesema hivo .
      .... ...... ...
      Ama Ukiachana na Kauli hio .. Basi sisi Mashafii tunazo kaul kibao ktk vitabu zinaeleza hivo ... kwaivo Abuu Idd amewanukuu hao ili akufahamishe wewe na wenzako .
      Kama kweli mnawafuata basi wamesema ivo .

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 6 місяців тому

    Sio haupo Elimu yako imeishia hapo Elimu ni Bahari

  • @SuleimanMasudi-ju3xj
    @SuleimanMasudi-ju3xj Рік тому

    Mbna she Kama kweli unahoja umemkimbia shehe kwanini haumpelekei hizo hoja na kwanini unakimbianazo

  • @aleyslaim4935
    @aleyslaim4935 4 роки тому

    Doh!

  • @aymanjaribuni4844
    @aymanjaribuni4844 4 роки тому +1

    Shekh mohd ead jibu hoja kwa hojja c kwa vioja
    Unatumia nguvu badala ya kutumia dalili
    Kuwa muadilifu tafadhali

    • @hemedharouna4013
      @hemedharouna4013 4 роки тому +3

      Mbona kaonyesha vitabu Hapo, we unataka HOJA gani

    • @selemanimohamed9034
      @selemanimohamed9034 4 роки тому +2

      Hojja gan unayotaka wewe na dalili zipi utakazo

    • @hutisaleh2320
      @hutisaleh2320 4 роки тому +1

      We unataka hoja gn xaxa una kichaa nn ndugu yng

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 2 роки тому +1

      Wewe weka hyo hoja hapa tuione

    • @hutiswalehe2444
      @hutiswalehe2444 Рік тому +1

      Wewe sikio lko la kufa haliwez kuckia dawaaa

  • @muslihmohd3685
    @muslihmohd3685 2 роки тому

    Hawa pia ni wanafiki maana wanasema ety kila mtu na nchi yake mbona afrika mashariki nchi 3 na zinatofautiana majira Ila wanafunga pamoja...???

  • @yuslule9221
    @yuslule9221 7 місяців тому

    Hivi huyu Sheikh anajua kuwa kuna nchi watu wanafunga hadi masaa 18 kweli?

  • @jumanasoro8903
    @jumanasoro8903 4 роки тому

    صَدَقَ وَهُوَ كَذُوْبٌ

  • @ramzsule7678
    @ramzsule7678 Рік тому

    Naona unajitangazia kua na wewe ni mjinga

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 2 роки тому

    Wacha kuwasingizia masheikh wa saudia sasa sisi tunamfuata mtume au masheikh? Mpumbavu tu wewe na mamiwani yako kama site mirror za malori alafu elimu yako wewe ni ya nursery school mdogo saana kielimu na fahamu yako ndogo saana kwenye dini.

  • @darweshilacha3019
    @darweshilacha3019 4 роки тому +1

    Uko nyuma ya ulimwengu we unapenda kuzozana sana hiyo hijja hua mnaenda mwezi upi kama sio wa kimataifa? Hao unaowashutumu hawatumii nguvu hivyo halafu hawako kwenye hiyo mizozo tena wao walishatoka huko watu walishaelewa siku nyingi

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      Darweshi Lacha
      Kama maneno yako ni kweli .
      Kwamba hawapo ktk mizozo jee ndivo wanavofuata kama masheikh zao walivyosema ??
      Kama hawafuati basi mzozo bado utakuwepo .
      ........ Kisha suala la hijja ..
      Allah amesema : ((الحج أشهر معلومات))
      Hijja ina miezi maalum .. kwaivo watu wanafuata Qur-an hapo .
      CHAGUA MOJA
      Ima Masheikh waliokaa kamati hio woote pmj na Uthaimeen wamekosea kwa ksema Mtu afuate ktk nchi ake. Wewe ndio uko sawa.
      AU WEW ndio umekosea na wenzako .. Na masheikh wako sawa (wamepatia) .

  • @dullagolo2950
    @dullagolo2950 2 роки тому

    ww shehe bana pumba tu

    • @shakourdutilo3813
      @shakourdutilo3813 7 місяців тому

      Wee mpuuzi acha matusi kwa masheikh mshenzi weewe, nyumbu wee, kamtukane baba YAKO kwanza

  • @AlimylifeAlimylife
    @AlimylifeAlimylife 3 роки тому

    Nadhani kuna kauli ya mufti zuberi kuhusu ili jambo alipokutana na mufti wa saudia na kumuuliza jibu kila nchi na mwandamano wake

  • @HassanSalum-pg9yu
    @HassanSalum-pg9yu Рік тому

    wacha ujinga wewe abui idi wewe na imamu malik bora nani wakati una kula haramu

  • @HassanSalum-pg9yu
    @HassanSalum-pg9yu Рік тому

    ibadhi ni nani njoo zanzibar nikufundishe ibadhi ni nani hao ni kama wewe urafat na bidaa mkubwa

  • @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY.
    @MAAHAD-RAUDHA-ISLAAMIY. 4 роки тому

    Bas ungenukuu na qaul zao kuhusu maulid ungekua umefanya la maana sana kwani hayakufanyika wakat wa mtume hata wakat qarne tatu zilo bora bali nguvu kubwa na mishipa yakutoka kwenye jambo lilo thibit ndan ya qur an na sunna na ufahm wa wanazuon wema walotangulia kama hanbal abuu hanifa maalik

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      Abdallah Juma
      Hata vigawanyo vya TAUHIID havikuwepo wala havikugawanywa wakati wa Mtume wala Salafi Swaleeh mbona hamsemii kuwa ni bida'a ??

  • @jestinaphilemon5378
    @jestinaphilemon5378 3 роки тому

    povu. kawaida I yako

  • @HassanSalum-pg9yu
    @HassanSalum-pg9yu Рік тому

    wewe ni mnafiki mkubwa hapa tanzania urafat mkubwa wewe

  • @waziriyussuf7174
    @waziriyussuf7174 2 роки тому

    Ha ha Anatoka Vipovu Abuu iddi
    Unaweza Rudi Kwenye Meza ya Elimu na Sheikh Qassim Naona Umekimbia Mwalimu wa Sheikh Qassim Mafuta Hoja Hizi Watafute Wauza Mikate na Chapati ndio Wataona hoja Unaweza Ruddi Mezani Umepewa Miaka 2 Kujadiliana mambo ya Elimu Na Mwanafunzi wako Qassim Mafuta Usibwabwaje ukaongea wajinga Wa ka Comment n

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      haaahaa
      Huyo Qassim Mafuta Anawafuata akina Sheikh Uthaimeen na masheikh wa Saudia ..
      Na wao ndo wamesema hivo .. sasa anahoja gan iliobakia uyo Qassim Mafuta wako ??
      ........ ....... Na mimi nafaham kuwa mas-ala ya mwezi ni mas-ala yenye khilaf baina ya Maulamaa .
      Na sisi mashafiii kila mji wana muono wao .

  • @saidahmed2081
    @saidahmed2081 Рік тому

    Abuu iidi hukutaja aya ya Quran wala hadithi ya mtume katika hoja zako bali unachenga chenga tu
    Wajinga ndio waliwao

  • @ummumulhim3249
    @ummumulhim3249 3 роки тому

    Kumbe ww kinacho kukera ni Saudia rabia sindio basi pia tunaposwali tunafata huko ww Fata kibla Cha Tanzania,, soma acha jazba

    • @ahmadsalim4417
      @ahmadsalim4417 2 роки тому

      Hoja iko wap sasa hapa ama ni jazba tuyh? pinga alichokisema kwa hoja sio maneno matupu

    • @saidihaji3739
      @saidihaji3739 2 роки тому

      Ummu Mulhim
      Nakuonea huruma saana ..
      Maana inaonekana umejaa chuki ktk moyo wako kutokana na maneno yko .
      Ukisema MBONA KIBLA TUNAFUATA SAIDIA (MAKKA)
      JAWABU: Ndio tunafuata Makka kwa7b Allah ametuamrisha tufuate huko.
      SUALI KWAKO : Wapi Allah ametuamrisha tufuate mwezi huko ??

    • @mwanakombohajiali9397
      @mwanakombohajiali9397 2 роки тому

      Mamengwa kasomeeeeeee

    • @abuujibriltv5233
      @abuujibriltv5233 4 місяці тому

      Pole sana kumbe wewe qibla chako ni saudia!

  • @abuushakiraddausiy8666
    @abuushakiraddausiy8666 2 роки тому

    Weweeee''''nimjingatuu kaakimyaa khurafiituu wewe..

  • @HudhayfahKassim-cs3vn
    @HudhayfahKassim-cs3vn 7 місяців тому

    Hoja safiii kabisa Allah akupe umri na afya shekhe letu