MUSIC SEMINAR BY PR. PAUL SEMBA

Поділитися
Вставка

КОМЕНТАРІ • 49

  • @ogampgospelstudio9290
    @ogampgospelstudio9290 Рік тому

    Mungu atusaidie kuelewa tunayofundishwa na kuelekezwa Utaalam na uduni visitufanye kupata viburi na kujiona tukiwafurahisha wanadam na kusahau kua vyote ni kwa utukufu wa Mungu......Barikiwa saana pastor tunyooshe zaidi...☺️

  • @homeland4447
    @homeland4447 Рік тому +1

    Pr. Semba, Mungu akubariki Sana, nafarijika Sana nikipata mafundisho yako. Ila nataman Sana Mungu anipe angalau kidogo namna ya kufundisha hvyo, ili injili iwafikie mataifa wengi.

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  Рік тому

      AMINA

    • @yellakuyela4315
      @yellakuyela4315 Рік тому

      Hakika Nami nafarijika sana sana Mungu akutumie zaidi Pastor PR.samba Ila nataman sana kupata namba yako

  • @samwelndulu1628
    @samwelndulu1628 Рік тому

    Dah! God bless you abundantly pastor Semba,

  • @J.WEZATv
    @J.WEZATv Рік тому +1

    Kanisa linahitaji haya maarifa sana, ahsante pr

  • @alicenyakawa2449
    @alicenyakawa2449 Рік тому +1

    Thanks pastor. For the truth about music both young and old we are under captivity of the lord of this world thank you and thank you. May the Lord God open inner ears of listeners to understand the truth about music

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  Рік тому

      AMEN

    • @masanjasabanja3789
      @masanjasabanja3789 Рік тому

      @@paulsemba_TV PASTA BWANA AKUBARIKI ULISEMA KUNA MASOMO YA MZIKI HAYAKUREKODIWA KAMA MANNE JE GHARAMA YAKE INAWEZA KUWA SH; NGAPI ILI TUZITAFUTE ILI UKIPATA NAFASI UYARUDIE.

  • @josephathkerima7808
    @josephathkerima7808 Рік тому +1

    Asante sana kwa somo nimelingojra kwa hamu kubwa Mungu awabariki.

  • @elizabethmule5539
    @elizabethmule5539 Рік тому

    I sincerely thank God for this truth... May God help me to be a blessing to others even in music... I will share and do my honest part.... Help me on God of all mercy!!!!

  • @royalpriestsmusic5685
    @royalpriestsmusic5685 Рік тому +1

    The LORD IS MY SONG

  • @shafiifilemoni4200
    @shafiifilemoni4200 Рік тому

    Kituo cha mabibo UDSM pia tuna barikiwa sana na mahubiri haya

  • @mchunguzfelix6667
    @mchunguzfelix6667 Рік тому

    Hey there I m felling the blessings

  • @patrickkamau7754
    @patrickkamau7754 Рік тому

    Barikiwa sana pastors haya mafundisho nitayanakiri na mm nikayafundishe .. nipo Nairobi kenya

  • @zirhumanafiston116
    @zirhumanafiston116 Рік тому

    Amina 🇨🇩
    MUNGU akubariki sana mtu wa MUNGU

  • @biblianabibliapekee8113
    @biblianabibliapekee8113 6 місяців тому

    😂😂😂😂 pastor kumbe hata kuimba unajua kwenye hiyo tafuta utakatifu 😂😂

  • @adv.benedictpius
    @adv.benedictpius Рік тому

    Wakati umefika sasa tujue upi mziki wa kisabato na wachungaji watuelekeze

  • @daud8785
    @daud8785 Рік тому

    Nimejifunza baadhi ya mambo nilikuwa sijui. Mungu azidi kukutumia

  • @rusiaJosefu-qf8lt
    @rusiaJosefu-qf8lt 4 місяці тому

  • @Obeidkazimili
    @Obeidkazimili Рік тому +1

    M/kiti Zabron Singers nimekuelewa

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  Рік тому

      BWANA ATUJALIE SOTE KUISHI MAPENZI YAKE

  • @stellamariki6852
    @stellamariki6852 Рік тому +1

    Pr, mbona hili hubiri haikubali kudownload.

  • @maxwellvangulinja
    @maxwellvangulinja Рік тому

    this TRuTH has to go everywhere🙏🙏

  • @patrickkamau7754
    @patrickkamau7754 Рік тому

    Sasa mchungaji nyimbo zichezwe na style ipi sasa yenye mamlaka ya bingu

  • @PaulEvarist-jc3mf
    @PaulEvarist-jc3mf 11 місяців тому

    Suala la Muziki na falsafa ya muziki wa kiadventista ndio muhimu Sana kuzingatiwa, inaonekana Kuna ugumu kwa kwaya nyjngi za makanisa na wengi wamekuwa wakidai kuwa wanasumbuliwa, Mungu atusaidie kuwa na njozi ya kurejesha muziki wa Mungu, tukiweza kuwa handle vijana na kwaya zao tukawapatia elimu ya kutosha baaade tutaona matokeo makubwa na mabadiliko ya kutia moyo kwenye nyumba zetu za ibada.
    Maana inafikia hatua hata washiriki wa kanisa wanalalamikia wachungaji kuwa ohohoh "mnatuletea kwaya zinatuimbia nyimbo za kristo"?.
    Wengine wanasema hii kwaya haichangamshi ni uasi mkubwa unalikabili kabisa la Bwana.
    MUNGU ATUSAIDIE SANA KWA MAANA HUU NDIO WAKATI AMBAO ROHO WA MUNGU ANATOWEKA NA HUU HUU WENGINE WANAJAZWA NA HUYO ROHO.

  • @maxwellvangulinja
    @maxwellvangulinja Рік тому

    Thanks Pr

  • @timothkanuti415
    @timothkanuti415 Рік тому

    Asante tena pr

  • @josephathkerima7808
    @josephathkerima7808 Рік тому +1

    Mchungaji masomo yote ya mziki tunaomba yawekwe kwa mtandao.

    • @paulsemba_TV
      @paulsemba_TV  Рік тому +1

      KWA SABABU ZISIZO NDANI YA UWEZO WANGU, MASOMO MANNE HAYAKUREKODIWA. MATANO YA MWISHO YATAKUWA HEWANI JUMA HILI

    • @maigagoodluck1481
      @maigagoodluck1481 Рік тому

      @@paulsemba_TV Amen mtumishi ubarikiwe

  • @masanjasabanja3789
    @masanjasabanja3789 Рік тому +1

    TUNAOMBA MTUWEKEE VIDEO KWENYE MP4 ILI ITULAHISISHIE KUPLAY POPOTE

  • @mwitanyangi1044
    @mwitanyangi1044 Рік тому

    Je wimbo wa jazz unahesabiwa wapi

  • @ahadiishara9445
    @ahadiishara9445 Рік тому +1

    Pr Asante kwa somo
    But Naomba hayo masomo ya ngewekwa kwenye flash ili tununue tubaki nayo Tuendelee kujifunza

  • @cosmassamon9723
    @cosmassamon9723 Рік тому

    Samahani pastor nimekua nikifufuatilia siku nyingi kwa mafundisho yako
    Ukikemea mambo mbalimbali yanayo fanywa na waumini kinyume na neno la Mungu kama kusuka nywele, kuva milegezo, kunyoa denge. Pia leo umeguzia mziki
    Lkn mbona haya mambo yanaendelea ndani ya makanisa?
    Mimi naona kama hakuna kinachobadilika?
    Samahani pastor usinielewe vibaya swali langu
    Mimi nazani pengine shida ipo, mwachungaji mliangalie kiundanj

    • @ernestshekalaghe1945
      @ernestshekalaghe1945 Рік тому

      kumbe ndio maana Shetani anafwatilia walio na vya kwake

    • @ernestshekalaghe1945
      @ernestshekalaghe1945 Рік тому

      Kishindo cha wakoma kumbe Ni legae, hahahaha, tumekwisha. Mungu akubariki pr kwa mafundisho haya

  • @geraldmwangira.4978
    @geraldmwangira.4978 Рік тому +1

    Pastor hizi nyimbo mbili kishindo na mkono wa Bwana si nyimbo zetu lkn sie Sda?? Na vile ni nyimbo zinazopendwa kumbe mziki uliotumka haufai!

    • @elibarikimaganga9571
      @elibarikimaganga9571 10 місяців тому

      @geraldmwangira.4978 ni Kweli hizo nyimbo zinapendwa, Je, hao wanaozipenda wanaongolewa au wanaburudishwa tu na kubaki kama walivyo?

  • @KalmelaChesco-ok2yl
    @KalmelaChesco-ok2yl 11 місяців тому

    Wakati nasikiliza hii speech nilianza kwa kuzunika mno, lakini baadae nilijikuta nacheka!!! YESU PONYA NAFSI ZETU KWENYE MZIKI. Nilikuwa najiuliza sasa tuimbe vipi???? YESU tufundishe jinsi ya kufanya ibada ya muziki

    • @adarashidi8178
      @adarashidi8178 11 місяців тому

      😂😂😂 nikweli hata Mimi nilijiuliza ivyo Bwana atusaidie sana 🙏