Jali muda wako katika maisha. Hii ni maana ya kwanza naiona hapo. Pili ni kwamba inaweza ikajulisha hii ndoto juu ya kusifika kwa matumizi sahihi ya akili kaytika jambo fulni sasa zingatia kwamba kama alikupatia ushuri basi kuwa makini na huo ushauri unaweza ukakufaa
Sheikh nimeota naonyesha mkono wangu namuonyesha mtu siunaona bado nnakinyesi yan niligusisha kweny utupu wang wa nyuma nilivyoona umechafuka nikawa nmuonysha mtu ilianiongeze maji nitawaze vizurilakin mtu mwenyew sijamuona ninaeongea nae@@MTAVASSYTv
kama haitotokea kama ulivyoona kwako au kwa mtu wa karibu yako basi fahamu kwamba hii ndoto inakutahadharisha marafiki au watoto wake watatu watakupigia kelele
Atakusaidia kama yupo hai mtake ushauri ukikwama na muhusishe kwenye mambo yako, lakini pia baba huwa na tafsiri ya Mungu ndotoni hivyo taka msaada wa mungu uwe unaamka usiku unaomba, ikiwa ni tabia yako kufanya hivyo basi unaambiwa kuwa maombi yako yamepokelewa maashaallaah
Huo ni uchawi unaambiwa unafanyiwa lakini hii inataka nitafiti zaidi kwasababu mkono wa mtu huwa ni msaidizi,uchawi na baadhi ya mambo mengine sasa ukiona kimya basi hilo tu lakini nikiona kuna kingine nitakujuza inshallah
Shekhe mm nimeota boss wangu kaniretea pesa chumban kwangu badae mm nikampa mkono kama kumshukuru yani tulipeana mkono lakin mkono wake unavidoavidoa vyekundu kwasavabu yy ni mweupe
Huyo atakwambia maneno kama kukutaka ushauri kwani hana usaidizi inavyoonesha ni hivyo, na anakupenda, Sasa basi kama ndoto itasema kweli ni hayo lakini kama haitosema kweli basi hakuna kitu
Shekhe nimeota nikiwa nipo barabaran mazingira ghafra akatokea mtoto akaniambi naomba mkono wako nikusaidie kunamtu amechukua nyota yako nikasita kidogo lakin nikampa akaugusisha na wake mkono wake ulitoa mwanga ukaingia kwangu akaniambia tayari nenda kwa tabasam mi nikashangaa kweli
A sallam alleykum warahmatulah wabarakatu.samahani shehe je ukiota mkono wakulia kidole kikubwa kimepasuka lakini hakiumi na nikakifunga kwakitambaa cheupe nn maana yake
A salamu alekum shek naitwa answar musa niko dubai nimeota nime kanyaga mavi mguni Kisha nikaya futaa sehemu. Kisha Kwa kando Kuna dada moja Ana n zoa haja nyingine nini maana yake
Shekhe nimeota mpenz wangu nanivalisha saa mkono wa kushoto hii inamaana gani
Jali muda wako katika maisha. Hii ni maana ya kwanza naiona hapo. Pili ni kwamba inaweza ikajulisha hii ndoto juu ya kusifika kwa matumizi sahihi ya akili kaytika jambo fulni sasa zingatia kwamba kama alikupatia ushuri basi kuwa makini na huo ushauri unaweza ukakufaa
Sheikh nimeota naonyesha mkono wangu namuonyesha mtu siunaona bado nnakinyesi yan niligusisha kweny utupu wang wa nyuma nilivyoona umechafuka nikawa nmuonysha mtu ilianiongeze maji nitawaze vizurilakin mtu mwenyew sijamuona ninaeongea nae@@MTAVASSYTv
Assalamualaikum shekhe mie nimeota mkono wangu umechomwa na mwiba! Lkn nikautoa. Nini maana yake?
kama haitotokea kama ulivyoona kwako au kwa mtu wa karibu yako basi fahamu kwamba hii ndoto inakutahadharisha marafiki au watoto wake watatu watakupigia kelele
@@MTAVASSYTv samahani shekhe sijaelewa
Shukran
Asalam aleikum sheikh nimeota napewa mkono na akabusu na mtu wakaribu sana na Ameshakufa tena ukiwa na tabasum yy na bint wake wore ni marehem
assalamu alaykum sheikh...mm naweek mkono wa kushoto unawasha p1 na mguu wa kushoto unawasha sana,naomba kujua maana yake
0656606014
Shehe Mimi nimeota nampiga MTU kibao na mkono wakulia😢😢
Nin maan yake
Assalam aleykum shehe mm nmeota babang amenipa mkon nn maan yake?
Atakusaidia kama yupo hai mtake ushauri ukikwama na muhusishe kwenye mambo yako, lakini pia baba huwa na tafsiri ya Mungu ndotoni hivyo taka msaada wa mungu uwe unaamka usiku unaomba, ikiwa ni tabia yako kufanya hivyo basi unaambiwa kuwa maombi yako yamepokelewa maashaallaah
Asalaamalykum shekh niliota mkono wamtu nikijaribu kuitamu ajeaone sauti aitoki
Huo ni uchawi unaambiwa unafanyiwa lakini hii inataka nitafiti zaidi kwasababu mkono wa mtu huwa ni msaidizi,uchawi na baadhi ya mambo mengine sasa ukiona kimya basi hilo tu lakini nikiona kuna kingine nitakujuza inshallah
Shekhe mm nimeota boss wangu kaniretea pesa chumban kwangu badae mm nikampa mkono kama kumshukuru yani tulipeana mkono lakin mkono wake unavidoavidoa vyekundu kwasavabu yy ni mweupe
Huyo atakwambia maneno kama kukutaka ushauri kwani hana usaidizi inavyoonesha ni hivyo, na anakupenda,
Sasa basi kama ndoto itasema kweli ni hayo lakini kama haitosema kweli basi hakuna kitu
Shekhe nimeota nikiwa nipo barabaran mazingira ghafra akatokea mtoto akaniambi naomba mkono wako nikusaidie kunamtu amechukua nyota yako nikasita kidogo lakin nikampa akaugusisha na wake mkono wake ulitoa mwanga ukaingia kwangu akaniambia tayari nenda kwa tabasam mi nikashangaa kweli
A aleikum nimeota mkono umefura mpaka imepasuka kawa na kimbilia kwenda hospital kumuona dakatari
Wa,salaamu warahmatullahi wabarakaatuh
Hapa unaambiwa kuwa utakosa msaada hivyo tafuta watu sahihi kwenye maisha yako
Mim nimeota mama yangu amekwata mkono na vidole
MKONO NI UWEZO SASA HAPO NAONA MIMI ANAAMBIWA HANA UWEZO
A sallam alleykum warahmatulah wabarakatu.samahani shehe je ukiota mkono wakulia kidole kikubwa kimepasuka lakini hakiumi na nikakifunga kwakitambaa cheupe nn maana yake
A aleikum ukiota mkono umefura mpaka umepasaka kawa na nikimbilia kwenda kumuona dakatari kujuwa shida nini
Assalamualaikum shekh nimeota nko kazini nafanya kazi lakini nko mapumziko nyumba.
Nini maana ya kuota mama mzazi ame amevunjika mkono kabisa??
Mama hawezi kusaidiwa yaani mama atakosa au anakosa msaada
A salamu alekum shek naitwa answar musa niko dubai nimeota nime kanyaga mavi mguni Kisha nikaya futaa sehemu. Kisha Kwa kando Kuna dada moja Ana n zoa haja nyingine nini maana yake
Assalam Aleikum sheikh, nn maana ya kuota uko bustan huku ukiskia Adhana akiadhini waenda kuswal jamaa na wenzako? mume wangu aliota hivyo
jmn mm nimeota mkono wangu unaandikwa maandishi ya kiarabu kama piko
Assalam alaykum sheikh nilikua nauliza nin maana ya kuota nyoka aina ya chatu wawili wakiwa ndani
Nini maana ya kula chakula na vinyaji na hapo hapo kuna BOMBA lililo tengenezwa gafra tu
Chekh nimeota naona mguu wangu Wa kushoto unaleta bitu byakuvimba vimba nikakemey bikaisha
Na jee ukiota mkono wa shetan nn maana yake
Nini maana ya kutembea na tumbo
Little
Mini maana ya kuota kitu kime vunjika au kumuona mtu kaka kwenye kiti