Mama Rwakatare" Mwanaume ni bidhaa Adimu | Nilimpenda Mume wangu, nilihakikisha namfurahisha.
Вставка
- Опубліковано 30 вер 2024
- #CloudsMedia ipo mubashara kutoka studio za Clouds Fm ambapo Mchungaji Getrude Rwakatare yupo akizungumza.
#Clouds20 #MapenziShataShata
Soma mithali utajifunza kitu pale bwana alipowambia mkewe "hakika mabinti wengi wamefanya mema ila wewe umewazjdi wote" kwaiyo mwanamke ukifanya kazi inatia falaja kiukweli
Mola amlaze mahala pema. Mtetezi wawanaume ktk ndoa
Mama siamini jamani😧 ntakumiss sina raha kabisa mm😢
Nimecheka kwwenye ki Bibi jaman mpaka mbavu znauma aaaha!we mama ntakumic sana aise
Tutakumis Mama,ulikuwa mwalimu wa wote.
R.I.P mama nakose neno Mungu akulaze mahali pazuri ume tumika mama tutakukubuka kwa ushahuru wako
Amina
Akina mama tufanye kazi,biashara,ili mradi uwe na chochote cha kukubeba kiuchumi maana dunia ya Sasa hivi wanaume wenyewe wanataka kupewa hatari tupu.
Hahaha umenifurahisha wanaume wanakwepa majukum yao wanataka kulelewaa
@@beautyibrahim8428 mama majanga matupu huwa nawaambia watu kuwa na mume upate uzao wa baba mmoja,wale wakununua Madera siku hizi hawapo wengi wao wanataka kununuliwa Hadi boxer.
Msiwasaidie WANAUME kabisaaa
Soma mithali utajifunza kitu pale bwana alipowambia mkewe "hakika mabinti wengi wamefanya mema ila wewe umewazjdi wote" kwaiyo mwanamke ukifanya kazi inatia falaja kiukweli
@@dayocha1855 inamtia faraja yule anaekua na yeye anachapa kazi dada hapa anaongelea hawa wanaume wengine wa siku hizi ambao akikuona unafanya kazi basi na yeye anabweteka au zake zinakua za bata tu wewe ndio utakoma na majukumu yote...natamani wenye akili kama wewe waanze kuongea na wanaume wenzao na tatizo kubwa wanawake wanaongea na kufunguka wanaume wanakaa kimya...wanaachwa hapo sie twasonga
🤣🤣🤣Rest in Peace momy wakisulisuli tuta kumiss sana kwa maneno mazuri 😭😭😭
Kwakweli tutammiss. Busara zake, problem solver tena smoothly solving
Hivi mnaelewa maana ya Askofu?
Mwanamke hawezi kuwa Askofu
@@fransiskamkalawa6745 acha ujinga ww ni nani anayejua siri ya Mungu? Awe asiwe ndio ishakua, hata ww unajua maana ya baba toa ushetani wako hapa
@@fransiskamkalawa6745 ss baba yako mbina hakua? Wacha wivu na mtu ambaye keshatangulia mbele ya haki, huu unaouandika hapa ni ujinga aluyekwambia mwanamke awezi ni nani kaweza kukuzaa ww ashindwe kitu cha kujifunza mjinga sana ww jamaa heshimu marehemu wa watu sio kucomment ujinga hv uoni hata aibu🤑🤑
We will miss you our greatest mama
Nimechek jmn🤣🤣🤣et kibibi ila wamezid Haw ukuta hat huy bibi akija atambaka tu
Pumzika kwa amani Mama hakika ni pengo umeliacha
Mimi Ni Kenyans nilipenda huyu mama Sana Sana rest in peace
Raha ya milele umpe ee Bwana mama Rwakate apumzike kwa amani
Pumzika kwa amani mama
Na mwanga wa milele umwagazie
,RIP mom,najuta sikukujua kabla,Mwanga was milele uangaziwe
Mama tutakukumbuka daima
Pumzika kwa Aman mama yetu
Saf sana mama
Ubarikiwe Bishop wa Mlima wa Moto assemblies
Mtangazi upo vzr
Mama tutakukumbuka daima
Kweli dadangu mwanaume ni adhimu na umepewa na na mola ume nena👍😁😍
Nakupenda sana mama,ntamani sana siku moja nisali mlima wa Moto
Rest in Peace Woman of God.
MUNNGU nikwema
hahahaaaaaaa yan nmecheka kwa sautiii kubwaaa...eti dawa kuleta bibi kizee!
Tanzanie inapoteza mutu Na maman rip
Rip
Upumzike kwa Amani Mama
Nimecheka balaa etii,, alete bibi mfanyakazi haaaa nimepata somo
Mwenyew mbavu zangu jmn
SAFIRI SALAMA MAMA...KUTOKA KENYA TULIKUPENDA SANA
R.i.p mama Rwakatale
R.I.P mama
Nakupenda sana
Oh my GOD 🙏🏽🙏🏽. RIP mama 😭😭😭. It’s very much true what later mama was talking about men and women Tanzania people they will missed you a lot really. 😭😭😭😭😭💔💔💔
Hapo Ndio mama mpendwa alikuwa na mapungufu, mtu mzima anatembea na watoto wa ndugu.,hafai mwanaume kama huyo, mwisho atakuletea magonjwa na kuteketeza familia yote kama Mambo ya Bukoba miaka ya 80
Rip
R.l.P
You made my day Harris with mama. God had a good plan for mama and you to have this conversation. USA we are together ❤
Mungu akupe nguvu
Very inspiring mother, Rest In Peace mom
Mnamuonea Hiyo, Mtamuulizaje Hiyo Maswala Ya Ndoa Ikiwa Yeye Yuko Nje Ya Ndoa?
sikiliza vizuri weweee! mume alikua nae na kwa mapenzi ya Mungu alifariki so experience ya ndoa anaijua vizuri sana...usikurupuke kujudge
Nelson Kazaura si alikua nandoa
Pumzika kwa amani. Mama. Mchunga. Kondoo. Wa mungu
R.I.P Woman of God
Malaya ni malaya hata bibi atalala nae, Kamwe huu ushauri ni mbaya.
Vanessa Stafford agreed. Akianza kulala na vitoto kweli anything is possible
Pumzika mama gettuda ulikua jembe Sana
Hahaha Eti kimama kimenenepa wanaume amekondaaaa
Ni mwanamke mjasiri mwanamke mwenywe anajiamini tunamuombea mungu amlaze mahali pema peponi
Maskini, anakimbia kwa sababu ya vitoto!!? Amletee bibi😅😅 hatoki mtu hapa🤣🤣🤣🤣
hakika
Maneno mazur sana mamaa pumzka kwa aman😢
n
R.I.P mama,...
Apana mama kusema mwanamke na mwanaume nisawa apana Apo nakataaa kabisa,
Kabisa maana mwanamke amezidi...anauwezo mkubwa Zaidi kiakili mpaka kimsimamo, tena wa siku hizi hata kiakili na kiuchumi….siwezi kuwa sawa na mwanaume hasa hawa wa siku hizi...NO WAY!
Rip mama
R.I.P
R.l.p mama
Kweli mama utakumbukwa kwa mengi mema uliyoyafanya kwa jamii hata kama hukunitendea mimi lakini wale uliyowatendea ulinitendea mimi,Mungu akupunzishe kwa Aman mama yetu.
you are really a woman. utakumbukwa na wengi Hakika nimejifunza.
R .l.P mama
Raha ya milele umpe ee Bwana marehemu wote wapumzike kwa amani
R,I,P MAMA umetangulia mungu ailaze mahala pema peponi roho yako mh doctor gretrude pangalile lwakatale
R i p
Dr natamani na mimi nianzishe shule Nisaidie please
Hakika Mungu alikupa hekima na maarifa.Kazi umemaliza imani umeilinda Mungu na akuvike taji ya ushindi.pumzuka kwa amani
Tutakumis mama ahsante kwa mafundisho yako mazuri. Mungu asikunyime Mbingu mama
Huyu mama alikuwa shuja Sana na mashauri mazuri Mungu akupokeye mom wetu
Lala salama mama wetu mwenye Mungu akupunguzie adhabu za kaburi
Ukweli Mimi mpaka muda huu siamini kama mchungaji umeiaga dunia mungu aiweke mahari pema peponi
Kweli mungu amechukua kilichochake
Hah mbibii RIP
Tutakumiss mama yetu jaman sikuamini masikio yangu niliposikia msiba wako
RIP mama
R.I.P Mama yangu uende mahala panapo stairi
Mola ametoa na mola ametwaa
R.I.P
Nenda mama yetu kipenzi kafanye kazi ya Mungu mbinguni naiman maraika wamekupokea kwa shangwe mtumishi wa Mungu
Ukisha kufa huko hakuna !!!!
Rest in peace our mom
RIP
Mama tutakukumbuka daima
Rest in piece my beloved mom
Kwelio nalia kwa machozi
Haha alete bibi kwakweli nimecheka sana'safir salama mama
😃🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣amletee bibi 😂😂😂😂😂😂mwanaume walivyo walaf ataacha kumla huyo bibi
teh eti bbi..
Mwanaume msharati ni msharati kuna wacishana njee pia hawapiti mbeleake
@@umpump8472 na ndio maana mwanaume muasherati hana maendeleo na wengi hawa akili...hili ni kweli kabisa….na wengi hata akifanikiwa lazima aharibu pia....lakini pia ndio maana wanawake wanapiga kazi wanaachana na hvo vikitu vinajiona viasherati...napenda spidi ya wamama siku hizi...
R.IP Mama Tulikupenda Mungu kakupenda zaidi
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌😭😭
nimejifunza kitu
Rest in peace mom kwa kweli me bado hata siamini
Amina mama
Pore
Tutakumi miss pumuzika kwa Amani
With fact she was a Dr and Bishop. I am wondering the way she was decorate her nails as born again. But will every thing for God he is the Judge. May the lord help us.
Ni mrembo kwahiyo ukiwa bishop usipendeze
@@yeyothegreat8277 I did not know painting nails makes some one beautifully. The beauty of a person is on the eyes of the be holder.
God looks at our hearts not the physical appearances. As long as you are not walking around half naked or fixing your nails, hair, eyes, etc., with evil intentions, you are okay in the eyes of the Lord.
There are so many wolves walking around in sheep’s clothing and we are enabling them by focusing on the exterior. Let’s leave the judgement call to the Lord.
May she Rest In Peace.
Pumzika salama Mama
😂😂😂😂atanioaaa
R i p
Jamani naomba nisaidieni majb, hivi huyu mama mume wake yupo!?
presse G. MUME WAKE ALIFARIKI ZAMANI NA PIA MUME WAKE ALIKUWA MBUNGE WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MH:ALFRED RWAKATARE.
Nashukuru kunifahamisha, ahsante Sana
presse G. OK KIONGOZI
Mungu amrehem
🤔🤔
Thank u mum...rest easy...
RIP Bishop
Napenda tu mama akiongea
Oh my GOD. 😭😭😭😭😭😭😭
R.I. P . Nimecheka eti alete mzee mbibi akaenae. Dah chini vinaenda vitu . Mungu akupunguzie adhabu ya kabri mama.
Mkristo hana azabu ya kabri
Rest in peace momy
RIP MUM
R.i.p mama
Rip mom
Hahahaaaa Bibi kizee pumzika kwa amani mama
It’s true mama. 😭😭😭🙏🏽🙏🏽