Usishabikie kitu ambacho hauna uwakika nacho ndg yangu, mambo ya siasa haya waachie wenyewe, nadhani unaangaliaga movies, basi yale ya kwenye muv ndio kama haya yanaotokea kwenye jamii
Huyo mama ni ngombe tu Hana Cha kuwaambia wanachi ndio maana anaogopaga kutembelea wananchi , akaona Bora kusurura masiku ziende lakini tutakutana 2025 ngombe ww , mbona huoni Maraisi wanaokutembelea kila siku mindege tu na watu Wana mashida kibao
Hivi hii barakoa ni mashart uliyopewa na wazungu au unakorona yako tu Mama yangu kipenzi toa barakoa mrudishie mungu sifa na utukufu corona katuepusha au ile ulivyosema itakua kali kuliko zote bado tuitizamie mungu ni fundi imepotea njia
Iyo ndege si ndo zili alizokuwa akizipambania jembe
Jembegani lilikua liuji na utekaji wa watu limeshaenda kuzimu linaunguzwa mto
Usishabikie kitu ambacho hauna uwakika nacho ndg yangu, mambo ya siasa haya waachie wenyewe, nadhani unaangaliaga movies, basi yale ya kwenye muv ndio kama haya yanaotokea kwenye jamii
@@hamadiayossy190 sante Hamadi
Hatuna rais tanzania kazi kuzulula tuu anaona sifa sana tutaona 2025
Utamfanya nn na hao wanaekwa na Tume ya uchaguzi pmj na vyombo vya dola!
Asante jembe la chato
Greatest
Kwel tz hakuna rais
Ana hamu ya kupanda ndege...mlisema za nn!!
Yaani katika inchi iliyo filisika fikra naona kama Tanzani chá ajabu nini hapo
Wewe ndo umefirisika kifikra
Ndege iliyombeba rais samia au ndege ya rais samia?!!!!!!
Anazurura tu mama etu.
Misifa tu ya dunian tunasahau akhera.
Wananchi huku taaban,
Umeme, mafuta, chakula, Tozo, pango. Jamaan mama!!!
yes yes vipi nyinyi kazi yenu kutufanyia maisha magumu tu na Ahera yes
@@eddynaeem6708 mmmmm!
Acha tu
Kwani ndege ya rais mbovu au?
anatembea tu kwenye ndege walinunua wanaume,pumbavu
🤣🤣😂🤣🤣🤣🤣dah!!!
Hz ndege wamenunuwa watanzania wote .kwa kodi zenu na pssa za mikopo .Acha usenge huo eti walizonunuwa wanaume pumbavu
Duh, kiswahili,kimekuwa nimesikia salami ya raisi heshima toa
Ndege yamagu
Huyo mama ni ngombe tu Hana Cha kuwaambia wanachi ndio maana anaogopaga kutembelea wananchi , akaona Bora kusurura masiku ziende lakini tutakutana 2025 ngombe ww , mbona huoni Maraisi wanaokutembelea kila siku mindege tu na watu Wana mashida kibao
Kama Mfalme Magu hakununua ingekuwaje
R.I.P magu
Naww usimfanye magu kama alikuwa Mungu mtu kila kitu kwamba alikuaa anaweza .Alikuwa na style ya Panya anatafuna huku anapuliza
Mama Anaupigwa Mwingi Dakika Zote Hachoki
Hivi kuupiga mwingi ni kufanyaje? Au maanaake ni ufisadi uliopitiliza kiwango karibuni
@@prosperitymaarifa1336 niufisadi wahali ya juuu sana 😠😠😠
@@khadhiriramadhan5984 Hakuna Rais ht mmoja alokuwa hakufanya ufisadi .Wote mafisadi kianzia huyo chongameno
Ndio ndege ya Raisi alioichagua tena na anaipigia misele haswa ya kujenga nchi. Hamtaki?😂😂😂😂
Hatutaki
Hivi hii ni ndege ya rais au ya abiria
Kako na masifa tupu hapa hakuna raisi
Cha ajabu kipo, umeonyesha ukarimu wa Hali ya juu
Nyie nanyi kama vile wasenge cha ajabu nini hapo au kushtua watu tu
Cha ajabu ni kipi ungetufafanulia hapo
Sijaona lamaana
mama limbukeni sana ndio tatizo linapoanzia
Ndo tunapokwambieni hatutaki Muungano tuachieni Zbar yetu mchukuwe Mwinyi wenu maana huo Uchumi wa Buluu ushapiga weusi
Ivi ile ndege ya mkapa ikowapi?
Ya kikwete je😂😂😂😂
Kazikwa nayoo
Easenge nyie
Cha ajabu ni majamvi
Vasko dagama
Mama anatalii tuu dodo chini ya muarobaini huna wasiwasi sijui ushawahi kufikiria hata kutembelea Hospital za ndani?
Hivi hii barakoa ni mashart uliyopewa na wazungu au unakorona yako tu Mama yangu kipenzi toa barakoa mrudishie mungu sifa na utukufu corona katuepusha au ile ulivyosema itakua kali kuliko zote bado tuitizamie mungu ni fundi imepotea njia
@@meryshekoloa961 jamani
@@meryshekoloa961 otowe barakoa atawaeleza nini waliompa hela ya covid
hata xijaelewa Nini ajabu
hakuna cha ajabu chochote ilikuwa amani tu
Hakupokelewa na Rais M7
Ndege yamagu
Magu hana Ndegu mbona hawakurithi hao wanawe .Hizo pesa zenu pmj na mikopo alokopa Mwendazake baada ya kuizidishia Nchi deni la Taifa