Hla haya maisha jaman tumuombe Mungu watot wetu wasiptie hya,maana kuna watu wanaptia magumu sna toka utoton mwao mpka ukubwani,Mungu uturehemu na uwasaidie watot wetu.
Na wengi wanakuwaga ni wachungaji kumaanisha ya kwamba shetani huwa hashuhuliki na wasio kuwa na kipawa shetani hapendi nguvu kazi ya Mungu ikiongezeka
Haya ndio mastori ninayo yapenda Sasa, pamoja sana Bwana davista
Hla haya maisha jaman tumuombe Mungu watot wetu wasiptie hya,maana kuna watu wanaptia magumu sna toka utoton mwao mpka ukubwani,Mungu uturehemu na uwasaidie watot wetu.
Hongera davistar umetuletea kitu
Story nizipendazo ❤❤
Pia mimi dadangu
Dante davesta::mwambie karibu tunamsikiliza🎉🎉🎉
Hahaha davistar umechapia ..🤣😁😁 ATI mtumisii
daah afadhali hatimae tumepata Story ya kufatilia
Pamoja sana davistar
Waa jamani Mungu tusamehe ATI unamuacha ndio afe waa anagoma kufa
Safi sana karibu sana
Yea😊 wakwanza
Sure story hizi ndo zenyewe asee davista usizicheleweshe tulianza pamoja mzee kutoka zile za kufikirika
First
Daa uyu wa nyumbani kabisa lumashi kama ajaenda kwa mahara uyu jama
Leta story kama hzi za wazee wa scudi na bakora za kimkakati
Ile ya magere haitatokea bonge la story
Inaonekana hii itakuwa nzuri Sana
Naomba number zake tafadhali, nmemtafuta sanaaaa
❤
Huyu mbona anataka kufanana na yule Flateni aliyetekwa na waasi Burundi?
Mwendereza plz davistar
Type Link ya mwendelezo please tuna mb za kutosha
J.boys 1999
Kivuli anamaanisha nafsi. Kama story inaanza kunoga frani vile
Kwanini wengi wakishafanya majabu ya kishetani ya kuzimu badae wanajifanya kuokoka?????🇹🇿🇬🇷
Siyo wanajifanya Kwan wewe mchawi? Lazim Aokoke ili asife hat mim nimeokoka na majin shetan kanikimbia
Na wengi wanakuwaga ni wachungaji kumaanisha ya kwamba shetani huwa hashuhuliki na wasio kuwa na kipawa shetani hapendi nguvu kazi ya Mungu ikiongezeka
Msaada wao unafikiri wangeutoa wapi, ulinzi je baada ya kuacha uchawi? Huwa unasikiliza kweli hatari ya kuacha uchawi??
@@edithaeugeni9695 uko sahih au watu wenye nyota nzur
Kusudi la Mungu
Ulikwenda kukaa sehem sehemu gani?