UBISHANI KUHUSU JEZI MPYA ZA SIMBA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 жов 2024
  • Leo Simba wamezindua jezi mpya za msimu huku zikiibua mjadala mkubwa hasa mitandaoni hapa wachambuzi Geoff Leah na Oscar wakiongozwa na Fatma Likwata leo kipindi cha #10 wametoa uchambuzi wao

КОМЕНТАРІ • 26

  • @cashliicashlii4253
    @cashliicashlii4253 3 роки тому +1

    Hyu hyu dada ni yanga oyeeeeeeee

  • @abigaelmabuga1315
    @abigaelmabuga1315 3 роки тому +2

    Shida waandishi wa utopolo ndo mnaongoza kuchochea ujinga,achaneni na jezi zetu.Tena Mo alipaswa amuweke Babra pia familia nzima hadi vijiko.Kwani inawahusuuuuuu!

  • @galucemalapende1866
    @galucemalapende1866 3 роки тому +2

    Mbona pedi ukipewa uchunguzi

  • @adelaida3813
    @adelaida3813 3 роки тому

    Hahaha

  • @amirisalehe9558
    @amirisalehe9558 3 роки тому

    Iyo jeez daftari

  • @azizshedrack5269
    @azizshedrack5269 3 роки тому +1

    Acheni unafki siku yenu yamashoga imeisha zamu ya Simba jinsi ulivyo yaani na uswahili tofauti haooooo midia hizi wasomi kidogo mabogazi niwengi kwiyooo ichambue gauni yako nahizo suruali zenu

  • @castorymwaipopo290
    @castorymwaipopo290 3 роки тому

    Achaneni na timu yetu kama mna upenzi wa timu zingine jezi ni kali wana simba tumeielewa bc acheni ngenga🦁💪

  • @gracewiliam8872
    @gracewiliam8872 3 роки тому +1

    E
    Wewe .aziz kinachokusumbua ni wivu na jezi yenu ya misukule na vimbwengo fc

  • @bakariyusufujuma
    @bakariyusufujuma 3 роки тому +1

    Wangeelezea na wewe ungeongelea nini huo ni ubunifu ili mpate cha kujadili ukipata majibu mtajadili tena

  • @mwanakheridunda8481
    @mwanakheridunda8481 3 роки тому +1

    Hivi wewe dada una akili timamu kweli.Za yanga ulihesabu au unafiki tu.Kuwa na ueledi mnambeba huyo msukule na aliwatukana wajinga nyinyi kuweni na mizania acheni uzushi wa kisenge wandishi.Nyinyi ndio mlikuwa mkitaka uwekezaji kwenye timu zetu badala yake mnauponda uwekezaji wa mo simba wambea wakubwa sana.

  • @albertinemabilo4139
    @albertinemabilo4139 3 роки тому +1

    Hako kamwanamke kana mdomo sana.

  • @tatalyzer382
    @tatalyzer382 3 роки тому

    Makolokolo bado yapo palepale. Na bado logo ya mdhamini wa ligi

  • @djamanzacharia
    @djamanzacharia 3 роки тому

    Dada usisumbuke xana hlo ni bango la matangazo

  • @amirymbilimo448
    @amirymbilimo448 3 роки тому +1

    Wanafiki nyinyi

  • @luganomwaisumo1938
    @luganomwaisumo1938 3 роки тому

    makorokoro yame paniki

    • @castorymwaipopo290
      @castorymwaipopo290 3 роки тому

      Mbona vibwengo awakuvichambua kwenye jezi ya utopolo fc

    • @luganomwaisumo1938
      @luganomwaisumo1938 3 роки тому

      @@castorymwaipopo290 ukishakuwa koro ata akili yako inakuwa koro

  • @azizshedrack5269
    @azizshedrack5269 3 роки тому

    Dada unaongea sana umetumwa ujaletewa jenzi wewe simba ndo wenye jenzi zao haikuhsu kama umetumwa katumike mbele huko

  • @shakilakasilo9286
    @shakilakasilo9286 3 роки тому

    Mo 29 ni sabuni ya kipande

  • @saidsuleiman1753
    @saidsuleiman1753 3 роки тому +1

    Huyu mwanamke ni mpuuzi vitu anavyouliza having maana yoyote

    • @lugolomela1543
      @lugolomela1543 3 роки тому

      Fatma likwata fala sana ndo maana clouds walimtimu