Mbona asikuwekee Kinga kwa boma lako insteady anatoa wakirudisha uchawi na y asikamate mwenye anaweka huo uchawi ndio amwangamishe apo Kuna mchezo bana. Ghai afanye kitendo watu wa nachezea wengine
The only protection you'll ever have, is God's protection. Yani, you choose to trust your fellow human for protection than God's! (PSALM 127: 1) it says; " unless God watches over a city, the watcmen stands gurd in vain!! Wacha sarakasi mingi! Sema tu unatengeneza content 😂
Never Joke With Daktari alitoa uchawi live on camera🔥 ua-cam.com/video/qTpzq3_TPi0/v-deo.htmlsi=FesKGhb8xXUeMP-t
Broh lakini kisiii bona Kuna wachawi hivoh do maana watu wengi wakataa kujega kwao kisii..
Mungu ndo ataweza kuondoa zhida zàko mupe mungu maisha yako
Nice work gusii ulifanya kitu poa wakue na adabu
Mbona asikuwekee Kinga kwa boma lako insteady anatoa wakirudisha uchawi na y asikamate mwenye anaweka huo uchawi ndio amwangamishe apo Kuna mchezo bana. Ghai afanye kitendo watu wa nachezea wengine
Alisema anaweka ya kwanza kama uliona
Tunataka ya Eugene na Becca
Uchawi is real kwangu nimetolewa vitu mingi sana haki hadi nashangaa kweni watu wanatanganga nini jamani.
Happy to see you again together be blessed
Danganywa tu na uwamini
Hawa washaamini watu kabisaa,nawakumbusha amelaaniwa anaye mtengemea mwanadamu
Haki wachawi mungu anawoana vile mnatendea watu ona vile wamemfanyia Angie B ata mwili yake vile amekonda Angie mambo itakua sawa no worry
Ungewawekea kinga basi juu watu hawapendi kuona watu wakikaa vizuri au wakisaidia family yao iyo ndiyo shida
Waaaaa mimi sipendi wachawi kaka ni mutu wako wakaribu kaka ni mungu tu asaidiye
Mbona mupendi mungu
Brighton huyu mzee mpee cjogooo kwa bill yangu wakisii aki amungu 😂😂😂
Great you are back with your hubby❤
Naogopa wakisii
Director kua mpole acha kaziifanywe na mwenye anajuu juu huna kinga .
Kumbe unchawi sii mchezo ni Mungu tuu
Na story ya eugine ilienda wapi
Same same vile levyne alifanyiwa
Uchawi yenye iko kisii walai ni mungu tu
Wakisii na uchawi 🥀🥀
Nataka Becca akikula nyasi,juu ya hio kiburi yake
😂😂😂itabidi ungoje
Brighton naitaji.huyo.doc..haki.unipea.no.yake haki
Mjuwe Brighton mtu Ana waroga n mjuukuuu tu wa wa chawi😢😢😢
Naomba namba ya daktr pls nipo tanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kuna family member ako in this
The only protection you'll ever have, is God's protection. Yani, you choose to trust your fellow human for protection than God's! (PSALM 127: 1) it says; " unless God watches over a city, the watcmen stands gurd in vain!! Wacha sarakasi mingi! Sema tu unatengeneza content 😂
Ndunia yaisha watu wako na wifu jameni, ukiwa masikini wanakucheka, ukiniliwa wanakufuata, which is which now
Wachawi hakuna mahali hawako
Nipitie ni kupitie guys tu grow wote
Pl nitumie no ya Huyu dactari
Becca wapi banaa
Kuolewa na mkisii noooooooooooooooo😢😂😂😂😂
C lzm tafuta kwenu ndo hakuna wachawi
Nishai jionea uchawi live kisii😂,, siwezi olewa Tena huko🤸
Stress 😂😂😂😂😂😂
@@user-hz9gw4wx6k 😹😹😹😹😹ungeogeza comment yako hapo chini madam achana na yangu shame on you guok
Nikila mahali tu, only God ma'ma
Na Becc walienda wapi
Ogopa kisii
Tunataka ya rebcca😅
😂😂😂itabidi ungoje
Watu hawatakangi waone mtu akiendelea 😢😢
It's true
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢🎉🎉🎉🎉
😢😢😢😢❤❤