Ile kiburi iko na Virginia na watoto wake,,..Ngai,mtatafuta huyu uncle yenu kama hamjaambiwa,afadhali mngemnyanganya pesa lakini musimtusi...huyu atatafutwa na watoto wa Virginia one day,na nimeenda
Hao wanaona walishafika. But hiyo kiburi itawacost. Umeona hata muyu hangeweza kukaa dumai venye walikuwa wamedaisha coz hiyo tabia yao hakuna mwenye anaweza vumilia
Sorry to hear that.Virginia move davis off the house otherwise atapata laana. Children's should respect their uncle. Please pay your brother his dues. Be in peace
@@susansarah2847 asaidiwe aje na alikua amechangiwa pesa mob sana, huyo mzee ata ukimuangalia na uangalie Virginia, nani anafaa kusaidia mwingine surely?
Mimi for no reason, l don't like that family, before they were very humble,after people helped them,maringo, mucene,kibelebele mingi ,no wonder that's the reason kamotho couldn't stand them,it made me get sick of baruthi wa thayu interviews,ya Hiram and Virginia
She didn't deserve to kunjengewa, sio kiwete, All she needed is someone to offer her and her grown kid's jobs wafanye wanjinjenge.I helped kuchanga arundishiwe watoto but after that nikaondokea.Arafu,Nikiangalia kwa ukweli, Alikuwa akiitisha watoto na hakuwa na uweso wakuwalea, wangembaki na yule mzazi anauwezo lakini apatite rights zakuona watoto na kuwasaindia atakapoweza.
@@annem2980 very true,nikama wanaona watu wana adore, l dont watch their shows nor do l envy them,,silence is the best weapon, Kamotho alikimia,truly l like the co wife Tabitha no matter in what situation she got married to Kamotho that family you can tell ni sumbua
@@annem2980 I concur with you gal. Karangu, Jeremy Damaris n Karanja MC have built very good n ordinary houses for many people - not high-living palatial homes. Imagine tenants contributing money towards such extravagant opulence. These are people who were living in single room shacks. No wonder their new status has brought out their greed, arrogance n waywardness. Growth should be organic.
Kukosea uncle yao heshima nivibaya hiyo ni laana.....they should respect him fully...mahali baba mzazi hapatikani uncle husimama........ .to the Virginia's family....HUMBLE YOURSELF BEFORE THE LORD AND HE WILL LIFT YOU UP......
Mama ucio ekwanikwo ni Jehova nginya muthia tondu ni oimire wega ini wa Ngai ekiraga nginya inyatha na mibuto nginya iria ihana thogithi na ni mundu wari na nguo ndaihu na ni athiomaga mama cokerera Ngai ni murakaru ata na kuherithia ni Kuma wega ini wake
Yes ata Ile tabia waliinyeshia babayao sio baraka kabsa Baba ni Baba ata awe wazimu ,juu laana ya Baba nibaya Sana Hana uhuru,,na plus MTU WA pili ni mjomba heshimu mjomba uchelewe kufa,hii jamii yote mama ndio shida
Virginia amekua na kiburi na vile tumemsaindia ajui laana iko mbele yake ako na laana pamoja na watoto wake na atalipia kupitia watoi hiyo nyumba utakaa na Raha wewe Virginia
If he is pained, then he should have done the right thing. Not media. Media will not help but put more firewoods to the fire. We will learn more about their family for no good reason. We are not interested. Families have issues and they can never be solved by the media.
In May 2020, Virginia Wangari spoke to Monica Kagoni and we are all aware of how this lead to an uproar and assistance from a lawyer and the wheels of justice did roll. If one sits privately, marinating and stewing in their misery, they will hardly receive help. Wacha Patrick speaks out, who knows, someone might be listening who might offer him the help he needs in order to receive what is owned to him. From Madam Virginia's case I have learnt THE PUBLIC can forever change the trajectory of one's life. Unfortunately, in my opinion, this public support got into the said lady's head until she felt she was extraordinary and was owned.
Virginia is a ConWoman, her husband knew all about her. My Son has respect my brothers like his own Father, and in Kikuyu Uncle is some one very important to his Sister's Children.
Virginiah has got every right to inherit her mother,,our current constitution is very clear every child ako na haki ya urithi wa wazazi wake, ,enda ukatafute mali yako.😊
Pole sana, Virginia tafadhali usitume watoto wako wapatwe na laana juu laana ya huyu bro watu itakumalizia kisazi ukichaza,wakanye haraka iwezekanavyo kama ni ukweli na warudi kumuomba musamaha
Hiyo family iliingiwa na kiburi. Kamptho once said that Virginia is a drama queen but many ignored him. Anyway time will tell but Virginia David and Lucy isa throw.
😳😳😳😡🙆🏽♀️ooh my goodness unbelievable Virginia has failed to control those kids, that family is too loud no one can stand them, but insulting their uncle is a curse it’s lack of respect
Virginia fear to be beaten by those kids,bt I blame there mother's,aliwalea vibaya Sana no wonder kamotho looked her in the room ,this woman can turn all flat up side down, looking at those kids ,waaaa there's no difference between then and welding machine,Yani hawana heshima wanaongea prarrrrrrrr phooooop
@@user-cg3vf2bl6b Leave them alone. Samahani niseme hivi. Please lea wako. Those are Virginia children good 😊 or bad. Were you there when they insulted their uncle? Wachia Mungu.
@@Kary_254 No she does not share with me what she gets on line. I think 🤔 it is better we understand that, what ever she learns is her money 💰 and we or Virginia we did not expect her to ask for money 💰 on line for ever. On line business is open to whoever who wants to earn through it. She did good for having looked for other means to earn and feed her children. As for her children, good or bad, they are her children. It should not be people's business. Take care of ours and leave Virginia with hers. All said, she is a good mother, no matter our opinions.
Mm nifanyie mtu kazi akatae na pesa yangu arafu atumiange watoto wake kunitukana wuui naeza mpeleka kama ngari za miraa. Hao watoto ata Wana Baraka kweli??
Weeee...nii nidamaka kama hii niukweli nikubaya..Virginia chunga mungu asikarike nawee talk to your brother niwe winakirathimo GIA ciana ciaku,mama wamudu ni 🔥🔥Virginia dont forget Ngai niarathima uria uthingataga thayu🙏
This is unbelievable. Hearing uncle with such a pain, is shame. I heard a prophecy that this year pple will be exposed. So Virginia do what is right. For sure kunamahali ilifika dhamili yangu ikamkataa. Ni mutumia arí uhinga mùingí muno. God help us to have a discerning spirit.
Dhamili ilikataa kabisa idid my part when it was needed, later i don't watch any of vedio they put coz Wali change sana anything they do have to put on social
Nimekwama hapo Kwa Davis by the way huyu Davis hawafanani na hao watoto wengine kumi na Moja na ndio maana alikuwa anafanyishwa job ya mnjengo na kazi ngumu ngumu na kamotho coz damu haziabatani ngai kamotho kam here usikize uhondo ulichezwa aki Virginia mungu anakuona kurumithia siana kwi mamawe thiyo nilaana direct watoto wapee uncle zao heshima
The big names like Dr Maina lady Maria the with a big physiology clinic abroad , mama boys mary Mburugu kui (mama mahianyu) who withdraw and many big names who were under cover walikwenda wapi… they probably got tired
HUYU MAMA ALILIA SANA WATU WAKA MSAIDIA HALAFU MARINGO IKAWAINGIA WATU LAKINI WAKANYAMAZA WAJIANGALILIE NA NA MACHO, LAKINI WACHA NIWAMBIE MDOMO YA MJOMBA IKI TETA KUNA SABABU. THE DAY I REALISED THERE'S SOMETHING WHICH IS NOT RIGHT NI KAJUA HII FAMILIA IMEJA KIBURI, HOW CAN CHILDREN GO TO AN EXTENT OF INSULTING THERE OWN UNCLE, LAKINI SURA YA HUYO MAMA ITAKWAMBIA NI MAMA WA MATHARAU LAKINI MUNGU YUKO LET US WAIT SIRI ZIMEANZA KUTOKA NJE.
If Virginia CANNOT pick Baruthi phone who facilitated her house who else can she listen to??? Even if in her mind Baruthi wasn't perfect they should be grateful. He did a major thing. People like Lynn Ngugu had refused. #so ungrateful. And she has women who really mislead her and abuse and block people on her channel and she does nothing about it...abusing people who contributed alot wow ..but one day this family will be left alone. I wonder where Baba mdogo is......Davis is soooooo proud ...wah
@shanzu very proud people,alafu wakona hii tabia ya kuonyeshana Kila kitu wananunua especially on food,since ni za kupewa si ata mcheze chini..ama lazima waonyeshane ndio mjue wako sawa...anywho
Huyu mama nimkora sana ata nyumba alinjengewa na watu tena akawageuka tutaona pahali atafika nayo baluthi alimuhurumia akamjengea tena waanza kumtusi na hao watoto wake
🙄🙄🙄Virginia this is not accepted.why treat your bro hivo na una entertain your kid wamtusi..giki ni kirumi direct cha uncle and again remember a firstborn in the family can curse you too juu ni your elder bro....#where did the humble Virginia we knew went ?
As Davi's uncle, is this the rightway to disclose to him such a very sencitive issue of who his father is? Do you mind the damages you have just caused in the life of Davis ? - Must you have adressed this issue in the social media? -Do you know that Virginia and your other siblings have equal rights with you to your parent's inheritance?
Virginia pls bring blessings not curses for your children. 😮 Educate and teach your children to respect elders and family. Uncle is a very important person in Our tradition 😮
When you go to social media first expect ppl to comment anything it's their personal right. May God help the family to b honest n true to each other🙏🙏🙏🙏🙏
Nii ndiri ndahiukia mutumia ucio, ateithirio niandu kuhitukira Baruthi no thutha mutheri akiona niateithika. Kiburi Dio iliwatawala yeye na watoto wake wote.😢
@@priscillarnyutu Sina wivu hapo hakuna kubarikiwa kama Sio watu walimsaidia hangefika hapo alifika. Na kama ni mtu mzuri mbona Baruthi hakumalizia hio project yake na atlast wakakosana hawana shukurani ata kidogo
@@worriedk7803 that's true, Sasa kana watoto wanatusi uncle Yao hawajui Kuna laana ama baraka imebebwa na uncles, then Davis anaenda kujinyakulia nyumba ya cucu kwani alikua anaishi wapi kitambo, si waona hao ni watu wavita tu.
Onanii ndiri ndahothera family iyo Nii ciakwa ndeithagia aria aruaru ndingihe mundu ciagwaka kaba thii children home kana Gicagi già gwitu gwakuo kana aria matari irio
Ile kiburi iko na Virginia na watoto wake,,..Ngai,mtatafuta huyu uncle yenu kama hamjaambiwa,afadhali mngemnyanganya pesa lakini musimtusi...huyu atatafutwa na watoto wa Virginia one day,na nimeenda
Hao wanaona walishafika. But hiyo kiburi itawacost. Umeona hata muyu hangeweza kukaa dumai venye walikuwa wamedaisha coz hiyo tabia yao hakuna mwenye anaweza vumilia
@@jackyshalom2337 fact👌
Kamotho was right. Virginiah ni jangili. She’s very greedy and her children have taken after her.
This uncle was there for Virginia and her kids all thru. Shame on you Virginia na Wa Toto wako
They insulted Baruthi the person who stood with them through thick and thin..
Sorry to hear that.Virginia move davis off the house otherwise atapata laana. Children's should respect their uncle.
Please pay your brother his dues.
Be in peace
Mimi niliona Virginia kitambo anakaa kiburi sana.
🤥🤭🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
This is a direct curse aki mtu kutusi uncle yake,he is in pain
Nowada baruthi hakufuatilia hiyo nyumba, Viginia kimama kimkora
He need to be paid for sure
Wewe huyo ni siz yako unataka kumharibiya njina kuna watu wengi wamesaidia watu wao Kwa hivwo huwezi saidiaya watu wako
@@susansarah2847 asaidiwe aje na alikua amechangiwa pesa mob sana, huyo mzee ata ukimuangalia na uangalie Virginia, nani anafaa kusaidia mwingine surely?
@@marynduta7488 amemharibia aje?
my uncle could mistreat us but mum insisted we forgive him and hold no grudge,, uncle is a strong name
Hao watoto wamelaaniwa kabisa....
Virginia na watoto wake wote wamejaza kiburi, I personally supported them but nowadays I hate them
Uncle bariki watoto according to Kikuyu culture, uncle brother to the mother has power to bless or curse is sisters kids. That's very serious
Usiwahi kubali watoto wako watusi mjomba ni vibaya, watu husahao haraka sana waaaaa hii sisemi kitu
Family members are the worst...watakuiba uishe kabisa!
Do not trust your relatives.
Nyumba ya mami wanyu ti yaku ni ya ciana via nyukwa.
Mimi for no reason, l don't like that family, before they were very humble,after people helped them,maringo, mucene,kibelebele mingi ,no wonder that's the reason kamotho couldn't stand them,it made me get sick of baruthi wa thayu interviews,ya Hiram and Virginia
Me too now nikama wanatakanga watu wanunulie viti
She didn't deserve to kunjengewa, sio kiwete, All she needed is someone to offer her and her grown kid's jobs wafanye wanjinjenge.I helped kuchanga arundishiwe watoto but after that nikaondokea.Arafu,Nikiangalia kwa ukweli, Alikuwa akiitisha watoto na hakuwa na uweso wakuwalea, wangembaki na yule mzazi anauwezo lakini apatite rights zakuona watoto na kuwasaindia atakapoweza.
@@annem2980 very true,nikama wanaona watu wana adore, l dont watch their shows nor do l envy them,,silence is the best weapon, Kamotho alikimia,truly l like the co wife Tabitha no matter in what situation she got married to Kamotho that family you can tell ni sumbua
@@annem2980 I concur with you gal. Karangu, Jeremy Damaris n Karanja MC have built very good n ordinary houses for many people - not high-living palatial homes. Imagine tenants contributing money towards such extravagant opulence. These are people who were living in single room shacks. No wonder their new status has brought out their greed, arrogance n waywardness. Growth should be organic.
@@Tmk5342mbona hawakubeba zile viti walikuwa nazo huko kwingine? Wamezoea vya bure
Kukosea uncle yao heshima nivibaya hiyo ni laana.....they should respect him fully...mahali baba mzazi hapatikani uncle husimama........
.to the Virginia's family....HUMBLE YOURSELF BEFORE THE LORD AND HE WILL LIFT YOU UP......
Ugikuyu-ini Mama wamundu ndarumagwo nandaimagwo gitiyo Virginia umenye niciana ciaku urenjera irima
this kids they are cursed
I hated Virginia from the word Go. You will come down!!!!
God has the final say
But you're not GOD
😂😂 wivu
You hv an inner eye. Very few ppl saw it
Mama ucio ekwanikwo ni Jehova nginya muthia tondu ni oimire wega ini wa Ngai ekiraga nginya inyatha na mibuto nginya iria ihana thogithi na ni mundu wari na nguo ndaihu na ni athiomaga mama cokerera Ngai ni murakaru ata na kuherithia ni Kuma wega ini wake
Atumia nithu cia atumia aria Angi uyu no Ngoma uramuhithira ya uiru
Athiomaga ndakorio ciuria she was a scammer from day one, Mungu amemwanika as you said 4 months ago
Kamotho clapping 🚶🚶🚶
Yani mtu anatusi uncle yake 😢😢 nyinyi hamna baraka ata Kwa mungu mmelaaniwa kabisa
Hiyo na plus nyawira alipiga mama yake na according to virgia akalala na babake. Cursed
Hata kupiga mzazi, so hio inaonyesha nyawirà ni nani kaschana kanakuanga na tukutuku nyingi.
@@bigg1091 bytheway nmekumbuka hio story, ikiwa ata hana heshima kwa mama yake, naje mjomba?
Yes ata Ile tabia waliinyeshia babayao sio baraka kabsa Baba ni Baba ata awe wazimu ,juu laana ya Baba nibaya Sana Hana uhuru,,na plus MTU WA pili ni mjomba heshimu mjomba uchelewe kufa,hii jamii yote mama ndio shida
Mama wa mundu ndarumaguo😢😢😢😢
Very true. After standing Very strongl with them 😢
😢😢nima akijukuna mukonyo mtatiii
Aki truu😢
Virginia amekua na kiburi na vile tumemsaindia ajui laana iko mbele yake ako na laana pamoja na watoto wake na atalipia kupitia watoi hiyo nyumba utakaa na Raha wewe Virginia
As you once said
I support wamuratha,huyu mama n broker
Mzee Patrick is pained. He has to vent in public. Whatever went down will be exposed and justice will prevail.
If he is pained, then he should have done the right thing. Not media. Media will not help but put more firewoods to the fire. We will learn more about their family for no good reason. We are not interested. Families have issues and they can never be solved by the media.
@Annah Kimani how will he get justice from the public?
In May 2020, Virginia Wangari spoke to Monica Kagoni and we are all aware of how this lead to an uproar and assistance from a lawyer and the wheels of justice did roll. If one sits privately, marinating and stewing in their misery, they will hardly receive help. Wacha Patrick speaks out, who knows, someone might be listening who might offer him the help he needs in order to receive what is owned to him. From Madam Virginia's case I have learnt THE PUBLIC can forever change the trajectory of one's life. Unfortunately, in my opinion, this public support got into the said lady's head until she felt she was extraordinary and was owned.
@@janekamau1546 UKWELI
It’s being exposed now
Virginia, where is the humble woman with wisdom we knew?????
I think we thought not we knew
Virginia is a ConWoman, her husband knew all about her. My Son has respect my brothers like his own Father, and in Kikuyu Uncle is some one very important to his Sister's Children.
To an extend Lucy breaks his uncle's house, mannerless children
Pride comes before a fall
Lakini huyu mzee amefanya rehearsal poa kabla ya mic test
For those who knows Kikuyu in deep hakuna mtu huwa na curse mbaya kama uncle
Very very true... Mama wa mundu ndorotagwo...
Story zangu na dugu zangu 😢😢. Watoto wangu wasijaribu kuingililia. Wakae ukooo.... Staki laana kabisa .
Wooi ndetooo.mutumia ucio aga kwariria ciana icio niikuigaira kirumi😢😢😢😢😢
Martha Mwihaki Hinga, Wairimu Kimani ati kumesemekana Davis ni wa Bishofuu sio Kamotho🙉
Virginiah has got every right to inherit her mother,,our current constitution is very clear every child ako na haki ya urithi wa wazazi wake, ,enda ukatafute mali yako.😊
They are supposed to divide their inheritance by 4
Waah nyawira kamotho be careful .when uncle is angry you can't have peace ..he carrys your blessings oo ...bitter truth
How can they insult their uncle surely??? Mbona asimlipe pesa na nowadays virginia ako na pesa sio the humble woman we knew, khaii
Pole sana, Virginia tafadhali usitume watoto wako wapatwe na laana juu laana ya huyu bro watu itakumalizia kisazi ukichaza,wakanye haraka iwezekanavyo kama ni ukweli na warudi kumuomba musamaha
Kwanza huyo Davis ni kandinya kama babake!nyawira ni mdomo tupu kama mamake.
Huyo mwanamke anakuwanga na kiburi sana watoto na wao hawana adabu niliona wakitusi hadi barothi na vyenye aliwasaidia 😢😢
Kwanza vienye walitusi baluthi after kuwanjengea hapo ndio watu waliwachukia
Saahi hawataki kununua vitu za nyumba ndio wahurumiwe wanunuliwe na wako na pesa na magari Waha ni con
Hiyo family iliingiwa na kiburi. Kamptho once said that Virginia is a drama queen but many ignored him. Anyway time will tell but Virginia David and Lucy isa throw.
😳😳😳😡🙆🏽♀️ooh my goodness unbelievable Virginia has failed to control those kids, that family is too loud no one can stand them, but insulting their uncle is a curse it’s lack of respect
Virginia fear to be beaten by those kids,bt I blame there mother's,aliwalea vibaya Sana no wonder kamotho looked her in the room ,this woman can turn all flat up side down, looking at those kids ,waaaa there's no difference between then and welding machine,Yani hawana heshima wanaongea prarrrrrrrr phooooop
@@user-cg3vf2bl6b Leave them alone. Samahani niseme hivi. Please lea wako. Those are Virginia children good 😊 or bad. Were you there when they insulted their uncle? Wachia Mungu.
@@janekamau1546 Wee kwenda kama hawana adabu lazima tuseme..unamtetea kwani anakugawia Ile anaombaomba online
@@Kary_254 No she does not share with me what she gets on line. I think 🤔 it is better we understand that, what ever she learns is her money 💰 and we or Virginia we did not expect her to ask for money 💰 on line for ever. On line business is open to whoever who wants to earn through it. She did good for having looked for other means to earn and feed her children. As for her children, good or bad, they are her children. It should not be people's business. Take care of ours and leave Virginia with hers. All said, she is a good mother, no matter our opinions.
Children can not insult their uncle if he has done no wrong to them. Uncle must be having a weakness too
Kiburi ilimtawala.. utafanya watoto wako wateseke juu ya kutusi mjomba
Watoto wameeka standad tha maisha juu ile yenye sijui wataeza kumantain
Mm nifanyie mtu kazi akatae na pesa yangu arafu atumiange watoto wake kunitukana wuui naeza mpeleka kama ngari za miraa. Hao watoto ata Wana Baraka kweli??
When pride get in your head. She needs to get it together
Weeee...nii nidamaka kama hii niukweli nikubaya..Virginia chunga mungu asikarike nawee talk to your brother niwe winakirathimo GIA ciana ciaku,mama wamudu ni 🔥🔥Virginia dont forget Ngai niarathima uria uthingataga thayu🙏
Hiyo si poa surely she will pay dearly
I saw it coming 😢
Virginia she's a con
I stud with Kamotho from day one.
Thank you God has given you wisdom
This is unbelievable. Hearing uncle with such a pain, is shame. I heard a prophecy that this year pple will be exposed. So Virginia do what is right. For sure kunamahali ilifika dhamili yangu ikamkataa. Ni mutumia arí uhinga mùingí muno. God help us to have a discerning spirit.
Alipata kiburi kupitia michango
same here,waaahh hata fupisha sjawai watch for months,first walidharau baruthi now Even her own bro?so kamotho was right
Dhamili ilikataa kabisa idid my part when it was needed, later i don't watch any of vedio they put coz Wali change sana anything they do have to put on social
@@essienonino7163 I hardly watch when I saw they took the life of celebrities
@@phoebewanjiru1955 true they changed a lot ata baruthi akajitoa
Virginia' s greed was beyond
I saw her pride and character changing and I sensed there is red flag but anyway let's listen to the bro the truth will come out
Very True 😮
Na huyu baba mdogo kwani ndiye amekuwa bwanake juu hata usiku ako kwa huyu mama. Mpaka bedroom anaingia bila heshima. Kamotho tried really
Where is his family?
I see the same
Huyo mama ni online beggar.i always had a feeling davis was different from the rest.such a shady and shody family. Battalion of beggars
You’re 100% right
Nimekwama hapo Kwa Davis by the way huyu Davis hawafanani na hao watoto wengine kumi na Moja na ndio maana alikuwa anafanyishwa job ya mnjengo na kazi ngumu ngumu na kamotho coz damu haziabatani ngai kamotho kam here usikize uhondo ulichezwa aki Virginia mungu anakuona kurumithia siana kwi mamawe thiyo nilaana direct watoto wapee uncle zao heshima
😂😂😂
😂😂😂sure
Eeee I suspected. He was bitter alichezewa thats why he told him never to name him.
God have mercy on this man. Can't believe this. Uncles are carriers of children's blessings. Heshima si utumwa
😂😂😂😂lies ,No uncle carries blessings,Knowing truth is good
It is so wrong to annoy your uncle in kikuyu tradition
Huyu mama anjifanya saana tumbe ni ubwa mwitu
We need part 2 of this story
The big names like Dr Maina lady Maria the with a big physiology clinic abroad , mama boys mary Mburugu kui (mama mahianyu) who withdraw and many big names who were under cover walikwenda wapi… they probably got tired
Something was so wrong
Virginia is selfish plus her unmannered kids pride comes before a fall
If you want to know the character of a person, give him or her power and money
Waah! Just seeing this, nimestuka yangu yote! I lack words! Could this b true??
Matunda hata Mimi my dear
Imargine all the money we contributed to Virgnia , I think I can count 100k
@Muikarimajuu8709... we must give Virginia the benefit of doubt... there's always 2 sides to every story... let's take this with a pinch of salt..
Virginia ni mukora muuru muno..ataletea hao watoto wake laana..asicheze na uncle..kamotho was very right virginia ni bure
HUYU MAMA ALILIA SANA WATU WAKA MSAIDIA HALAFU MARINGO IKAWAINGIA WATU LAKINI WAKANYAMAZA WAJIANGALILIE NA NA MACHO, LAKINI WACHA NIWAMBIE MDOMO YA MJOMBA IKI TETA KUNA SABABU. THE DAY I REALISED THERE'S SOMETHING WHICH IS NOT RIGHT NI KAJUA HII FAMILIA IMEJA KIBURI, HOW CAN CHILDREN GO TO AN EXTENT OF INSULTING THERE OWN UNCLE, LAKINI SURA YA HUYO MAMA ITAKWAMBIA NI MAMA WA MATHARAU LAKINI MUNGU YUKO LET US WAIT SIRI ZIMEANZA KUTOKA NJE.
As you said 4 mths ago
Arenda magai ma Nyina atunye brother ciake mugunda this is being greedy 😢😊
If Virginia CANNOT pick Baruthi phone who facilitated her house who else can she listen to??? Even if in her mind Baruthi wasn't perfect they should be grateful. He did a major thing. People like Lynn Ngugu had refused. #so ungrateful. And she has women who really mislead her and abuse and block people on her channel and she does nothing about it...abusing people who contributed alot wow ..but one day this family will be left alone. I wonder where Baba mdogo is......Davis is soooooo proud ...wah
@shanzu very proud people,alafu wakona hii tabia ya kuonyeshana Kila kitu wananunua especially on food,since ni za kupewa si ata mcheze chini..ama lazima waonyeshane ndio mjue wako sawa...anywho
Asante ya punda ni mateke alaaaaaaa
Imagine you said this 4 mths ago
Jacob never insulted his uncle Laban despite their differences. Uncle deserves respect no matter what the circumstances
He was even coned , he had to labour another 7 years
I put a mark here ,,😢
May God give them wisdom 😮
Huku Kuna mambo lakini mambo ya family n magumu ,,weuh I saw this wth my uncle and aunts weyh
Ghai hapo kwa Davis.....tea is 🔥 🍿🍿🍿🍿
I hope wairimu kimani is watching,God opposes the proud and give grace to tho those who humble themselves.
Maundu Maria mari thiino😮😮😮 mwathani ...may be ukiona ametry kureach out with no respect
Uncle ebu twambie kama Virginia aliolewa na yule brother wa kamotho😅😅😅
😮😮😮😮😮😮😮😮
Good question
Nikuoa ama nikuolewa,,hii familia wee!!!kamotho aliongea mkasema ni wazimu,,,Alijua tu
😅😅😅😅😅aki sisi tunapenda story kaa izi
Ngai navile ulimzaidia ata ukipikia watoto wake Ile time alikuwa akizunguka
Ngai ndeithia ndikanahingia urathi wa ciana kusaliti aciari kana brother na sister kusaliti one another,,these days tunatoanisha familia internet,,,
O rīrī chai wathiī kūgīa mūrīo rī Davis wa kamotho 😅😅😅 baruthi pea uncle interview
Kiburi shikamoo.virginia fikiria sana
Huyu mama nimkora sana ata nyumba alinjengewa na watu tena akawageuka tutaona pahali atafika nayo baluthi alimuhurumia akamjengea tena waanza kumtusi na hao watoto wake
She has forgotten the days she was begging us to help in building the house and even she forgot the main man Baruthi.asante ya punda ni mateke
Mimi nilionea virginia 18 she has a lot of pride
Ngai yaani Lucy Lucy Lucy mungu anakuona
Huyo Virginia after baruthi kumsaidia alirundi kuogea baya seriously ambia watoto waheshimu auncle yao
Mwathani what wrong with this family?? They need deliverance.
Woi uncle wa mundu ndarumaguo.... Kwanza kikikuyu uncle ya mtu woi Virginia chunga watoto wako wasipate laana.
Kumbe Lucy huvuta bhangi 😂😢
Ata anakaa bangi
😅😅😅
Ata anakaa naye kijana mkubwa namuonanga roysambu ni pombe tu kwa wine and spirits
@@puritykathambi1336 waa pesa usipozitafuta wewe mwenyewe huwezi icontrol but it will control you but in a wrong way
🙄🙄🙄Virginia this is not accepted.why treat your bro hivo na una entertain your kid wamtusi..giki ni kirumi direct cha uncle and again remember a firstborn in the family can curse you too juu ni your elder bro....#where did the humble Virginia we knew went ?
She was never humble. This is her true colours
She faked everything 😂😂😂the real Virginia is here now
There is a spirit of strive in this family.
Please humans don't judge and comment what you don't know.
Wacheni matusi humble yourselves and life will be humble to you.
*Reke ciume na ene*
Public is so judgemental, inaweza kuwa Hadi ni wivu ya siblings
Ngaii... Pole sana.. nimaremuo nikuherera mama wao nimekuona uria mekuona
Remember your ancles words are very powerful
Online well wishers take care where u r sending your money.
May God intervene but si poa kutusi uncle iyo NI laana 😡anyway sina maoni kwa sasa
Money is the root and source of all evil. Even before I listened to his story I knew it was Money oriented. Hii ni upuzi
As Davi's uncle, is this the rightway to disclose to him such a very sencitive issue of who his father is?
Do you mind the damages you have just caused in the life of Davis ?
- Must you have adressed this issue in the social media?
-Do you know that Virginia and your other siblings have equal rights with you to your parent's inheritance?
We knew the family through social media.
Despite what.....Virginia should be respected...she suffered alot.
Waiting for diaspora(s) to release the documentary
I remember this uncle patric
Please give him another interview. He has a lot of tea
Yaani watu wamebatisha mucene kuwa chai...
Hii Chai ni moto vizuri.😊
chai tamu sana
Heeee haaaaa! You guys are funny 😅😅😅😂😂.
@@beatricemarangu942😂😂😂😂😂😂 inaitwa jamhuri 😅😅
Hiyo nyumba baruthi aliacha kama imemalizika walikosania swimming pool
Virginia pls bring blessings not curses for your children. 😮 Educate and teach your children to respect elders and family. Uncle is a very important person in Our tradition 😮
Very true,they carry blessings
She preaches what she doesn’t practice
Hiii ukai muigwe eguciara na nja na mudurume ungi twaigaga kamotho ni muru uyu ni mwaki wakuotea mbali
Metha ya kagoni, Lynn Ngugi, where are you .
i doubt they will touch this
When you go to social media first expect ppl to comment anything it's their personal right. May God help the family to b honest n true to each other🙏🙏🙏🙏🙏
Nii ndiri ndahiukia mutumia ucio, ateithirio niandu kuhitukira Baruthi no thutha mutheri akiona niateithika. Kiburi Dio iliwatawala yeye na watoto wake wote.😢
Wacha wivu..Hana kiburi ata wewe ukibarikiwa watu wataanza kukuongea
Ako na kiburi mingi sana sana plus watoto, don't you know how to assess people, don't support
@@priscillarnyutu Sina wivu hapo hakuna kubarikiwa kama Sio watu walimsaidia hangefika hapo alifika. Na kama ni mtu mzuri mbona Baruthi hakumalizia hio project yake na atlast wakakosana hawana shukurani ata kidogo
@@worriedk7803 that's true, Sasa kana watoto wanatusi uncle Yao hawajui Kuna laana ama baraka imebebwa na uncles, then Davis anaenda kujinyakulia nyumba ya cucu kwani alikua anaishi wapi kitambo, si waona hao ni watu wavita tu.
Onanii ndiri ndahothera family iyo Nii ciakwa ndeithagia aria aruaru ndingihe mundu ciagwaka kaba thii children home kana Gicagi già gwitu gwakuo kana aria matari irio
Kumbe Lucy bangi diyo huwa inamtawala hiii wonders Wil never end
Nimekwama kwa Lucy na bangi! 😢😢
Nlikua natafuta hii comment 🤣🤣
😮😮😮😮
Kamotho is like i told you people,wangare is a drama queen see your lives😂😂😂
😅😅Niko apa nauza popcorns
@mary6483 popcorns kwa wingi ala😂😂
😂😂😂😂and kamotho is like mother I told you about her now you believe me ?😂😂
😂😂😂😂🎉🎉🎉😊
What a Shame...mama ndarumagwo
Mîciî nî ndogo.
Ciana ciarumothirio kûrî ithe rîu ningî nî mama wao.
Virgina Kaî ûceraga naû ûtagûtaraaga?
Huyu nyawira akona shida, mara akararua mamake war sahi ni uncle ana harass😢😢😢😢! Wueh, huna nyota mwanangu
She's cursed
Ati davis ako na baba wangapi??
He wants to inherit everywhere??hot tea loading
Baby gal joy congrats kwa heshima ya uncle