Wafanyikazi wa Ikulu waandaa hafla ya kumuaga rais
Вставка
- Опубліковано 4 жов 2024
- Ibada ya shukrani iliandaliwa kwa rais Uhuru Kenyatta, majuma mawili kabla ya muda wake wa kuhudumu kukamilika.
Rais Kenyatta akitumia ibada hiyo iliyoandaliwa ikulu ya Nairobi alitumia fursa hiyo kuwawapongeza wafanyikazi wa Ikulu kwa kujitolea na ukakamavu wao kuhudumia taifa.
Rais pia akiwashukuru kwa jukumu walilotekeleza kumsaidia kutimiza majukumu yake kama Kiongozi wa Taifa. Maombi hayo ya madhehebu mbalimbali yalihudhuriwa na wafanyikazi wa Ikulu zote pamoja na Ikulu ndogo.
I love 💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕💕 it
Kenyans will never miss Uhuru Kenyatta's presidency. Infact he has destroyed his family legacy of leadership
lies he handled covid well , he handled terrorism well, he brought peace, he did good infrastructure our economy grew to number 4 in Africa from position 6...
Leo ni ibada yakumuaga rais tarehe 9 ni yakumfuta kazi ruto.
Aki kweli munatoa wapi ngufu ya kusherekea na wakenya wezetu ,wamepoteza maisha , O god have mercy on us😭😭
At long last !!!!!
The cake 🎂 was meant to be 10 trillion loan
😂😂🤣🤣
Aende tuone vile maisha itabadilika. Ruto aje kutusaidia maskini. Mungu saidia huyo Raila aende nyumbani na asingoe Reli.
ruto hashindi.....Raila ndio next
😂😂
eti ruto asaindie maskini hehe mbona hakusaindia maskini 5 years ago
@@enkylion9525 oolisikia wapi? Maybe opinion polls ina kuuza, kata 🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲🌲 nani
@@VvVv-kf8ho 5 year Mr Pandora box (uhuru Kenyatta) alipatiana KAZI za Ruto Kwa tumbo na kichwa kubwa (matiangi) na mchawi (Raila) usitulete story za mandamano na kutupa mawe after August 9.
Mnafiki, mlevi , 🏃 akwende kabisaaaaa!
Thanks God for collapsed bbi.
Leo ni ibada yakumuaga rais tarehe 9 ni yakumfuta kazi ruto.