Kaimu Inspekta wa polisi Gilbert Masengeli kwa mara ya nne akaidi agizo la kufika mbele ya mahakama
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- Kaimu Inspekta wa polisi Gilbert Masengeli kwa mara ya nne amekaidi agizo la kufika mbele ya mahakama kutoa maelezo kuhusu waliko wakenya watatu waliotekwa nyara wakati wa maandamano ya nane nane mwezi uliopita. Mahakama ilielezwa kuwa Masengeli alikuwa Mombasa kwa majukumu ya kikazi na hangeweza kufika. Vikao vya leo hata hivyo vilisitishwa kwa muda kufuatia ghadhabu za familia za waliotoweka na wanaharakati, Kama Ben Kirui anavyoarifu
Most police come from very poor areas but they pretend like they're Europeans they don't care right of citizens
Atafutwe by force by fire or hata yeye apatikane kware
Usikanyanga kabisa boss wangu
Kibicho na Matiang'i use to ignore court orders na Citizen hamkuangazia ama ni vile walikua wanakaa na SK meza moja😂
Reason beyond your nose, we are speaking of unjust acts by the so called "police "
Juu matiang'i alikua mkubwa wako amh wa polisi?
They were not abducting people
Then you say matiangi for president......president my foot
Waende kitui kama urogi upo
Why can't the court give out arrest orders against him?
How superior and powerful is he that he can defy the orders?
The question is....which policeman will dare arrest him😂😂😂
@@abduratwaha3945kwani who is he???
l salute yu you..... ni kama kibicho aliitwa na koti....
Who is he
William said nobody was abducted
Hao ma judge's wanataka river yala tu
Hiyo ndio Zakayo anajua tu, kumaliza Wakenya kama mambuzi?
Masengeli was not on job that time,ask koome
unajuaje
We know these courts and judges are being used by Wanjigi and protest sponsors after failing to overthrow Ruto. Masengeli should not even think or dream of going to court, we know the game these courts and judges want to play.
Eeeh hii ni game ya wanjigi ebu gavaa ideal na Hawa watu mapema
Where is jw here i wish they were your brothers