N/WAZIRI ATOA MACHOZI,APIGA MAGOTI MBELE YA WANANCHI "UBUNGE MCHUKUE, TUSIKWAMISHANE"

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 203

  • @abesigakabigumila3744
    @abesigakabigumila3744 10 місяців тому +8

    Mh. Byabato, you have made me cry too…Pongezi sana kwa moyo wako wa dhati kuleta maendeleo ya mkoa wetu. TRUST me machozi haya hayatapotea bure!!! Watakaonufaika na Tunaopenda maendeleo haya ni wengi kuliko hawa wachache wanaopinga na wenye hira na nia mbaya kwa maendeleo na mkoa wetu. Piga kazi Kaka, we have your back!!!!

    • @godwingodfrey1115
      @godwingodfrey1115 10 місяців тому

      2025 kura yngu añayo uyuuu bora nipoteze nauli

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 11 місяців тому +8

    Pole mh byabato mungu atakusimamia katika kazi zako akufanyie wepesi wakila jambo.

  • @DeogratiusAndrew-zi7zv
    @DeogratiusAndrew-zi7zv 11 місяців тому +9

    Sehemu yoyote duniani yenye wachawi wengi huwa maendeleo kupatikana nivigumu sana, njia rahisi nikumrudia mwenyezi Mungu, airehemu kagera, mashekh, wachungaji, makasisi wote watangaze dua maalumu kwa huo mkoa nawana siasa wawepo nao watubu,Mungu niwarekhema ataiponya kakera, 2Nyakati,7:14,

    • @BeatriceHenry-t3i
      @BeatriceHenry-t3i 11 місяців тому +2

      Kwa kweli umenena ila mbona Mbeya inaenda?! Au Kwa sababu baada ya nyumba mbili ni Kanisa?

    • @DeogratiusAndrew-zi7zv
      @DeogratiusAndrew-zi7zv 11 місяців тому

      @@BeatriceHenry-t3i mbeya imechangia sana nyumba zaibada ninyingi lakini kule wanakumbia diniyetu ya zamani kumbe nyuma yake kuna yaliyo jificha

  • @lawrencekamete2404
    @lawrencekamete2404 10 місяців тому +1

    Pole Kiongozi ! Duhhhh, nimeumia sana. Mungu akutie nguvu na Yeye apigane na wanaopigana na wewe na kukwamisha miradi yamaendeleo Jimboni kwako. Please soma Yer 1:19. Nimeumia sana maana na mimi nikionozi mahali fulani

  • @Hakimwaipaja
    @Hakimwaipaja Місяць тому

    Mungu akusaidia sana kwa kazi hii mungu atakusaidia yeye ndie Leo maka kesho

  • @gisellakaijage9155
    @gisellakaijage9155 11 місяців тому +8

    POle sana Mungu akutie nguvu

  • @prisca4612
    @prisca4612 11 місяців тому +9

    Mungu anaweza, tunakuombea, machozi hayo Mungu ameona moyo wako na atatenda.. Mungu akulinde na familia yako💪❤️🙏🏿

  • @HassanMusyoka-gn8qp
    @HassanMusyoka-gn8qp 11 місяців тому +13

    WATU WA BUKOBA TANZANIA MIMI NI MKENYA LAKINI KIONGOZI KAMA HUYU NI BARAKA MFANO WA MAREHEMU MAGUFULI ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

    • @masolavachui1728
      @masolavachui1728 11 місяців тому +1

      Unazijua siasa za bongo ww au unazisikiaga tu 😂😂😂

    • @BeatriceHenry-t3i
      @BeatriceHenry-t3i 11 місяців тому

      Byabato oyeee Magufuri oyeeee mlikuwa na chemistry Moja SS ni majungu wanamsingizia mama Samia roho chafu tuu Magu aliwapasha

  • @magazijuto7991
    @magazijuto7991 11 місяців тому +7

    Apambane kijana...Bukoba kuna baadhi ya watu wana ubinafsi wa hali ya juu...Yaan kama kitu hakimpi faida yeye anaachana nacho na anaweza kukipinga...sijui roho hiz wanazitoa wap...Bukoba ingeishaendelea kitambo sana maana uwezo inao na iko strategically located...Lakin baadhi ya watu tena viongozi wakubwa tu wa manispaa hiyo wanairudisha nyuma....

  • @florakweyunga4490
    @florakweyunga4490 11 місяців тому +5

    Nikweli kabisaaa,WAKOLA MWANA WA MAE.

  • @rumanyikajoe7038
    @rumanyikajoe7038 10 місяців тому +1

    Suala kupiga goti na kulia ndo hapo Sasa ndo umeharibu. Bukoba mwanaume jasiri hawezi kulia. Kupiga goti, ni ishara ya unyenyekevu wa Hali ya juu. Goti huwa linapigwa Kwa Mungu tuu. Mungu atakasirika na sidhani kama ilikuwa sahihi. Omba msamaha Kwa Mungu. Maana imeandikwa ( Flp 2:10-11).Kwa jina la YESU KILA GOTI LIPIGWE.

  • @amankajuna5064
    @amankajuna5064 11 місяців тому +6

    Mheshimiwa Byabato wewe ni kijana bora kabisa, mzalendo na mpenda maendeleo. Najivunia wewe kuwa Mbunge. Nimekushuhudia namna unavyopambana na mahitaji ya watu wa jimbo lako. Barabara, umeme, maji tayari umefanya zaidi ya 90% sasa stand, soko, kanoni yamewashinda waliokutangulia kwasababu ya fitina za watu. Lakini umefanikisha. BIBLIA INASEMA “USIOGOPE” nami ninakwambia usiogope songa mbele Hakuna mwingine ya kufanya kama siyo wewe. Historia utakuandika vyema. Wanabukoba walio wengi wanakupenda na kukuombea. Mwenyezi Mungu akutunze

  • @ErastoZakayo-to6nm
    @ErastoZakayo-to6nm 10 місяців тому +1

    Noma sana hiii

  • @chomasongidion6047
    @chomasongidion6047 10 місяців тому +1

    Barikiwa Sana mhe isaidie tu usichoke

  • @raynittu4599
    @raynittu4599 11 місяців тому +6

    Aisee! Natamani ungekuwa mbunge wa kwetu Songea huko.Waziri unatamani Maendeleo ya wanainchi. Mungu akusimamie ktk kazi zako, Hao wanaokukwamisha watashindwa.2025 utapita

  • @bbclondonulimwenguwasoka6126
    @bbclondonulimwenguwasoka6126 11 місяців тому +5

    Huyu kijana tumepiga wote skuli ni mzuri sana wana BK msikubali kumpoteza.

    • @wilfredmbowe3644
      @wilfredmbowe3644 10 місяців тому

      unalia nini kubwa zima tulia

    • @gracebuyuya4349
      @gracebuyuya4349 10 місяців тому

      ​@@wilfredmbowe3644unayoyaongea huyaelwi kwanza kagera haikuhusu ndo maana

  • @frankfrance2833
    @frankfrance2833 10 місяців тому +1

    Ongera mweshimiwa tuko nyuma yako tunakupenda tunakupongeza pambana kiume tuko nyuma yako tutakusapoti mpe mama ongera yetu kwakutupenda nani kama mama ❤❤❤❤❤

  • @eliminamichael9567
    @eliminamichael9567 10 місяців тому +3

    Mkuu ninakuelewa sana endelea mbele tupo tunaokuombea..shida bukoba ujuaji mwingi jameni punguzeni, kila jambo mnataka liende mnavyotaka nyinyi na ajabu bukoba ndo mkoa ambao watu wanaweza kua na umoja mkubwa katika mambo yakurudisha nyuma mendeleo na wakawa na mgomo baridi majority of them. Loh!

  • @bashirubumalwa7419
    @bashirubumalwa7419 11 місяців тому +5

    Kweli unachosema Bukoba nikwetu ila wanafiki ni wengi sana wanakwamisha maedeleo toka zamani unafikia ni mwingi sana unakosesha maedeleo tunachekwa sana uku nikoani Wasomi niwengi ila wanafiki niwengi elimu ya mwanabukoba aiwasaidihi tunakwamisha

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 11 місяців тому +5

    Unafaa sana. Bukoba ni ngumu lakini unaweza waziri. Hiyo barabara imeua wengi sana .

  • @juniorivany9087
    @juniorivany9087 Місяць тому +1

    Mimi nakuelewa vizuri sana kaa na wanafiki wako,huna jipya wala huna lolote kulia lia tu.huna loloteee

  • @mgayamgaya
    @mgayamgaya 11 місяців тому +7

    2025 bado sana watamkumbuka Magu😁

  • @johnmurathe9033
    @johnmurathe9033 11 місяців тому +4

    Tanzanian have leaders manze this people are proud of their country

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 11 місяців тому +5

    Pambana Mheshimiwa.... Bukoba yetu iko nyuma sana kwakweli.

  • @stevenmdoga8414
    @stevenmdoga8414 11 місяців тому +2

    Bado hamjasema na mtasema yaani mpk msemeeee hiyo ndyo CCM

  • @mugemainyas5241
    @mugemainyas5241 11 місяців тому +4

    Wewe ni mwema sana . Unavoongea tu ni mkweli . NA UKWELI UPO KATIKA FAMILIA NZIMA WANABUKOBA WANAPASHWA KUJUA HILO . SISI WENGINE TUMESHAFANYA KAZI NA NDUGU ZAKO . FAMILIA YAKO NI YA UAMINIFU . PIGA KAZI WANAOONA WANAONA WAPUUZI ACHANA NAO . ONUKAMA TAFUKAMA IWE WAFUKAMA ASANTE SANA.POLE SANA .

  • @JovinJosephat
    @JovinJosephat 10 місяців тому +1

    Inauma sana. Bukoba sijui tumerogwa na nani?

  • @PhilipinaPhilibart-wl6rq
    @PhilipinaPhilibart-wl6rq 10 місяців тому

    Pambana kaka. Uongozi nikazi Ila kikubwa watumikie wanachi wako walio kutuma.
    Mtangulize Mungu maana uongozi unatoka Kwa MUNGU

  • @jamsonkanyiki6038
    @jamsonkanyiki6038 10 місяців тому +2

    Hata kwetu mbeya wapo.
    Wakwamishaji wa maendeleo. wao kwao kila kitu Ni kupinga tuu.
    Chapa kazi. Maneno yao achana nayo. N/ Waziri
    Kazi iendelee.

  • @NowelaRaymond-zq4ys
    @NowelaRaymond-zq4ys 11 місяців тому +3

    Pambana kaka, Mungu yupo.

  • @geofreychitamu366
    @geofreychitamu366 11 місяців тому +2

    Muililie na ndiyoooo mliyoipitisha ktk Iga.

  • @victoriakiwanuka5428
    @victoriakiwanuka5428 11 місяців тому +5

    Piga kazi kijana na ubunge utapata Mungu yuko pamoja nawe 🙏

  • @SamPatrick-nj8oe
    @SamPatrick-nj8oe 11 місяців тому +2

    Mbinu za kijeshi hizo

  • @cloudngoko.2679
    @cloudngoko.2679 10 місяців тому +2

    Huyu ata wasipojenga stand kushinda ata shinda tuu hata kama maana kawa muwazi mapema nini kinamkwamisha. Jamani kamati ya siasa ya wilaya msaidieni kwa moyo mmoja tuache nongwa tusije kumkwamisha Raisi wetu Dkt. Mama SSH. UKimukwamisha Mbunge mtakuwa mmeikwamisha Serikali yetu. TUACHE NONGWA.

  • @sdiketz3053
    @sdiketz3053 10 місяців тому +1

    Pole byabato

  • @edisonsebasitian-th3zy
    @edisonsebasitian-th3zy 10 місяців тому +1

    Wewe Samia ni wezi

  • @revocatuskatto7293
    @revocatuskatto7293 10 місяців тому +1

    Duh adi nimelia et tatzo Ujuaji mwingi mno bukoba kila mtu anajuwa ndo maana apaendelei mim cku ya kupiga kura nakuja kukuchagiwa ndugu yangu we piga kazi

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 10 місяців тому +3

    Mpeni ushirikiano kiongozi huyo. Ana moyo wa kufanya kazi. Ni kwa faida yenu wana bukoba. I just got emmotional by just watching him. Be strong son. And lead your people with prayers to break the stronghold.

  • @user-vy5ei1xl4p
    @user-vy5ei1xl4p 11 місяців тому +2

    hii sio sawa kwa kiongozi sifa ya kiongoz ni kuwa na moyo mkubwa

    • @faridubakana6733
      @faridubakana6733 11 місяців тому +1

      We pengine hujakaa Bukb ..yan hapa kuna watu wapo radhi wazuie maendeleo ili mradi wapate la kusema kwenye uchaguzi

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 11 місяців тому +2

    We ria ata ikiwezekana urie ata damu ira kitajurikanatu 2025 sisi niwatu wazima atuwezi tishiwa namachozi sisi siyo mirima tutakutana

  • @fransiscondyanabo9154
    @fransiscondyanabo9154 10 місяців тому +1

    Nakupongeza usivunjike moyo fanya kazi ndugu yangu

  • @StephanoGallet-dq7ch
    @StephanoGallet-dq7ch 11 місяців тому +4

    😂😂😂😂😂😂😂 leo mnajifanya mnalia kuomba huruma pole sana

  • @HafidhuMasudi-ne2bi
    @HafidhuMasudi-ne2bi 11 місяців тому +5

    Wengi wao waliotoa comment hapa ni uelewa mdogo masikini,hamjakutana na mizozo au mivutano ya viongozi katika kuleta maendeleo kwa wananchi.Mheshimiwa huyu kulia,mambo ni mengi na yanakwaza sanaa.Hata mkuu wa mkoa alishayasema hayo ya watu kukwamishana hapo Bukoba.

    • @jonathanakhabuhaya1693
      @jonathanakhabuhaya1693 11 місяців тому

      ni mnafiki tu.Kwa nini asiwataje wanaomkwamisha?Kama Waziri, kwa nini asiwalipue hao Bungeni? Kwa nini asiwashtaki kwa Samia?Ni aibu kuona Waziri analalama kama Mwendawazimu.Ametuaibisha Wahaya.

    • @user-dq5xt8ed7w
      @user-dq5xt8ed7w 11 місяців тому

      Unaakili saana

    • @gracebuyuya4349
      @gracebuyuya4349 10 місяців тому

      ​@@jonathanakhabuhaya1693wewe huyaelewi unayoyaongea inaonekana bukoba huijui vzr

  • @edwardmakonge3371
    @edwardmakonge3371 11 місяців тому +1

    Kijana pambana.

  • @drdd774
    @drdd774 11 місяців тому +2

    Tatizo la baadhi ya wahaya ni wajuwaji mno, hata chalamila aliisha waambia

  • @justusndyamukama4808
    @justusndyamukama4808 10 місяців тому +2

    Waitara amekuambukiza?

  • @raulnassor5761
    @raulnassor5761 10 місяців тому +1

    Mama haya yasikie hayo yakiongozi ,sijuwi yawananchi watasemaje watampa au 😂?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 11 місяців тому +1

    Duh

  • @MganyiziAmosi-cz3qk
    @MganyiziAmosi-cz3qk 10 місяців тому +1

    Mtanyooka tu awamu hii

  • @paschalrutashoborwa7976
    @paschalrutashoborwa7976 11 місяців тому +13

    Mbinu mojawapo ya kuleta maendeleo ya kweli katika Bukoba municipal, ni kuboresha miundo mbinu kama kujenga/ kupanua barabara,ujenzi wa bus stand, hivyo yeyote anayepinga uwepo wa miradi hii, atakuwa haitakii mema Bukoba municipal, na mkoa wa Kagera kwa ujumla.

  • @titusrobert5890
    @titusrobert5890 10 місяців тому +1

    Hasa wanapinga nini?. Kama ni stend kwa hapo mjini katikati ni makosa, hapo panabana mno hauwezi kupanua maendeleo ya bkb kwa kubakisha stand na soko mjini kati Byabato

  • @shafyukamugisha5373
    @shafyukamugisha5373 10 місяців тому +1

    mambo saf

  • @faustinebahenobi3412
    @faustinebahenobi3412 11 місяців тому +2

    Ubunge umepewa na mwendazake ss subiri 2025 utakiona

  • @godwingodfrey1115
    @godwingodfrey1115 10 місяців тому +1

    Byabato once mda wa kupga kura lazm nije nikuunge mkono 😊

  • @niazonbukoke1964
    @niazonbukoke1964 10 місяців тому +1

    Mpumbavu kwel yaan , siuwataje hao wanaokwamishaaa?? Kama wameiba peleka mahakamani... Kalilie kwa mkeo huko tunamachungu sie

  • @EliaHiluka-ep3tp
    @EliaHiluka-ep3tp 10 місяців тому +1

    Usiseme uliomba pesa no mali za umma

  • @henrymasomi831
    @henrymasomi831 10 місяців тому +1

    Kipindi Cha kampeni magufuri alisema bukoba ujuaji mwingi

  • @De_lima98
    @De_lima98 10 місяців тому +1

    😂😂😂 hapana

  • @MwakyMwaka
    @MwakyMwaka 11 місяців тому +4

    Hata ulie vipi hamna kura msenge wewe

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 11 місяців тому +1

    Usanii

  • @buberwazimbeiya7406
    @buberwazimbeiya7406 11 місяців тому +3

    Nagira nkwibe simka nkuteme

  • @fridolinefrance1353
    @fridolinefrance1353 11 місяців тому +1

    Wahaya wengi wajuaji Sana piga kazi

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 11 місяців тому +1

    Kiongoz makini safi sanaaa pambana uongoz nivitaa

  • @yaasirimuhudi1664
    @yaasirimuhudi1664 11 місяців тому +2

    Haoo wanaokwamisha watolewe madam kwetu pataendelea wenye nia nzuri wasapotiwe

  • @sengeremaxleo9295
    @sengeremaxleo9295 10 місяців тому +1

    Daaaaaaaah yaaaan wazzir analiaaa mamamaeeee sa wabunge wa kawaidaaa watafanyaaa Nini ??????? This is stupidy

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 11 місяців тому +1

    Kha sijaelewa mm.mwenzenu pole muheshimiwa jamanj kwann lakini mnamfanyia hivi😂😂😂

  • @jonaskweyamba9747
    @jonaskweyamba9747 10 місяців тому +1

    Sijaona point tukutane 2025

  • @wilfredmbowe3644
    @wilfredmbowe3644 10 місяців тому +1

    uchanguzi umefika tutona mengi

  • @winfordmwangonda5375
    @winfordmwangonda5375 10 місяців тому +1

    Mkoa wenye wasomi wa kiwango cha juu ,ajabu ni miongoni mwa mikoa maskini Tanzania.Nini tatizo ?

  • @andrewkissavah8272
    @andrewkissavah8272 11 місяців тому +2

    Wewe acha usanii ,hayo yote ni mapicha ili kuwahadaa wana nchi na kuwa fanya mazuzu ili upate ubunge wa huruma hapo wana nchi msikubari ngonjera hizo mtupeni kapuni huyo msikubali hao tena

  • @user-df5mj2ft4w
    @user-df5mj2ft4w 11 місяців тому +1

    yn apo bado

  • @stellamwasenga6205
    @stellamwasenga6205 10 місяців тому

    😂😂 nenda kajiajiri achana na siasa

  • @rithadonatus8110
    @rithadonatus8110 11 місяців тому +2

    Yaani Hawa wajanja sana wanajifanya Wanahuruma sana kwa Sasa waongo sana na matapeli mbwa coco Hawa 😂😂😂😂

  • @deodatusdioniz-cp1sm
    @deodatusdioniz-cp1sm 11 місяців тому +7

    Ndg yetu pambana maisha ni vita

  • @Ziikimedia-go2om
    @Ziikimedia-go2om 11 місяців тому +1

    Sibijui

  • @BardenBensonMwamfupe-dk3yg
    @BardenBensonMwamfupe-dk3yg 11 місяців тому +1

    Fix

  • @repsphrs5051
    @repsphrs5051 11 місяців тому +1

    Mmmh mbona simwelewii huyu tena

    • @edsonnelson4464
      @edsonnelson4464 11 місяців тому

      Inaonekana kuna majungu

    • @user-sl8bu3we1m
      @user-sl8bu3we1m 11 місяців тому

      Hakuna kitu wewe mwajifanya watakatifu kumbe ni majizi makubwa .

  • @georgembise7234
    @georgembise7234 11 місяців тому +1

    Usimwabudu mwanadamu mwenzako!

    • @TM.Sullusi
      @TM.Sullusi 11 місяців тому

      Itakua hujui maana ya kuabudu wewe 😂😂

  • @jameschubiri9453
    @jameschubiri9453 10 місяців тому

    Ww ndo ulisema Tarime vijijini wasilipwe fidia na mgodi Acha na ww ukome

  • @titusrobert5890
    @titusrobert5890 10 місяців тому

    Byabato bukoba ni ngumu ilimhitaji Jpm tu, tumechelewa mno

  • @songombingo108
    @songombingo108 10 місяців тому

    Siasa tupu.

  • @aristidesabel-rj3os
    @aristidesabel-rj3os 11 місяців тому

    hivi bukoba tumelogwa.sijui ,mbunge.anaangaika kuleta maendeleo,. lakini baadhi wanabukoba tena wanasiasa wenzane ndiyo wanafanya mbinu za kumkwamisha

  • @Commentsplus
    @Commentsplus 10 місяців тому +2

    hivi ungekua ni wewe afu ni waziri unaona kitumbua chako kishatiwa mchanga afu kwa wahaya lazima ujishushe jamaa mjanja afu anabusara

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 11 місяців тому +1

    Duh...😂

  • @wilsonkassita7946
    @wilsonkassita7946 11 місяців тому

    Hiyo ndio bk

  • @amonmethod
    @amonmethod 10 місяців тому

    Mbinu za kuomba kura hzo..!! Hakuna kilichofanyika

  • @jonijoogabriel3728
    @jonijoogabriel3728 10 місяців тому

    Yani tutaona mengi sana kipindi hiki na uchaguzi unakaribia Nasemajeee bado hatujaona tutaona saaaaaaaaana

  • @user-eh4dz9kz3y
    @user-eh4dz9kz3y 11 місяців тому

    Mlimdhurumu Chifu Adronicus Kalumuna kura, sasa acha Mungu akuonyeshe dhuluma kuwa ni dhambi

    • @estergordian-vv9jx
      @estergordian-vv9jx 10 місяців тому

      Ww mandaz Tena yakalimati jitathmin alikuwa meya alifanya nn

    • @user-eh4dz9kz3y
      @user-eh4dz9kz3y 10 місяців тому

      @@estergordian-vv9jx Chifu usimlinganishe na hizi takataka. Akiwa Meya tena CHADEMA ambapo serikali ya CCM inaminya pesa, alifanikiwa kuboresha miundombinu ya barabara nenda mpka kilimahewa, Kashenye, Kahororo, nk. Mradi wa maji mkubwa unaojengwa Kahororo, utu na uungwana ndani ya manispaa haupimiki. Chief kijana mchapakazi, asiyejikweza, mwenye uwezo wa kujenga hoja akasikika popote, usimlinganishe na hawa watia huruma waliobebwa na mfumo. Bukoba haiwezi kuongozwa na kijana arrogant, anayelialia ingali ana mamlaka , mbunge ana mamlaka tena waziri unafika kila eneo, ikulu haubishi hodi, afu uje kulia?? Hiii ni inaonesha kiasi gani dogo ni dhaifu, hachangamani na watu, syo mbunifu, mjanja, mwenye weledi wa kutatua matatizo ya jamii. Kazi hii ni ya mnyamwezi Chifu (mwamba) uliza CCM wakwambie vizuri uwezo wake tangu akiwa mwenyekiti uvccm Hadi Diwani, muulize Kagasheki akusimulie moto wa Chifu

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics 11 місяців тому

    Chuma hilo .

  • @fredrickbaryagati2194
    @fredrickbaryagati2194 11 місяців тому

    Wataa kwaeri wabanza kuria kabra ya uchaguzi ndo umefika pore sana c.c.m oyeee

  • @ballackmasungura6753
    @ballackmasungura6753 10 місяців тому

    Ccm wanajua drama mtu anatetea ugali wawatoto wake akifika bungeni anatetea ccm

  • @stevesungura6789
    @stevesungura6789 10 місяців тому

    Kumbe Bukoba wagumu sana kuelewa eh!?
    Basi ndo maana Bukoba pako hivyo!

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 11 місяців тому

    Kwa washomire bila kulia hupewi

  • @johnmahu5060
    @johnmahu5060 11 місяців тому

    Na bado mtapiga sana magoti 2025 hiyooooooo asnt yesu umewachanganya wenyewe bila chadema ah

  • @richardbegga6679
    @richardbegga6679 11 місяців тому

    Uchaguzi Umekaribia 😂😂 mtalia kila aina ya Machozi Mamae.Kama unapenda wana Bukoba Ungeomba Serikali yk ya au Chama chako cha CCM waondoe Vyeo vya hovyo kama Wakuu wa Mkoa na Wiraya na Warete Serikali za Majimbo ndo yaamue Maendeleo ya Wananchi wao sio Maendeleo ya Wananchi yamuliwe Dodoma

  • @ramadhannasoro2719
    @ramadhannasoro2719 11 місяців тому

    nabatu mtaona mengi

  • @buberwazimbeiya7406
    @buberwazimbeiya7406 11 місяців тому

    Wahaya miyeyusho

  • @senjiyunvankunzimana4143
    @senjiyunvankunzimana4143 10 місяців тому

    Kitendo Cha mweshimiwa kupiga magoti na kulia mbele ya kadamnasi imeonyesha udhaifu na kutokomaa kisiasa.

  • @elvisoscar9912
    @elvisoscar9912 11 місяців тому

    Wananchi msimuamini mwanasiasa yoyote ata ajigalagaze vp chini kampeni zikinukia ndo mambo yao ao iv bukoba stendi tayali ishajengwa wahaya wenzangu au bado 😂

  • @sifuelinyaki3341
    @sifuelinyaki3341 11 місяців тому

    Sasa imekuwaje ccm wanalia chadema wanalia wananchi wanalia kila m2 kwa style yake jamen. Ila waitara na silinde walisema walihamia ccm kwasababu ni sikivu mbona naibu waziri huku nalia sijui ndio amesikia anatoa shukrani..