Exclusive: Ripoti ya Uchunguzi wa Kina Kuhusu Kutekwa Kwa Maria Sarungi Huko Kenya

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лют 2025
  • Ripoti ya uchunguzi wa kina kuhusu tukio la kutekwa kwa mwanaharakati maarufu wa Tanzania, Maria Sarungi, lililotokea juzi Jumapili ya Januari 12, 2025 nchini Kenya.
    Kwa kifupi, uchunguzi umegawanyika katika hatua zifuatazo:
    Utangulizi: Sababu ya Uchunguzi
    1. Uchambuzi wa Awali wa Tukio (Muda na Muktadha)
    2. Uchambuzi wa Wasifu wa Mwathiriwa
    3. Utambulisho wa Sababu
    4. Uchambuzi wa Wahusika
    5. Tathmini ya Tishio la Ndani (Ushirikiano)
    6. Ukusanyaji na Uthibitishaji wa Ushahidi
    7. Tathmini na Kuunda Dhana
    8. Mapendekezo
    Ikikupendeza, fanya ku-subscribe vijarida hivi vya #Jasusi:
    www.baruayachahali.com
    www.ujasusi.com
    www.adelphilacademy.org

КОМЕНТАРІ •