Polisi wawahoji wasimamizi na wagonjwa katika hospitali ya Kenyatta

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 7 лют 2025
  • Polisi wamewahoji wahudumu wa afya na wagonjwa katika hospitali ya furaa ya Kenyatta kufuatia kuuwawa kwa mgonjwa aliyekuwa amelezwa ndani ya wodi hospitalini humo hapo jana. Aidha wasimazmisi wa KNH wamehojiwa pia na kuagizwa kutowaruhusu wagonjw akwenda nyumbani kabla ya kuhojiwa na uchunguzi w akamera za cctv kukamilika. Franklin Wallah alizungumza na familia ya Gilbert Kinyua ambayo sasa imejipata na masuali mengui kuliko majibu baada ya kifo cha jamaa yao.

КОМЕНТАРІ • 14

  • @JemimahOnaka
    @JemimahOnaka 2 години тому +2

    So sad😢

  • @soniinyambu512
    @soniinyambu512 48 хвилин тому

    Twonyeshwe nanii aliingia ndani 😢😢😢😢 because ata watu wataongopa

  • @ruthmukiri7834
    @ruthmukiri7834 Годину тому

    KNH inafaa iangaliwe vizuri😢. My cousin is admitted there and I'm more than disappointed.
    Those nurses and doctors should be made responsible at least...... They are there to take care of the patients.
    The only thing they take serious is on people not getting to the wards when it's not visiting hours. Too bad💔

  • @liliannganga5045
    @liliannganga5045 Годину тому

    So sad,may God strengthen you mama

  • @marykinuthia6067
    @marykinuthia6067 2 години тому +1

    Wauaji 😢😢😢

  • @rihkaa6289
    @rihkaa6289 Годину тому

    Imagine mtu akiuwa mgonjwa😢..

  • @mwariwanjeri9391
    @mwariwanjeri9391 47 хвилин тому

    Hata daktari anaeza lipwa afanye hicho kitendo

  • @CatherineMusotsi
    @CatherineMusotsi 2 години тому +1

    Nikama ni family issues

  • @anwarabdi4955
    @anwarabdi4955 2 години тому +1

    Hapo kuna family issues kama kuna mtu anataka akufe myb abaki na shamba

    • @patrcikgithinji7539
      @patrcikgithinji7539 Годину тому

      lets wait for the police file be presented to court sir

    • @gracemakungu7878
      @gracemakungu7878 Годину тому

      Hiyo sio family issue. Madakitari wa adamwe nawalinzi kwa ni kuku.hata kuku hupiga ma yoyo

  • @aleky2336
    @aleky2336 2 години тому +3

    First to comment

    • @Pheonix-o9n
      @Pheonix-o9n 2 години тому

      Unataka kikombe!?
      Burkenge ww

  • @PaulinaCheryl
    @PaulinaCheryl 2 години тому +2

    Second to comment