ACHANA NA UONGO WA MITANDAO! Weusi kwapani na mapaja, kuondoa michilizi kwenye mikono na kiuno.
Вставка
- Опубліковано 11 вер 2024
- Karibuni tena wapendwa kwenye video nyingine👏🏽👏🏽💕💕😘
Leo nimeongelea kuhusu mitandao ya kijamii inavyo danganya watu hasa vijana wadogo, siku hizi kila kitu kimekuwa kibaya machoni mwa watumia mitandao
I hope mtaipenda hii video wapenzi👍🏽
Video iliyopita👇🏽👇🏽
• ACHANA NA UONGO WA MIT...
Instagram:Bariki.k
Email address for sponsorship or business: bariki.karoli @gmail.com
Asante Sana mpenzi Mungu akubariki Sana zaidi Sana ya Jina Lako Mimi nimekufuatilia Muda mrefu nimejifunza mengi ninakupenda na Asante Kwa maadili na Kazi kubwa unayoifanya ya kugusa maisha yetu.
Asante sana dear 👏🏽😘
We dada ahsante Sana nimekupenda hii mitandao inafanya hata mtu ukufuru❤️❤️❤️ ahsante tutazidi kujiamini
Mungu akubariki sana kwa ukweli unatoka kuongelea watu wanadanganyiwa sana Asante sana
Asante dada nimejifunza
May God bless you 🙏
Congratulation my beloved sister what incredible presentation its a surprise to me God bless you more and wish you all the best stay safe and blessed always.
Thank you
Ni kweli kabisa bariki kila mtu anangozi yake wengine kusuguana nikawaida .Vitu vingine nikujikubali tu sometimes tunadanganyana sanaa
Wapendeza jamani shukran kwa mafunzo mazuri haya ni kweli yale unayaongelea dada hata nami mara mingi hujiuliza mbona niko hivi sio kama yule
Asante sana dear 😘😘
Alhamdulillaah namshukuru Mungu kwa kila hali
💕💕
Leo umeogea vizur sna barik Asante san mi najikibali kam nilivo Akuuu sitaki kuja kufa kisa istrgm😀😀😀😀 ukichez na istrgm weee unaeza kumaliz pes zako kumbe watu washajiedt uko weee watuache bhn
Unaona 👍🏽👍🏽
Jamani jamani da bariki michilizi ilisha kweli Mimi nilitumia sana Ile a lovely
💕hogera
Ni kweli, but mm nilikuwa na michilizi mingi sana kwenye miguu na kwenye makalio na ngozi yangu ilikuwa imelegea Sana but nimefanya mazoezi ya kuteneneza mwili michilizi umeisha yotee na ngozi yangu imekaza na weusi umeisha kabisa, so tusiende kutumia chemical kuna njia nyingine rahisi pia
Unaona na Hongera sana kwa kujali afya yako 👏🏽👏🏽😘
Umetumia njia gani dear
@@noreenbeny4627 nilikuwa nafanyaazoezi ya kupugua tumbo na kuongeza shepu nilikuwa na michilizi pia kwenye tumbo but now hakuna michilizi kabisa, nilikuwa nafanyia nyumbani tu
@@barikikaroli6088 ahsantee
Umefanyaga mazowezi gani? mana na mimi ninayo machilizi kwenye migu na kubisusu afu siko ata mnene
Asante sana kwa somo Bariki umeongea point nzuri sana ubarikiwe
😘
Heeeeeee... nimekubali matokeo kabxaa ...siku imekua shwari kwasabu ya somo zuri...thanks dear
👏🏽👏🏽😘asante
@@barikikaroli6088 Asante sna dada
Mashallah shukuran habbity mungu awe na ww ktk maisha yako
Asante kwa ushauri mumy mungu akubariki
Asante dear 😘
Sante dada wewe unafaa Sana ushauli wako uko vizur ubarikiwe
Ni kweli maan Hata Ngozi Yako ni nyoronyoro
Miss you my rol model
Nimeipenda toka DRC
Asante dada umetufumbua Yan❤️❤️❤️
Ni bora kusema ukweli kuliko uongo mungu akubariki sana
Asante dear
God bless my dear ❤❤❤🇨🇳
❤️
Asante kwa ujumbe mzuri
Asante dadaa
💕
Asante kwa mafunzo yako mazuri wanadanganya Sana mitandaoni
Dawa wewe ndomana nafatilia video zako unaongea ukweli sana mambo mengine yasitusumbue bure
Ajxnte sana nashkur
Asante kwa somo Nzuri hayo mauwa nimeyapenda tupe siri ya hayomauwa please
Asante dear hilo au nimeliongelea kwenye hii vlog unaweza kuangalia hapo chini ukipenda 😀😘👇🏽👇🏽
ua-cam.com/video/oFNySOEC2J8/v-deo.html
Asante nimejifunza ki2
You are beautiful inside and outside❤🌹nimekupenda bure
💕💕
Nimekuelewa sana dear ubarikiwe sana sana jaman
👏🏽
Nikweli Kbs mitandao inamambo mengii ya uongo sanaa
Love you bariki 😍 nakukubali Sana
👏🏽👏🏽😘
Asante sana
😘
Asante sana dada ubarikiwe 🙏
Asante sana dadaa nakupenda sana
Leo mm wakwanza ku view good content bariki
Asante sana dear
Wallah nmekupenda bure😘Asante sana kwa somo nzur sana🙏
Asante sana kipenzi umesema ukweli yani mm nakupenda sana na pia najikubali jinsi nilivyo
Dada leo umesema vyema hasa mabint wa cku hiz wanaangaika sana
Asante sana maan mitandao inadanya
😘
Asante kwa somo nzuri
Asante na wewe kwa kuiangalia 😘
Missed you Barikiii
😘😘
❤
Barikiwa sana kama jina lako🙏
Asante dear 😘
Umeongea point
Hongera sana dada
🎉
Kweli kabisa dada nakupenda bure
💕
Nmekpenda bure dada
Kweli jamani mmmh, maana wanatuchanganya hawa watu wa mitandao sana
Unaona usipokuwa makina wanakutia stress bure 😅
Da Bariki miye navimba xana chini ya macho mpaka naonekana marée mpaka najikataaa😩😩nifanye aye?
Mpaka naonekana mzeee sijuwi nifanyenini😩😩😩
Ni kwel Bariki hata mm nimedanyanywa had sasa nikapata sugu kwa na vidole vimekuwa weus nifanyeje barik plz
Pole unaweza kujaribu kufanya scrub za kutengeneza mwenyewe kwenye channel yangu zipo nyingi dear
Tnx ccy
Ndio maana nakupenda💋
Ila umependeza sana💖💖
Asante dear 😘😘
nime kuerewa da bariki
Upo sahihi bhnaa
Kweli kabisa
Nice
Nakubali mno
Ongera dada unaongea kweli kabisa wakati wako ukisha fika ndio basi tena
Hakika leo umesema kweli hii mitandao inatudanganya haswaa
👏🏽😘
Asante da bariki
😘
Naomba namba yako ya whatsapp my sister 💖
Ndio nipe namba yako
Wa kwanza leo
👏🏽👏🏽👏🏽😘😘😘asante dear
👏👏👏👌
hakika
Asnt San da bariki
😘
Umeongea vema dada
Umependeza kwenye kakochi kako
Asante 😘
Dada bariki nisaidie number yako jaman
Njoo instagram: bariki.k
Sawa
Dada wewe inatumia losheni gani unijibu maan Ngozi Yako ni lain
Natumia yoyote tu inayonifaa ila huwa nachanganya na glycine
Umeongea kweli dada lakn apo kwenye unene uwiiiii 🤦🤦🤦🤦yan najitaidi sana kupungua yani nikijalibu kukata tamaa ya kupungua 🤦🤦🤦 nashindwa jmn sitaki kukubali mm kua kibonge 🤣🤣🤣🤣
Asante dear ni kweli hata mimi sitaki kuwa chibonge ila ni vizuri unaamua mwenyewe kupungua au kunenepa kwasababu wewe mwenyewe ndo unakuwa unajua faida na hazard zake siyo watu wakuseme kila saa.
♥️♥️♥️♥️
asnteee
😍😍😍😍😍😍😍❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Umesema kweli my dear
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
👍👍👍👍
😘😘
Dada una madini
👏🏽👏🏽Asante
Naomba namba yako Whatsapp
❤️❤️❤️❤️
❤
Tnx ccy
❤