I love your songs bukuku Kwanza hii umewazidi wote iko poa Sana na sauti yako iko poa Sana BNA uskam Nairobi kuimbia watu uko ama gatundu infact naweza furahia Sana may God bless you
hasante sana dada yetu mungu was mbinguni akupe Neema ya kuishi miaka mingi ili uendelee kutangaza injili ya BWANA kwa njia ya nyimbo asante sana .mungu akubari tena:natena
Bahati Bukuku mimi na watoto wangu tunaweza kukuona live? Niliumwa na loho wiki nzima baada ya kusoma taarifa za kifo chako ktk mitandao ya kijamii, lkn walionena tunawaombea heri kwa mola, la hash , wamekuongezea mda wa kuishi.. Mungu akulinde mdogo wangu
Kusifu kunawapasa wanyofu wamoyo MUNGU WA MBINGUNI azidi kukuinua ktk huduma yakoya uimbaji ubarikiwe sana my dada
Mungu akubarka Sana dada
I love your songs bukuku Kwanza hii umewazidi wote iko poa Sana na sauti yako iko poa Sana BNA uskam Nairobi kuimbia watu uko ama gatundu infact naweza furahia Sana may God bless you
mungu akubariki Sana come to Zambia please sweet bahati bukuku love you so much
Nakupenda sana Dada bahati hua hubadiriki yn kimavazi kihuduma daah uko vizr sana mungu azidi kukulinda na akupe Afya njema
Mungu azidi kukubariki na kukupa nguvu hekima mariifa na maneno mazuri yanayo tutia imani napenda nyimbo zako sana be blessed always werever you go.
Barikiwa dadaaa!
hasante sana dada yetu mungu was mbinguni akupe Neema ya kuishi miaka mingi ili uendelee kutangaza injili ya BWANA kwa njia ya nyimbo asante sana .mungu akubari tena:natena
Nafurahia sana mtindo wako wa uimbaji dada Bahati. Barikiwa sana.
Mwimbaji chipukizi gospel Tanzania, Hongera mama, natamani siku 1 niimbe na wewe.
Mungu akubariki Dada maana nyimbo zako huwa zina nipa faraja sana
Dada uko vizuri endelea kulitangza neno la mungu na kuelimisha jamii kwa njia ya uimbaji, ubarikiee sana.
Good work Bahati Bukuku nime kualika Launching Dec13 Niko Nakuru
Kwakweli nakupenda mno pmja na nyimbo zako zooooote uwa zinanibariki mnoo Mungu azidi kuwa nawe
iba
Hauwezi kufa haya yakusema unapenda mutu wambali siile nikumutamani?
Mama wimbo nzuri Mungu akubariki
Dada mtumishi wa mungu nakupenda mungu akupe Maisha marefu uzidi kuinuliwa
Nakupenda bahati.. nyimbo zako huwa zinapa furaha na amani.
nakupenda sana Dada angu bahati nyimbo zako zinanibariki sana
ubarikiwe xana dada yang
unaugusa sana moyo wangu Dada Bahati Bukuku so nakuombea kwa Mungu azidi kufanya vizuri
bahati bukuku huwa nafurahishwa sana Na nyimbo zako
Mimi nakubali mchango wako kwa jamii, nakuombea mungu apanue mipaka zako .
Nabarikiwa sana na huu wimbo, naamini na mimi nitawazidi wote.
Ameeen. Zidi kubarikiwa katka huduma yako.
sauri tamu dada wimbo zako inanifundisha sana
Dada bahati umependeza sana mpenzi wow mungu azidi kukuinua uzidi ktukosha kiroho mwaaaa ata mimi pia nimewazidi wote
Napenda nyimbo zako tunazisikiliza huku south Africa zinatubariki sana.ubarikiwe
Manamana Mana mama
natamani kufika hapo
Malkia mrembo wa Yesu Bahati Bukuku barikiwa
ubarikiwe Sana da bahati, huwa nafarijika sana!!!nikiskiliza nyimbo zako,
Margreth Thomas
Vzur sana dada
A mambo engine
Mimi nampenda bahati bukuku naexa tamani nimuone na macho nisarimie na mkono
Nakupenda sana nakutakiya barakaza mungu
Napenda mafundisho yako kupitia nyimbo zako barikiwa dadangu mrembo
Wow so nice song inabariki sana barikiwa sana mtumishi wa mungu na mungu azidi kukutenda mema
Not mungu unashusha hadhi ya jina kubwa kwetu tunaanza na herufi kubwa Mungu not m ni M
Barikiwa Dada bahati,,,nimewazidi wote
Luv u may the Lord bless
Jamani Dada Bukuku nyimbo zako zanibariki kila uchao, yani nakupenda sana Dada..Mwenyezi Mungu azidi kukuinua na huduma yako!
Ekisi
Mungu wa mbingu azidi kukuinua
@@yonamghuna459 Amina kaka
Nalipenda sana nyimbo zimenifaridji muda wote👏👏
nakupenda sana unaimba vizuri ,unavaa kwa heshima, unacheza kwa heshima.asante ubarikiwe.
Mungu akubariki Sana kwa huduma nzuri 🙋🙋🙋🙋
Ubarikiwe Sana coz nyimbo zako zinabariki na kufundisha Sana♥️
Napenda nyimbo zako dada hazichuji mungu akuinue sanaaa
God bless u my dear.... akuongezee Neema zaidi in Jesus Name
Nice songs
✌️✌️✌️✌️
Hii wimbo hunipangu sana nikiwa kwenye majalibu
Upo juu sana dada bahati bukuku kyala akusajeghe fijho
Amen amen barikiwa sana bukuku kwa music wako mtamu.
Barikiwa sanaa mama nakukubali sanaa mama nyimbo zako znanipaga faraja
Umetisha bahati
Mungu akubariki muda wote dada
Barikiwa sana dada MUNGU azid kukutumia kama chombo chake Amen
Wauu
Nimewazidi wote asante mama kwakunitia moyo kuwa nimewazidi wote. Umenizidia wote love ❤😘you
Kate Natalie Faitheruothyesu n
Nakupenda Sana dada angu
Mungu na aujaze Moyo wako mapendo daima barikiwa dada
Shadiya Shadiya mk
Jamani mungu akujalie zaidi tunabarikiwa mno
Napenda hiii nyimbo cna mengi naamin ajaye amewazidi woteeeee......... ..
Anaupendo Mallabeja wow
Anaupendo Mallabeja asante bahati
God bless you big Bahati
ubalikiwe sana mdada wimbo mzuri nawewe pia umependeza
Neema ndunguru waoooooo kicheko ni faraja
Bahati Dada mungu akuzidishie kipaji uzidi kutuinua zaidi
Mungu akulinde
Mungu aendelee kukuinua dada bahati
Mungu hazidi kukuzidishia neema
Nakuona mama
Ubarikiwe Sana mama napenda uyo wimbo sana
Napenda hiyo song sana
Barikiwa dada, nyimbo nzuri sana.
Iyi nyimbo iko nzur
Love you mom naitwa pendo
Barikiwa sana dada bahati
Mercy masika
Sans vous mentir j'aime cette maman et sa musique, surtout sa chanson waraka ya amani...
Yu mwema
Mungu aendelee kukutunza Bahati!!!!
Barikiwa Sana mtumishi wa mungu
Ww dada Mungu akulinde katika utume wako
Nice and good one for me
Wow love the song so real
Dada MUNGU azidi kukubariki sana. Nyimbo nzuri sana na zinabariki sana
George John jh
Amen naupenda sana wimbo huu ubarikiwe sana dada ang
mecktirida ngeme hongera sanaa dada bahat bukuku nakupenda sanaa dadaa
mecktirida ngeme jina rabwanaa ribarikiwe
kwaya
Uko vizuri Bahat
Nyimbo zako za inua xaana mungu akubariki mama
Amen hallelujah kweli kabisa ❤❤
Be blessed gwa kukajha
mungu akubariki sana maman bahati bukuku
Tukigali tuna kumiss burundi mama bahati bukuku 🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Amen Tena amen
Barikiwa dada na penda nyimbo zako
Ubarikiwe sana dada yangu mungu akuzidishie,nakupenda sana
Kabisa
Mungu akutie nguvu dada nyimbo zako nazikubar
Bahati Bukuku mimi na watoto wangu tunaweza kukuona live? Niliumwa na loho wiki nzima baada ya kusoma taarifa za kifo chako ktk mitandao ya kijamii, lkn walionena tunawaombea heri kwa mola, la hash , wamekuongezea mda wa kuishi.. Mungu akulinde mdogo wangu
amen God bless you mum
my favorite artist
Bahat b
Bahat
Barikiwa Mtumishi wa Mungu
Mimi ni mcongo ,lakini Nina kupenda sana.napenda wimbo wako,mungu a zidi kuku bariki na kukupa pumzi na afia njema
+bijou akatchung Amina Bijou
bijou akatchung MUNGU HUANDIKWA KWA herufi kubwa ndogo ni miungu please
Amen
Yan dah..!! Bahati cjui hata niseme nn but in short nakupnda sana mwana mama bahati etyy..
Good bahati bukuku.
amen,dada Mungu akuzidishie vipaji vingi
Jean-paul Idi B
Bahati bukuku depuis mon enfance je t'aime tant
Bahsti kuku
mungu akubariki tena sana sana
Nitulize moyo wangu by william
Ubalikiwe dada yangu napenda sana nyimbo zako zina upako
Katerina Dada balikiwa Sana dada washilika wa mwasotetumekmce
Wapendeza mum
Mungu azidi kukuinua bahati
Barikiwa sana Dada bahati bukuku
Dada unanichg hoi n nymbo nzr
Nikweli hawajui ni mekufanyia nn katika maisha yako
Amen nimewazidi wote ubarikiwe Mom
Unatufanya furaha sana na nyimbo zako. (=) Você nos deixa muito feliz com suas músicas!
what a beautiful song I love this woman bahati bukuku you should come to Zambia please
Namshukuru mungu
Barikiwa mnoooo
Yuko juu mtumishi bahati bukuku,
ya mungu ni mengi siku moja nitakuja tzd tuonane
Unaweza sana
Amen great song may God bless you siz 🙏🙏🙏
Amen... its blessing ❤❤
Amina barikiwa mtumishi