Yan wazaz wengine bana m2 uxhajua mwanao hapendwi uso xhkuru harusi haijafanyika lakin ndo una lazima harus ifanyike uko tayar kumuhazibia mwanao maixha hii story ni mmbo yanayo fanyika kwel for the seek of partnership yan mumeweza kwel mungu azid kuwasimamia ❤❤
Mnliza n mie jaman juu y unyonge wa Bilal n Ziya,kakake Ashuuu naye dah 🔥 waigizaji nyte pokeen 🎉🎉🎉🎉🎉yenu unyama ni mwingi aisei,,tuleteen vtu n mapema msitucheleweshee hivyo ❤
Hii character ya ziya na Bilal nimeipenda sana ❤❤❤
Wasema kidog shosti ❤❤😂😂😂pamja mbn tuwape🎉🎉🎉yao
Na bit yao ya kihindi❤❤❤❤❤❤
Wasema kidogo yaan ikifika character Yao nahisi raha😊😂
Yeah they know how to act❤
Mdada wa kazi anapendeza ndan y nyumba ya boss 😂
Imagine ata huyo bibiharusi mtarajiwa haiingii apo❤🎉
Apo napo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅
😂😂@@AsfSff-t8d
Jmn ziya na Bilal wamependezana adi naona Rahaaaa mashallh 🥰👌
Jamani nimetokea kuipenda hii movie ziya n bilal bigup❤❤❤Mr eyes bigup❤❤
Ule ukwli dozaa hajui kuactor kabisaaaaaaa
Wozaaa wozaaa,, mambo imechemka 😂😂... Nasubiria muendelezo bas 🥰🥰🥰
Mwamuonaje mtoto ziya mpeni maua yake nyuma kajazia juu pia
Nilivokuwa nasubiri jumanne ifikeee waaaa😂😂😂😂❤🎉much love❤
Yan wazaz wengine bana m2 uxhajua mwanao hapendwi uso xhkuru harusi haijafanyika lakin ndo una lazima harus ifanyike uko tayar kumuhazibia mwanao maixha hii story ni mmbo yanayo fanyika kwel for the seek of partnership yan mumeweza kwel mungu azid kuwasimamia ❤❤
Kweli bilali alikuwa ashangae kumuona alivyo pendeza
Combination ya ziya na bila it beautiful wallai
Ziya ni mrembo mashaalllah❤❤❤❤
Ziya na bilali mumetisha watt wangu ❤
Aweweeeeee love is blind 🔥🔥🔥 Thursday ifike tuone next Ep
Walai n nzuri mashaallah ❤go guys🎉
Jaman huo wimbo waitwaje❤... nimeupenda mie
Mm🔥🔥🔥🔥
Zia mwaya mshikilie bilali huyo mweupe mfupi hamuendani kabisa😢😢😢😢
😂😂😂😂😂😂😂😂
Ziya na bilali muko juu mashallah yaani moto zaidi ya jana 🥰🥰☺️🌹🌹
🎉😂huyo nae atolewa mastimu tu movie 🎥 nzima
oaa sanaaa wadhii ...top mombasani
Zia umetisha mama tambaa snaa
Ziya jamani🥰😘😘 nakupenda dadangu ❤
Mmh hyo kitengo naona kupungua tuu maana sio Kukimbia hivo😅😅😅😅
😂😂😂😂😂😂
Team ziya hoyee
Si ata nyinyii mwaona venye ii movie iko tamuu🎉🎉❤
Kitengo umeuwa brother 😂😂😂
Waaah!moto juu ya moto🔥🔥🔥❤kazi nzuri sana
Ila huyu Salma 😂haendi kwao kufundwa yuwataka harusi tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ziyaaa my fv😭❤️❤️anajua tena anajua tena❤️❤️❤️
Nani mwengine ameona ziya amevaa kipuli kimoja😂🤭, anyways amependeza sana
Ety ziii wa kuja hajuu kushika umma😅😅😅😅😅
Kazi nzuri Mashaallah🎉🎉🎉🎉
Mashallah kazi safi.....ila Yusuf uache umbea🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jamani ziya kwani vipuli havina stopper 😂😂 anyway big up guys iko lit 🔥🔥
Atoka kijijini hajui vipuli🤣🤣
Anchekesha 😂😂sna hasa hko kwa hotel,,ila sio shida ytu mashaallah Ziya ypo very
Jāman bilal unajua mpka unajua Tena🥰🥰🥰😁
😂😂ziya mkubali bilali ,utakuwa kama princess😅😊
Kuchoma sio vizuri kwa movie
Team love is blind nawapenda bure❤❤
Big up sna Kwa Hemedi 🔥🔥
Ziya n Bilala wameweza sna
Ziya mashallh bby girl kept up ❤🎉Iko poa mashallh ya Leo 🔥 fire 😊
Team strong kujen uku jaman tusongeshe masiku 😅😅😅
Tumejaaa🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂 sipendhii wanavyomunesha ziya manyongee😂
Tuko tele😂
Tupee behind the scene ya uyo mwnye kuvuta sigara😂😂😂
Bilal umefeli protect your gal
Awesome ❤nampenda.ziya thu mmi😂😂
Now this is more like it 😂 😂 😂
#Drama
But Bilal should make his decision ASAP 😂
Mbona mamake ashu hakai surprised ametulia sana 🤦♀️afaa achangamke n yy
Salma nikujiketia kwa watu tuu asoenda kwao kufundishwa kupika😂
anyway iko swa ❤
Sema mwachelewesha snaa akh😢❤❤❤❤
Mwawezaa , waiting for the next episode
Hii movie kali lakin hawa wakizungumza kizungu waongee tu kiswahili jamanii
Nipewe character ya kuwa mke wa mr eyes naona yupo single😂😂🎉
Tobaa🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
@@Bigheartfilm-m8r
Ashuuh tafuta mume akuoe mwaka huu😂😂😂😂kama ni bilal ziya amemtia kwa chupa🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
Hashim pia ywamtaka ziya😂😂
Napenda bilali ba ziya ❤ mashallah
Wow nimependa hii episode 🎉🎉❤❤❤❤😍🥰🥰
Mashaallah 🎉🎉
Ziyaa mauwaa yako upewee 🎉🎉❤
Ziya na bilal🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 mmeweza sanaaaaaa
😂Mwanngu bilali usingemfanyia hark ziya ungeendlea tuu kua n moyo w kumsaidia mpka mwishon kila mmoja aanze kumpenda mwenzke ila ywahofia kumwambia mwenzke.....ila sw vyenye yaenda n script ndo yapeleka vyenye twaona
Move nzuri sana
Ziyaaa uko vizur mamaaaa❤
oyaaa amazoni umetisha cnaa
Ziya Na bilal wamependezan❤
Angalia mbona mwa kaa sana ❤❤❤ plz musikae sana
Mnliza n mie jaman juu y unyonge wa Bilal n Ziya,kakake Ashuuu naye dah 🔥 waigizaji nyte pokeen 🎉🎉🎉🎉🎉yenu unyama ni mwingi aisei,,tuleteen vtu n mapema msitucheleweshee hivyo ❤
Kwan mapenzi mpaka yalazimishwee
Move nzuri mashallah shida nyimbo sijui ya nn
Ziya yuwajua❤❤❤🎉
Yaani hashim bilal apigwa wewe uko zii
Ziwa akutaki😅😅
Mbna ziya ywashika sikio kila akitembea
MashaAllah guys❤❤❤ more love
One love guys big up❤❤❤ ilaaa ziya mtto mzuri bna
Ilaaa hashimu tuliza mpira bloody ziya wa bilal bna😂😂😂😂😂
Hashimu kamaind flagi tayar weeee mwaka wake slama
Leo mm wakwanzaa 😂😂😂❤
Always a banger🔥🔥🔥🔥
Lkn mbona bilal ni mpole hiviii. Kuwa jasiri kidogo😊
doza vp ashuu
Ushaona 😂😂😂
Bilal...chombo hicho anguka nacho......Ashuuu ajamzidi huooooo wa sasa😂😂😂😂
Asije akachotwa halooooo❤❤❤❤❤❤❤❤
congratulations 🎉wanangu😘
🥰🥰🥰 mbona wachelewesha movie
Movie mashaallah ❤❤...
Aisha wallahy jinga😂😂😂😂uko juu
❤❤❤❤ziya
Wakwanza leo 🎉🎉🎉😊
sote wakwanza
SAWA
Kila episode ikitoka lazima ni comment but this episode is fire 🔥
Kali sana❤🎉
Bilal waoneshwaa unyonge😂😂😂😂😂
Haezi kuja juu maana atapoteza mali zao zote 🤣🤣🤣
@@Bigheartfilm-m8r amna buh angalau angemtetea uko kupigwa😔😔,
Mukosawa jaribuni vivo hivo
Lets see nani ataolewa kati ziya na salma
Hasheem kashatekwa tena na uzuri wa ziya anyway I love you guys but mchangamke e.g mama acheze kama mama kweli
MashaAllah 🥰
Hawa hawajaowanaa walala pamoja 😂😂
Ni wazungu 😅
Bilal punguza hzo ushaona 😅 anyways you top Fahm 🔥
Inshallah atajurekebisha inshallah
Jamn hemedi ushamtoa ziaa chips zoteee c kwa ngumi hyo😂😂😂😂😂😂
😂😂
Ashimu jina la kakangu mdogo❤❤❤
Keep em coming Mr eyes🎉❤
Bilal umenyamaza tu akipigw😂😂
Yaani amazon analeta dharau kwa nyumba y wenyewe