Hongera sana chama langu!!! Ila waamuz waache kuumiza moyo makocha wetu kwa kudhulumu mabao kwa Yanga inakuwa desturi sasa TFF WACHUKUE MAAMUZI SASA,Gamond kumbe boxing unaiweza baba 😅😅😅😂😂
Pia mjitahidi mechi zijazo mfunge magoli mengi ata mengine yakikwtaliwa mengine yanatupa ushindi naona kunanjama za kuihujumu yanga hisipate point zote 3 yaani mechi zilizobakia ni muhimu zaidi kwetu kucheza kwa kuitaji ushindi na point 3 muhimu tu ili malengo yetu yatimie
Wahamuzi siyorafiki goli nzuri sana ila tushukuru mungu kwahili wachezaji wamejituma kweli kweli daima mbele nyuma mwiko
fitina ni nyingi sana tumecheza na kagera, waamuzi mpk mayele tv😂
Waoooo aluatani Mungu akutangulie katika ndoa Yako kaka nakupa zawafi ya ndoa. 🎉🎉🎉🎉🎉🎉 POKEA kaka
Mungu asenta yanga yetu daima mbele 💛💚💛💚💛💚💛🙏🙏🙏
yaoyao ni kweli ni jeshi
Hongera sana kwa wanajeshi wetu
Abdul kazi nzuri sana unafanya
Mungu ni mwema 🙏
tunawapenda jaman kitengo cha habari mnafanya kazi nzuri sana Mungu awape afya njema😂🙏
YANGA BIGWA 2024/2024
Hakuna wa kutuzuia Yanga kuchukua ubingwaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂😂 waooooo
Kila laheri ktk ndoa yako jijana wetu Alwatan
Nakuombea ndoa iwe ya heri alwatan
Alama 68 wewe priva acha kuturudisha nyuma 65 ilikuwa kabla ya mech ya leo
He! Mwananchi uko makini eeh! Safi sana, ubingwa uleeee!
Mungu ijalie chama langu ubingwa simba na Adam naomba watoke sare ya bao 1_1
Simba si Bora afungwe tu
@@AthumanRamadhan-h5ekabisa apigwe tu
Watoke sare ya 1-1 ili wote wakose cleasheet na wote wapoteze point 2-2. Hii itatupeleka haraka kwenye ubingwa.
Ameen yarab harusi iwe ya kheri Al watan
Bwana harusi mstaarabu Allah ampe mke msikivu wallah 🎉
Harusi njema Alwataniii
Hongera sana chama langu!!! Ila waamuz waache kuumiza moyo makocha wetu kwa kudhulumu mabao kwa Yanga inakuwa desturi sasa TFF WACHUKUE MAAMUZI SASA,Gamond kumbe boxing unaiweza baba 😅😅😅😂😂
Asante mumgu kwa ushindi huu muhimu sana kwetu. 🙏🙏Hongera pia kwa wachezaji wetu kwa kuwa na moyo wa upambanaji❤❤❤
Ubingwa huo ushafika tayari kesho sare wanatoa tunatuliza mzuka
Hongera zako akhui al watan kila la kheri inshallah malka na harusi ya kheri pia.
Hongera kwa ushindi lakini viongozi wetu mwambieni ki azizi tunataka kiatu cha ufungaji bora hatutaki kugawana kiatu kila mwaka
Inshallaaaaaaaaaaaaaaaaah
Pia mjitahidi mechi zijazo mfunge magoli mengi ata mengine yakikwtaliwa mengine yanatupa ushindi naona kunanjama za kuihujumu yanga hisipate point zote 3 yaani mechi zilizobakia ni muhimu zaidi kwetu kucheza kwa kuitaji ushindi na point 3 muhimu tu ili malengo yetu yatimie
Kazi nimeimaliza japokua amnijui kila mechi ninashiliki kikamilifu
ndoa ofanyie kwa mkapa jaman
Quality huamua mechi.
Allaah Akbar
Sisi tuna Mungu
❤❤❤
Azam Bingwa🤣🤣🤣
awa marefa wanataka ku2zoea kuna siku 2tawatokea uwanjan wataelewa
Mashallah
Alama ya 68 bana sio 65
uyo anaesema 65 ni nani ana utani na mioyo ya wananch
Priva haupendezi kabisa kumoderate hizi conversation. Hauna mvuto
Acha makasiriko 😂
hana mvuto upi katangazee wewe?Hivi ninyi watu mkoje kukosea sawa lkn anauliza maswali sahihi.
Acha makasiriko KOLONWIZARD😂😂😂.Me nafurahia sana akiwa privaa.he is the best 🎉🎉