Ulifanya vizuri sana kuachana n'a Rose unheliendelea kuvumilia angelaliza.maisha Yako. Mimi najifunza kitu. Kama mke anachepuka anaweza hâta kuwa adui yako n'a japo munaishi pomoja. Moja atapiteza heshima kwako. Pili haitakuwa n'a hinsia n'a wewe tatu ataendelea kukusengenya kuusu wewe haujue kufanya mapenzi. Bora kuachana
Wanawake walioolewa na wajitambue na kukaa ktk nafas zao ipasavyo kutunza ndoa ,maana rose angekuwa na maadili na kumheshimu mumew ndoa yao ingekaa poa sana na mumewe alimpenda sana
Hilo nakubaliana nalo kwakweli kwa upande wangu kuna kidudu mtu nilijaribu kumbadilisha kwa tabia chafu alizo kuwa nazo ila yalio nikuta sio ya kuhadidhia n that's why nachukia mapenzi 😢😢
Na tukumbuke wanaume hawana uvumilivu wa kudumu,huyu kaka alivumilia tena mambo nyeti ya ndoa yasiyovumilika,ni simulizi lkn tuchuje mafunzo na kuyatendea kaz ktk maisha yetu halisi
Woyooo wa kwanza mie ss ndo wale hatulali kitanda Cha moto😊😊
Thanks kaka tumejifunza mengi kupitia hii simulizi,Ubarikiwe sana kakangu❤
Woyooi kuimba unajua
Woyooooooo!!
Hongera kwa simulizi tamu yenye mafunzo mazuri sana,barikiwa 🍎🍎🍎🍎💐💐💐💐💐🥀🥀🥀🥀🥀🥀
Wow Asante kwa simulizi tamu ❤❤ nimeipenda🎉🎉
Nipeni likes mm wakwanza jaman leo wow Lucas nipe maua
🎉🎉🎉hongera
Kweli age is just a number penda pale moyo unapata faraj baas😊
Napenda hio sauti yako Mr.lucus❤❤❤❤
Mnoo haichoshi
Saaaana,inakoleza ipasavyo
Hogera sana Lucas lumbasi simulizi tamu Sana rafiki yako ni adui jamani. Roho mbaya kwa mume wako sababu huna pesa pesa nini na maisha yako
Hongera yako Lucas kwasimulizi nzuri
Ulifanya vizuri sana kuachana n'a Rose unheliendelea kuvumilia angelaliza.maisha Yako. Mimi najifunza kitu. Kama mke anachepuka anaweza hâta kuwa adui yako n'a japo munaishi pomoja. Moja atapiteza heshima kwako. Pili haitakuwa n'a hinsia n'a wewe tatu ataendelea kukusengenya kuusu wewe haujue kufanya mapenzi. Bora kuachana
Very true Ankojay huwezi kumbadilisha Kenge kuwa mjusi. Atabaki kenge tu. Asante kwa Mawaidha matamu🙏🏾
Thanx lukas lumbas kwa simulizi tamu😮😮😮😮❤❤❤
Asante kwa simulizi nzuri
Asante sanaa Lucas kwa simulizi hii bomba kweli kweli ❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉😂😂
❤❤❤❤❤❤nice
Hongera kaka Lucas maisha no kitendawili m.mungu akubariq na kazi zako akupe afya na kutuelimisha kazi nzuri
Nimeupenda uhuru ni kitu cha muhimu maishani uyo mkewe ni mshamba na ujinga ni kikoloni😊😊😊
❤❤❤
Mashallah kaka rukasi tabarak Allah tupo pamoja kipenzi chetu
God 🙏🙌 blessed you 💕😘
Lucas lumbasi kama hautojali tupe muendelezo wa doctor wa Saratani ya matiti plz
Part two ya doctor
Shukran ndugu Lucas na ancojay kwa sehemu ya
mwisho tukiisubiriri kwa ham ❤❤❤❤
Thank you kaka Lucas😍😍😍 keep up
Ahahahahahhahahahah lucasi lumbasi jamn unamzabua nani tena wewe jamn 😂😂😂😂 nimecheka jamn
Ahahahahah bonge la simuliz,, basi aiseeee
Thanks lucas
Thanks for the story
🤣🤣🤣usijal kipenzi dawa ya moyo nkuwa Na Amani Na furaha kwa Yule umpendae
🤣🤣rose wew ni kichwa unamsalimia mama mkwe wako kingereza♥️♥️
Shukrani kaka Lukas, tumepata burudani tamuu, mungu akubariki kaka 🥰🥰
Haya sasa mtu amwambie James wangu aka puu njia panda maana mwenzie katoa talaka na sio talaka tu hadi kumapata sugar mummy full kudoz😊😊😊
Shukrani sana Mungu awatanguriye kwasimurinzi ❤❤
Huyo mwana mke Ni mjinga Sana wawezaje kuwa Na mumeo ndani Na undapata mimba ya mtu mwingine
Wanawake walioolewa na wajitambue na kukaa ktk nafas zao ipasavyo kutunza ndoa ,maana rose angekuwa na maadili na kumheshimu mumew ndoa yao ingekaa poa sana na mumewe alimpenda sana
Hilo nakubaliana nalo kwakweli kwa upande wangu kuna kidudu mtu nilijaribu kumbadilisha kwa tabia chafu alizo kuwa nazo ila yalio nikuta sio ya kuhadidhia n that's why nachukia mapenzi 😢😢
🎉🎉🎉🎉🎉🎉
❤❤❤❤❤❤❤❤
❤❤❤ santé
Nimependa mwanaume kachukua maaamuzi sahihi na kuachana na gumegume
🤣🤣eti gumegume
Na tukumbuke wanaume hawana uvumilivu wa kudumu,huyu kaka alivumilia tena mambo nyeti ya ndoa yasiyovumilika,ni simulizi lkn tuchuje mafunzo na kuyatendea kaz ktk maisha yetu halisi
Makubwa
Ni peni like pamoja na maua kwa kua wa mwisho🎉🎉🎉🎉🎉😂😂😂😂😂
Ila mwanaume hata akiumizwa namna gani,asionyeshe huzuni na machoz yake kwa mwanamke anayemuona dhaifu itamtesa zaid
❤❤❤❤❤
❤❤❤❤
❤❤❤❤❤