INATISHA! Kilichomkuta Mama Diamond Baada Ya Sherehe Kuisha

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 лип 2019

КОМЕНТАРІ • 46

  • @fatumamukete6839
    @fatumamukete6839 4 роки тому +7

    Hongera mama Diamond. Mungu amekubariki. Wote tunatamani watoto wetu wajaaliwe watupe raha. Achana na wenye huduma. Hakuna chochote zaidi ya gere.

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 4 роки тому +4

    kusemwa ni kawaida... life goes on

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 4 роки тому +3

    Tanasha Cinderella tausi

  • @rukiawegesa4437
    @rukiawegesa4437 4 роки тому +2

    mama tangote enjoy to the fullest. wachana na hii zombie

  • @salamashabani7922
    @salamashabani7922 4 роки тому +7

    ACHENI POROJO MAMA AMETUNUKIWA JAMANI MUACHENI NA MANENO YENU YASIYO NAMASHIKO

  • @umuwanezazuhura3223
    @umuwanezazuhura3223 4 роки тому +1

    wivutu

  • @fatmanelly4956
    @fatmanelly4956 4 роки тому

    Simpendi mama diamond kabisa

  • @tabuyahya6481
    @tabuyahya6481 4 роки тому +2

    Mashavu yanachuma kunde hayo harafu Ajishaua Aende hulo hata mwanae ni tajiri kivyao haituhusu

  • @agneskadzo6105
    @agneskadzo6105 4 роки тому

    walipendeza sana

  • @maryamashmrei9999
    @maryamashmrei9999 4 роки тому +1

    We mtangazaji mmbeya sana

  • @mussajulius9579
    @mussajulius9579 4 роки тому

    Du tuwaache jamani wanapendana

  • @adyaa8922
    @adyaa8922 4 роки тому

    Duh acheni wivu wakijinga zaeni wa Kwenu ili mfanyiwe sherehe Watanzania jamani mh

  • @mwaadamadenge3833
    @mwaadamadenge3833 4 роки тому

    Watu waongo mama diamondi kiukweli amependeza sana natanasha pia nakuolewa hata kama uyo baba ni mdogo ni sunna

  • @esperanceecha8891
    @esperanceecha8891 4 роки тому

    Watanzania makes adabu sana huyo mama Diamond anajitahidi kushinda wa Girl vichambo yenu hahina adabu hacheni kutanganza upuhuzi wenu.

  • @anjunurdin2763
    @anjunurdin2763 4 роки тому +1

    Kimuonekano mm wala sioni kama mama diamond na shamte wamepishana sana..labda wakitaja miaka yao lkn haoneshi kama shamte ni kibenteni..itakua na yeye shamte kafoji miaka yake

  • @rahmstifaallahndiemwenyeku6765
    @rahmstifaallahndiemwenyeku6765 4 роки тому

    Nikweli hajapendeza

  • @samueljr9105
    @samueljr9105 4 роки тому +2

    TZ ni umbea tu kuponda watu hawa wanazungumzia mambo ya watu kwani hawana kazi?

  • @joycekasakisya7755
    @joycekasakisya7755 4 роки тому +3

    Muwaache wenzenu wapumue loooh!!!! Wivu tu

  • @najmashani2521
    @najmashani2521 4 роки тому

    Wabongo huo ni zaidi ya umbea ukicha kusemwa hutendi jambo na ukikosa mahasidi jua nyota yako haingai ndugu zetu wabongo mnatuweka hoi kwa kufuatilia ya watu alafu huyo mtangazaji nae alistaafu kwa umbea mpaka akisema mate yanamjaa mdomoni lazima amize ndio aendelee kumwaga umbea sijui yy ni mkamilifu au tujueje

  • @yuusufnuur5752
    @yuusufnuur5752 4 роки тому +3

    Museme muchoke yeye kasha pendwa wanaimia waoande juu waka zibe mama yuko sawa ndo manq kapenda wabongo hamwachi michambo tumewazoeya kilele mitandaoni ndizo mali kwenu

  • @judithmelvinealuchio8968
    @judithmelvinealuchio8968 4 роки тому +3

    Mange ni mange tuu ila nikama yeye hutamani Diamond natena kuna kipindi alisema ka muchawi ka bongo mama D na T kangu walitoka smart sana

    • @yuusufnuur5752
      @yuusufnuur5752 4 роки тому

      Haha ha mange hachi

    • @restitutamalunguja1982
      @restitutamalunguja1982 4 роки тому

      Wivu, unawasumbua mama dangote Mungu amembariki mno, simu zote wanaokuchukia hawawezi kukusema vizuri, kwa hiyo sishangai, mama dangote achana nao hawana lolote wivu tu!

  • @estermambo8396
    @estermambo8396 4 роки тому

    acheni wivuu!!! amependeza sanaa mamayetu!!

    • @estermambo8396
      @estermambo8396 4 роки тому

      km mkubwa aiwahusu! kwa waislam ni suna jamani

  • @mariamukajiru1898
    @mariamukajiru1898 4 роки тому

    HATA AWE NA MIAKA 200 NDIO WAMESHAPENDANA ACHA WAJILIE VYAO, MTUME TU ALIMUOA BIBI HADIJA NA ALIKUWA MKUBWA KWAKE

  • @latb2747
    @latb2747 4 роки тому

    kanzu nyekundu imemkaa vibaya.mno design haiendani na umri wake

    • @nelizabethnelson8576
      @nelizabethnelson8576 4 роки тому

      Kaambulia vidoladola hakuna kupewa gari shamte!!wewesiyo mzaa chema!!

  • @joycemlwale818
    @joycemlwale818 4 роки тому

    Hebu mwacheni ajilie vyake jamaniiii mpeni pumziiii au ndio mpo kazini khaaaaa!!! Mnampaishaaaa Tuu kwa mineno yenu mwenzenu kwake mafuta anajipaka anazidi kumeremeta.

  • @aishauwesu7545
    @aishauwesu7545 4 роки тому

    Kwani anamfunga nepi yule mpaka awe mtot mdogo waacheni na mapenzi yao

  • @faustinaphilipo103
    @faustinaphilipo103 4 роки тому +2

    Waabongo mnawivu hasa kwa wasaniii yaan hawawez Fanya kitu mkakosa kasoro sjui nan aliwaloga

    • @emmahmelisa4511
      @emmahmelisa4511 4 роки тому

      Ni kawaida yao,tushaa wazoea watanzania hawakosangi maneno ya kuwasema wezao

  • @diahemed9471
    @diahemed9471 4 роки тому +3

    Ata awajapendez wote na mkwewr

  • @rahmstifaallahndiemwenyeku6765
    @rahmstifaallahndiemwenyeku6765 4 роки тому

    Siku nyingine mbona Anapendeza

  • @khalifanassor5349
    @khalifanassor5349 4 роки тому

    Jealous tu, mange onesha wako, si kijana chochote mbona mamvii shamte yamemjaa

  • @rahmstifaallahndiemwenyeku6765
    @rahmstifaallahndiemwenyeku6765 4 роки тому

    Dizaina kabugi

  • @Noah-se3ni
    @Noah-se3ni 4 роки тому +2

    Ujinga mtupu Yamahana hamusemi kumfatiliya mahisha yawatu ndiyo kazi mliyo someyaka

  • @swabrinalaliswabrinalali8925
    @swabrinalaliswabrinalali8925 4 роки тому

    Umri Sio hoja Ata mtume mohamad aliowa mke mwenye umri mkubwa so hiyo Sio hoja acheni kufatilia jamani watanzania

    • @emmahmelisa4511
      @emmahmelisa4511 4 роки тому +1

      Mapenzi hayana umri kwani roho ikishaapenda bc ndo hivo,la msingi bora wanaheshimiana

  • @sheisgodorait5721
    @sheisgodorait5721 4 роки тому

    Kawaida ya wanadamu Hatuna vyema

  • @zahaljamal4520
    @zahaljamal4520 4 роки тому

    Mange huna jipya wivu

  • @munguaibarikitanzanianawat9254
    @munguaibarikitanzanianawat9254 4 роки тому

    Inawahusu nini amempenda mwenyewe huo ni ubea tuh hamuna lolote wimvu tuh