TAZAMA MIRADI YA STENDI YA MABASI NA SOKO INAYOJENGWA JIJINI MBEYA..

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 22 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 12

  • @fredmwaipopo3387
    @fredmwaipopo3387 14 днів тому

    Big up

  • @JacksonDominicko
    @JacksonDominicko 19 днів тому

    Apo sawa

  • @Gsamir694
    @Gsamir694 10 днів тому

    Safi sana

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 18 днів тому

    Kwa sisi ambao bado hatujafika mbeya physical yani tunaona jiji la mbeya km vile town flani ya wilaya tu

    • @yustomwaisomania2587
      @yustomwaisomania2587 5 днів тому

      Tembea uone acha kuamini maneno ya kuambiwa

    • @eddechriss2664
      @eddechriss2664 5 днів тому

      @@yustomwaisomania2587 Si maneno ni picha

    • @Aminmwansile-we8vn
      @Aminmwansile-we8vn День тому

      Mbeya Nini kubwa Sana na ni Jiji la tatu kuanzishwa baada ya daar na mwanza mbeya ndiyo Jiji likafuata

  • @raphaelkessy7360
    @raphaelkessy7360 17 днів тому

    ❤🇹🇿Ni Raisi wetu🇹🇿❤Samia huyo miaka❤Mia❤🇹🇿

  • @am2323Diaspora
    @am2323Diaspora 17 днів тому

    Yaani Mkandarasi gani asiyemiliki ESCALATORS za kuchimbia. Wanachimba kwa pauro

  • @osi_ministry
    @osi_ministry 12 днів тому +1

    Tunaomba mtuoneshe ramani ya mradi utaonekanaje ukikamilika

    • @ManyunyuTv
      @ManyunyuTv  10 днів тому

      Ramani hiyo hatuna kwa sasa.

    • @osi_ministry
      @osi_ministry 10 днів тому

      @@ManyunyuTv mkaombe tujue tunajengewa muonekano gani, vision plan ni muhimu Kwa maoni ya washika dau, stand ya magufur mbez tuliona raman na tuliappriciate kinachojengwa kabla hata ya ujenz kuanza