Siri ya familia ya Hayati Rais Moi

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 лют 2020
  • Rais mstaafu Daniel Moi alikuwa ni kiongozi wa taifa kwa muda mrefu zaidi katika historia ya kenya, lakini tofauti na marais wengine, masuala ya familia yake haswa uhusiano wa kindoa yamesalia kitendawili hadi sasa. Raquel muigai anaangazia yaliyojulikana kuhusiana na ndoa ya moi na mkewe mama lena Moi na wanawe wanane.

КОМЕНТАРІ • 146

  • @mikedan1748
    @mikedan1748 4 роки тому +9

    Having served both Mzee Kenyatta and Moi but Moi..oh Moi you took me to places and left me enjoying your offering RIP Amen

  • @sarahlodi7181
    @sarahlodi7181 4 роки тому +4

    Sarah lody from kitale true story this is a Hero hakuna mwanamke au mtoto mwenye amjitokeza eti huyu ni mume wangu au babangu upande wa ndoa alikuwa mwaminifu Baba lala salama Maisha ya milele Amen

  • @janetmukeli7654
    @janetmukeli7654 4 роки тому +9

    Congrats Mzee Moi for his love which he showed to youths in 1979 10%employment. Rest in peace

  • @eunicefaith6691
    @eunicefaith6691 4 роки тому +2

    ooo gindi ndio last born no wonder;rip mzee moi turikupenda lakini mwenyezi MUNGU akakupeda saidi

  • @maurinekhasila3326
    @maurinekhasila3326 4 роки тому +3

    Mupeni Baba yetu Moi nafasi apumuzike..Mulikuwa wapi kutupa story zake akiwa muzima.I can call you grandbaba we miss maziwa ya nyao .R.I.P MUPENDUWA WETU

  • @beckyatmwagatanga344
    @beckyatmwagatanga344 4 роки тому +1

    Wah mm Sita comment Hii juu Sikuwa Najulikana Kama nitakuja. Nchini😳😳😳🙆🙆🙆

  • @byronwinner8179
    @byronwinner8179 2 роки тому

    Moi was quite loving president caring for kids. Nyayo milk was a gift from GOD.

  • @wathomelilian2492
    @wathomelilian2492 4 роки тому +2

    Naona sasa lazima kila mtu ajipange . Mtu ukifa, watu wanakufanya research na search digging down deep to your roots. Kila mtu sasa arekebishe story ivutie kusomwa na kutangazwa in Jesus Christ's name; Amen.

  • @johndimpozz7296
    @johndimpozz7296 4 роки тому +17

    True love existed those days ...nowadays nani anaweza divorce Mme akona pesa?

    • @irenekambi4705
      @irenekambi4705 4 роки тому +2

      hivi sasa haiwezekani atakuandama mpaka mgawe mali

    • @everlyneosuru1586
      @everlyneosuru1586 4 роки тому +1

      Na kumbuka Moi hakuoa tena.

    • @patrickngolo1756
      @patrickngolo1756 4 роки тому +1

      True it used to exist

    • @african_gem
      @african_gem 4 роки тому +1

      Ukiwa na pesa ndio wanataka sana divorce ili wagawiwe mali

    • @mercywambui2400
      @mercywambui2400 4 роки тому

      He he saa hii unapelekwa kortini mgawane

  • @shakole5979
    @shakole5979 4 роки тому +11

    Our leaders should learn from Toroutich D.and forgive each other, to join hands kuongoze Kenya yetu, "Kipenzi chetu" coz Kenya is bigger than all of us and no one will remain on this earth. When handing over power, he asked for forgiveness... "Kama nime kosea any one, forgive me na pia niwasamehee wenye walini kosea. R.I.P Mzee.

  • @dianasimiyu8853
    @dianasimiyu8853 4 роки тому +2

    Wow i never knew MOI has eight children. What i know is Gideon moi. Moi was a hero that all over the world knows him. May he rest in peace.

    • @ogola7263
      @ogola7263 2 роки тому +1

      What's your definition of the word hero

  • @mikedan1748
    @mikedan1748 4 роки тому +3

    RIP...My family and me eat from Mois kindness.God knows the best Moi did for me first in 1983 and in 1991.

  • @elijahnjoroge1936
    @elijahnjoroge1936 4 роки тому +3

    Great leader with a lot concerning the nation.

  • @davyndila1241
    @davyndila1241 4 роки тому +17

    Baada amekufa now he become the song all news of all kind. Y u didn't do all this akiwa mzima ?

    • @christineokwiri4720
      @christineokwiri4720 4 роки тому +3

      I wonder why mtu akikufa ndie wanatuonesha upuzi

    • @afriquelyrics8463
      @afriquelyrics8463 4 роки тому +3

      its normal world over, kueni wapole

    • @Johnny102
      @Johnny102 4 роки тому +1

      Siwajua Kenya siasa ndio imeekwa kipaumbele tangu zamani

    • @maureenbisieri6776
      @maureenbisieri6776 4 роки тому

      @@afriquelyrics8463 exactly👍👍

  • @kellyk9703
    @kellyk9703 2 роки тому +1

    Moi loved the youths

  • @mamayao9816
    @mamayao9816 4 роки тому +8

    Ishi ulaumiwe kufa usifiwe

  • @sheilanafulak6081
    @sheilanafulak6081 4 роки тому +6

    Rip hero

  • @mikedan1748
    @mikedan1748 2 роки тому

    Oh Moi..my first Jet ride to Europe! Geneva refueling...oh De Gaulle..Byssels and in Hilton and Kings Palace!.. London.. Tokyo ..Brunei..India..Bagdad Bangkok oh Moi and in 1982 eating goat ribs at State house soon after the departure of then South Korean President and the 20,000ksh pocket money as your appreciation for my work in your office! RIP...

  • @sbiko7944
    @sbiko7944 4 роки тому +1

    Mad props for Rachel Muigai !

  • @GoldDiamondJewelsGDJ-mu9hn
    @GoldDiamondJewelsGDJ-mu9hn 4 роки тому +7

    It must be remembered that amongst many innumerable tragedies, corruption and exceptionally bad governance, Moi grabbed land from a poor widow! It is madness to give Moi a criminal a state funeral, just throw his carcass in a very shallow grave somewhere in Uasin Gishu, it would become worm food and fertiliser and grow potatoes on top and life goes on!

  • @victoriashiko7172
    @victoriashiko7172 2 роки тому +1

    Each families have his history

  • @proudshishi8934
    @proudshishi8934 4 роки тому +1

    Hello proud

  • @eunicebidienyi7849
    @eunicebidienyi7849 Рік тому

    Am happy2 see moi

  • @sarahwario9787
    @sarahwario9787 4 роки тому +2

    Hatuifahamu sisi.. Tuanjua Lucy na kibaki

  • @wlkmwlkm3381
    @wlkmwlkm3381 4 роки тому +4

    Awoyie which means moi ali devoice na bibi yake Lena ndoa za vyiongozi pia ziko na shida zao

  • @wambui4590
    @wambui4590 4 роки тому +13

    Women had no rights during his time, there was no rule of law. huyu hakuwa profesa wa siasa , ni vile watu walikuwa wajinga

  • @benoguda7082
    @benoguda7082 2 роки тому +1

    Moi was the best

  • @ithewakui4839
    @ithewakui4839 4 роки тому +1

    Hayati. ....? Oh please

  • @hashakatv8618
    @hashakatv8618 2 роки тому

    Jennifer was born 1952 and Jonathan Kimkemboi was born 1953. Kweli hata wanlakaa mapacha

  • @marengomareng8799
    @marengomareng8799 Рік тому

    The icon of peace

  • @DogohVick
    @DogohVick 4 роки тому +1

    Updated🤗kindly watch special tribute song to former president🙏

  • @chrisnyaranga3170
    @chrisnyaranga3170 4 роки тому

    To me they both had AN MOU of how they wanted to live. This business of ooh they separated ooh they divorced is for the people, not for them. Wacha mzee apumzike kwa amani. Mcheene mingi tuwaachane nayo.

  • @mtuwawatuhoyee6549
    @mtuwawatuhoyee6549 2 роки тому +2

    Moi messed Kenyans 24 years let us not talk about it please.

  • @amudavidaniel7727
    @amudavidaniel7727 4 роки тому +5

    We need firm dictators for the country to move on smoothly r.i.p mzae

  • @wycliffeodiwuor158
    @wycliffeodiwuor158 4 роки тому

    Even the killer died. Luos didn't mourned moi but they mourned the great heroes died during is time in his hand

    • @Kenia-sn1cg
      @Kenia-sn1cg 2 роки тому

      Why would they mourn, Luos never like anyone other than their own, they stoned Jomo Kenyatta, Jimi Wanjigi and chased from KSM many others I cannot remember.

  • @sheilachisika8143
    @sheilachisika8143 4 роки тому

    Uongo, Mbona hamkusema mapema

  • @loisegithumbi1124
    @loisegithumbi1124 4 роки тому +1

    Rip

  • @edwardmuhoro89
    @edwardmuhoro89 2 роки тому +1

    She refused to dance with president kenyatta on an official public function which embarrassed moi due to her stauch Christian values

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 2 роки тому

    Moi we love d you for the cheap life we faced.

  • @PatrickKkhaemba-mq8gs
    @PatrickKkhaemba-mq8gs 3 місяці тому

    More details

  • @solarmopiyo6990
    @solarmopiyo6990 2 роки тому +1

    Yaani 24 years to devorce, and 24 year rule

  • @gnbenz2
    @gnbenz2 4 роки тому

    He must have become a workaholic after separation. Focus is good tho. Rip

  • @esthersarange1201
    @esthersarange1201 2 роки тому

    I wish angepatana na Lucy kibaki amuonyeshe🤣🤣

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 4 роки тому +10

    Mali kaacha duniani au kaendanazo?

    • @allahlovesyou6613
      @allahlovesyou6613 4 роки тому +1

      Thabit Ngangila i think kaenda nazo 😂

    • @nurafedrick378
      @nurafedrick378 4 роки тому +1

      🙄🙄🙄🙄🙄suti ndoameenda nayo naviatu natai

  • @ayshamahariq6665
    @ayshamahariq6665 4 роки тому +2

    Inalihah wainailehimrajiun 😢 😢

  • @ugwu-ojobeugwu6134
    @ugwu-ojobeugwu6134 4 роки тому

    It was ok

  • @kimmoseh2733
    @kimmoseh2733 4 роки тому +26

    Hit like if you wish you had a chance for Baba Moi's Milk

    • @carolineshivoche885
      @carolineshivoche885 4 роки тому +1

      😂😂😂 shauriyako ,sisi tulikunywa

    • @kimmoseh2733
      @kimmoseh2733 4 роки тому

      @@carolineshivoche885 hamkutubakishia ata😹😹

    • @allychongowe2025
      @allychongowe2025 4 роки тому +1

      Kwa kweli tuliyanywa mungu amsamehe makosa yake

    • @kimmoseh2733
      @kimmoseh2733 4 роки тому

      @@allychongowe2025 yeah sure He did, aliomba msamaha, au sio?

  • @priscaadongo1922
    @priscaadongo1922 2 роки тому

    Helena moi looks like lesuda she was very beautiful

  • @brianrozenahmonica5933
    @brianrozenahmonica5933 4 роки тому +4

    Huu ni mucene tu mngesema akiwa hai

  • @njerikangethe6143
    @njerikangethe6143 4 роки тому

    R I P

  • @martinkiragu9491
    @martinkiragu9491 4 роки тому

    Ukiona walitengani si bure hidden agenda was there

  • @dorcasmogaka5479
    @dorcasmogaka5479 2 роки тому +1

    You marry, start life from scratch them you become national figure you divorce your long term wife material waaaaaa

    • @esthersarange1201
      @esthersarange1201 2 роки тому +1

      Wako hivyo wote wanaume,,,ukiona ametulia na wake hana pesa!!

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee 3 місяці тому

      Because to be a leader the wife has to step back,a wife who embarrasses the husband is a no go.Remember Lucy kibaki she became too much,she was hitting the headlines more than the president,she had to stepback.

  • @b.9811
    @b.9811 4 роки тому +5

    Politics is just taking ur life to hell direct'

  • @thumakombe4616
    @thumakombe4616 4 роки тому

    Nessrm

  • @AminaCuisine692
    @AminaCuisine692 4 роки тому +1

    Mbona hakuna mama au mtoto anayejitokeza akidai Moi ni bwana aw baba yao.

  • @patrickyohana1374
    @patrickyohana1374 4 роки тому +6

    I never seen moi wife,

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      Mee too na venye we we were paraded with Flags to see him and sometimes he never stopped waisted class timem

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      Ainde pahali anaenda tubaki shuleni kwani nini?

  • @shakole5979
    @shakole5979 4 роки тому +5

    He was a principled leader and kind too.

    • @webbtz3591
      @webbtz3591 4 роки тому

      lol.drank the Koolaid?

    • @kahunyokahwai6371
      @kahunyokahwai6371 4 роки тому

      kind to njoya muge wangari maathai matiba rubia wanyiri molo olenguruoni and likoni victims of ethnic violence etc

    • @philipotanga642
      @philipotanga642 4 роки тому

      Z

    • @eunicebidienyi7849
      @eunicebidienyi7849 Рік тому

      We can't get a gd prisdent like moi Wii meet again mzee

  • @indhadro2633
    @indhadro2633 4 роки тому

    What happen amekufa

  • @lydianyongesaiyaya2511
    @lydianyongesaiyaya2511 4 роки тому

    Rip till we meet again

  • @irenekambi4705
    @irenekambi4705 4 роки тому +2

    RUMORS: Ilisemekana walokuwa kwa merry making fulani kisha mzee moi aka Dance na Mamagina hivo lena akakasirika akamliza mumewe mbona una Dance na mama mwigine while nikiwa?
    (RUMORS)

  • @annenjeri7748
    @annenjeri7748 4 роки тому

    They divorced and moi will be buried beside her

  • @francismaina876
    @francismaina876 2 роки тому

    LP

  • @nnodehmakozhdmmxee8340
    @nnodehmakozhdmmxee8340 4 роки тому

    Rip papa moi

  • @janenjenga5639
    @janenjenga5639 4 роки тому +2

    Siri hufichuliwa mtu akiaga.why

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      Ata watoto hujitoa from Bankers

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      @Janec Njenga. Ukweli mpaka watato hurundi kwa baba yao kukufa sio kitu kizuru lakini ni lazima.

    • @janenjenga5639
      @janenjenga5639 4 роки тому

      @@mstevens832 hehehe

    • @janenjenga5639
      @janenjenga5639 4 роки тому

      @@mstevens832 but why wait last minute

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      @@janenjenga5639 @Jane Njenga. Ya Mungu ni mengi hayanjulikani... Nituthie kanitha hii upepo yani tutinakoma whole night.haka. Island

  • @penninahthegrace3036
    @penninahthegrace3036 4 роки тому

    Politics = to hell

  • @sarahwario9787
    @sarahwario9787 4 роки тому +1

    Makubwa!

  • @ahmedibrahim-bg2uz
    @ahmedibrahim-bg2uz 4 роки тому +4

    Moi aliacha bibi kazi kuchukuwa watoto wa shule shetani huyo

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      Hahaha! Tanja Unajua Moi boys ngapi mimi na only two forces accadamies all the rest Moi girls angalia Boy child shinda zilianza hapo.

    • @wlkmwlkm3381
      @wlkmwlkm3381 4 роки тому

      @@mstevens832 hahahaha exactly but sio kuzaa nao

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому +1

      @@wlkmwlkm3381 @WIkm WIkn. Mzee Moi alikuwa na Volks Wagen ya kutanga tanga uliza watu wa Senior Chief Konainge Headmistress watasema the man used to sneak and drive himself at night haiya.

    • @maris2200
      @maris2200 4 роки тому +1

      M Stevens 😄😄

    • @mstevens832
      @mstevens832 4 роки тому

      @@maris2200 upepo unataka kutuangusha huku haki hii Island UK ata mtu hawezi kupumua.

  • @thumakombe4616
    @thumakombe4616 4 роки тому

    Z

  • @roselinemukhwana3670
    @roselinemukhwana3670 4 роки тому

    huyu ndiye alikuwa BABA, wengine wote wajiitao baba ni punda. R. I. P. Baba Moi.

  • @soemzungu8008
    @soemzungu8008 4 роки тому

    U never went with anything

  • @shirojulius6768
    @shirojulius6768 4 роки тому

    Rip

  • @janemliwa2505
    @janemliwa2505 4 роки тому

    Rip hero

  • @beldynerbeshi8660
    @beldynerbeshi8660 4 роки тому

    Rip