Sisi wajeni tukija tz hatuna amani kwa wizi tunaibiwa unamuamini mtu kumbe nomwizi nimeibiwa ml5 na laki2 namtu niliomuamini kumbe wmizi. Mnaimba tz nchi ya amani amani iko wapi mawwaji kila siku wizi wa kila aina dhulma nyingi . Mko taari kuuwa for money. Shame on you. You couldn't be proud because we speak you language I'm speaking 5 languages and i have never heard an Arabic or an English or French to proud himself for that. They proud themselves when they heard people talking in good things , actions for their country.
@@fatimayoussoufali1930 oooo pole sana Dada kwani uhalisia tz utapeli upo ila katika maisha jaribu kuto kumuamini MTU na usimzarau MTU kwani mbeleni hujua atakuwana na atakuwa na mchango gani kwako sawa hiyo IPO tu nihakiyako ujue haijapotea utaikuta siku ya hisabi inshaallah
@@fatimayoussoufali1930 ushauri: suala la mali, pesa, na amana nyingine zote liwe kimaandishi na kwa kufuata sheria na taratibu za nchi ili iwe rahisi kufuatilia suala lako kwenye vyombo vya sheria tena kwa uhakika zaidi na ili uweze kuzipata haki zako zote. Ama kuhusu uhalifu nchi zote duniani zina vyombo maaalumu vya kisheria ikiwemo polisi na mahakama ili kujaribu kupunguza uhalifu kama si kuumaliza kabisa.
@@Kiswahilinaladhayake hiyo pesa sijamkopesha na tumeandikiana na yeye ndo katowa idea yakuandikiana kilammoja katia saini yake na kulikuwa na mzahidi . Pesa nimempa anishikie ila kwa vile yeye nimfanya biashara anaweza anaitumia huku ananisaidia japo hela yakula alikuwa ana nitumia lakimoja kila wiki nimpa mwezi wanane mwishoni watisa wakumi nimesafiri nimerudi tena tanzania kbla nimwambia nikirudi tanzania nitakuja kuchujuwa yile pesa ksema sama. Nimerudi tz mwezi wakwanza kilaniki mwendea aninikwepa . Hasema pesa hanipi nifanye wala siwezi kumfanya chochote mimi nijeni huko nikwawo panaweza kunifanya chochote. Nimerudi kwetu mwezi wa 5 hata mia hajanipatia mil5 nalaki2.
Halafu utakuta baadhi ya wahindi wamezaliwa Tanzania tena kuanzia babu yake ni wazaliwa wa hapa Tanzania. Lkn akiongea kiswahili utadhani ni mgeni wa jana. Veve vp bana hapana taka kuja jumbani kwangu fagia fagia kidogo mimi ipo kupa hela kidogo. Sifanyi utani wala uongo. Vijana wa sasa hivi wanaongea kwa kuamini yale madharao ya zamani imeshapitwa na wkt. Kwani zamani enzi za ukoloni nao walijifanya sawa na wazungu ni kudharao waafrika.
@@johnkuma6867 Kiswahili haswa imetoka pwani East Africa hata kiswahili cha bara hakipo vizuri hivyo lkn wanaongea kiswahili kwa sababu watanzania wote wananchi wanaongea kiswahili. Kenya siyo makabila yote au wananchi wote wanaongea kiswahili. Wakenya wanaongea English zaidi kuliko kiswahili na wanaongea lugha yao ya kikabila. Sasa mwindi wa Tanzania Baadhi wamezaliwa Dar es salaam lkn kiswahili pumba tupu. Ni sawa na mwindi azaliwe uingereza halafu hajui kuongea English ni dharao tu kuiona kiswahili kitamsaidia nini?
@@herculesthepower1544 Ukweli mtupu kaka. Mi ni mKenya na wahindi wengi hapa ni kama wanaidharau hii lugha. Wamejitengea shule zao hapo hawana shugli na Kiswahili. Ingawa kuna wahindi kadhaa wazalendo wanakielewa, kuna wengi pale tiktok. Alafu lugha zetu za kikabila zina madhara yake, na manufaa. Sioni shida mwafrika kujielewa tamaduni, historia na alikotoka. Na lugha ni muhimu sana ukitaka kujielewa. Ila tu, ni bora watu wakisherehekea na kufunzana utamaduni, badala ya vita na migogoro za kikabila. Napenda vile watanzania wamekishugulikia Kiswahili. Na itakua bora kama lugha za kikabila hazitapotezwa huko. Niligundua Lugha yangu ya kikabila inafanana sana na kiha kutoka kigoma. Na ni kitu cha kupendeza. Maoni yangu tu.
@@arcsys Hapa Tanzania kiswahili kinaongelewa kila mahala lkn bara out of pwani wanaheshimu lugha ya kabila yao na wanaongea kikabila lao huko. Na kwa bahati mbaya mtoto akazaliwa Pwani na kukulia Pwani ataongea kiswahili lugha ya wazazi wake hatoongea kwa sababu pwani ni kiswahili tu. Na bahati mbaya zaidi wazazi wakiwa makabila tofauti, ndiyo kabisa mtoto asahao kuongea lugha either ya baba au mama.
@@bennymochiwa4800 Sasa wewe wafikiri mtu huyo asili yake ni wapi ? au watakuakusema asili yake mtu huyo ni Tanzania naikiwa Tanzania katika East africa na si asili ya waarabu na wazungu
Nenda shule au kuandika na kusoma ndio imekutosha. Sis wengine mbona tunazungumza tu lugha nyingi zaidi ya 3 na sio za kikabila lugha za kimataifa na lugha sio mali yako bali ni ya kila mzungumzaji.
Kinachokushangaza ni kitu gani nenda unguja nungwi sehemu za ufukwe utakuta watoto wanazungumza lugha tofauti tofauti bila shida, na wala haitaji darasa
Mzungumzaji wa kike ana Kiswahili kizuri zaidi ya cha mzungumzaji wa kiume 😊💛
Mashallah, Kiswahili kitukuzwe! Kiswahili ndio lugha pekee ya kuunganisha Waafrika wote.
Masha Allah, nafurahi sana na kujivunia lugha yangu ya kiswahili.
Hakika ni lugha adhimu
Hhhhhh mbona yupo haraka sana jmn duuh sema vzur sana nafrahi kusikia ivo
….allahamdulilahi,swahili ni yetu ya kila siku🇹🇿🇰🇪
Maashallah Maashallah
So proud of her
Mashallah kiswahili safi kabisa
Asante sana, wewe ni mtu mwenye busara
Masha Allah Allah bariq
Mashaallah nice
Safi sana Dada.Kiswahili ndio lugha,itakayo iunganisha bara la Afrika.
Dada upo vizur mashaalah
Anaongea km ana memory kichwani... MashaaAllah
Asante sana kwa mchango wako mzuri
Shukrani habibibt
Mashaallah
Hongera ninashauku kubwa kuona dunia mzima kiswahili kina fahamika mashaallah
Asante sana na tunathamini sana kwa mchango wako mzuri
Sisi wajeni tukija tz hatuna amani kwa wizi tunaibiwa unamuamini mtu kumbe nomwizi nimeibiwa ml5 na laki2 namtu niliomuamini kumbe wmizi. Mnaimba tz nchi ya amani amani iko wapi mawwaji kila siku wizi wa kila aina dhulma nyingi . Mko taari kuuwa for money. Shame on you. You couldn't be proud because we speak you language I'm speaking 5 languages and i have never heard an Arabic or an English or French to proud himself for that. They proud themselves when they heard people talking in good things , actions for their country.
@@fatimayoussoufali1930 oooo pole sana Dada kwani uhalisia tz utapeli upo ila katika maisha jaribu kuto kumuamini MTU na usimzarau MTU kwani mbeleni hujua atakuwana na atakuwa na mchango gani kwako sawa hiyo IPO tu nihakiyako ujue haijapotea utaikuta siku ya hisabi inshaallah
@@fatimayoussoufali1930 ushauri: suala la mali, pesa, na amana nyingine zote liwe kimaandishi na kwa kufuata sheria na taratibu za nchi ili iwe rahisi kufuatilia suala lako kwenye vyombo vya sheria tena kwa uhakika zaidi na ili uweze kuzipata haki zako zote. Ama kuhusu uhalifu nchi zote duniani zina vyombo maaalumu vya kisheria ikiwemo polisi na mahakama ili kujaribu kupunguza uhalifu kama si kuumaliza kabisa.
@@Kiswahilinaladhayake hiyo pesa sijamkopesha na tumeandikiana na yeye ndo katowa idea yakuandikiana kilammoja katia saini yake na kulikuwa na mzahidi . Pesa nimempa anishikie ila kwa vile yeye nimfanya biashara anaweza anaitumia huku ananisaidia japo hela yakula alikuwa ana nitumia lakimoja kila wiki nimpa mwezi wanane mwishoni watisa wakumi nimesafiri nimerudi tena tanzania kbla nimwambia nikirudi tanzania nitakuja kuchujuwa yile pesa ksema sama. Nimerudi tz mwezi wakwanza kilaniki mwendea aninikwepa . Hasema pesa hanipi nifanye wala siwezi kumfanya chochote mimi nijeni huko nikwawo panaweza kunifanya chochote.
Nimerudi kwetu mwezi wa 5 hata mia hajanipatia mil5 nalaki2.
Unajoua sana kiswahili
Unajua wakati sisi tunaona kiswahili ni lugha ya mazoea ,wenzetu wanaona kuwa kiswahili ni lugha ya KITAIFA na inahitajika sehemu mbalimbali duniani.
Exactly
Hasa
many congratulations to her
USITURUDISHE NYUMA ANDIKA KISWAHILI TAFADHALI.
Lugha ya africa
Na iwe ya dunia kwa ujumla - ya kimataifa
Halafu utakuta baadhi ya wahindi wamezaliwa Tanzania tena kuanzia babu yake ni wazaliwa wa hapa Tanzania. Lkn akiongea kiswahili utadhani ni mgeni wa jana. Veve vp bana hapana taka kuja jumbani kwangu fagia fagia kidogo mimi ipo kupa hela kidogo. Sifanyi utani wala uongo. Vijana wa sasa hivi wanaongea kwa kuamini yale madharao ya zamani imeshapitwa na wkt. Kwani zamani enzi za ukoloni nao walijifanya sawa na wazungu ni kudharao waafrika.
Sawa na Kenya wote baniani ni fake
@@johnkuma6867 Kiswahili haswa imetoka pwani East Africa hata kiswahili cha bara hakipo vizuri hivyo lkn wanaongea kiswahili kwa sababu watanzania wote wananchi wanaongea kiswahili. Kenya siyo makabila yote au wananchi wote wanaongea kiswahili. Wakenya wanaongea English zaidi kuliko kiswahili na wanaongea lugha yao ya kikabila. Sasa mwindi wa Tanzania Baadhi wamezaliwa Dar es salaam lkn kiswahili pumba tupu. Ni sawa na mwindi azaliwe uingereza halafu hajui kuongea English ni dharao tu kuiona kiswahili kitamsaidia nini?
@@herculesthepower1544 Ukweli mtupu kaka. Mi ni mKenya na wahindi wengi hapa ni kama wanaidharau hii lugha. Wamejitengea shule zao hapo hawana shugli na Kiswahili. Ingawa kuna wahindi kadhaa wazalendo wanakielewa, kuna wengi pale tiktok. Alafu lugha zetu za kikabila zina madhara yake, na manufaa. Sioni shida mwafrika kujielewa tamaduni, historia na alikotoka. Na lugha ni muhimu sana ukitaka kujielewa. Ila tu, ni bora watu wakisherehekea na kufunzana utamaduni, badala ya vita na migogoro za kikabila. Napenda vile watanzania wamekishugulikia Kiswahili. Na itakua bora kama lugha za kikabila hazitapotezwa huko. Niligundua Lugha yangu ya kikabila inafanana sana na kiha kutoka kigoma. Na ni kitu cha kupendeza. Maoni yangu tu.
@@johnkuma6867 🤣🤣🤣🤣 WEWE JOHN KUMA UMEONGEA UKWELI KABISA 🤣🤣🤣🤣
@@arcsys Hapa Tanzania kiswahili kinaongelewa kila mahala lkn bara out of pwani wanaheshimu lugha ya kabila yao na wanaongea kikabila lao huko. Na kwa bahati mbaya mtoto akazaliwa Pwani na kukulia Pwani ataongea kiswahili lugha ya wazazi wake hatoongea kwa sababu pwani ni kiswahili tu. Na bahati mbaya zaidi wazazi wakiwa makabila tofauti, ndiyo kabisa mtoto asahao kuongea lugha either ya baba au mama.
Watu watabisha, moja kati ya wanafunzi wangu nilipokuwa Cairo, tuition 2014 na 2015 Alhamdulillah tuliitangaza nchi
NENDA OMAN KUNA WATOTO HAWAIJUWI WALA KUFIKA TZ WATAKUFUNDISHA WEWE KISWAHILI 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 TENA WENGI SANA.
WAO, ASANTE SANAA MAMAA YETU HUKO MISRI, SASA TUKIJA NI KUSALIMIANA KISWAHILI TU...HABARI ZA LEO??
Nazungunza swahili kama golo
magufuli achukuwe kwakukitangaza vilivo
Hakika ashukuriwe kwa kukitangaza kiswahili vilivyo 😊
Mwandishi umeshindwa kutujuza asili ya huyo dada!!
Dada wa "kimisri" mkali wa kiswahili
Nakubaliana na wewe mwandishi ameshindwa kumhoji maswali ya msingi
@@typhonesapali1777 Tutalifanyia kazi , asante sana
@@Kiswahilinaladhayake anaweza kuwa mmisri kwa uraia lkn kiasili si mmisri
@@bennymochiwa4800 Sasa wewe wafikiri mtu huyo asili yake ni wapi ? au watakuakusema asili yake mtu huyo ni Tanzania naikiwa Tanzania katika East africa na si asili ya waarabu na wazungu
Huyo anae muhoji anaongea lugha gani mbona simuelewi? Namuelewa huyo dada tu
Ni kweli huyo Dada ni "mkali wa kiswahili" ndio maana hata yule ambaye wewe huwezi kumuelewa, huyo Dada anaweza kumuelewa vizuri na kumjibu vyema 😊
Huyu ni wambagala mtupu
Inster unapatikana Kwa anuani gani?
@kiswahili_na_ladha_yake
Mbona anaongea kama chiriku
😂😂😂
Unaongea ama unalia
Nafikiri ni mzee 😂😂😂
Huyu mtangazaji atetemeka kwa ....
May be he is exercising while interviewing 😜
Nafikiri ni mzee 😂😂😂
"Maybe"
Ni vitabu gani bora zaidi naweza tumia kuwafunza kiswahili wale wa mwanzo kabisa?
Uko nchi gani?
Marekani.
Mashaallah
Mashaalah mina mungu akubari akuzidishiye mara dufu ishaalah
Kwa niaba yake Aamiyn 🤲🏾
Mashalwa upo juu dada ❤❤
Mhhh anishind mm mzaliwa
Masha- Allah!
Unazungumza kiswahili vizuri sana dada!
Tunafurahia ukweli huo 😊
MashaAllah!!!!
Hivi luga yetu mbona ni simple sana hivi tunaluga sie kweli
Nenda shule au kuandika na kusoma ndio imekutosha. Sis wengine mbona tunazungumza tu lugha nyingi zaidi ya 3 na sio za kikabila lugha za kimataifa na lugha sio mali yako bali ni ya kila mzungumzaji.
Kinachokushangaza ni kitu gani nenda unguja nungwi sehemu za ufukwe utakuta watoto wanazungumza lugha tofauti tofauti bila shida, na wala haitaji darasa
HAMISI LUGHA SIO LUGA.
Ni kweli kabisa mzawa unaweza kuona hivyo. Lakini ukichunguza vyema utapenda kujifunza mengi zaidi kuhusu lugha (yako) ya kiswahili.
Vizuri sana Menna
Maashaallah nakupenda bure