HALIMA MDEE NA SPIKA TULIA WAMVAA MWIGULU "NIJIBU WAZIRI BASHUNGWA MWIGULU SIMUELEWI"
Вставка
- Опубліковано 28 вер 2024
- HALIMA MDEE NA SPIKA TULIA WAMVAA MWIGULU "NIJIBU WAZIRI BASHUNGWA MWIGULU SIMUELEWI"
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402),
🔘WhatsApp (+255 767 400402)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
Tunaomba watangaze na nafasi za kaziii
Tumechoka na hatuna hela za kujiajiriii😢😢😢😢
Jamaa haelewi kitu sijui mlimpaje icho cheo
HIVI KWANINI MWIGULU HUWA ANAKOSOLEWA SANA BUNGENI .HUYU KUKU HAFAI KWENYE HIYO WIZARA
Hatujui maana ya manditi bwana Mwigulu,jibu swali!!!
Mama Mhagama makofi uwa yanamaana gani?
Huyu Mwigulu sijui anajipataga nani sijui,maana ana dhalau sana huyu jamaaa!
Hivi hili lijenister muhagama huwa mnamwelewa kazi yake zaidi ya uchawa mi kiukwel simpendagi
😅😅😅
Mbona huyo jamaa anamdharau sana spika! Mara nyingi naona anamwambia asubir jamaa anaongea tu! Hii mijizi inadharau sana
Mitandio na kanga hutumika kujifunika kwenye misiba hapo bungeni siyo mahali pake mama Mhagama😊
Mhagama vaa official acha kuvaa mitandio bungeni. Kama kuna baridi vaa koti plse kama Halima Mdee etc
Kwani Hakuna mtu mwingine mzuri kuwa waziri WA Feza ?
Hahahahaha