BOSS WA DOTTO MAGARI AUCHAMBUA MJENGO WA MWIJAKU AACHE UONGO SIO WA B 1.3/HARMONIZE ACHA KUJITETEA.

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 сер 2024
  • Ahsante kwa kuwa mwana familia,(BINA Tv) kwa habari murua utazipata hapa, Ungana nasi kwa kila update zitakazo jitokeza.. Subscribe Channel yetu ya BINA TV ili usipitwe na habari zetu.
    #alikiba, #ayotv, #block 89, #bongo #chapchap, #bunge, #bungeni, #burnaboy, #ccm, #chadema, #davido, #diamondplatnumz, #diamondplatnumz, #good #morning, #habarizaleo, #habarizamillard #ayo, #harmonize, #lavalava, #lavidavi, #live, #magufuli #makonda, #mbosso, #mgahawa, #millard, #millardayo, #millardayo, #millardayotv, #rayvanny, #refresh, #serikali, #sportsarena, #sportscourt, #spots, #sundayworship, #tanzanianews, #thestorybook, #theswitch, #tiwasavage, #trending, #uchaguzi, #wasafi, #wasafifm, #wasafimedia, #wasafi tv, #wizkid, #yope, #yope #remix, #zuchu
    #BinaTv #WasafiTv #ManaraTv

КОМЕНТАРІ • 78

  • @monicemedia4078
    @monicemedia4078 7 місяців тому +11

    Tambuu boss asie na majivuno, Allah akuifadhi inshaallah....

  • @adoniemanuel908
    @adoniemanuel908 7 місяців тому +4

    jamaa yukoo sawaa anahekima yakuongea na anahofu ya munguu ukitoa elimu ya darasni ana uweliwa mkubwa sana kuhusiana na maishaa

  • @moussaayubuchris7491
    @moussaayubuchris7491 7 місяців тому +8

    Boss yuko vizuri sana yani ana maneno ya busara sana kwa kweli😢 jama anaelimisha kweli kweli

  • @omanmct135
    @omanmct135 7 місяців тому +5

    Atamimi napenda nyumbachini nizuri kuliko gorofa❤

  • @jamesmutale9302
    @jamesmutale9302 7 місяців тому +4

    Nimemupenda mwandishi wa Abar Yuko vizuri amekoma namaswari aropoki na maswari ya meni motivate.sawa na isa tambu Yuko vizuri namupenda anajizushusha na uko vizuli

  • @YunusiAthuman-ep5mc
    @YunusiAthuman-ep5mc 7 місяців тому +3

    Issa nakukubali Sana kwa busara zako

  • @iyancoba9612
    @iyancoba9612 7 місяців тому +3

    Unahekima sana kaka kuongea kwako tu ni somo kwetu tunao jitafuta ✊

  • @abubakarymaulidy5681
    @abubakarymaulidy5681 7 місяців тому +4

    Mashaa allah unahekma sanaa

  • @eliasthomas1547
    @eliasthomas1547 7 місяців тому +4

    Mwandishi wa habari yuko vizuri.

  • @iddfundikira2817
    @iddfundikira2817 7 місяців тому +5

    Jamaa anajibu kwa utulivu sana na sio mlopokaji kama msomi fulani hivi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 7 місяців тому +10

    Uzuri huyu jamaa anamijumba kibao hivyo Kweli Mwijaku katupiga.

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 7 місяців тому +2

    Issa upo vizuri bro safi sana

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 7 місяців тому +2

    Tajiri ana jielewa sana asee

  • @Amanikizota
    @Amanikizota 7 місяців тому +1

    Nawapata vzur nikiwa Mozambique 🇲🇿

  • @MtumbaOG
    @MtumbaOG 7 місяців тому +4

    Brother Issa Salute kwako Allah akujalie kheri Insha-Allah

  • @peternyambui7492
    @peternyambui7492 7 місяців тому +1

    😂👏👏..Hata mimi mwenyewe...tokea mbali huku..nilivyoitazama tu.....nikajua....hhh

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 7 місяців тому +4

    Boss wangu auna hata mbwembwe za mjin

  • @zerochanneltanzania3797
    @zerochanneltanzania3797 7 місяців тому +2

    Watu awaelewi kinacho endelea.
    Talent industry imekuwa ikichukuliwa poa sana. Talent industry (music, movie, utangazaji , art, dance, film, photography n.k.) imekuwa ikichukuliwa kama kitu fulani “by the way”….so its time kuwaonyesha watu kuwa industry hii inalipa vizuri tu. Na inawazidi wote ambao wanajifanya wanaela kumbe mikopo inawazonga.

  • @user-sq3uo6zp6y
    @user-sq3uo6zp6y 7 місяців тому

    Issa tambuu nakuelewa sana mimi nipo songea ila nakufatilia na jina lako nalitangaza huku songea

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 7 місяців тому +2

    Tambuu umesema kweli

  • @emmanuelnkwabi8610
    @emmanuelnkwabi8610 7 місяців тому +3

    Issa uko poa sana aiseee

  • @koffianodichisesa238
    @koffianodichisesa238 7 місяців тому

    Huna baya boss

  • @devgodfrey
    @devgodfrey 7 місяців тому +1

    Hello hellooo pita kule😅

  • @user-qz2sk3is9c
    @user-qz2sk3is9c 7 місяців тому +1

    Na hapa ipo

    • @user-qz2sk3is9c
      @user-qz2sk3is9c 7 місяців тому +1

      Issa Tambuu mara zote nikimsikiliza huwa ananyooka sana

  • @josephatjordan2150
    @josephatjordan2150 7 місяців тому +5

    Nyumba ina Rangi mbili kama Ampicloxy😂😂

  • @lewismpangala927
    @lewismpangala927 7 місяців тому +2

    Huyu ndo nyamwiga asie na baya

  • @denisjoel1592
    @denisjoel1592 7 місяців тому +3

    Tambuu Tajr huna baya boss umepoa xn huna mbwembwe nakkubar

  • @user-pd7uy5je7c
    @user-pd7uy5je7c 7 місяців тому +1

    Isa boss huna maneno ya busara na heekima,pia huna majivunomkuu.

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 7 місяців тому

    Pia Mimi nishasema Wemba kaongeza Sana hiyo ni 135M wajenzi tunaelewa Kila kitu

  • @user-yu5cg1xr4s
    @user-yu5cg1xr4s 7 місяців тому +1

    kaka kile co kiwanji bar nisehem ya machimbo alinunua shimo

  • @tanzaniamycountry9308
    @tanzaniamycountry9308 7 місяців тому

    Bro anaongea Kwa hekma Sana
    Tuige kitu kwa huyu Bwana tajir

  • @jonasiedy39
    @jonasiedy39 7 місяців тому +2

    Huyo mtangazaji akatafute kazi nyingine

  • @gilbertfuria5817
    @gilbertfuria5817 7 місяців тому +1

    Kizimkazi

  • @NorascoKipeto
    @NorascoKipeto 7 місяців тому

    huyu jamaa makini sana, katutia moyo, tunaweza ila bwana mwija, alikuwa anavunja moyo, kwanza mwija kaponda nyumba za chini, kakosea,

  • @medidaudi8335
    @medidaudi8335 7 місяців тому

    Ma boss watulivu hawanag maneno mengi hua wanatulia

  • @charlzlomo9219
    @charlzlomo9219 7 місяців тому +1

    Isa umekosea kidogo sababu unajenga za kawida gorofa ujenzi wake sio mchezo ndio si kila mtu anagorofa

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 7 місяців тому +1

    But why debate about it? Nyumba ya Mwijaku let him be! whether katudanganya or not what is the big deal???

    • @khamisjohn7639
      @khamisjohn7639 7 місяців тому

      It becomes a big deal because Mwijaku himself made it public. Watu katika jamii wana ndoto za kujenga so over exaggeration ni hatari mno kwani watu wengine watakata tamaa completely. Imagine mtu ana mil. 400 amejipanga kujenga ghorofa then kama ile ya kawaida kiasi kile anaambiwa inabidi awe na 1.3 billion??????

    • @naturelle1097
      @naturelle1097 7 місяців тому

      @@khamisjohn7639 that would be the power of blindness talking

  • @paskaziasholla7471
    @paskaziasholla7471 7 місяців тому +1

    😂😂hapana bhana inafika mia 300 ile

  • @zaburi2386
    @zaburi2386 7 місяців тому +4

    Hapana ile ghorofa inazd milion 150 inawezekana kufka had 400-500

    • @user-jd9xd3gk3m
      @user-jd9xd3gk3m 7 місяців тому +3

      We nyumba ya million 400 unaijua kwel au unaisikia tu😂

    • @kwisa4899
      @kwisa4899 7 місяців тому

      ile nyumba ni 200ml

    • @DenisyMhozya
      @DenisyMhozya 7 місяців тому

      Ile ikizid 140

    • @ziddyziddy2524
      @ziddyziddy2524 7 місяців тому

      Anababaika kwa sababu ni ghorofa eti​@@user-jd9xd3gk3m

  • @emmanueljisendi8928
    @emmanueljisendi8928 7 місяців тому

    Huyu jamaa Issa tambuu hata ukiwa na milioni 5 anakusikiliza na anaukuzia gari tofauti na chawa wake

  • @khamismsoma8698
    @khamismsoma8698 7 місяців тому +2

    umepita na mimi mule mule.. fundi rangi ni local sanaa hajui kazi yake.. hata fundi decoration ni fake pia..

  • @user-sq3uo6zp6y
    @user-sq3uo6zp6y 7 місяців тому

    Gari yangu mbovu ila nitakuja nalo

  • @furahachuma9039
    @furahachuma9039 7 місяців тому +7

    Milioni 150 huwezi kuijenga ile nyumba. Nina mashaka ya uzoefu wako ndugu Issa.

    • @emmanuelbarnabas2577
      @emmanuelbarnabas2577 7 місяців тому +1

      Yupo sahihi mzee

    • @furahachuma9039
      @furahachuma9039 7 місяців тому

      @@emmanuelbarnabas2577 Sasa kama kiwanja pekee ni kati ya mil 25 hadi 30, hiyo nyumba ndio iwe milioni 150. Labda mimi bado niko usingizini.

    • @andrewIzdory-sk4cu
      @andrewIzdory-sk4cu 7 місяців тому +1

      Ikizidi sana mil. 170, no more money

    • @allynguba2579
      @allynguba2579 7 місяців тому +1

      Nafikili watu awajui kila maisha yanavyoenda na huu ujenzi na ghalama inapungua tofauti na zamani vijana tupambane ndomana SA ujenzi wa gholofa rahisi sana so nasisi tutafika tuu

    • @zuberikamote2078
      @zuberikamote2078 7 місяців тому +2

      Sikuzote km hujajenga ndio utona gharama ila kwa wanaojua ujenzi million 100 ninyingi sana nghrofa ni nondo zamilimeta kubwa hzo ndio zinasimamisha ghorofa

  • @AshroffBrown
    @AshroffBrown 7 місяців тому +2

    Broh nyumba ya mwijaku sio chini ya milion mia 7 mi kama engineer

  • @user-sq3uo6zp6y
    @user-sq3uo6zp6y 7 місяців тому +1

    Mimi nagari yangu ya 250000 nimekuandika issa tambuu auna ngwengwe upo smatt sana kuna siku nitakuja kinondoni nikutane na wewe issa tambuu

  • @ednahumazi777
    @ednahumazi777 7 місяців тому

    Your boss ni wivu

  • @user-yu5cg1xr4s
    @user-yu5cg1xr4s 7 місяців тому

    😂😂😂😂nakubar fund

  • @januarymwingwa2962
    @januarymwingwa2962 7 місяців тому +4

    Issa hata wewe umetudanganya ile nyumba haiwezi kuwa na samani ya 150

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 7 місяців тому +3

    Mbwen nyumba zipo ila kigambon zaid kibada kuna kufuru broo acha kabisa

    • @pharesdismas8876
      @pharesdismas8876 7 місяців тому +1

      Upajui mbweni ww tulia

    • @Wiseoneclassic
      @Wiseoneclassic 7 місяців тому +1

      Hapajui mbweni ahafika

    • @AlbertHenry-gq5rd
      @AlbertHenry-gq5rd 7 місяців тому +1

      Mmemjibu vizur hajawahi fika mbweni

    • @karimjuma4019
      @karimjuma4019 7 місяців тому +1

      @@AlbertHenry-gq5rd iyo mbwen haiingi kibada mara hata mia jaman ivi mnapajua block 16 au mnaongea tu ?

    • @JosephMilinga-nl4zh
      @JosephMilinga-nl4zh 7 місяців тому

      Ujafika mbweni mkuu, jaribu kupita uone mahekaru

  • @user-eg1ts2fu9z
    @user-eg1ts2fu9z 7 місяців тому +2

    Jamaa amenyoka kama Lula