MAAJABU!!BABA BONNY AND MCHAWI ANN ARE AGAINST THE SHAMBA BEING GIVEN TO MAMA LONAH KIMEUMANA SASA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 1 лют 2025

КОМЕНТАРІ • 104

  • @AliceNjeru-os1yb
    @AliceNjeru-os1yb 3 дні тому +9

    Daktari akinge bonny na mama lonah pia lonah amkinge akiwa uku, na bonny wakae na lonah ju wako xwa uyo kijana n mzuri😅😅🎉🎉🎉

  • @OmugaCate-y8v
    @OmugaCate-y8v 3 дні тому +4

    Bonny ni one in a million ...

  • @Gracious254
    @Gracious254 3 дні тому +4

    Baba bonny anajua uchawi na mama bonny ameachwa wapi angeside na bonny

  • @Irangatwarose
    @Irangatwarose 4 дні тому +5

    Huyu mzee na Ann wanaezaua hizo ng'ombe wana roho mbaya sana

  • @Gracious254
    @Gracious254 3 дні тому +3

    Mama LONA kuja ujenge kwa hio shama

    • @Faith-ou1nb
      @Faith-ou1nb 3 дні тому

      Hii shamba niya hule mzee wa miwa

  • @julietsoita1401
    @julietsoita1401 4 дні тому +3

    Mama lonah aungane tu na bonny wachunge hiyo mali huyo mzee ma mchawi wasipewe nafasi

  • @valentinej.chirchir9475
    @valentinej.chirchir9475 4 дні тому +3

    Baba tamaa

  • @Josaphine-o2w
    @Josaphine-o2w 3 дні тому

    Huyu Mzee na huyu bibi ya bonny wako na roho mbaya sana , daktari mkali kazi safi kabisa mungu akubariki

  • @GloriaKawira-w5u
    @GloriaKawira-w5u 4 дні тому +3

    Ok,baba bonny pia yy n mchwawi kama ann nikujifanya alikua anajifanya

  • @RoseKamiti-v3c
    @RoseKamiti-v3c 3 дні тому

    Uyu mzee anafaa akule kofi

  • @marymwaura-iw7vn
    @marymwaura-iw7vn 3 дні тому +7

    Dactari naomba ukimaliza kazi yko uache kama umekinga bonny,,mama lonah,,n pia ukinge shamba juu nimeona Kuna hatali Kwa huyu mzee n ann

  • @PhilisNabalayo-i6u
    @PhilisNabalayo-i6u 3 дні тому

    Huyu mzae simuoni poa hapa😊😂😂mkicheza

  • @emmahkamande
    @emmahkamande 3 дні тому

    Hio nguo ya mama mchawi inapiga sauti aje ya upepo😮😅😅😅

  • @PhilisKundu
    @PhilisKundu 4 дні тому +1

    Kaz kemaa mama ijoy

  • @taleanyahya3687
    @taleanyahya3687 3 дні тому

    Uyu ajui esabu ya shamba 1m is more than that money

  • @zipporaondieki6850
    @zipporaondieki6850 4 дні тому

    Hongera sana team Angie B,bila nyie haya yote ayangejulikana.Bonny u are so wise be blessed babaa

  • @TonnyN-g1q
    @TonnyN-g1q 3 дні тому

    It's cheaper

  • @taleanyahya3687
    @taleanyahya3687 3 дні тому

    Doc fanya ki2 juu ya uyu Ann ,babake Bonnie wakumbena sana

  • @AgnesKamau-h6j
    @AgnesKamau-h6j 3 дні тому

    Ata hizo ngombe si zake first angewaonyesa title deeds

  • @BernavanderMeijden
    @BernavanderMeijden 3 дні тому

    Muzee tama, please muzee you have No say over that shamba.
    Anna sorry just think of your future,your dreams are No more.
    Dr should protect mama lonah and the shamba and all the animals.that muzee??

  • @Betty-m5n
    @Betty-m5n 3 дні тому

    Mzee tamaa baya

  • @QweQwe-e7t5t
    @QweQwe-e7t5t 3 дні тому +1

    Bony lonah anakupenda we muombe musamaha ujitete kwake umuelezee kua sikupenda kwako umeshikwa nauchawi atakuelewa mujenge maisha n lonah achana n babako we jengeni maisha we na lonah ata babako asikupangie maisha nahuo umri wake

    • @LLl-p4r3l
      @LLl-p4r3l 3 дні тому

      Kweli lonah bado Ako na upendo kwa bony so amuombe msamaha TU

  • @doris.nafula
    @doris.nafula 3 дні тому

    Mama lonah ajaribu kukua said bonny sana afanye vile lonah alisema

  • @JohnWere-w2l
    @JohnWere-w2l 3 дні тому +2

    Huyo mzee nikigeugeu kama angekuwa babangu ningemzima Kwanza mutashida APO nakusungushwa mpaka dakitari anaboeka

  • @AgnesKamau-h6j
    @AgnesKamau-h6j 3 дні тому

    Hio shamba si ya bonny anasitasita akiuliswa acre range and the cost of the samba.

  • @Katotooooooooooo
    @Katotooooooooooo 3 дні тому

    Uyo Mzee na iyo sura yake mbaya kama vita za Lebanon ako na roho mbaya sana so bonny be careful 😢😢😢😢😢

  • @MercyNadia-o1k
    @MercyNadia-o1k 3 дні тому

    Aki mungu ni mwema jamani kama.bonny leo ako sawa lakini uyu baba leo anamgeukia mtoto wake sasa saizi ako na mke wa bony 😢😢😢😢waah uyu mzee kile kinasema rohoni waah ni mungu tu anajua aki

  • @LLl-p4r3l
    @LLl-p4r3l 3 дні тому

    Kwani pesa niyake haimuhusu hio shamba huyo Anny

  • @ambanihilda9636
    @ambanihilda9636 3 дні тому

    Ama boni ni shamba boy..let's wait and see

  • @AnnNongari-z1e
    @AnnNongari-z1e 3 дні тому

    Kwani wataelewa aki awa wachawi ni lonah ali sokoa doo Gul Kala's shuu haitha lakin🤦

  • @Norah-s9f
    @Norah-s9f 4 дні тому

    Huyo muzee hata anakaa maskini ss akiulizwa alitowa wapi pesa ya kununua atasema 😂😂😂😂😂

  • @RechoIndeche
    @RechoIndeche 3 дні тому

    Mimi naomba daktar uongeleshe lonar warutiane na Bonnie

  • @Faith-ou1nb
    @Faith-ou1nb 3 дні тому

    Hii shamba niya hule mzee wa miwa

  • @angelnicholaus9248
    @angelnicholaus9248 4 дні тому +2

    Bonny is not bad,it is just because of that mchawi who bewitched him and get out of his mind,Lonna please just stay with Bonny he is the right man for you.

  • @Fuzia-w4w
    @Fuzia-w4w 3 дні тому

    Wpi documents za shamba ndio tujuwe kma ni ukweli

  • @CarolineVijedi-s3n
    @CarolineVijedi-s3n 4 дні тому

    Kumbe ndio alikuwa akisema waongee home .

  • @CarolSumbata
    @CarolSumbata 3 дні тому

    Mbona mimi siamini kweli but Sina ubaya

  • @keziahmwangi1155
    @keziahmwangi1155 4 дні тому

    Ukweli ujulikane akipeana documents naona kama bonny anandanyana hapa bona anaulizwa kitu anasitasita kama anafikiria kwanza

  • @ZinabAlzinab
    @ZinabAlzinab 3 дні тому

    Huyo mama mchawi asamaratishwe pamoja na huyo baba bonny wakibaki watalita shida mali haiwahusu wao ila washaweka tamaa na mali ya watu

  • @maggiekanorio4905
    @maggiekanorio4905 3 дні тому

    Dktr ako sure hii kitu ni ya ukweli?

  • @MOH-k1e
    @MOH-k1e 3 дні тому

    Hii ni drama tu hakuna mambo ya ukweli hapa juu kila kitu ni kuguess tu 😂😂😂😂pithooo

  • @CathelineKarumbi
    @CathelineKarumbi 4 дні тому +1

    Lakini sioni bonny kama hio shamba ni lake

  • @AishaNdunge
    @AishaNdunge 4 дні тому

    Huyu mzee nilisikia akiuliza kama kulikuwa na agreement...nikajuwa hapo kuna mambo mingi😂😂😂😂😂😂

  • @MariyamImran-yl1lk
    @MariyamImran-yl1lk 4 дні тому

    Tutajua akipewa makaratasi

  • @Kenyalydiahmonayo
    @Kenyalydiahmonayo 4 дні тому

    Daktari afanyie huyo Mzee jambo, kwani ni jazo yake juu alisema ajui hiyo mambo.

  • @AlshashaCenter-u8q
    @AlshashaCenter-u8q 3 дні тому

    Huyu mchawi hana share hapa,,kaa anataka share yake apande ndege atafute jasho lake

  • @RizikiNyamata
    @RizikiNyamata 4 дні тому

    Uyu mzee anataka makofi juu ana boo anatamaa sqna

  • @davidsabai
    @davidsabai 3 дні тому

    Mwanzoni nilijua huyu kijana bony ni mjinga kumbe Iko akili

  • @hadijaangura6572
    @hadijaangura6572 3 дні тому

    Huyu baba bony atakuwa mchawi

  • @CallenOmweri
    @CallenOmweri 3 дні тому

    Wewe mchawi ann kuja saudi ufanye kzi wajana na struggle ya ronah na bonnie , kuja ujijenge na wewe unategemeajasho la mwenyewe .

  • @EstherNgute-f9l
    @EstherNgute-f9l 3 дні тому

    Bonnie ako sawa ak ongea n mke wake amusamehe waedelee asimuashe plz alikua amefanyiwa madawa

  • @perisnelima-q8p
    @perisnelima-q8p 4 дні тому +1

    Baba bonny ako na ujinga

    • @MoureenKhamis
      @MoureenKhamis 3 дні тому

      Sana yani nilikundu kabisa😂😂😂😂😂😂

  • @haluarahma3071
    @haluarahma3071 4 дні тому

    Aki mpaka nimetoka machozi ya furaha😢😢😢😢huyu kijana mungu azidi kumpa moyo huwo huwo bt huyu baba n bibi mdogo aki niwachawi kabisa😂😂😂😂...lonnah usimuache huyu bwanako plz ukimuacha nitamtafuta tuanze maendeleo.

    • @AlshashaCenter-u8q
      @AlshashaCenter-u8q 3 дні тому

      Bt daktari alisema kwanzia mwanzo kuwa Kuna shamba amenunua

  • @Theblessed-v9y
    @Theblessed-v9y 3 дні тому

    Huyu baba nikama akili yake haifanyi kazi buree kabisaa na huyo mchawi wake

  • @JESCAMUHANJI
    @JESCAMUHANJI 4 дні тому

    Baby bonny na huyu mwanamke wako kitu kimoja mbona ako na Io roho

  • @crestian8343
    @crestian8343 3 дні тому

    Uko ni wapi kwa sababu mimi natoka bungoma western na point moja ni 200k wat about 6acres na bonny anasema eti 1m surely hapa kuna kitu

  • @perisnelima-q8p
    @perisnelima-q8p 4 дні тому +1

    Sister ya angie b huongea kama mtu mkubwa

  • @perisnelima-q8p
    @perisnelima-q8p 4 дні тому

    Bonny angetoa makaratasi kwanza

  • @SurprisedBirdBath-qh2nn
    @SurprisedBirdBath-qh2nn 3 дні тому

    Huyo mzee inafaa mangumi mob hajue hyo sio pesa yke imefanya kazi hpo

  • @jaberkidogo761
    @jaberkidogo761 4 дні тому

    Mbona nko na ka feeling hii shamba sio ya lonah,naona nikama bonnie anadanganya bado,anyway we listen but don't judge😂😂😂

  • @LucyLucy-z6z
    @LucyLucy-z6z 3 дні тому

    Huyu mzee akicheza apumishwe kiasi hapo chini alale

  • @FfFf-zw4oy
    @FfFf-zw4oy 4 дні тому

    Hiii shamba naonea 18

  • @WinnieWawire
    @WinnieWawire 3 дні тому

    Hapa wanatupima😂 watatolewa mbio hapo kwa shamba na mwenyewe

    • @Fuzia-w4w
      @Fuzia-w4w 3 дні тому

      😂😂😂😂😅😅😅kumbe na ww umeona kma mm

  • @Betty-m5n
    @Betty-m5n 3 дні тому

    Achaneni na Mali ya lona

  • @pamellahnafula6633
    @pamellahnafula6633 4 дні тому

    Hii pesa ya shamba ni ya lonah sio ya ann au babake bonny hawa watu wawili wako na tamaa sana mara Mtoto mara shamba , Mungu ni mwema lona unapata Kila kilicho chako

  • @Marymusundi
    @Marymusundi 3 дні тому

    Iyo ni jasho ya lona sio ya bonny uyu mzee naye Ana akili

  • @MagaretPoul
    @MagaretPoul 4 дні тому

    Atoe paper kwanza hiyo mambo ingine badaye sahii Dio baba bony anataka Ann juu ameona mali sahii sio mchawi akwede huko nahapo hakuna pesal ya bony yote ni yal lonah

  • @RizikiNyamata
    @RizikiNyamata 4 дні тому

    Uyu baba na anne wote wanafki kabsa kwanali ni zao kwenden uko

  • @jamesmwangi2205
    @jamesmwangi2205 4 дні тому

    Mzee akasema bibi number two apewe haki yake ni Bonnie, na hiyo ni sawa. Sasa babake Bonnie ile Mali angempea kijana yake sasa ampatie huyo bibi na wakae na yeye.

  • @MamrF-v9v
    @MamrF-v9v 4 дні тому

    Weee muzee mujinga sana kwani pesa niyenu

  • @sibiahimali5041
    @sibiahimali5041 4 дні тому

    Baba bonny alisema bonny sio mwanawe na hampi shamba lake Sasa aachane na bonny na mamamkwe na bibi yake lonah

  • @KamikaziSalma
    @KamikaziSalma 4 дні тому +1

    Uyu mzee minilisema kwamba hakufurahiya Bonny kupeyana mali yawenyewe kwasababu nilipo ona anauliza izomali zote ziko kwamajina yanani nilijuwatu kunakitu we mzee tulia apo unasema uyo mchawi apewe hakiyake kunapesa zake aliweka apo mama wasikubebe ufara shikilia vitu vyamwanawo. Nkombe 🐂🐂🐂🐂 zimemtowa ufaham uyo mzee safisana mama tuko pamoja naweye 🤝💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗💗 💗💗💗💗💗💗💗💗 Bonny upewe ulinzi wakutosha umefanya kazi kubwa sana 👏👏👏 inaonekana uyo baba Bonny nauyo mchawi walikuwa kitu kimoja onagisi mashavu yamewashuka 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂.

    • @TulubeSalim-t5s
      @TulubeSalim-t5s 4 дні тому

      Doh umetumiy md gn kuandk 🤣🤣 unamambuliy like m1 🤣

  • @RizikiNyamata
    @RizikiNyamata 4 дні тому

    Bora awape makaratqsi zote za vitu zote ndo muamini

  • @violetnamema7753
    @violetnamema7753 4 дні тому

    ili lize nilijinga aje

  • @kigombemercy-rc3ek
    @kigombemercy-rc3ek 4 дні тому +1

    Huyu mzee asalimiwe na daktari

    • @HidaChepchumba
      @HidaChepchumba 4 дні тому

      Iyo roho ako nayo ni mbaya aki

    • @tabbyjoshepat9835
      @tabbyjoshepat9835 4 дні тому

      Hii shamba kama n lakweli ngesema to daktari aitegeneze juu hao hd hizi ngombe wanaweza sironga

  • @MaldrnA
    @MaldrnA 4 дні тому +2

    Huyu mzee ni mjinga sana,kuna pesa ya Ann na yake hapo,pesa na maendeleo ni la lona, amesahau alikuwa amemfukuza Bonny, wazee wengine wenye hawana maana inafaa waondokee jamii

  • @lizabeth6305
    @lizabeth6305 3 дні тому

    😂😂😂😂😂

  • @sarahwambui625
    @sarahwambui625 4 дні тому

    Baba bonny vitu ni za bibi ya bonny uko na tamaa pia ww

  • @julietsoita1401
    @julietsoita1401 4 дні тому

    Huyu mzee ako na tamaa sana mbona anataka kukatalia vitu sio zake

    • @MoureenKhamis
      @MoureenKhamis 3 дні тому

      Nimatako sana aki😂😂😂😂😂

  • @DorineMoraa
    @DorineMoraa 3 дні тому

    Nmpenda bonny n mwerevu sana atleast akukula doo bibi mdogo na nmbabake wivu